HAJI MANARA AMLIPUA JEMEDARI SAID "KISA MIMI ALBINO NDYO MATUSI MENGI KWANGU

  Рет қаралды 26,005

S500 TV

S500 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 193
@JAIROSMLIMILA-cl1wp
@JAIROSMLIMILA-cl1wp 14 күн бұрын
Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .
@NuhuM-s1x
@NuhuM-s1x 18 күн бұрын
Mashaalha kaka haji umeongea vizur mungu akuzidishie ufanikishe ulicho kisema mimi nakuombea mungu akuzidishie 🙏🙏🙏
@DanielYusto
@DanielYusto 15 күн бұрын
Mungu akufanikishe kaka Haji manara, katika taasisi yako yakusaidia watu wenye ualbino.
@ashamahadi5281
@ashamahadi5281 17 күн бұрын
Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 16 күн бұрын
Mungu akulinde ilimpendeza Mungu kuwa hivyo ulivyo Haji jitu moja kubwa kongole kwako 🎉🎉
@NovatusZakaria
@NovatusZakaria 14 күн бұрын
MANARA UMETISHA HII NI BUSARA YA AJABU .......Daaaaa! Fantastic kaka ........ ........
@salumramadhani5128
@salumramadhani5128 17 күн бұрын
Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 17 күн бұрын
Ubarikiwe mno Haji ndo maana cku zote mimi mfuasi wako jinsi uishivyo nami na kauli kwa jamii ubarikiwe
@filyakusimsigwa5006
@filyakusimsigwa5006 17 күн бұрын
Mungu akubariki sana Manara kwa kukemea tabia za baadhi ya watanzania
@sonnyr1899
@sonnyr1899 17 күн бұрын
Huyu mwamba siku atakuwa hayupo ndio tutajuwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo wa soka. Kaka Manara Allah akuzidishie umri mrefu.
@PeterLuhende-p7j
@PeterLuhende-p7j 15 күн бұрын
Umeongea kwa uchungu nipo naenjoy na demu wangu albino nampenda sanaa
@KhatibuRamadhan
@KhatibuRamadhan 17 күн бұрын
Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako
@goodlackriwa6728
@goodlackriwa6728 17 күн бұрын
Haji wewe ni kioo katikaa jamii. Wewe ni Binadamu kama wengine Rangi tofauti sio tatizo.Akili Yako kubwa sana .Mungu akujaliee Kwa yote
@ancytarimo1103
@ancytarimo1103 17 күн бұрын
This man is very smart and genuine.
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 17 күн бұрын
Tatizo Kamdomooo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 17 күн бұрын
Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.
@Jayhood28
@Jayhood28 15 күн бұрын
Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu.. Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.
@ShaeebMohammed-e1h
@ShaeebMohammed-e1h 18 күн бұрын
kwahili jemedari said unamuanza mwenyewe
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 17 күн бұрын
Nyau wewe
@homeandaway2811
@homeandaway2811 15 күн бұрын
NYOOOOOOO 😂😂😂😂 ETI SENIOR PUNDIT TANZANIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA 😅
@OmaryRajabu-g7r
@OmaryRajabu-g7r 15 күн бұрын
KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 17 күн бұрын
Kweli baba❤❤❤
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 16 күн бұрын
Hahahaaa Mzungu bhana 😀
@sophiaallyhussen7659
@sophiaallyhussen7659 17 күн бұрын
Uliyo yapngea yamenigusa sana sana ila wasamehe hao wasiyo kua nahofu ya mungu Mimi ni mshabiki Yako kindaki ndaki naenda unavyo jiamini
@DianaDeograthias
@DianaDeograthias 17 күн бұрын
Umesahau kuwa majuzi tu ulitumia ualbino kulinyanyapaa jeshi letu la magereza alafu sio ukifanya janbo mpaka utangaze so vizuri bro
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 15 күн бұрын
Hapo sasa ndo ukubwa ,huo sio mambo ya kitoto
@binamutawa9637
@binamutawa9637 8 күн бұрын
Wanafanya makosa makubwa sana tena Mimi napenda sana mwanamke mwenye uarbino tena najikuta tu nawapenda
@carolinecaroline-rs7pr
@carolinecaroline-rs7pr 16 күн бұрын
Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki
@OmaryRajabu-g7r
@OmaryRajabu-g7r 15 күн бұрын
INSHAALAH JEMADARI KWA UZALILISHAJI HUU UTAZAA MLEMVU WA AINA YEYOTE ILI UMNYANYASE ALIE KUUMBA WEWE NDIE MUUMBA WA MANARA,,,,JIONE UMEJIUMBA
@mansoursiulapwa8624
@mansoursiulapwa8624 15 күн бұрын
Mtu hajisifii wee mzee.. huwa anasifiwa
@ToivoJase
@ToivoJase 17 күн бұрын
Bwege ww
@allyslim7774
@allyslim7774 16 күн бұрын
Anazingua bhana ajieshimu jemedal kafanyejetena
@ShamsiMbago-n2q
@ShamsiMbago-n2q 17 күн бұрын
Upo saiii
@kakore_jr
@kakore_jr 17 күн бұрын
UTASEMWA SANA NA MAPUNGUFU YAKO
@JumaNyumba-m7y
@JumaNyumba-m7y 17 күн бұрын
Wewe mwenyewe una matatizo matupu na dharau juzi tu hapa umetoka kuwashambulia askari magereza demit
@OsmaniSiame
@OsmaniSiame 17 күн бұрын
Wejamaa unajua sana pia akiri niyaviwango vyajuu sana
@kilalak2932
@kilalak2932 17 күн бұрын
Kweli bwana Haji Manara hakuna anayekuweza kwa uchambuzi na kujua story nyingi sanaaa wakuache hao wanaokubeza tena Wakome
@husseinngala7503
@husseinngala7503 13 күн бұрын
Sasa Kwa hili kaka Niko nyuma yako
@kwisa4899
@kwisa4899 17 күн бұрын
Kwanza anajisikiaga sana
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 16 күн бұрын
Huyu kila siku anaonewa yeye bila kusahau hata Yeye domo lake chafu anabwabwaja sana.
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 12 күн бұрын
Kama hujafa hujaumbika , na hakuna aliyetimia katika dunia hii tuache lugha chafu.
@godfreykarigo6404
@godfreykarigo6404 14 күн бұрын
Kampendelea kabisa kamwita kwa kiingeleza 😂 huyo ni zeruzeru au mlemavu wa ngozi
@abdulahmanmahalufu9524
@abdulahmanmahalufu9524 17 күн бұрын
Maadui unawatafuta mwenyewe we kenge
@mahmoudmihanjamu669
@mahmoudmihanjamu669 17 күн бұрын
What a sad story
@SaybathKassim
@SaybathKassim 18 күн бұрын
Ndo upunguze mdomo sasa😊😊
@AllyMbuma-c6y
@AllyMbuma-c6y 18 күн бұрын
😂😂😂😂kamdomo kana mponza!!!
@abdullaothman5728
@abdullaothman5728 17 күн бұрын
apunguze mdomo kuhusu nini
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 17 күн бұрын
Manara ana nuka mdomoo
@Jehhus_06
@Jehhus_06 4 күн бұрын
Gombea ubunge achana na michezo haina heshima
@ashaali7154
@ashaali7154 17 күн бұрын
Hao wanaokutukana Mungu atawapa mafungu yao wewe waache tu Hajji
@khalidallynganzojr1676
@khalidallynganzojr1676 17 күн бұрын
Maa Shaa Allah. Maneno yako yametufikia
@salumnassor9330
@salumnassor9330 17 күн бұрын
Huyu mshkaji kwa kweli kuna kitu anahitaji kitu katika jamiiii
@richardpembe606
@richardpembe606 17 күн бұрын
Jemedali hajielewagi kabisa, Kaka Haji wali usisumbuke kugombana nae, kwanza unamzidi mbali mno
@sharulchenja2167
@sharulchenja2167 17 күн бұрын
Kila kitu uko sawa Haji ila kwenye uchambuzi hapanaaa; Ali kamwe humuwezi hata kidogo lakini kwenye uchambuzi..(ukongwe siyo kujua sana bro)📌
@AminaMsimbe
@AminaMsimbe 17 күн бұрын
Madunduka Wana kuchukia kisa umetoka kwao hata Hilo jemedari saidi pia ni dunduka
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 17 күн бұрын
Wewe huishiwi maneno, kwenye mkutano wa CCM hukupewa nafasi ya kuongea. Sasa umepata nafasi tumia Manara TV. uongee.
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 17 күн бұрын
Sawa hajji tusamehe mm nisamehe
@IdrisKabenza
@IdrisKabenza 17 күн бұрын
Hamna kitu kabisa
@nasseralshaibani6995
@nasseralshaibani6995 17 күн бұрын
Haji punguza uwongo na properganda.
@BarakaElieza-b4p
@BarakaElieza-b4p 17 күн бұрын
Leo umeongea kwa unyenyekevu sana hongera haji
@ahmedhussein-p6l
@ahmedhussein-p6l 17 күн бұрын
kaka elimu ndio tatizo tanzania..
@rickierunyota3613
@rickierunyota3613 17 күн бұрын
Uyu akishkwa pazuri anakimbilia uko
@salumnassor9330
@salumnassor9330 17 күн бұрын
Ndio maaa yuko calm leo nakujifanya ananyanyapaliwa anataka kuingia bungeni
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 17 күн бұрын
Huyu jamaaa bila yanga jumpa nafasi itakuw ngumu sana Hersi hebu mpe hio nafasi ulioisema
@AllyBopa
@AllyBopa 17 күн бұрын
Kwa sasa hiv chale ni wew kaka unachekesh2 sasa hiv ulivyo kua simba yang walikua wanakusema kwahiyo langi yako ila ujawai sema hayo maneno kuna ki2
@maarufumustwapha3055
@maarufumustwapha3055 17 күн бұрын
Manara ni mnafqi namba moja.kqma ni enzi za mtume ..i abu jahli
@songombingo108
@songombingo108 17 күн бұрын
Kumamakooo. Amekufanyia wapi Unafiki😂
@kakore_jr
@kakore_jr 17 күн бұрын
SIO MNAFIKI NI LINAFIKI LIKUBWA NA
@annajohn2488
@annajohn2488 17 күн бұрын
Uyu chizi vipi
@carloshernandezvalda2136
@carloshernandezvalda2136 17 күн бұрын
Yanga ikifugwa utaleta habar ilikua hazipo
@abasmwika3432
@abasmwika3432 17 күн бұрын
Shida kubwa uliyokua nayo Mzee ni huna adabu
@barakasaimon860
@barakasaimon860 17 күн бұрын
Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE
@NsabiKizengi
@NsabiKizengi 17 күн бұрын
Ungetuliza mdomo ungeonekana wa maana sana na ukaendelea kumuomba Mungu wako
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 16 күн бұрын
Kwani kuna mtu anapenda kilema huyo ni mshenzi kabla hujafa hujaumbika
@afropatriot7769
@afropatriot7769 16 күн бұрын
Unachokozaga watu wakikujibu unakimbilia kusingizia hali yako
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 17 күн бұрын
Haji Manara, unapenda kutafuta kiki. Nakuomba mpigie magoti Eng, Hersi, akurudishe kwenye mstari. maana umepotea.
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 17 күн бұрын
Nikiangaliaga mate ya manara humo pemben yalivyomazito halafu zai anampa kiss aiseee mtihan wallah sikunyanyapai ila punguza ka mdomo
@janethrwambali2782
@janethrwambali2782 17 күн бұрын
Unachosema ni kweli huyo Dada mjingaaa kabisaa huo mdomo wake daaaah
@SimbaHaji-jm7md
@SimbaHaji-jm7md 17 күн бұрын
Unadhani hicho ulichosema sio unyanyapaa, kama hujampenda mtu kaa kimya tu dada, ukute unatoka kimapenzi na mtu duni kuliko haji..mshukuru mungu tu
@danielmwakapila2231
@danielmwakapila2231 17 күн бұрын
Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.
@HamzaMduda
@HamzaMduda 17 күн бұрын
Wewe ndiyo una akili mshenz mkubwa ww
@Japanese-lz1or
@Japanese-lz1or 16 күн бұрын
Kumbe ww hujielewi
@EdsonyMashaka
@EdsonyMashaka 17 күн бұрын
ila manara kwenye kuongea uwa unapangilia maneno
@ChristianLimo-k8t
@ChristianLimo-k8t 17 күн бұрын
Umesha zeeka achamambo ya kuropoka
@SwadakatYusuph
@SwadakatYusuph 16 күн бұрын
Wambie ukweli hao wanaopingana namungu kama wanauwezo wakuumba mwanadamu waumbe binadamu tuone
@kelvinmasungakilunguja7539
@kelvinmasungakilunguja7539 17 күн бұрын
MUNGU atawalipa
@JosephJackson-f1s
@JosephJackson-f1s 17 күн бұрын
Yanga wangepita usingeongea kwa heshima hivo c tunakujua
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 17 күн бұрын
Wewe zeruzeru, funga mdomo wako. Tumekuchoka, huna jipya
@DhahiriHamisi
@DhahiriHamisi 17 күн бұрын
Ww umuez jemedali. Jemedali kachza mpaka ligi kuu ww ulichez wapi
@janethrwambali2782
@janethrwambali2782 17 күн бұрын
Eti na wanawake wanampenda jamani huyu arubinooo ni shidaaa Tanzania
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 17 күн бұрын
Hii ni mitihani ya kawaida hasa kwa hii sehemu ulonayo kuwa na subra na uvumilivu ni vitu vya kawaida
@kakore_jr
@kakore_jr 17 күн бұрын
😂😂ZERU×2
@annajohn2488
@annajohn2488 17 күн бұрын
Hili linafki sana
@annajohn2488
@annajohn2488 17 күн бұрын
Dah uyu HERSI AMPE HATA UONGOZI WAKUCHUNGA NGUO ZA WACHEZAJI NA VIATU😢
@AgnesJohn-f1r
@AgnesJohn-f1r 15 күн бұрын
😂😂😂 kwa kweli
@NkundweMwakyangwe
@NkundweMwakyangwe 17 күн бұрын
😂😂 na wewe bhana ........ushaanza kuzeeka
@stanslausmwengwa5288
@stanslausmwengwa5288 15 күн бұрын
Wewe mwenyewe punguza mdomo na kudharau watu. Ona sasa unavyolialia wakati wewe mwenyewe kutwa kudharau binadamu wenzako. Punguza KAMDOMO.
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 17 күн бұрын
Ukiona msabiki anadhihaki mtu kwa uonekenaji wake huyo hayuko sawa kwani Mungu ametuumba kwa ukilema tofauti tofauti sematu, ukilema mwingine hauko hadharani , Pole HAJI
@princesaha3262
@princesaha3262 17 күн бұрын
Lini kakudhihaki??
@agnesmussa7061
@agnesmussa7061 17 күн бұрын
Ivi askali magereza naye n mfungwa? Mzee usitumie jiheshimu uheshimiwe.
@DaudMakoyejr
@DaudMakoyejr 17 күн бұрын
Baada ya yanga kutolewa ndo unajifanya kuongea udhaifu
@ZakiaHamoo
@ZakiaHamoo 17 күн бұрын
Bugatti waambie ukweri baba waache ukolo
@mbwizax87
@mbwizax87 17 күн бұрын
Upunguze dharau pia hakuna mtu atakudharau
@HajiMaliki-y6o
@HajiMaliki-y6o 17 күн бұрын
Punguza mdomo sasa
@HassanSalum-w5v
@HassanSalum-w5v 17 күн бұрын
Wewe mwenyewe unawadharau watu kwa sababu wamezaliwa vijijini nyamaza wewe unaomba msaada
@bravosenior2387
@bravosenior2387 17 күн бұрын
We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 17 күн бұрын
Tulijua utafika uko saa gapi kakwambia wew alubino unatafuta uluma kwa watu
@josephatlaban3602
@josephatlaban3602 17 күн бұрын
Ndugu YANGU Haji watu tukuelewe na hili wengi waelewe usemwe kama Haji sio Hali yako ni kosa kubwa sana na ni chukizo kwa muumba
@majaliwaandulile8379
@majaliwaandulile8379 17 күн бұрын
Mimi sijawahi kuona albino ata kama anabusala awe mpole wana pwampwa haooo mda wote wanaona wanaonewa
@ShakiruWakili-kx8ef
@ShakiruWakili-kx8ef 17 күн бұрын
Mbona ww ulitukana askar magereza na ukawakashfu mbele y jamii acha ufala shwain
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 16 күн бұрын
Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.
@sheikhanRashid-ch8yq
@sheikhanRashid-ch8yq 17 күн бұрын
Mtu hawez kukutukana Bure pacpo sabbu
@GraceWilliam-d1w
@GraceWilliam-d1w 17 күн бұрын
We ni msemaji sio mchambuzi acha sifa zako bhana
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 17 күн бұрын
Manara ananuka mdomooo
@yahyamalolo3202
@yahyamalolo3202 17 күн бұрын
Umepoteza thawabu ambazo ungepata kwa kuwasaidia watoto wale ila sasa umetangaza
MANARA AMJIA JUU BABALEVO "KUNIFANANISHA NAE NI KUNITUKANA"
2:09
Wasafi Media
Рет қаралды 232 М.
CHA 2000  Full movie  STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE
1:18:57