Imetulia maneno yahekima sama mombba uyo Asumani momba
@fredricketabale93774 жыл бұрын
Na sisi tulio Hai mchango wetu kwa Dunia utakuwa nini
@phakundigervas13603 жыл бұрын
Where hiyo ndo Sanaa wa 57 anaimba kama mtoto wa la tatu.RIP great men
@digitalworld55775 жыл бұрын
Leo nilijikuta nauimba huo wimbo, nikaona ni vyema niingie youtube niutafute... Utunzi mzuri sana wa marehemu Othman Momba kwa mkewe Lucy Bandawe. Wakubwa wetu hawa wametutangulia na kutuachia hazina ya tungo zilizotukuka...Mwenyezi Mungu awarehemu na awape pumziko lenye faraja.
@richardmagaka95254 жыл бұрын
Dah ama kweli hawa ndo watunzi na wanamziki wa kweli ama kweli ni hazina kubwa tuliyoachiwa ya burudani
@hassankidawa14103 жыл бұрын
Kwa kwl INA nikumbusha MBL kwel luc bandaw kwake momba by bady Bruc tanga
@benansormajinge7793 жыл бұрын
Mola rudisha hii dunia
@gabrielmtaturu5163 Жыл бұрын
Nawakubali sana wazee hawa
@kokombwana86255 жыл бұрын
Namkumbuka kaka Omari Simba Kinyamiti wa Chimbuchimbu Porter's enzi za uhai wake. Rip
@charlesmerengo34903 жыл бұрын
Eeh! Mwenyezi Mungu, ungewachukua tu hawa wasanii Wa kizazi kipya, halafu ukaturejeshea wanamuziki wetu wazuri.
@georgengakunga84195 жыл бұрын
Moja ya album bora kabisa kuwahi kutokea kilio cha mtu mzima
@papsonali37396 жыл бұрын
Yeah ilikuwa na haitotokea tena ..walifanya yao wakapita let them rest in peace
@njaleemmanueli23828 жыл бұрын
ninapenda mizki ya msondo mungu walaze mahala pema waliotangulia ila sms zao bado zinapeta
@mzuvendi7 жыл бұрын
Umetulia Tuliiii! Maneno yenye hekima!
@wiliamntigoza79157 жыл бұрын
pengo la Hawa watu hakika halitazibika.
@sarahkolokoni64815 жыл бұрын
Mambo
@chimgegengaliyaya38836 жыл бұрын
Lucy bandawe nipeleke Nyasa
@ahmadkhamis23267 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo za msondo haswa wimbo wa bahati Lucy.bandawe.na.mzim wosia baba na nyinginezo we acha wanifikisha mbali enzi zetu duu
@edinamtote69634 жыл бұрын
Kitambo sana
@anthonygodfrey56038 жыл бұрын
kweli mziki ulikuwa zamani
@gwisumahona78138 жыл бұрын
wonderful songs,
@adampeter47937 жыл бұрын
ngoma nzuri sana, unacheza hautoi jasho
@najimnyanza86068 жыл бұрын
what a combination rest in peace moshi
@mikesample59547 жыл бұрын
msondo Ngoma fantastic
@aidanimhatu24176 жыл бұрын
MSONDO SMS ZENU ZINATESA ZIKOJUU
@machakoreyson82805 жыл бұрын
Safi sana! Mida ile ya sa nne usiku upo mahala tulivu na kinywaji chako! Za watu wazima hizo. Ujumbe tupu!!.
@peterbayo46775 жыл бұрын
Amazing music combination and vocal too!
@abuathumani19556 жыл бұрын
Wanamziki Walikuwepozamani Sasahivikuna Wasani
@sofiambaga99116 жыл бұрын
Vyedi vya Tonga hale jamannnnn
@anthonynyanduga61286 жыл бұрын
wazee HAWA walikua makini sikuhizi wamebobea mapenzi nyimbo zao hazina maudhui hazionyi jamii zinawahi kuchuja
@ramadhanisemboga83265 жыл бұрын
pendasana hizinyimbo
@bensonmsuya56145 жыл бұрын
Hakika
@dingomaster15 жыл бұрын
Msondo Ngoma baba ya muziki
@yakubuathumani60107 жыл бұрын
wap Rabana
@zuhuraally14146 жыл бұрын
wimbo nzr xana
@zachariangassa41895 жыл бұрын
Kiukweli nakumbuka mbali sana miak 22/iliyopita nikam nalejerea vile
@mausant2000 Жыл бұрын
3:26
@sagengejagadi23568 жыл бұрын
very interested song
@njaleemmanueli23828 жыл бұрын
munga awalaze mahala pema peponi
@khamismakame36456 жыл бұрын
mambo tote hadharani si mnaona
@florakweyunga8786 жыл бұрын
saaafiiii...... msondo ngoma jamani.mm napenda nyimbo zote za msondo.kweli zamani walikuwepo wasanii na watunzi,siku hizi,,..... mmmh.......( )
@williardkinabo68276 жыл бұрын
Napenda sn wimbo lus bandawe jamani!
@IbraSuleiman-d5f Жыл бұрын
Leo ckiliza msondo fake ya Hassani Moshi wazee wa nyagi