Hatari Sana mzee naangalia 2020 now tar 5 mwezi wa kwanza
@unclesaleh32574 жыл бұрын
R.I.P Wapendwa wetu, Mwenyezi Mungu awapunguzie adhabu za kabuli.
@henrychaula11744 жыл бұрын
Usichezee chuma cha moto mtoto utaungua, nimevuka maji ya shingo lakini mgongo haukulowa ha ha haa TX MOSHI, GURUMO, MBWEMBWE RIP. Seleman Mwanyiro na Mabela asante baba zangu shikamooni!
@hajimsekeni69 Жыл бұрын
Yaaani maji ya shingo mgongo haukuloa hili Nene zito kweli kweli😂😂😂
@zakariahassan82232 жыл бұрын
Good song from Tanzania
@maganaden47294 жыл бұрын
Msondo ngoma hapo kuna mwanyiro, moshi wiliam bila kumsahau Saidi Mabera
@kudramzee14756 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo za kusikiliza r. I. p
@neemafurahisha57428 жыл бұрын
hizi ndio nyimbo za maadili bhana
@yakobjongo39738 жыл бұрын
imetulia hongera kwa kazi nzito
@bryuronu48589 жыл бұрын
Hawa jamaa walikua mwishoo bwana..daa full burudani..chuma chikoli moto..
@pabliz_6 жыл бұрын
Masauti hatarii bila ya auto tune muziki wa ukweli muziki huu sijui kama tutaupata tena...
@athumanmilanzi57417 жыл бұрын
ni nyimbo za mafundisho na kufuraisha akunaga
@balozimchomvu77796 жыл бұрын
Mwanyiro
@kingkibedui50913 жыл бұрын
2020 na watch
@zakariahassan82232 жыл бұрын
R I p all singers
@msuyawamsuya9003 жыл бұрын
Dah!! Utunzi wa Suleiman Mwanyiro "Computer" ukiwa dongo Kwa Twanga Pepeta....
@athmanimkangara92902 жыл бұрын
Daaah!! Nilikuwa cjui nilidhani donge kwa sikinde watani zao twanga waliingiaje hapo?
@aminimpeta78157 жыл бұрын
Do hii khatari hapo mpaka kiama aitokei tena
@charleswerema88489 жыл бұрын
Imetulia
@khalfanmakota39052 жыл бұрын
Yan hii ngoma jaman wap mahina na Hassan rehani
@martinkwingwa5478 жыл бұрын
Zinapunguza stress.
@benniefuko28229 жыл бұрын
cha kale dhahabu
@gabbymajinji43476 жыл бұрын
ilikuwa kiboko hakuna tena
@engr.fadhilnguzo2369 жыл бұрын
Nimeikubali....
@khalifakajuna65345 жыл бұрын
nice song
@davidahobokile55684 жыл бұрын
Usinichezeee chumaaa cha motooo haaahaaa
@emmanuelshaban61424 жыл бұрын
Daaaah!, R.I.P mziki wenye burudani, tunaumiss sana, bado unahit
@mikidadilifumike2399 жыл бұрын
Iko poa
@mshikejuma80283 жыл бұрын
Eeh! Hiyo ndio baba ya ngoma, kila mtu anaitendea haki idara yake, hata kama si mpenzi wa muziki utawapenda tu, Mola Awaghufirie walioko barzaq, waliwahudumia waja Wake maskin!