Hiki ni kisa cha kweli kabisa huyu alie imbwa hapo Anaitwa masunga alikua anaishi kipawa na mumewe. Waliachana na masunga akawa mlevi sana ikawa kila jumamosi anaenda pale Amana walipo kuwa wanapiga msondo. Ndo alipo onana moshi na kumpa stor ya maisha yake. Na moshi akaimba hii nyimbo. Lakini ilipofika mwaka 2005 Masunga alifaliki dunia kwa maradhi ya moyo
@antipasmgungusi195329 күн бұрын
Kwakifupi, huu ni muziki
@salviowikesi89247 жыл бұрын
Joseph Maina TX Moshi William Othman Momba Seleman Mbwembwe Muhidin Gurumo... Dah.. RIP
@dadimilingatwe36335 ай бұрын
Nyimbo yenye funzo sana
@salehekasimu3696 жыл бұрын
Hakuna kama Tx mungu akulaze pema peponi.
@thabitingulungu10624 жыл бұрын
Daima tutawakumbuka magwiji nyie daaah, RIP
@husseinmgaya37917 жыл бұрын
mimi mdogo wangu aliolewa kwenye familia kama hio, hadi wamemuua. rest in peace. lkn mungu analipa.
Nibora wangeondoka wasanini 100 wa ss wabaki Hawa waliotangulia mbele ya haki R. I. P wote
@louser94735 жыл бұрын
🏃🏻🏃🏻😂
@mkelleham31024 жыл бұрын
Kweli tupu
@isihakanungu15423 жыл бұрын
Hatareee
@rabyawaziri692 Жыл бұрын
Sauti ya moshi mungu amweke peponi
@andreaa.nyundo83335 жыл бұрын
Hasa Maneno ya fitina ya ndugu ni hatari sana
@birabwabetty9785 жыл бұрын
wimbo mtamu huuu du!
@zuhuraally14146 жыл бұрын
kaz nzur ya wakongwe wetu
@nelsonedward93795 жыл бұрын
Huyo ndiyo Moshi William Tx
@msonobarizakaria1004 жыл бұрын
Tuta wakumbuka daima🙏🙏
@duniamchalomchalo3935 Жыл бұрын
Tutawakumbuka daima🎉
@phakundigervas13604 жыл бұрын
Umri miaka 56 wastani, sauti zao umri wa mabinti wa umri wa miaka 16 . Mungu huumba, waja hujitoa kuwajibika. Pumzikeni Wazee ss tunabaki na inge...........aargh!
@ahmadmasunda81985 жыл бұрын
IMEKAA SAWA
@andreaa.nyundo83335 жыл бұрын
Hakika tx alitunga nyimbo vizuri sana
@diegolukas30123 жыл бұрын
I guess Im randomly asking but does someone know of a tool to log back into an Instagram account?? I was stupid lost my login password. I would appreciate any tricks you can give me!
@julienariel1873 жыл бұрын
@Diego Lukas Instablaster :)
@diegolukas30123 жыл бұрын
@Julien Ariel Thanks so much for your reply. I found the site thru google and Im in the hacking process now. Seems to take a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
@diegolukas30123 жыл бұрын
@Julien Ariel it did the trick and I now got access to my account again. I am so happy! Thank you so much you saved my account!
@julienariel1873 жыл бұрын
@Diego Lukas glad I could help :)
@solomonabdul58157 жыл бұрын
Hichi kitu kimenigusa sana kwani yashanikuta hayo
@unclesaleh32573 жыл бұрын
Nakumbuka kipindi hicho kulikuwa na mpambano wa Msondo na Sikinde wee acha kabisa Sikinde walibeba magitaa yao na kuondoka.