Prof Kabudi anafaz sana kuwa mshauri wa Rais kuliko waziri
@leonardinnocent96382 ай бұрын
Kazi.........
@ZawadyKaoneka2 ай бұрын
Mtabadirisha sana
@BrianPrudenceOngera2 ай бұрын
Be comfortable for what you deserve thanks you so much 🙏🙏
@fxmeddy95672 ай бұрын
Hehehe team Magu hio
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
mmm muhagama kapuyanga tu 😂😂
@jumaahagu47642 ай бұрын
Uchawa ukizidi sana bila vitendo ila hiyo timu magufuli upinzani jipangeni kimafia maana tageti mbinu ya magufuli kuiba kura hapo usichangae sabaya akala chavu hivyo Lissu awe makiini na mungu amlinde
@MsumalAloyce2 ай бұрын
Kwa muhagama ,amepuyanga kwel,Yan Umi niwakuweka nje,sasahv pangua pangua nikila wiki ,duuuuuuhh
@bbclondonulimwenguwasoka61262 ай бұрын
Lukuvi na Kabudi ni watu wa kazi sana na wameisha starabika sana, sikama vijana
@danielmgonja99062 ай бұрын
Ulikuwa wap siku zote Mama. Hivi vyuma tulivimiss
@Christophermagesa19852 ай бұрын
Na bado nasema baado kabixaaaa,,,
@Fundi123452 ай бұрын
Lukivi mogogoro ya alithi mbaka sasa angekuwa amesha maliza ulikuwa mzuri sana
@SalmaHemed-x3i2 ай бұрын
Ummy mwalimu ni mchapakazi na muadilifu Kisha anamjua mungu, kwani kakosea wapi jamani
@ananiamwatebela31592 ай бұрын
Kwel nchi imechannya Sasa daa ko ummy kwishi nei
@jumaradhomary85912 ай бұрын
Weka maoni yako hapa
@nunumrisho65482 ай бұрын
Kuchambaxsana ? Hapo Kwa Ummy Mwalim amechemsha
@FredrickMatiku-xf2uk2 ай бұрын
Mbona sijasikia jina langu kwenye mkeka wa mama
@OriginalSource12 ай бұрын
Kwani wewe ni nani au kutakuwa wewe ni nape nnauye😂😂
@emmyandrew86702 ай бұрын
Namtaka odo ummy
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Ummy kuna mahari ameboronga kwenye afya
@Veni5842 ай бұрын
Unabii wa Rolinga hata wino haujakauka
@godfreymbwambo44602 ай бұрын
CHANA SI ALISHAKUWA WAZIRI WA UTALII? AMERUDISHWA TENA HUKO?
@godfreysakumi68262 ай бұрын
Hivi hakuna vijana wanaozalishwa kwenye uongozi kila siku wazee tu
@CuthbertMbinda2 ай бұрын
Mbona Mimi jina langu cjaliskia
@Rahima-kv6mn2 ай бұрын
Litatajwa subiri darasa la Saba wafanye mtihani majibu yakitoka basi nawe utabandikwa umo 😂😂😂😂😂😂 kuwa na subra tu 😜🤸
@EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын
Mbona Makonda ameachwa ?
@ramadhanwilbard81962 ай бұрын
Hawa ni Mawaziri chanzo chao ni Wabunge na Makonda sio Mbunge wapi na wapi na Uwaziri labda agombee ashinde hapo anaweza kupata nafasi hizo!
@revenstar2 ай бұрын
Kumekucha 😂
@JuhudiJotham2 ай бұрын
Pangua wote
@MaulidAbdullah-nw9wu2 ай бұрын
Kiukweli lukuvi sikupendagi kabisa hufai
@nicksonmbelwa11642 ай бұрын
Wewe mzanzibar😂😂
@sonnyr18992 ай бұрын
We ukimchukiwa watanzania wanampenda
@kwisa48992 ай бұрын
Nikweli kwa wasio mjua huyu mtu ni tajiri kutisha
@haggaiandagile62322 ай бұрын
Huyu ndi mwanzo wa marekebisho pale Wizara ya Ardhi ni mtendaji, sasa unaweza lipia kiwanja chako kwa mtandao unafikiri nani kafanya