voice wap mungu bariki vyombo vyote vya tz vyausafilishaji halari jaliya vituletee mafanikio wachunge waendeshaji wote amina
@salminasalim56306 жыл бұрын
MMungu akubariki na ambariki mama Ilangwa Shahidi alie kuzaa akakulea na kukusomesha vizuri ukaja tusaidia watanzania inshallah
@saumuhassan13656 жыл бұрын
*YAJAYO YANAFURAISHA* Mshallah, hongera sana Rais wetu.
@elizabethmwakalinga32876 жыл бұрын
Hongera sana rubani, Mungu akubariki sana.
@abellabv6 жыл бұрын
Hongera sana. Captain umenikumbusha mbaliii. Sasa niwe serious kuwatafuta ndugu zangu wa Arusha na Mwanza. Ngoja nikachungulie kibubu changu. 😊
@lordcamau6 жыл бұрын
We, Kenya, got our first Boeing 787 Dreamliner back in 2014 and now we have 8 of them. #KenyaAIRWAYS #ThePrideOfAFRICA #ProudlyKenyan
@Ambagaye Жыл бұрын
so?
@shindapapaya91946 жыл бұрын
Shikamoooo JPM hapa kazi 2 💪 💪 ✊ ✊ chezea the Bulldozer wetu nyie 2020 uchaguzi ni WABUNGE na MADIWANI tu JPM tosha kabisaaa maana hakuna jinsi nyoosha Tanzania yetu twende baba hatuna muda wa kupoteza Tanzania yetu ilisha uzwa ilikua mikononi mwa Mafisadi na watu binafsi wezi wa mchana kweupe ila sasa Tanzania yetu ipo ndani ya serikali ya awamu ya 5 tena kwa usalama mkubwa
@Teksani6 жыл бұрын
shinda papaya kwa research iliyofanywa na world health organization, zaidi ya nusu ya wanawake wanao jifungua Tanzania hujifungua nyumbani. Ila tuna Boeing 787 hapa kazi tu ✊️ cha muhimu ni ndege kwanza alafu hayo mengine baadae.
@joachimisack58346 жыл бұрын
Hongera Magu for the good flight
@mutomubaya5 жыл бұрын
Shukurani sana watangazaji na watayarishaji wa kipindi hicho. Hakika baadhi yetu tumefaidika sana. Lakini Shukuran za ziada heri zipelekewe Rubani Captain Richard, kwa kutuelimisha kuhusu chombo hicho cha kisasa, kwa njia nzuri ya kupendeza. Na Nawanasihi Waalimu wote waige mfano mwema wa kufundisha mambo makubwa, [ kama hayo ya uendeshaji wa vyombo vinavyohitaji hali ya juu ya taaluma za kiufundi ], kwa njia nyepesi.
@ramosyhy966 жыл бұрын
Hata Emirates na ukubwa wao bado hatuna but we've made some orders coz we removed the airbus A320's and A320's in our fleet before the year ends we'll have 40 of them in our fleet of Boeing
@jogoomohamed26526 ай бұрын
Huyu bonge la rubani.Wallah ukipanda ndege rubani akiwa mr Richard unafeel happy sana.Usikii mtikisiko wala tatizo lolote.Hata kwenye landing wallah usikiii chochote,utaona ghafla umetua.Mwenyezi Mungu akujalie bro.Richard
Ahhhhh! Si mngekula vichwa mkaja navyo!! Vya Nigeria, Misri , Israel , Ethiopia ,Kenya, then TZ
@zakaliasalumu27355 жыл бұрын
Ongela walipa kod bila nyinyi ndege ingetoka wapi?
@raskombo62476 жыл бұрын
Babie kabae alikua mweusi vizuri nashangaa ghafla kawa mweupe. Hivi wanaume wa kitanzania ndio hampendi wanawake weusi au vipi? Mbona kila mwanamke wa kitanzania anang'ang'ania kuwa mweupe?
@4a9tr-msigwa6 жыл бұрын
🍀 JE UNAFAHAMU SEHEM YA KUPATA TIBA YA MARADHI YA KUTOPATA CHOO.. SOMA HII🍀 Haya ni maradhi ambayo yamekithiri sana kwa binaadamu na kuweza kusababisha matatizo mbalimbali katika miili yetu. Wako baadhi ya watu wenye tatizo hili, wao hawapati choo vizuri, katika hao wapo ambao hawapati choo Ila baada ya siku tatu nne hata wiki na wengine hupata choo mfano wa kilicho choo cha mbuzi. Haya ni maradhi , tena ni maradhi hatari sana kwa wanaume na hata pia wanawake. 🍃Maradhi haya yakimtokea mwanaume humletea :::----- 👉Gesi tumboni 👉Vidonda tumbo 👉kumpotezea nguvu za kiume haraka 👉Bawasiri 🍃Vilevile maradhi haya yakimtokea mwanamke humsababishia :;;:;;------- 👉Chango 👉Vidonda vya tumbo 👉Gesi tumboni 👉kupoteza hamu ya tendo la ndoa 👉maumivu makali sana wakati wa tendo la ndoa 👉Bawasiri DAWA YA MTU ASIYEPATA CHOO WASILIANA NA TR MSIGWA O713 646691 OR 0752819047 Email: doctorymsigwa@gmail.com
@iddmulenga56625 жыл бұрын
Kwa yote hayo ni kweli nchi yetu imepata bahati kubwa sana lkn pia swala zima gharama za tiketi zao kwa sasa cyo rafiki sana kwa mfano kutoka Mbeya to Dar es salaam kwa ajili ya kusafiri Juma tatu nimeambiwa 600000/=kitu hicho tutakua bado tupo nyuma sana maana yake itakua usafiri wa ndege ni kama starehe wakati Tanzania ya leo haipo hivyo inasikitisha mno
@hajimnubi45816 жыл бұрын
Baby na hassan shughulikieni issue ya sauti,hivi mnakwama wapi kwenye hilo? Yani mpaka tumwambie kussaga au ruge,mbona kama liko mwikononi mwenu hilo!jiongezeni bwana
@montesor69603 жыл бұрын
Samahani nichuo gani kzri kwa kufuzu kwa urubani
@nasrahussein84086 жыл бұрын
Jmn mm cku ya kupanda ngege nitafurahi sana
@ktravel35276 жыл бұрын
Nasra Hussein in the name of hustle, dream come true
@husnauthman76096 жыл бұрын
Ucjal utapanda tuu
@ismailyusuph7406 жыл бұрын
IN SHAA ALLAH ‘ utapanda na hautaamini..wote tuliopanda mwanzo hatujaamini..Lkn Sasa nishapanda kama mara Arobaini na bado naendelea kusafiri..!...Uskonde bi dada..!💣💥
@hajikhatib88406 жыл бұрын
InshaAllah utaipanda lakin looh !!! dada yng usafiri wa ndege hatar Zaid ya unavyofikiria...ilaa ajal popote omba dua tuu na pigania ndoto zako
@zakatonda6 жыл бұрын
Nasra Hussein jamani umenifurahisha sana. Tukuunge mkono. Kama unasoma weka bidii, ukiajiriwa unaweza kupata kazi itakayokuwezesha kusafiri kwa gharama zao kulingana na kaz yenyewe. Au uwe na biashara ya kusafirisha mfano kusafirisha maua n.k
@ababuumwana51025 жыл бұрын
Air Tanzania yetu
@husnauthman76096 жыл бұрын
Safiiii
@TheSalma19996 жыл бұрын
Wow
@jumamakuri91766 жыл бұрын
Dada umependeza!!
@henryndosi85696 жыл бұрын
JPM,,, ERA
@monicaashery16 жыл бұрын
Thumbs down za nini negative folks?
@mustaphyassin53206 жыл бұрын
Kusanga anamiliki wasafi tv sio clouds tena alishaiuza hii ni mali ya rosta
@delmasmas13476 жыл бұрын
tons 90 kama liter ngapi..?? mi nacheka tuu ahahaha..
@juliusmaila45434 жыл бұрын
Je ni kweli litre moja ni sawa na kg moja?
@rwelamira6 жыл бұрын
Poor sound system
@amosbinmahona99476 жыл бұрын
Nakuombea siku moja usikike BBC kwenye dira ya dunia km zuhura yunus