PART 2 DR SULLE AGOMA KUVULIWA PETE YAKE NA MCH NDACHA VITA YA KIDINI NA MAJINI

  Рет қаралды 11,647

Bongo Touch

Bongo Touch

Күн бұрын

Пікірлер: 56
@Bennymwangaza
@Bennymwangaza 8 ай бұрын
Napenda sanaa combination ya Dr. Sulle na pastor ndacha
@JumaMohd-y4v
@JumaMohd-y4v 8 ай бұрын
Nimependa mohojiano yenu hongereni sana
@davidndaha9607
@davidndaha9607 8 ай бұрын
Nawakubali sana kujenga watu kwa hoja bila ugomvi kila mtu anavyoelewa Imani
@emmosilver6039
@emmosilver6039 8 ай бұрын
Hawa jamaa Bwana siku Moja mwenyezi MUNGU awakutanishe peponi.
@muhammadally393
@muhammadally393 8 ай бұрын
Dr Sule kweli wewe ni kidume wa Allah kwani japo walimwengu wanakusema wallahi umebaki kidete kuonyesha uko kwenye uhaki maa shaa Allah
@solomutua3875
@solomutua3875 8 ай бұрын
Ndacha si rahisi kumweza
@bushbabytz
@bushbabytz 8 ай бұрын
HAKUNA MTU ATAKAYE MUWEZA NDACHA...NDACHA NI SHIDA MNO...HUYO SULLE YAANI HAJUI LOLOTE
@nomar3708
@nomar3708 8 ай бұрын
Kwenda huko wazungu waliokuleteeni hiyo dini wanafunga ndoa za mashoga kanisani. Mumebaki nyie tu mnaamini upuuzi huo wa kanisa😂😂😂😂😂
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 8 ай бұрын
We kichwa maji kweli hivi hata kwa hiki ki clip kidogo sulle anavyojibu na ndacha anavyotapatapa we huon wallah nyie pepo labda ya babio
@JacobMaganga-re9ji
@JacobMaganga-re9ji 8 ай бұрын
​@@nomar3708hta waarabu walotuletea hii wanafanya ugaidi, kifupi dini zote tumeletewa na wale walotuletea sio watu wakuaminika
@fredducaunt
@fredducaunt 8 ай бұрын
​@@nomar3708 fala kweli wewe Waarabu waliokuletea dini kwa kugeuza babu zako watumwa ndo unawaona wa maana
@fredducaunt
@fredducaunt 8 ай бұрын
​@@nomar3708Bwege kweli Ukristu haujatoka kwa wazungu Bali kwa wayahudi Ukristu ni sect ya Kiyahudi Yesu ni Myahudi Mnazarethi sio mzungu Wazungu ni wapagani yaani atheist na freemasons Sasa wewe umekengeuka akili waarabu wanakuona nyani bwege wakageuza mababu zako watumwa unawaona wa maana kwa kukuletea karafuu na urojo na kanzu ovyo Kama hio dini yako inakugeuza akili zako kutamka pumba kama hizi basi sio dini Kama dini ya mwarabu inakugeuza kumgeuka mwafrika mwenzako basi bwege kweli hicho kichwa hamna kitu ndani ni upepo tu
@profs.a5412
@profs.a5412 8 ай бұрын
Pepo inauleviiii tenaaaa😂😂😂
@RamaJuma-i8j
@RamaJuma-i8j 8 ай бұрын
Jamani unatufundisha nn? Sisi ambao hatuna elimu kuhusu pete
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x 5 ай бұрын
Hii ya sule na Mwalimu Ndacha ni nzuri sana kushinda huyo shafii muoga Hana lolote
@apollorutamucero6971
@apollorutamucero6971 8 ай бұрын
Karibuni Bujumbura
@nomar3708
@nomar3708 8 ай бұрын
May Allah guide Ndacha
@MichelOmbaOKITO
@MichelOmbaOKITO 8 ай бұрын
MIMI SHEIKH OMBA KUTOKA CONGO TUNA FURAHA SANA HII CLIP
@ChiringaLwambi-mi7bz
@ChiringaLwambi-mi7bz 8 ай бұрын
Takbir Allah Akbar
@rachelmaina3476
@rachelmaina3476 8 ай бұрын
Ustadh utumie majini na Pete za kuzimu? Mkristu hana shake.Kuna wakristu wabaya lakini najivunia kua mkristu.
@BeriyaNirera
@BeriyaNirera 16 күн бұрын
Ndashaka mumbarize ijuru ryabaisiramu Riri hehe?
@HamisSaidnkayaka
@HamisSaidnkayaka 8 ай бұрын
tatzo la ndcha m bish lakn anajuwa dini ya kwer mbele mungu ni uslam
@bobnthia
@bobnthia 8 ай бұрын
Mtangazaji, weka kipasa sauti mahali pazuri.
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 ай бұрын
Makenzi aliwateketeza umati kweli walisema watateketea kwa kukosa maadili 😂😂
@jimmymatheka2697
@jimmymatheka2697 8 ай бұрын
Aah hapa umechanganya video ndugu
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 8 ай бұрын
Dah patamu hapo
@muhsinkimaro4283
@muhsinkimaro4283 8 ай бұрын
Naona sasa mjadala wa pete na majin umekuw mkubwa sasa unatubadilishia gia, tunashukur, tumtegemee Allah tu
@saiclassicofficial3138
@saiclassicofficial3138 3 ай бұрын
Afrika
@nasrihussein4293
@nasrihussein4293 8 ай бұрын
Dr sulle kwa elimu anaye sana
@michaelmbeti5040
@michaelmbeti5040 8 ай бұрын
Huwa hamjadili kufa mtume muhamadi na kuruani
@MinaniVincent
@MinaniVincent 8 ай бұрын
Hmuna Dibet bwana ni kipindi tu!
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 8 ай бұрын
Na wanawake
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 8 ай бұрын
Sure utasikia mikelele tu akipiga
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 8 ай бұрын
Mapete ya majini yaaninushirikina
@AmosyAbdallah
@AmosyAbdallah 8 ай бұрын
Nimependa umoja wenu.Mnapendana na mnaongea tu kwa hoja.Sisi wote ni ndugu dini zisitutenge.
@apostleelishamutafrancis4122
@apostleelishamutafrancis4122 3 ай бұрын
Mu😂😂😂😂😂😂
@bobnthia
@bobnthia 8 ай бұрын
Camera haitulii
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 8 ай бұрын
Hiv kwanini kila siku ni Tanzania na si kenya!!
@anordlaurent8751
@anordlaurent8751 8 ай бұрын
Kenya hakuna shekhe wakupambana nae😂
@aweisali1723
@aweisali1723 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwei kbs mm nipo kenya bro. Ila tanzania wapo mashekhe😅😅😅😅😅😅
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 8 ай бұрын
@@aweisali1723 kumbe ndio maana yuana ogopa kwenda kenya
@mwanafbii7
@mwanafbii7 8 ай бұрын
Sasa hamjui video editing jameni hapa mmechanganya video
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 8 ай бұрын
aya waislamu wabishi mmesikia torati,zaburi na injili ipo kwenye biblia sheigh wenu kakiri hapa !!!
@nomar3708
@nomar3708 8 ай бұрын
Biblia yenu imebadilishwa imetiwa upngo pia kwa ajili imeandikwa na binadamu wa kawaida anaitwa Paul, baada ya miaka mia tano baada ya yesu kufa. Na pia kuna biblia zaidi ya 63 na kuna maneno tofauti humo. Mungu hawezi kuwa mwandishi wa confusion. Yesu ni mtume , sio mungu jamani amkeni
@leonardadd
@leonardadd 8 ай бұрын
​@@nomar3708ilibalishwa wapi, na original iko wapi? Na ukijibu usisahau Quran imekuja nyuma ya bibilia
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 8 ай бұрын
@@nomar3708 hahaha uwamke wewe unaemuita mtume alieoa binti wa miaka 08 n mtume wamwenyezi Mungu !!!! umeamua kuikataa biblia ikatae koz hauna hushaidi wowote kwamba biblia imebadilishwa?? hii n vigezo vyakukataa kusoma torati na injiri , sis tumeshatimiza kuwaambia mmesikia injiri ilipo na hamkusadiki sasa hata hukumu ikitoka msijesema hamjaiona torati wala hamjaiona injili . kwasabb hakuna muislam ambaye anaweza thibitisha kwamba biblia imebadilishwa
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 8 ай бұрын
@@nomar3708 Quran s imendikwa na mwanadamu pia -? ninaijua hadithi ya ufunuo wa mtume wenu mohamad alivyobanwa nakiumbe hakujitambulisha n nani na pia alienda kuuliza kwa mchungaji ambaye kamwambie huyo n malaika gabriel jitabilie utume.je vipi kama mchungaji atakuwa amemdanganya ?? kwahy hakuna ushuhuda wamoja kwa moja kwamba Quran imetoka kwa Mungu. na kuhusu paulo na mitum wengine hii n kawaida Mungu kuwatumia watu kuandika ujumbe wake . na kuhusu contradiction unaziona kwasabb hauielewi biblia na unaisoma biblia ili uikosoe na si ujifunze kama umeona contradiction umeuliza watu wanaoifahamu biblia ?? kizuri kwamba injiri na torati imefunuliwa kwenu nyiny mme ikataa kwakusema kwamba imebadilishwa wakati Mungu hajasema hili sasa kikubwa mmesikia injiri kwakuwa hamkusadiki basi hy itakuwa n juu yenu nyinyi na hukumu ikipita itawachukulia kana kwamba n watu walioisikia injiri na torati na hamkusadiki
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 8 ай бұрын
@@nomar3708 na kuhusu version nani asiejua kwamba mnaversion tofauti tofauti za Quran ?? mkiulizwa swali mkishindwa kujibu mnaenda kutengeneza version nyengine . kwa mfano Quran ya zaman inasema mohamad alikuja kwaajili ya waarabu na nchi zinazozunguka ila ya sasa inasema amekuja kwa waarabu na nchi inayoizunguka nadunia nzima?? je unataka nikuonyeshe ushahidi ?? nikikuonyesha utaamini au utatafuta kitu chengine chaKUJITETEA?😀😀😀😀😀
@nasraalbusaidi2772
@nasraalbusaidi2772 8 ай бұрын
Naomba Telephone number ya DR. SULLE
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
NDACHA AWAHUBIRIA ALISHABABU MOTO UMEWAKA.
20:17
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 62 М.
UTACHEKA NDACHA /  YESU WA KENYA /  WAISLAMU
1:11:18
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 101 М.
MCH.NDACHA AMLIPUA PASTOR MACKENZIE NA NABII EZEKIEL
22:40
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 39 М.
SABABU ZA HARMONIZE KUSHUSHWA JUKWAANI MKUTANO WA CCM DODOMA
7:15
WEMA SEPETU ATAJA SABABU ZA KUKOSA MTOTO KANUMBA NA DIAMOND CHANZO
11:13
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН