Hongela Sana kwa kuyashinda majalibu Sana dada angu. Ujasili ulionao nimeupenda.
@mustaphareua23702 жыл бұрын
Leta habari .namba 4 pls
@gediucgedius86572 жыл бұрын
Duuh..!! Ukiona maharage yameiva basi Ujue mkaa umeteketea 🙌🙌🙌🙌
@visualservices88972 жыл бұрын
Waswahili bana if u know u know my friend
@RamadhaniBendera-sq5gt4 ай бұрын
Hahahahaha ujue vipimo viwili vya mkaa vimeisha
@lamayanaroimen38852 жыл бұрын
Hongera sana dada yangu
@ibrahimkalume52352 жыл бұрын
Napenda sana it's an interesting story na inainua sana, Naomba kama inawezekana kuwasiliana na Catherine sanga
@tumainmazengo9522 жыл бұрын
Huna baya na mtu mwalimu wangu hapa nilipo ni kwajuhudi zako natembea na mafunzo yako mungu akupe ukalimu huo huo uje uwasaidie na wenzangu wanaoanza nyuma yangu nakupenda na nakukumbuka sana♥️
@mwanaishamande88802 жыл бұрын
Shahidi
@merygodfrey37094 ай бұрын
Hao wasioamini kuwa mwanamke na mwanaume wanaweza lala kitanda kimoja bila kugusana ukitaka kuamino Ingia majeshini tunakaa darasa moja combania moja japo tukienda porini tunatengana mahema lakini hutasikia hata mtu mmoja ananyatia kwa wanawake wala wanawake kunyatia kwa wanaume.Hapo ni nidhamu ya mwili tu namna unavyouwelekeza.Ili ufanye jambo lazima lianzie akilini halafu moyoni.
@prettyh75092 жыл бұрын
Mungu akulinde dada
@khadijakadunda62332 жыл бұрын
Hongera Sana dada cat umeongea ukwel kabisa kwa sisi madereva wakike tumepitia magumu Sana ila tunawaomba wadogo zetu muwe Makin hivyo vitu vipo
@dannyhaibey12942 жыл бұрын
Nakuomba in box
@chochotekitu-hf6of4 ай бұрын
Pole sana dadaangu
@gsurasa63662 жыл бұрын
Pole sana
@advelaalex93892 жыл бұрын
Dah bonge la story big up dada japo nahisi kuna sehem unadanganya inamaana wote hakuna aliyefanikiwa
@kikorembajo20782 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@raissakwizera67882 жыл бұрын
😄😄😄 acha tusubiri part 4, tuskiye kama amekubali kusota mikumi ao amekubali kutowa mzigo
@barakakusa76062 жыл бұрын
Hapo tumepigwa na kitu kizito haiwezekani kwani yeye hakuwa na hamu.
@advelaalex93892 жыл бұрын
@@barakakusa7606 umeona eeh🤪
@PeterNyondo-p7k4 ай бұрын
Utam
@alfredkivuyo27392 жыл бұрын
Amaizing story broo
@trillhappybeautypoint98742 жыл бұрын
Jamaniii 😭
@salamaseif41832 жыл бұрын
Dada nimeipenda Sana iyo stori
@omarymwimba53622 жыл бұрын
Daaaah pambana Dada katika Maisha changamoto zipo
@abdulyjuma80832 жыл бұрын
Nimekubali
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana, dah! Unastahili tuzo kwakweli Dadaangu 😘
@majaliwakamala82162 жыл бұрын
Tuzo ya nn wewe?huyo kaliwa vzr sema ndo wanatafuta story na views wawe wengi ili wao wapige pesa haaaa haaaaaaaaaa
@mmasymerry12332 жыл бұрын
@@majaliwakamala8216 mh ukweli utabaki kuwaukweli unafkir niwote wanawaza kuliwa mh pole kaka wengine hatahisia hatuna
@geofreymatei83452 жыл бұрын
Kiukweli hongera kwaujasili Wachache wanaweza ku
@boashamah3642 Жыл бұрын
@@mmasymerry1233kabisa umeswma ukweli Mimi naendesha roli za trailers 4 huku Australia 🇦🇺 mbona nafanya na mwanamke sijalala naye kati ya miaka 6 Wanaume wazuri tupo kabisa
@rebekamwambatata95122 жыл бұрын
Ongela.sana ssta.kwa.msimamo.wako
@malombemunyithya93412 жыл бұрын
Hongera dada Ang japo umetukimbia kwenye maroli
@SesiliaSalumu4 ай бұрын
Mamangu kipenz
@herysonsanga96282 жыл бұрын
Hongera sana dada catherine kwa ujasili wako
@benjaminmuga25762 жыл бұрын
Hongela dada
@imeldaseki86812 жыл бұрын
Sehemu ya 4
@bonnycostacosta73392 жыл бұрын
Umeliwaaaa
@michaelhaule31582 жыл бұрын
sawa lakini siri yako
@ytgg40062 жыл бұрын
Pole Sana dada
@zakariamsilu23332 жыл бұрын
Pole Sana dada mitihani hiyo
@nuruumturutz57832 жыл бұрын
Pole sana Sister
@CosmasMlelwa3 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto ulizopitia MUNGU anampango na wewe usikate tamaa
@thomsanga79562 жыл бұрын
Mimi siamini kama ameweza kukwepa vizingiti vyote hivyo, kuna dreva lazma Kala tu 😁
Tatizo la watangazaji wa aina hii ni tatizo hawana communication skills hawasikilizi wanaingilia mazungumzo
@zaujiajuma82602 жыл бұрын
Pole wazazi walikuwa wa nakupa maneno machafu Sana yaan umeniliza mm😭😭😭
@josephguerino74162 жыл бұрын
Umelia nini sasa?
@mariasafari10042 жыл бұрын
Wanaume wengne Mungu anawaona😭😭
@ramak.95872 жыл бұрын
Mm nishawai lala kitanda kimoja na Binti usiku kucha na ckuthubutu hata kumgusa mguu
@leahmoses26252 жыл бұрын
Kweli nimeamini kuna wadada majasili ndio mfano bola nimesikiliza kwa makini yaani Mungu aendelee kukuwezesha ktk yote uliyopitia hakika haukuwa wewe peke yako Mungu alikuwa nawe barikiwa kwa kututia moyo
Kweli penenia Pana njia pole dd kwa kutokata Tamaa na mungu amekulipia
@jumasalehe73202 жыл бұрын
Global tv
@aronatv472 жыл бұрын
Akili za Wanaume kupenda Papuchii ni shiida sanaaa
@paulmaghembe1432 жыл бұрын
Papuchi in jamiiforum voice
@jrsaid42702 жыл бұрын
Acha ww Kuna tumeumbwa tofauti
@furahakonde62592 жыл бұрын
Napenda maongezi ya Dada
@TatuMbaruku-w6z9 ай бұрын
Pole my dear ndio changamoto tunazokutana nazo izo
@nellyckoros60422 жыл бұрын
Pongezi kwa huyu mama umepitia kweli mungu nimwema shukuru🙏🙏
@veronicapeter59333 ай бұрын
Mmh dada nishushe kituo cha mbele hapo mi mwenyewe dereva lakini mpaka hapa nilipofikia mungu ndo anakua embu niache mbele hapo weeeeee
@miritonbikura54872 жыл бұрын
Dah wanaume wengine bana hakiri zetu tunazijua sisi wenyewe
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@ramadhanichuka35832 жыл бұрын
Ataungeliwa usingesema bn
@catherinecharlz28145 ай бұрын
Am Catherine naomba kuwasiliana na wajina Wangu 😢natama dada unishauri napitia magumu pia honestly namanisha plz naomba mawaslisno yako da Cathy 😢
@williamcwilliam88422 жыл бұрын
Story nzuri, inspirational! Ila kwenye kutaja jina la yule rafiki yake ambaye mme wake ni driver kama yupo nae mpaka leo itakuwaje!?🙂🙂 Confidentiality??
@khadijahali48372 жыл бұрын
Utu ni kazi kuupata sk hz
@naomymose18662 жыл бұрын
Mungu wasaidie waume kwani hakuna wa roho Safi kusaidiana Masada zetu, wafrica tupendane tutumikiane bila kuletea mwezako shida. Aliye juu binguni wabariki alioyo na roho Safi.
Baba mzazi ndie mwanaume pekee ambae anamsaidia mtoto wake wa kike bila malipo
@salehaliy71982 жыл бұрын
Baadhi tu
@JestonJoely4 ай бұрын
Hii ni stori masikio kazi yake kusikia .hakuna kielelezo chochote kinachoonyesha kama hawa watu hawafahamini. Kinachonishangaza kulala kitanda kimoja je vyumba vilikuwa vimejaa vyote
@sanjaeverist9762 жыл бұрын
Wadada wenye ndevu na bahati za maisha
@wakembetajaphary36482 жыл бұрын
Tuko hapaaaa 😂😂😂
@Mosses84 ай бұрын
Naomba namba ya huyu dada
@edmundmmuniedmund16232 жыл бұрын
iseee sio nzuri hata kidogo kwa wanaume
@bonifacemwaura85702 жыл бұрын
Ulikwa umekaa tew love
@MohamedHau-u3z Жыл бұрын
Dah Kuna mtu umemtaja ni dada yangu anaitwa Anastasia daudi nilipotezana nae muda mlefu sana naomba mawasiliano yake please
@deus86292 жыл бұрын
Dada amekuwa mkweli sana... ila kutaja jina la rafiki yake wakike na mumewe jinsi alivyofanya nadhani sio sahihi, angemtaja mume wa rafik tu.
@yrwa3132 жыл бұрын
Nahisi hapo ni kujisahau tuu
@mbwanakiting71802 жыл бұрын
Kosa siyo yeye kosa ni mhariri alitakiwa kumute jina
@songweairport76022 жыл бұрын
YAP, ILIBIDI WA EDIT HAPO....HAIJAKAA VIZURI KABISA
@goldengordian68352 жыл бұрын
Mtangazaji hujui kum-interview mtu coz unadakia Simulizi ya Mdada badala kuacha asimulie anavyotaka yeye mwenyewe na sio kumsemea Maneno!
@JosephKimani-vh7xg3 ай бұрын
sasa mrembo mimi naitwa kim mimi ni mkenya pole sana dada yangu kuna kitu kimoja ambacho mimi binafsi najua kweli madereva wa Tanzania mimi nimeona wako na iyo shida wanapenda tendo la dowa hapa Kenya wanasumbua sana mimi nauliza ulipata gari ama kazi
@alexkalonga53232 жыл бұрын
Mwandishi msomi Columbus Le Baba's nakubali xana
@amanipeace60072 жыл бұрын
7:55 mwanaume anakasirika anachukua begi kwa hasira anaondoka then ww unaombewa kwenda kulala kwa wahudumu Ina maana chumba mkakiacha wazi hakina mtu au???
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭 jamani hayo maneno walokwambia wazazi siyo pow
@prosperidinya58644 ай бұрын
Ndiyo ukubali kulala chumba kimoja? Ilikuwa hujui nini kitatokea?
@DeograsiasMdendem-lj5lo5 ай бұрын
Huyo inaweza kweli ukawah ulifaulu je mbelen
@jaabirisaacrumanyika29532 жыл бұрын
Kat ya Binti na bwana bila ndowa kati yao shetani ni watatu Kwa kuendesha umoja miongoni mwenu kutenda Kwa kutenda dhambi ,Kwa hivo watu tujitahadhari sana.
@aliabdallah89082 жыл бұрын
Dah we mtangazaji
@GodlightUrio4 ай бұрын
Hapana urafiki WA mshumaa na moto,mwanamke na mwanaume rijali kulala kitanda kimoja NO!
@MiriamKimboi5 ай бұрын
Mmmmmmh
@barakakusa76062 жыл бұрын
Weka full story unatukata stim.
@ochutz99592 жыл бұрын
Bora ulivyoenda uko maana dah! Sasa umependeza asee piga kazi...
@misifaskills7454 ай бұрын
Wanaume tunashida gani lakini? Mbona hivi?
@haridiabdallah75752 жыл бұрын
Mmmh sema TU we ni mbaya ndyo maana ungekuwa mrembo asingekuacha
@mohammediomary55372 жыл бұрын
Kama nikweli dada umejitahidi kukaza pongezi kwako na mungu akubariki