PART 3 MFUNGWA LILIAN: "KABLA HAJAKATA ROHO ALINISHIKA AKANIPA TASBIH, SIKU YA KUMEZA DAWA HOTELINI"

  Рет қаралды 102,164

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 502
@callgodbaraka9904
@callgodbaraka9904 4 жыл бұрын
Pole sana dada mungu atakuwa pamoja na wewe kwakua ulikuwa utaki kufanyia starehee bali ulitaka kuokoa maisha ya mama yako mungu atakufanyia wepesi
@queenlovenessgodfrey9117
@queenlovenessgodfrey9117 4 жыл бұрын
Naandika nafuta I swear to GOD Allah akufanyie wepes ulud akuna mzazi anapenda mwanae apate shida tofauti ni ukiwa na tulio jaliwa neema utatoka utatoka
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
pole Sana dada usikateee tamaaa kwani maisha ya mwanadamu anayajua Mungu wetu Basi utamaliza nautaludi nyumbni salama muamini Mungu habali yakufa ondoa kabisa Bali mtumaini Mungu 🙏🙏🙏
@mussamc641
@mussamc641 4 жыл бұрын
Da ccta pole sana..natamn mungu aonyeshe miujiza hutoke huko na uwehuru ..yaan sipati picha vip utakavokujakua balozi wa wanaosafirisha madawa ..maan najua jinsi gan unajuta na kuteseka huko uliko ...ckujui ila ww n mtazanzia mwenzangu ...lazma iniume tuu...ila usikate tamaa nitasimama usiku kwa ajili ya allah kwakua umejutia kosa ..bas hakuna nilishindikalo kwake ....utatoka tuu dada .from zanzibar
@msolopagunz8314
@msolopagunz8314 6 ай бұрын
Pole sana Lilian Mollah akufanyie wepesi wakutoka
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 4 жыл бұрын
Tamaa mbele mauti nyuma. Mwenye enzi Mungu atustiri Yaarab. Mwenye enzi Mungu amsaidie apate kurudi kwao salama
@swaumuabdallah4547
@swaumuabdallah4547 4 жыл бұрын
😭😭😭Asant sana mama kwa kuchana tiket na kunifungia ndan sik safar mung wangu huwenda ningepotea mama mama nakuita mamaangu hii kaz ningeach mtoto wangu mm😭😭😭
@samirakiango957
@samirakiango957 2 жыл бұрын
Ilikuaje sasa na ww naulitaka kwenda wapi kwakaz gani
@glorybrayankessi7002
@glorybrayankessi7002 6 ай бұрын
@@samirakiango957tiketi yagari au?
@nessa4899
@nessa4899 4 жыл бұрын
Yesu anakupenda mkimbilie Yesu atakukumbatia utapata uhuru na Amani ya kweli.
@saudajuma4409
@saudajuma4409 4 жыл бұрын
Mungu mfanyie wepesi Kwa njiaa zake
@sadamissa5687
@sadamissa5687 4 жыл бұрын
Pole sana , mchongo umekua mchongoma , ungetiki huo daah Komaa tu kubali matokeo muombe Mungu mshukuru Mungu utaishi humo kwa amani
@gadhabuabuu4443
@gadhabuabuu4443 4 жыл бұрын
Muongo sana huyo mbona maelezo yanapishana sana
@mangoimangoi5939
@mangoimangoi5939 4 жыл бұрын
Tatizo moja la huyo dada c mkweli mana glbl ksema mpenz na mld ayo asema rafiki tuelewe lipi shida ni tamaa ya pesa ila pole mrudie mungu fanya toba ya kweli mungu anasamehe poleee maa
@ShaimaaHamza-v6c
@ShaimaaHamza-v6c Ай бұрын
Pole sana lili yani nmehadithiwa na mtu t nkaamua ntafute hii story mwenyw
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 Ай бұрын
Inauma sana aisee dah!
@rosemaryaloyce4231
@rosemaryaloyce4231 4 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Lilian huo Ni mtihani wako lakini utashinda .Ukiamini Mungu anaweza
@Justinacharleskayug
@Justinacharleskayug 6 ай бұрын
Pole sana Lilian mungu akufanye wepes utoke getezan pole sana
@aishakaijage7268
@aishakaijage7268 4 жыл бұрын
Pole kwake aisee sijui kama atakuja kutoka uyu binti maana kwa nchi za watu mtu mweusi kupata msaada aisee n miujiza mno.
@bernardmallya2967
@bernardmallya2967 4 жыл бұрын
Avune alichopanda angefanikiwa angerudi na dharau...
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 4 жыл бұрын
Dah! Pole sana mummy! Tunakuombea tu! Ila kwa upande wa mamlaka za nchi kulingana na kesi yako aisee sidhani!
@monabangaseka1064
@monabangaseka1064 4 жыл бұрын
Pole Lillian nimeumia sanah daaah mwenyezi mungu Akufanyie wepesi inshaallah wasichana tujifunze sanah
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 4 жыл бұрын
Pole ya nn bhana muache akomae hukohuko
@medydati4814
@medydati4814 4 жыл бұрын
Pole sana dada mwenyezimungu atakufanyia wepesi inshallah
@johnmmbaga3903
@johnmmbaga3903 4 жыл бұрын
Daaah inauma sana sana jaman Nmejaribu kuvaa viatu vya huyu dada nmeshindwa 😭😭😭
@HerbertAsante-u5q
@HerbertAsante-u5q 6 ай бұрын
Nivya moto sana😢😢
@gracemacha9357
@gracemacha9357 2 ай бұрын
Tamaa mbaya sana jamani turizike na maisha yetu
@brightonkihwili5499
@brightonkihwili5499 4 жыл бұрын
Yupo ktk wakati mgumu sana tumuombee mungu haweke wepesi na huko aliko ni mbali sana
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 3 жыл бұрын
Pole sana mtoto wangu mungu yuko naww
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 Ай бұрын
Wengine Hadi Leo 2024 hawaelewi
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 жыл бұрын
yote ni katka kutafuta dadangu don't give up, only God can judge, pole sana
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 4 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@jocety4426
@jocety4426 4 жыл бұрын
Asante bro Millard niliisubiri Sana part 3
@bellacaramella2196
@bellacaramella2196 4 жыл бұрын
Hata mimi
@jamillahshabani2500
@jamillahshabani2500 4 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu ningekua na uwezo ningekusaidia lkn mimi ntakuombea Kwa Mwenyezi Mungu
@missionarymallyachannel1531
@missionarymallyachannel1531 4 жыл бұрын
I wish vijana wengi wangepitia hii clip pengine wanaweza kujifunza. Nilichokuponza Lilian ni tamaa ni maisha ya vijana wengi. Kwa kuwa umejuta huko kanisani okoka kabisa ukifa ukamwone Mungu
@saidaahmed364
@saidaahmed364 4 жыл бұрын
Mbona anasema maneno tofauti Mara kalazimishwa kumeza Mara rafiki yake kamfundisha...nyoosha maelezo ...Allah atakusaidia
@joshuaerinesty7381
@joshuaerinesty7381 4 жыл бұрын
Pole sana binti hiyo misukosuko yautaftaji. Usikate tamaa utatoka tu na hata iyo miaka hautaimalizia gerezani
@piusdeusmtotowayesu7913
@piusdeusmtotowayesu7913 4 жыл бұрын
Asante Sana kwa watanzaniA wenzangu wanaojiandaa kumsaidia huyu dada mbarikiwe sana
@annasanga7170
@annasanga7170 4 жыл бұрын
Daaah pole sana my najua ulikua unapambana kutafuta ugar lkn bahat baya umepita njia sio sahihi my pole sana my hakika rais atakua ameaikia utasaidiwa my usikate tamaaa
@sarahogama9540
@sarahogama9540 4 жыл бұрын
Am feeling very sorry to this young lady my age mate indeed...but she's strong enough may God hear her prayers
@latifahjanja6679
@latifahjanja6679 4 жыл бұрын
Maisha ya shortkat yanaghalimu sana maisha ya watu tena maskini kwa kuamini utapata utajir wa haraka dah!!! Pole sana lilian wengine hatuna uwezo wa kukusaidia lkn tunakuombea dua naamini utatoka kwa uwezo wa mungu usikate tamaa 🙏🏻
@mwajumayusuph8002
@mwajumayusuph8002 4 жыл бұрын
Daaaaaah😭😭😭😭😭 pole san
@FrolahThamson-ww6cu
@FrolahThamson-ww6cu Жыл бұрын
Oooh my God Mungu mtetee huyu binti🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭
@betrecmkwasa9891
@betrecmkwasa9891 4 жыл бұрын
Daaah naumiaga sana nikikusikiliza lakini ndo hakuna jinsi ya kukusaidia jamani mt mwenzetu pole sana omba mungu usichoke ipo cku atajibu maombi yako hakuna linalomshinda
@saumuissa4429
@saumuissa4429 4 жыл бұрын
Mungu atakisaidia raisi atasikia ombi lako atakusaidia pia ila na ss tunajifunza kupitia ww pole sana
@aishashaibu5641
@aishashaibu5641 4 жыл бұрын
Daah pole mdogo wangu mungu atakujalia utatoka tu japo ningumu sana kuhesabu hy miaka namshukur mungu pia nakomaa na waarabu nifuzo tosha kwetu mungu akutia nguvu na usikate tamaa
@dotosalim5090
@dotosalim5090 4 жыл бұрын
Bora nisugue sinki kwa warabu miaka na mikaka
@aishashaibu5641
@aishashaibu5641 4 жыл бұрын
@@dotosalim5090 nikweli maana angesugua hamam kwaarabu miaka4 kashamjengea mamaake nyumba lkn akataka shotcat imempoza ndomajuto mjukuu
@delekalxon7221
@delekalxon7221 4 жыл бұрын
Lilian yupo sehem gan apo Indonesia..coz me nipo East Jakarta 🇮🇩 naweza toa msaada kwake kama ikiwezekana
@allykutenga2862
@allykutenga2862 4 жыл бұрын
Ni kweli inatiya huruma hii story 2natamani atoke coz ni ndg ye2 hata iwe vp ila tatz kumbuka huko sio segerea au keko hakuna ubabaishaji.
@OmarAli-wr1ti
@OmarAli-wr1ti 4 жыл бұрын
fanyeni mumsaidie ndugu
@OmarAli-wr1ti
@OmarAli-wr1ti 4 жыл бұрын
@@estajoan1285 vzr sana ndugu zng sote ni wa Tanzania tue Kitu kimoja Hakuna Binadamu Mkamilifu kila mmoja anakosea Mungu akutieni moyo na nguvu mshinde
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 4 жыл бұрын
@@estajoan1285 naanza kuona mwanga Wa ushindi wake. Mungu awatie nguvu mpate kibali machoni pake na kumsaidia. Amejutia kosa lake kutoka MOYONI hivo tumekwisha msamehe. Cha kwanza muanze na yule mwanasheria aliemtapeli $5,000 kwanza
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 4 жыл бұрын
Mungu awatangulie.....! Tuliobaki tuanze maombi jamani... Kila ukiomba kwa ajili yako mkumbuke na LILIANI ili Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi hawa ndugu zetu waliojitoa kumsaidia waweze kufanikisha hilo zoezi. Amina..
@noelchambo6289
@noelchambo6289 4 жыл бұрын
Eti watu wanamuombea Mungu amsaidie kwa hiyo angepenya na hayo madawa Ni kwamba alikua anakuja kusababisha vijana kuharibikiwa,, hakujua Kama Ni kazi haramu,😎😎
@shamsiahussein3832
@shamsiahussein3832 6 ай бұрын
Pole sana huu umaskini unatutesa sana
@mevicemwasuku846
@mevicemwasuku846 4 жыл бұрын
Nimesubiri kwa hamu sana Asante Milard🙏
@hadijasalimu1808
@hadijasalimu1808 4 жыл бұрын
Pole dada yangu usije ukajiua allah atakuhofu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wallah inauma haki
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 4 жыл бұрын
Pole kipenz
@joselinejoseph9632
@joselinejoseph9632 4 жыл бұрын
Duh! Mungu hamtupi mja wake mwenyez Mungu akusimamie katika hili 🙏
@antoonatson875
@antoonatson875 4 жыл бұрын
Pole san dada mungu atakusaidia
@fetreashasalumu9038
@fetreashasalumu9038 4 жыл бұрын
Hakuna aliye kamilika jamani Pole mdogo wangu
@abdulbongekapunye
@abdulbongekapunye 4 жыл бұрын
sema mungu akujarie uludi uku mama utashindwa mama
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
Mungu amtete atamtoa Salama maana ilikuwa sio yeye alilazimishwa
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 4 жыл бұрын
Mungu akuwekee wepsi
@irenemwakalinga4350
@irenemwakalinga4350 4 жыл бұрын
Polee
@ablanaturalbeauty5166
@ablanaturalbeauty5166 4 жыл бұрын
Mungu amfanyie wepesi katika kipindi kigumu Mungu afanye miujiza yake aweze kutoka 2030 ni mbali sana
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 4 жыл бұрын
Atatoka 2035
@queenlovenessgodfrey9117
@queenlovenessgodfrey9117 4 жыл бұрын
Jah bleees u lily utarud na mama utamkuta yote maisha dam yangu ishi better cz umejutia kosa lako inaniuma naumia piah pole mama pole sanaaaa kinacho niuma ali ya mamaako bas 😭😭
@salmawage7259
@salmawage7259 4 жыл бұрын
Pole sana mungu atakusaidia
@giftjulius2056
@giftjulius2056 4 жыл бұрын
Pole mrembo mungu atakusaidia
@saidikhalifapha3385
@saidikhalifapha3385 4 жыл бұрын
Aliwaza karibu sana akaona maisha nirahisi tu akaona bora nifanye hakujuwa upande wapili inakuwa daah
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 4 жыл бұрын
Mungu atafanya njiapaspona njia
@africa7479
@africa7479 4 жыл бұрын
Kaaaa gerezani dada hakuna serekali hapa, wew ungepata hela ungeomba kulipa kodiii, ukifa basi kufa ni kufa tu
@salmawage7259
@salmawage7259 4 жыл бұрын
Kila mja ana mitihani yake muombe mungu sana yatapita pole sana inaumiza inasikitisha
@fextomaturo7815
@fextomaturo7815 4 жыл бұрын
Daaah kuna SAA unawaza kuandika kituu unashindwa aise mungu amsaidie tyu jaman yan maumivu hayo unayopitia nimagumu Sanaa's alafuu ukicheki ww ndo mumy anakutegemea ila Daaah mungu akupe nguvu jaman
@kimarohuba7441
@kimarohuba7441 4 жыл бұрын
Mmh pesa wew 😨 Binti unaongea kiujasiri mno na upo ktk wakati mgumu
@husnaothuman1609
@husnaothuman1609 4 жыл бұрын
Bora niteseke kwa Warabu mm...😭😭
@lm6373
@lm6373 4 жыл бұрын
Wewe warabu wanakutesa nini sikazi unalipwa unakula kila unacho taka na 24 h uko ku telephone ndo mateso ?
@ElimikaTz
@ElimikaTz 4 жыл бұрын
Mungu amsaidie afanikiwe kurudi nyumbani salama 🙏🏽
@zahrafahimu4661
@zahrafahimu4661 4 жыл бұрын
Mmmmh mtian mbona uyu LiLiAN anastory mbil tofauty
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 4 жыл бұрын
Fikisha taarifa kunakohusika anakutegemea sana huyu binti na mwenzie tunaomba MWENYEZI MUNGU awasamehe na awatetee mbele ya viongozi wahusika wa nchi warudishe Tz kazi kwako Millard Yao.
@mohmmadalsiyab.hunituuhilo3590
@mohmmadalsiyab.hunituuhilo3590 4 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu mungu atakusaidia
@samjuba5882
@samjuba5882 4 жыл бұрын
Pole Dada. Mungu atakusaidia
@husnaefraim2983
@husnaefraim2983 4 жыл бұрын
Daaah polee sanaa my allah atakufanyia wepesii
@beccakhalfa5636
@beccakhalfa5636 4 жыл бұрын
Hbr
@esternzumbi1888
@esternzumbi1888 4 жыл бұрын
Duuuh😥😥 Mungu akutangulie.
@edwinkamasho1543
@edwinkamasho1543 3 жыл бұрын
Daaah....
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 4 жыл бұрын
Umaskini huu jamani inauma sana😭😭😭😭
@geladjuma6897
@geladjuma6897 2 жыл бұрын
mirad uko vizur sana unajua sana kuoji mtu
@aizackdidas9792
@aizackdidas9792 4 жыл бұрын
Daaaah kila nikiandk nafuta Mungu amsaidie tu huyu bint 😭😭😭
@SWEZYJEAN
@SWEZYJEAN 4 жыл бұрын
Bora kujifunza mwenyewe kabla huja funzwa na dunia!!!
@swaggagamingtv6841
@swaggagamingtv6841 4 жыл бұрын
RAPA JEAN kabisa
@neemammary4743
@neemammary4743 4 жыл бұрын
pole sana liliani
@annamrima5507
@annamrima5507 4 жыл бұрын
Sorry lily, what l can tell u it's that repent from the point u fell into that temptation and God will take action from there l assure u, everything that happens has a reason, bye
@aminayusufu6823
@aminayusufu6823 4 жыл бұрын
Pole sana jamani
@floraathanas5411
@floraathanas5411 4 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu hope itawafikia serekal upate msaada pole sana
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 4 жыл бұрын
Ungefanikiwa usingejutia Bali dhalau zingekuwa nyingi Kwanza mshukuru mungu ww dada ungekuwa Teja ww tulia hukohuko Tanzania usije huku Baki huko mama hata mm xikuombei kabisa
@sabrinarashid7990
@sabrinarashid7990 4 жыл бұрын
mungu atakusaidia
@fidelmbai3642
@fidelmbai3642 4 жыл бұрын
Ina simanzi sana😭😭😭😭Loooh!!!!
@agapenkya4148
@agapenkya4148 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙆🙆🙆uwiiii mungu msaidie huyu binti naomba mungu afanye jumbo juu yako
@linuslivingstone9913
@linuslivingstone9913 4 жыл бұрын
Asante sana kaka
@aminamollel5725
@aminamollel5725 4 жыл бұрын
Wanawake huwa tunapitia wakati mgumu sana kwenye maisha, tusimlaumu kuwa ni tamaa ya pesa sababu hatujui, nilishawahi kuishi maisha magumu sana hivyo najua, naweza kuhc ni kwa nini alifanya hayo. Kikubwa tumwombee tu. Day,?? Nashindwa kuzuia machozi
@zennakailo8106
@zennakailo8106 4 жыл бұрын
Mungu wangu Marafiki wengine jaman syo kabisa Tamaa ya pesa syo mzuri funzo kwa wanawake wote
@kurwpaul1134
@kurwpaul1134 4 жыл бұрын
Msidanganyike mabinti kwatamaa za vitu vidogo
@veevictorius5116
@veevictorius5116 4 жыл бұрын
Simulizi nzuri. Je, Kuna usaidizi? Ama nimastori
@officialibra4528
@officialibra4528 4 жыл бұрын
Dah, Mh. Magufuli ni vyema kuihurumia dam ya mtanzania mwenzetu ili tukadumisha amani na upendo
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Jaman mungu amsaidie huyu mtoto apate kuru dishwa nyumbani maisha ya Indonesia magumu sana
@abdallahkhalid1895
@abdallahkhalid1895 4 жыл бұрын
Madam wanataka utajiri wa haraka haraka wacha ya wakute
@laymashabani832
@laymashabani832 3 жыл бұрын
Mbona anabadilisha story? Mara mpenzi wake ndo alomponza. Uku anasema lafiki ndo alomponza mbona sielewi. Ila mungu akusaidie tu mdogo wangu uwe huru🙏♥️
@careenmsuva5648
@careenmsuva5648 2 жыл бұрын
liongo ili mara bwana mnaijeria mara rafiki
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
@@careenmsuva5648 Kabisa yani maana anachanganya maelezo bila kujijua kama tunamfatilia maelezo yake yote. NIMUONGO KWELI UYU .
@carenmihayo7991
@carenmihayo7991 4 жыл бұрын
Yaan akamuamin mkenya kabisa wale kenge sio wakuwaamini wakanya sio watu ukipata shida mkenya anakuangalia kama kinyesi, pole mpendwa mungu atakutoa kwenye hilo tatizo,
@kelvin254-x9k
@kelvin254-x9k 4 жыл бұрын
I feel sorry for Lilian and her kenyan friend should be arrested but what I don't understand is Kenya has a population of 50 million tumekufanyia nini to deserve matusi kutoka kwako???......
@carenmihayo7991
@carenmihayo7991 4 жыл бұрын
@@kelvin254-x9k samahan sana Kelvin sikumaanisha ubaya unajua wanawake wengi wa Kenya uwa sio watu wa kujal wenzao nimekaa Kenya kwaiyo nawajua Tabia zao, saman kama nimekukwaza Kelvin please,
@kelvin254-x9k
@kelvin254-x9k 4 жыл бұрын
@@carenmihayo7991am okay but sio wote wabaya be nice darling.
@nganahesandra2293
@nganahesandra2293 4 жыл бұрын
Pole sana dada rakini tuache tama ya pesa 😭😭😭😭😭😭
@ablanaturalbeauty5166
@ablanaturalbeauty5166 4 жыл бұрын
Ila wadada tuache tamaa tunaharimu maisha yetu bure naamni angekuwa yuko mbali za ana
@alexkileo7920
@alexkileo7920 4 жыл бұрын
Nikijaribu kutafakari mtu kuka maabusu siku mbili tu unavo wza naku teseka.mungu akupe wepe dada angu
@husnaiyasulesh4687
@husnaiyasulesh4687 4 жыл бұрын
Kakaangu usiomb nilitup sild post nikakamatw nikapelekwa sentro broooh nililia mpak kuanzia saa kum nambil mpak saa 6 sit uck sinarah nikikumbuk nyumbn tuu ndug zangu nalia mpak macho nilivimb
@husnaiyasulesh4687
@husnaiyasulesh4687 4 жыл бұрын
Watu tuu wanasem jer ukiend kul bure kulal bure fresh tuu lakin mtu siku akiingizwa japo kuon tuu lilivyo sidhan kam angekuw anaongea ivyo
@abbyadams8691
@abbyadams8691 4 жыл бұрын
Magu ninaemfahamu sizani km atakua na huo mda wa kukusaidia.Yupo Bize na SGR,Stiglers,Flyover na kujenga mabarabara. Mbaya zaidi alisema watanzania wakikamatwa na madawa ya kulevya ughaibuni wanyongwe tu!!We endelea kumuomba Mungu tu atende miujiza.😓😓😓
@rahmakishiwa1528
@rahmakishiwa1528 4 жыл бұрын
Nikweli magu hapendi madawa yaan hapo kachemka sana kwakweli Allah amfanyiee wepesi
@eddydben
@eddydben 4 жыл бұрын
Sidhani kama tanzania na Indonesia wanabadilishana Wafungwa
@umranim5854
@umranim5854 4 жыл бұрын
Hiyo ni tamaa sasa ndio umejua umefanya makosa na kila leo watu wanaongelea madhara ya madawa ya kulevya kwanza apo umeisha sababisha vifo vya watu bado unataka kusaidiwa atakae kusaidia wewe atamkufurisha mungu uliyo yataka umeyapata
@joharinaz5007
@joharinaz5007 4 жыл бұрын
Milioni ku11 akija kujifanyiya kazi warabuni mwaka1 unazipata tena jasho yako Allah akutiliye wepesi
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 жыл бұрын
Dada zinalipwa wapi izo pesa namie nijeee, Naomba uniungisheee
@joharinaz5007
@joharinaz5007 4 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 gaibuni ndugu unasuguwa gaga tu utaipata
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 жыл бұрын
@@joharinaz5007 jmn nina mwaka sasa hiyo pesa sijaipata na mshahara ni k 4 tu, Nielekeze apo wanapolipa milioni 11 kwa mwaka nikafanye
@joharinaz5007
@joharinaz5007 4 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 kama unamajukum mengi uwezi ihona bali itakumaliziya majukumu yako tu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 жыл бұрын
@@joharinaz5007 lk 4 ndani ya mwaka nishng ngapi?
@salmasaidi4566
@salmasaidi4566 4 жыл бұрын
Pole sana lilian
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 жыл бұрын
polec sana mdogo wangu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Imagine dili lingetick akapata hiyo pesa, wala hatungemsikia angekuwa anarushia watu vumbi mjini tu, kama hao rafiki zake waliomu introduce kwenye hayo madawa. Hakuna mtu huacha biashara hiyo hata pesa iwe nyingi vipi.
@mercyesendi294
@mercyesendi294 3 жыл бұрын
Kuna kaukweli apo🤔
@mustafaabdulhafidh3257
@mustafaabdulhafidh3257 2 ай бұрын
2024 bado naifatilia hii hadi nijue mwisho wake huyu dada
@damasmahega5597
@damasmahega5597 4 жыл бұрын
Mungu mwema usiache kumwomba ipo siku utatoka ukiwa hai
@msalikemedia
@msalikemedia 4 жыл бұрын
Huyu Ana changanya maelezo kuna sehem kwenye chombo cha habari kajieleza vingine na huku kwa mirad kajieleza vingine. Ushauri wangu kwake ukweli humu weka mtu huru ni bora aseme ukweli kuliko kusema uwongo nilicho ona hapo anaogopa kutaja aliempa madawa Tanzania sasa kama anaficha jina afiche ila mengine aseme ukweli asante
LILIAN, MTANZANIA ALIYEFUNGWA MIAKA 18 INDONESIA ASIMULIA. - PART 1
10:32
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 24 М.
BARUA YA JACKLINE CLIFF KWA MILLARD AYO KUTOKA GEREZANI
7:12
Millard Ayo
Рет қаралды 615 М.
MFUNGWA MTANZANIA GEREZANI CHINA AMPIGIA SIMU MILLARD AYO
17:05
Millard Ayo
Рет қаралды 1,1 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.