SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
@farajashaban10732 жыл бұрын
Nakubali na maisha yangu yanakwenda kwa falsafa zake huyu mchungaji ndio mchungaji wangu pendwa pamoja na pastor Mgogo
@inviolatamalifa6871 Жыл бұрын
Hongera kwa tumbo lililokuzaa Baba unatufundisha mengi asante kwako
@Bbwaoy2 жыл бұрын
Point hii “ kuna vitu una kufa navyo kama siri yako na Mungu wako”.
@AnthonyAnatory Жыл бұрын
Ndioo
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Jamani sister Lily nakupendaga vipindi vyako vzr na vile ulivyo mrembooo mmwaaaa!
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Binafsi nimesikiliza Viongozi wengi wa Dini. Kwa huyu Mchungaji nimemkubali Salute kwake Napenda Sana anavyoelezea mambo mbalimbali kwa ustadi mkubwa. Big up Mchungaji wangu wa Karne hii kwangu mimi.
@mossesisaack5066 Жыл бұрын
Nimejifunza sana dada Lilian kupitia mazungumzo yako na mchungaji Hananja.Mungu awabariki sana
@bryfrancis78792 жыл бұрын
Best interview,I enjoyed Big time,Maswali yameulizwa vizuri,most interesting thing there was a gap between Q&A,most interviewers,they always interrupt interviewee,Congrats to You Sis,your level ni ya juu sana
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Best interview ever mchungaji umeniua dhambi kabisa mm ndo nifunzwe na baba angu sikuwahi ambiwa niwe Malia Lia ovyo hata nipate magumu vipi Wala kupiga magoti mwiko kabisa mm napigiwa goti na MKE wangu.. na Bible umeandikwa enyi wanawake watiini waume zenu na enyi waume wapendeni wake zenu.
@devothamwinyi4288 Жыл бұрын
Dada Lilian nakupenda sana mpaka natamani kusikiliza vipindi vyako muda woooote. Nakupenda na umependeza mpendwa hongera sanaaaaa
@ebenezerchurchsupremetv94902 жыл бұрын
Yesu kristo alisema niwaambialo sirini lisemeni nuruni,mlisikialo gizani lihubirini juu ya dari
@sospeteriganjagabriel7944 Жыл бұрын
Mch. Hananja, nakukubali sana Baba, hongera pia kwa kipaji cha uelewa wa neno la Mwenyezi Mungu kwa ufasaha katika vifungu husika
@tonykaribu67052 жыл бұрын
Mchungaji Hananja yuko vizuri kwa Neno
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Hiyo ya bange hiyoo nimecheka sana hili linamkuta mchungaji masanja kila kitu ulichapiwa mwanamke
@aureliayuktankabebwa5066 Жыл бұрын
Nimependa sana hii conversation🙏🏾,MUNGU atusaidie.Dada Lily your so Blessed🙏🏾
@biashaqtr-xd2mf6 ай бұрын
Mashallah Mwenye Enzi mungu akuzidishie hikma zaidi hivyo busara.
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Mahojiano ya G Hando S.Jabir L Mwasha Ndo Mahojiano Mazuri mno wanajua jinsi ya kuuliza Maswali ya Kujenga.. Big up sana Kwenu
Mrudishe tafadhali Lilian huyo mzee. Mungu akubariki!
@brunomwacha88802 жыл бұрын
Part 3 jaman mzee ana madinii njia inatokaa hii
@HappinessGomezulu10 ай бұрын
Raha sana kujifunza na Mchungaji hananja Barikiwa sana
@tamarali83252 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Lilian congratulations maswali mazuri sana majibu mazuri sana.
@giftkalenge418 Жыл бұрын
Huyu ni mchungaji kweli Kila anacho ongea anatoka reference ya vifungu kwenye bible
@user-exauceimani Жыл бұрын
u barikiwe sana mchungaji na dada mtangazaji
@SalmaRajab-er8onАй бұрын
Yaaanii leo nimejifunza sana leo bola ninyamazee tuu japo linaumaa kukaa nalo lòhoni😢😢
@kazungubinti Жыл бұрын
Be blessed pastor 🙏🙏
@muhsinirasuli24732 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji umeeleweka sana
@halfankipande99036 ай бұрын
Ongera xn mchungaji hananja
@susancharles1660 Жыл бұрын
Huyu mchungaji nimempenda 😊
@SamsonNestory-e6eАй бұрын
Nakukubali sana baba
@kulwamigo9127 Жыл бұрын
Ahsante,nimejifunza!
@Mjapancompanylimited Жыл бұрын
AMEN pastor
@annalyamuya3160 Жыл бұрын
huyu mzee ana hekima sana
@irakozegracia1832 жыл бұрын
👏👏👏👏Mubarikiwe Na Mungu
@tamarali83252 жыл бұрын
Beautiful Lilian 😍
@yuathmtenzi21142 жыл бұрын
Shukrani hard talk
@rasheedford241 Жыл бұрын
God bless u all❤❤ good interview ever
@kapelotz9967 Жыл бұрын
Uyu ndie mchungaji anae ijua kazi yake
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji Namkumbuka Mwalimu wetu toka Goshen University College Marekani Dr Norman Cloud aliwahi kutufundisha juu ya "Ukweli umizao", Kwamba sio kila ukweli husemwa hadhalani ukweli mwingine hubakizwa kuepusha shali.,hii ndiyo hekima,"Sema kweli tupu lakini usiseme yote" Magumu tubu katika chumba chako cha siri wewe na Mungu wako ili usilete farakano kanisani au katika jamii unayoishi.Mepesi yasiyo kwaza tubu hadhalani au kwa yule uliyemkosea. Hii ndiyo busara ya ki-Mungu.
🤣🤣🤣🤣mchungaji msema kweli huku wanivunja mbavu mie
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Safi Pastor
@LinusOngore-o5k11 ай бұрын
Amen
@laurentnkoko9122 Жыл бұрын
Nikweli kabisa mchungaji
@lovenesslukas53602 жыл бұрын
Baba kama baba
@AzaelNdoliki6 ай бұрын
Hatalii sana uko poa sana
@jenipherj2456 Жыл бұрын
dada Llilian aki hakuna intrview umewahi kufanya ukacheka kama hii😀😀😀
@jamesjoseph68252 жыл бұрын
😂😂😂😂Dada kwa huyo mpakwa mafuta utacheka hadi ujambe, yaani huyu mzee wallah unajivunia mbele za watu, Mungu akuweke Mchungaji
@annamulungu2876 Жыл бұрын
Ila baba, usisahau kwamba kama mume ni MC kwa mfano anaweza tu kurudi saa nane usiku nyumbani na nikampokea kwa amani.
@timothmatiku61156 ай бұрын
Naamini hii sio dira ya maendeleo 2050. Naamini hawa sio designer wa nchi. Mwezeshe mwanaume.
@josiacharles2778 Жыл бұрын
Jamani hananja anaakili sana
@WTC4922 жыл бұрын
Lilian nakupenda
@jamesjoseph68252 жыл бұрын
Huyu mzee biblia yote ipo kichwani, kifungu kwa kifungu, yaani yakiandaliwa mashindano pengine hata Africa yupo peke yake
@fahadfaraj64742 жыл бұрын
Ni mchungaji ni wajibu ajue
@vickydan2869 Жыл бұрын
Kabisa kaisoma mno
@unjuinkuganda19912 жыл бұрын
MY G
@sarahgaula22202 жыл бұрын
Wanaume gani hao wanaobeba maswali sijui majibu ya uchumi na wako busy kutafuta wanawake wenye kipato kukwepa majukumu
@vickydan2869 Жыл бұрын
Cyo hao sasa waliotengenezwa na mungu
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
@@vickydan2869 so wameumbwa na nani. Wameumbwa na Mungu Ila wamekengeika na ndio wapo.
@MujuniKamugisha10 ай бұрын
@@sarahgaula2220bakhresa mo dewji ,gsm,msukuma,kishimba, David mlokozi ,
@mariasmith4301 Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa Mchungaji, Asanteee 😂😂😂😂😂
@RonnieBertin-f7f8 ай бұрын
madini juu ya madini
@benardwankoka3447 Жыл бұрын
Hahaaa unanibariki sana
@tausinguvuyamaombi3879 Жыл бұрын
Hahahaaa!nyumba kama studio?
@richardrwechungura2798 Жыл бұрын
Umepiga mwingi @Lilian junkets Mchungaji
@rachelnadeau34842 жыл бұрын
Nimecheka hiyo 😄👆
@neemaburetha8011 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU Lilian mwasha nina shida na wewentakupajez?
@JohnwaJohn Жыл бұрын
Mtu wangu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 nakuitaji tena 😂😂😂😂😂😂
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Huyu mtumishi nimemkubali kabisa, yuko vizuri kuliko hao matapeli wengine wa injili. Party tafadhali.
@shivobs44852 жыл бұрын
Kuwa mwanaume ni neema mwanaume unatakiwa kuwa mwanaume hao wanao piga magoti ni wavulana sio wanaume
@fahadfaraj64742 жыл бұрын
Kupiga magoti ni mavitu wakipuuzi tu ambayo juzi juzi tu tumeangalia kwenye tv leo tunaiga nakujifanya tunalia, siamini miaka 20 iliyopita kuna mtz alipiga magoti kumvisha mtu pete, tunakurupuka mnoo kuiga vitu ambavyo hata hatujui yalipotokea
@tumkithemr933 Жыл бұрын
Huyu mzee namkubali saana ananitia nguvu ktk mapambano yangu! Huyu ni miongon mwa wanamapinduz na falsafa za mabadiriko ktk mbongo yangu asseeee!! Well
@issayasosolo6033 Жыл бұрын
Kabisa huwà haliwataki watumiaji wanao toa afundisho ya namna hii! Wanataka wachungaji wanao hubiri habari za sadaka Basi mengine utajijuwa mwenyewe, Ya kijitonyama alijitokeza mchungaji Kama huyu wakamliba barua Ila nguvu ya waumini ikafanya Kazi yake,
@clausemsemwa297 Жыл бұрын
HII SIO HARD TALK......TUSIHARIBU MAANA......HAYA NI MAZUNGUMZO TENA YA KAWAIDA SANA....
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Ni neno la brand yake.
@anethpatroba3401 Жыл бұрын
So
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
Matonge semi trailer😂😂😂😂😂
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Kkkkkmjiskie watoto wa mwaka elf2 wahaki sawa mwanaume anapiga goti mwanamke kaa juu yakiti...ndio mana ndo nyingi mnaendeshwa kwa hiyo ukitaka kuishi kaulize kwa waisalam kwann mwanaume akishagmfunha ndoa muda wakwanza kumsomea dua mkewa kwann hukanyaga miguu wa mwanamke namuwekea mikononkichwa
@sofitanzanian955 Жыл бұрын
Pilipili alilia
@zachariagutawemo129111 ай бұрын
Dad iz Helen vp😂
@vivianbampikya4484 Жыл бұрын
Tutasimama wote aise...kwani magoti lazima?
@johnkomba1639 Жыл бұрын
Mhhh
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Dah bange hilo kila kitu bange kkkk
@DLBABY-BLESSb-OFFICIAL2 жыл бұрын
Please one day bring afande sele for the next interview
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Kitabu kinaitwa Darling what?? Sikuelewa kabisa
@samweljumanne-wo2pu Жыл бұрын
Wanawake wasikimbilie kwa waganga
@bossej1212Ай бұрын
😂😂😂😂
@NtanunuraWillsonBaru2 жыл бұрын
Hizo ni tamaduni za west wanaume wanabebeleza kwanza hawatoi mahali na mwanamke anakuwa na wa chumba zaidi ya mmoja ana pesa ana nyumba na usafiri kila kitu. Ndio maana miji dume unapiga magoti kwani kuna jitu limebunda. Ukimucha yupo pembeni anaendeleza.
@milliardere9177 Жыл бұрын
Wanaopiga magoti niwajinga
@MyMercy84 Жыл бұрын
Maoni yangu ni kwamba, uhuru wa mtu ni wake, akijisikia kumpigia goti sawa, akijisikia kulia sawa maana wapenzi watazamaji hawajui wametoka naye wapi na kwann machozi yanamtoka... Kha
@tuzopeter8132 Жыл бұрын
Niko na wewe....!
@gospelamani1968 Жыл бұрын
Hili swala la uhuru ndio changamoto inayotutesa mpaka sasa.kwamaana hiyo uhuru wa mtu kuwa shoga ni sawa? Ebu tusimame kwenye misingi ya kimungu. Kwaiyo swala la uhuru sio sahii
@heritier5119 Жыл бұрын
Ukioa malaya ni lazima achepuke tu
@rennyleo48742 жыл бұрын
Mc pilipili alilia
@samueloboko7402 ай бұрын
Wanaume tafadhali wachana na tabia ya kupiga magoti Kwa wanawake eti utanioa ama kulialia ovyo ovyo. Ni ujinga.