Ni mwanzo wa ushuhuda wa aliyekuwa shehe,Omary Mnyeshani,ambapo anaeleza mapito yake kuelekea wokovu
Пікірлер: 157
@salimahlokoh96992 жыл бұрын
Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@khadijakitsao54512 жыл бұрын
Amen
@agathendolage1179 Жыл бұрын
Aminaaaaaa,karibu kwa bwana wetu n'a mokozi wetu yesu christu
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wow Yesu ahimidiwe,Na wewe ulikuwa na majini??
@nyambochristelle7640 Жыл бұрын
🙏🥰❤
@lilianmugyabuso89082 жыл бұрын
Ubarikiwe Kwa ushuhuda mzuri Mungu akutunze
@sospetermasanja32244 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko vzr sana!
@chancelinechuchu73334 жыл бұрын
nimesubiri uyu ushuhuda kwahamu karibu kwake yesu utapata kila kitu
@goodlucklendey17223 жыл бұрын
Ubarikiwe mhombe mungu akujalie uzidi kumjua yesu na kujua mambo ya mpendezayo ili uweze kulithi ufalume wa mungu kaa kwenye maombi na mungu akulinde
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wapendwa tunapaswa kuombea watoto wetu kila wakati
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Saana
@masogangemasogange78354 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana: kwa kua Na akili timamu : Tanzania vipindi nyingi vya maojiano Tanzania uwa wanaongea upuzi Na ujinga. Hawana akili ' Na kupenda kuvutilia watu , kuliko wangalie mambo muhimu
@edigamashauri74432 жыл бұрын
akika mungu uwa ana makusudi nasa namwana damu
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hakika
@daudimichael73384 жыл бұрын
Shuhuda hizi zinatufunulia mambo ya ulimwengu wa giza (uchawi, majini, kazi za shetani kwa ujumla wake)...zinatusaidia kukaa na Yesu mwokozi wetu wakati wote ili shetani asitupate. JINA LA YESU NI KUU na kiboko ya shetani.
@flavianimtewele51783 жыл бұрын
Jina la yesu ni kiboko Cha nguvu za giza
@mrsnzilomgisha26873 жыл бұрын
Yesu ni mwema sana cd yake ninayo anamengi sana huyu ya kushuhudia
@mrsnzilomgisha26873 жыл бұрын
Ubarikiwe promover tv
@mrsnzilomgisha26873 жыл бұрын
Ameruka vitu vingi sana mpaka hapo msituni kuna mambo ambayo akihadithia itagharimu wiki3
@colinharper51472 жыл бұрын
I guess it is kind of off topic but do anybody know of a good place to watch new movies online?
@richiedexter63024 жыл бұрын
Habari kaka...channel yako ni nzur mno. Ila tunaomba uwe unaweka VIDEO kabisa sio audio na picha tu. Lengo ni kuangalia expression ya uso ya mtoa ushuhuda. Jambo hili ni muhimu kulink emotions na feelings za mtoa ushuhuda na sisi watazamaji. Asante sana
Utukufu naheshima na nguvu na enzi unamunguwetu milele na milele amina
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Mungu wetu Ainuliwe Mara dufu nilitamani unioe lakn bado Nina hofu. Barikiwa Sana umari
@messimessi72554 жыл бұрын
Are you sure Nyamoga
@blessedlovedandfavoured41294 жыл бұрын
😀😀😀😀
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
@@messimessi7255 Yes dear
@messimessi72554 жыл бұрын
@@nyamogafamily4262 ooh thats good🙏
@ramyramy34554 жыл бұрын
😄😄😄😄
@gizzoforshizzo4 жыл бұрын
Ushuhuda Mkubwa sana hongera sana Jacktan Msafiri
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Asante
@salmamrisho3330Ай бұрын
Huyu mtumish kama anahudumu tabora naomba mawasiliano nae mimi nipo Tabora na natafuta kanisa zuri lenye nguvu za Mungu ili kuabudu kwa wakat huu ambao nipo huku
@benjaminkabebo65812 жыл бұрын
Mtoto wa mwalimu nauliza huyu shehe omary yupo wapi kwa sasa na anafanya kazi gani kwa sasa.Pia naomba mawasiliano yake ikiwezekana mtu wa Mungu
@masogangemasogange78354 жыл бұрын
God bless you' jacktan 'kwa hekima Na marifa' tunakueshimu'
Kwakweri nimejifunza mengi sana,kwa shuhuda hizi zimenifanya nijue YESU ni mzuri mmmmmmnnnnnoooo.utukufu kwa MUNGU yeye anaye tawala na kumiliki yote.
@charlesmavika25754 жыл бұрын
Mungu akubariki ndugu msafiri, kuna Mengi binafsi najifunza na youtube channel za design kama yako ni chache.
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Ameen
@juvenalymwanalyela44483 жыл бұрын
Asante kwakumpa BwaYesu maisha
@daudimpulumba67424 жыл бұрын
Nmeipenda hii stori
@jersonmpeka49843 ай бұрын
Lulu wanasema ina majini 99 na majina ya Allah ni 99 hili linafikilisha sana
@farajirashid8859 Жыл бұрын
Wewe mwongo sana
@costanciasimon20762 жыл бұрын
TangA shikamoo tarafa ya MADANGA
@dafrosamonko82544 ай бұрын
Hahahaaaa nimekuelewa
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Simulizi inasisimua.asante
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Okoka kama bado,kumbe majini yameenda chuo cha madrasa haa ila hayajui Wokovu tu
@mutonyipros12932 жыл бұрын
I was married to amuslim 10yrs.what I learnt and I saw.what I went through, I will never leave Jesus Christ. Damu ya yesu almost 99 % of all shekhs Ni wachachawi.hao wanaohubiri..
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Amen,speak out all
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Asante saana eti ndio wanaoongoza
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Asilimia 100 ya sheikhs Ni wachawi wa kusomea majini na kuyatumia
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
EXACTLY, Kweli kabisa
@sakisfidmasho63934 жыл бұрын
yesu ni hatari wachawi wana sumbuka kufanya uchawi rakini yesu anaondoa uchawi huo mara moja tu
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Yesu haandikwi kwa kuanza na herufi ndogo, tfdhl sn
@magrethmollel10782 жыл бұрын
Jitahidi kumuheshimu Mungu kwa kuandika kwa herufi kubwa Yesu,Mungu,Roho Mtakatifu
@abedichande24974 жыл бұрын
zamn nilikuwa mpenz sana wa hiz shuuda baada ya kujua tu kuwa amuelezi vitu kwa uwazi nimekuwa mvivu sana wa kusikiliza..mtu umeokoka na umempokea yesu na ulinzi kwa mungu unachoficha nn mpaka napata hata mashaka kutaka kuamini kuwa hz shuuda ni kwel au la
@jovithashayo41974 жыл бұрын
Abedi Chande i
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Hamna wanatengeza izo sio kwel et ww umesikia wap asa shehe kasoma kuruan anahofu ya mungu alf akaokoke hahahaha jan akamuabudu mtu jan yesu binaaadam
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Ww watu kama wanategeza viwete alf wanaombea nakanisan alf wananyuka watashindwa kutengeza iyo ya shehe
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Huyu jamaa muongo mimi nimesha mzalau siku nyingi kwanza uchawi tuu ndio ulomtawala hana ndini yoyote
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wewe kumbuka wako Duniani,Si vizuri kutaja majina ya watu au vitu vyoote waazi,Wewe kama huamini basi endelea na mambo yako,Sie tutamfuata,Tunajua mengi Duniani,Sikujua kama Waislamu ambao ni waganga wanakubalika ndani ya dini,Maana wakikujua ukiwa mkristo huruhusiwi tena,Sasaasingeshuhudia ningejuaje??na Muslamu kuokoka ni issue mpaka Nguvu fulani ije ndani ya mtu huyo
@tedynotes61484 жыл бұрын
Ubalikiwe sana
@samuelnduati97924 жыл бұрын
Jamani ushuhuda wa nguvu, ulipitia mengi mtumishi lakini hakika hakuna kama Yesu.
@halfaniland38504 жыл бұрын
We acha kukufuru. Soma Luka 6:12,13) Huyo aliyekuwa akiomba Mungu kwenye mkesha ni nani? Maana we umesema hakuna kama Yesu. Halafu kingine, si bora ungesema; hakuna kama Mama wa Yesu. Maana Maryamu ndiye kamzaa huyo Yesu. Soma acha kuropoka ndugu. Luka 1:30,31)
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
@@halfaniland3850 jaman naona kuulza mm mungu wa wakrsto ndojup asa plz nisaidie mana mm yesu najua binaadam hawez kuwa mungu mana kazaliwa et na maryam binaadam hawez kuwa mungu
@gladnesssidiu89454 жыл бұрын
@@mussaabobakar7537 bakini na iman zenu ila Yesu ni Bwana hata mkatae ....af kimewaleta nini huku kusikiliza shuhuda za kikiristo kama haziwavutii
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@halfaniland3850 hata Mama wa Yesu anamnyenyekea Yesu
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@mussaabobakar7537 Yesu alizaliwa kama Binadamu tu ili tusimuogope,Lakini alikuja akitoka Mbinguni aligeuka tu kuwa binadamu ili tumsogelee bila woga,Nafikiri Unahitaji kufundishwa Biblia au kuisoma ili Uielewe vizuri na Kwa Nini tunasema Yesu ni Mwana wa Mungu au ni Mungu
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Naomba nmba mishi
@YahayaRashid-w2f9 күн бұрын
Ebuachen uongo
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Makafiri wote wanadai ushahidi wao wa kuritadi watakwambia uchawi hawana ushahidi wa maandiko waongo sana hizi kuni za motoni
@evalinekitomary430716 күн бұрын
Hivi kwanini wapinga kristo na wafuga majininahasira sana Yesu kristo awaokoe
@user-mc2xd4eu2p16 күн бұрын
@evalinekitomary4307 tatizo makafiri wanatumia uongo wewe kila anaetaka Kiki anasema alikua sheikh sijawahi kuona sheikh alieritadi wengi elimu yao hata mimi hawanifikii na mimi sio hata mwalimu
@lucasgasper52354 жыл бұрын
Goood
@Summertm2 ай бұрын
1 John 3:8: Jesus came to destroy the works of the devil.
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kwani huyo mungu wa Waislamu asingekusaidia kuondokana na hiyo hali??mbona wanamuamini saana??
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Mungu hakai katika dini
@benedictmango95614 жыл бұрын
Safi sana
@sukumaganga26132 жыл бұрын
Huo ni uwongo mkubwa sana pia kama. Itakuwa kweli bc uislam hauruhusu mtu kuwa mchawi Wala wachawi kuwa ndo marafiki zetu wamelaaniwa wote wanafanya UCHAWI Ila sio dini ndio iinayoruhusu ni matakwa ya ya mtu binafs hata mm nilikuwa mkristo Leo mwislam nashukuru mungu kwa kuniongoa kila moja achek na nafs yake Ila awadanganye hao wa shetan wa mungu hatudanganyiki kwani mkristo akiwa mwizi ndo wakristo wote wezi? Tumieni akili
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Nakuelewa ila Waislamu wengi wakiwa wachawi wanaruhusiwa kufunga na kufanya Ibada zote za uislamu,Mkristo ukijulikana ni mchawi huruhusiwi kuwa kiongozi wa Dini fulani ya kikiristo,Amka
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hee pole saana umechagua fungu lako maana jehanamu inakusubiri
@paskalmichael66583 жыл бұрын
Tuchukue ushuhuda huu tupate kutubu. Bwana apewe sofa.
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
BAsi kama uli fundishwa uchawi huujuwi uslamu ndipo ukamfuwata pawulo ukawa mkiristo
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Naomb Namba z mtumsh
@edigamashauri74432 жыл бұрын
kaka kuna watu wanafura iya uchawi mm ninaushuda kuna mwana mke uku niriko nimutu muzuri sana kwamaneno pena mucheshi rakini niatari sana kwauchawi namakafara
@mwambakamata203010 ай бұрын
😅😅
@alimkumbukwa8363 Жыл бұрын
Naomb Namba mtumshi
@mamafloraofficial43159 ай бұрын
Nasikia huyu karudia uganga
@DIGNAJASTIN-dl8yj4 ай бұрын
Wew mama flora amekuambia kwamba amerudia uganga?
@wanyooshetv99872 жыл бұрын
ILI NI IGIZO TU HAKUNA MUISLAMU MWENYE MUONEKANO WA KIKAFIRI NAMNA HIYO
@mwambakamata203010 ай бұрын
😅😅😅
@fatmakhamis86053 жыл бұрын
Unajuwa wakristo munachekesha nyinyi munsema kwmba quran ni uchwi eti kwa kuw munziona kw waganga lkn leo ukiangalia gesti zote zimejaa bibilia hivi Ina maana mtu anapozini anapata ham ya kusoma
@ludovickharsonharson35643 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa mbavu zangu jamn hahahahaaaaa umekosa cha kuandika duuuuh,, umekuwa malaya mpaka gest zote unazijua
@jamesautomajorjimmy78953 жыл бұрын
Check mi nimetoka kenya saa si matusi au dharau wote hawa wanaotoa ushuhuda wengi ni waislamu na si vibaya lakini ukiangalia alishababu wote ni waislamu wanapigania Mungu wao badala Mungu wao awapiganie angalia kwa pande zote mbili yaani umbaya na uzuri wa kitu
@marselinadena76183 жыл бұрын
Gesti ziliwekwa kwa ajili ya nini? Ashukuriwe Mungu uliingia gesti na ukakuta biblia sasa kazi kwako siku ya hukumu hhuna namna ya kumwambia Mungu kwamba hukupata neno lake. Maana ushamaliza Gesti zote
@ramadhanwilbard81962 жыл бұрын
@@jamesautomajorjimmy7895 Shangaa kwanza wanaoabudia masanamu ya kuchonga heti ni mfano wa Mungu!
@lilianmugyabuso89082 жыл бұрын
@@marselinadena7618 Hahahaha umeongea vyema Siku ya hukumu asitoe sababu!umenichekesha sanaa
@nassorsalehsalum88523 жыл бұрын
😠😠😠 jinga sana
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Ila nakwambia tena mnajitahid kutuga vzr mana mnavo wafanya watu wawe viwete alf unamuombea et anapoa hahahahahaha
@sambajohn50154 жыл бұрын
OK je yesu akumpa uhai ndege
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Yesu anakupenda ndg krb kwa Yesu!
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Ila hakuna watu wabishi kama hiki kizazi cha 6...mnabisha kwasababu hamumjui Mungu wala uweza wake. Mwapotea kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli
@marselinadena76183 жыл бұрын
Yesu anakupenda
@bundamara80353 жыл бұрын
hata mim nilikuwa mbishi na mgumu kuelew km ww mussa lkn ipo siku yesu atakupa neem ya kumjua kwa maan ni kw neem tuu kumjua yy haswa ukiwa huko ulikoooo.
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Huko upande wa pili nasikia papa kawaamuru waoane mpeni mume huo alikua na jini mahaba huyo
@evalinekitomary430716 күн бұрын
Nikwambie tu kuwa papa sio Yesu kristo na sio kila mkristo ni mkatoliki
@user-mc2xd4eu2p14 күн бұрын
@@evalinekitomary4307 wakristo wote wapo katika upotezvu ndio mana mpaka leo mungu hawamjui wengine wanakwambia baba wengine baba ndio huyo huyo yesu yani mgongano balaa maandiko ya bibilia yana migongano hasa hizi barua za paulo ndio zinapoteza balaa
@mahshamwidaawaonlinetv42612 жыл бұрын
Ushuhuda fake, mbona anaficha sura yake? Anwani ya ushuhuda ni MCHAWI ALIYEOKOKA sio SHEHE ALIYEOKOKA
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Ushuhuda sio feki ukitaka kumshuhudia vizuri huyu bwana mcheki kwenye channel ya Davista Mata utafuatilia mwanzo mwisho sio audio ni video
@shafymtupili10752 жыл бұрын
Mchawi huyo
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Kwani kuwa sheikh maana yake Nini?
@mahshamwidaawaonlinetv4261 Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 Bwana Patason natumai umesikiliza ushuhuda alotoa huyo bwana, kwa madai yake na majina aliyoyatoa yeye amezaliwa katika dini ya Kiislamu lakini alipokuwa mdogo aliidhi uchawi na mtu mwenye kupewa mikoba ya uchawi huyo si mwingine ila ni mchawi. Ikiwa kaokoka na kumpokea yesu itakuwa ni mchawi kaokoka na kumpokea yesu sio shekhe kama anuani ya video hii ilivyo nakiliwa, ushuhuda wake nikuwa amekuwa mchawi na akajifunza mengi kuhusu uchawi , mfano mkristo anapoitwa kwenda kanisani hutumia kengel, muislamu hutumia mwadhini na wachawi kama alivyosimulia jamaa huyu alifundishwa kutumia aina fulani ya sauti. la muhimu adai kuwa amemupokea Bwana yesu akaokoka bila ya kujua kuwa ujumbe alopewa bwana yesu haukuwa ujumbe kwa watu wote ila ilikuwa ni ujumbe kwa makabila kumi na mbili za wana wa israeli, adai anamfuata yesu lakini kwa bahati mbaya Yesu atamkana siku ya kiyama.
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
@@mahshamwidaawaonlinetv4261Brother ,Muabudu Mungu wa mbinguni siyo Dini , Duniani Dini Ni nyingi sana,Wengi tunashika dini tukidhani tunampendeza Mungu , ukweli Dini zote Ni za shetani Wanadamu siyo Mungu,Watu leo wamefundishwa na kushika Mambo ya Dini zao,Moja ya Jambo shetani anafanya Ni kuufunga ufahamu wa watu ili wasimjue MunguSo kumuelewa Mungu Ni ngumu sana unahitaji Neema ya Mungu ili umuelewe na kumjua, ndio Mana wengine Ni wachawi washirikina waganga wa kienyeji,wafuga majini ,wanaoa wake wengi na walozi lakini wanaenda misikitini na makanisani na diniwanazo kwani Ni rahisi kuwa na dini
@abedichande24974 жыл бұрын
hapo ndyo me uwa nachoka ..sa kwa nn msiwe wazi kabsa mnaogopa nn wakati mmeisha okoka jaman
@sakisfidmasho63934 жыл бұрын
Abedi Chande anatumia hekima mana sio wote wana hekima na imani kama mimi na wewe na yeye .
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndugu Tumia hekima
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Tatzo lenu wakrsto jambo moja tu mnakosea mnapo tunga izo str zenu alokwambia uislam kufuga majini nan mana naona yote mmeshikilia ivo tu 🤣🤣🤣🤣 na awo wachugaji wanao fanya muijiza wao wann mashetan au hahahahaha
@hopedigitalmedia343 жыл бұрын
Mbona unateseka
@jamesautomajorjimmy78953 жыл бұрын
Ukisikia ulizia ukisikia mara moja ya pili fikiria mara mbili juu ukiona wenzio anyolewa makasi yale yale ita kupitia mombasani hizo vitu ni kama kawaida kwa nini jiulize kwa nini dugu yangu sikiza ukaelewe
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole saana mfuate nyumbani umkataze kuongea hayo
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Mungu Ni Mkuu sana, mpokeeni Yesu Kristo Waislam na Wakatoliki mnapotea sana,hammuabudu wa mbinguni mnaabudu Dini,Dini siyo njia ya kwenda mbinguni ,Yesu Ni NJIA na KWELI na UZIMA Hakuna awezaye kumcha MUNGU bilà Yesu Kristo
@salimahlokoh96992 жыл бұрын
Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@sukumaganga2613 Жыл бұрын
Yaan makafiri mnajitahidi sana kuua uislam ila hamtaweza Kwa sababu alieileta hiyo Dini ni Mungu mwenyewe sasa ww mwanadamu utawesaje kuuzima thubutu ndo kwanza ulaya wanasilim kama mvua na makanisa kugeuzwa kuwa misikiti hafu wale mnaosema.yesu anawajua dozi yangu Luka 13:25-30 zawadi yenu pitia hiyo Aya karibu ktk Islamic utaenjoy mwenyewe maana Kila mtu atabeba furushinlake mwenyewe hakuna Cha yesu kubeba dhambi zako Wala nn achani ujinga huo kama yesu amebeba dhambi Kila jumapili mnaendaga kulilia Nini makanisan mbona waajabu hivi nyie duh
@bamanyasalvius123 Жыл бұрын
@@sukumaganga2613 Kaffir wa nyoko
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Huyu anataka mume huko kwa papa ruhusa kuolewa mpeni mume huyo
@barakampunga8121Ай бұрын
Waislamu achen matus na makasrko nyie mnaslrimisha wakriso wa kawaida Sisi wanartadi mashehe Kimberly inawaume Eeeh