Part1_USHUHUDA WA REGINA ALIYEKUWA MALKIA KUZIMU KITENGO CHA MUZIKI NA UMISS(Devil Within Churches)

  Рет қаралды 16,139

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 38
@kanyinginjoroge
@kanyinginjoroge Жыл бұрын
Hakuna raha kwa Shetani. Tutulie kwa YESU Kristo mwana wa MUNGU.
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 Жыл бұрын
Hakika
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Жыл бұрын
Jacktan mimi hapa npo Kenya je hicho kitabu cha huyo dada cha huo ushuhuda takipataje
@georgie8538
@georgie8538 Жыл бұрын
Ushuhuda upo vizuri tunamshukuru Bwana Yesu ila ninkama unavuruga huo ushuhuda kwa kuuliza maswali amabayo yanamtoa kwenye mtiririko was kusimulia.
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 Жыл бұрын
Karibu tena BURUNDI kwetu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 JACTAN MSAFIRI , karibu BUJUMBURA na AMIEL KATEKELA!!!
@gerardineakima1766
@gerardineakima1766 Жыл бұрын
nukuri nibaze gose
@sallymumia8425
@sallymumia8425 Жыл бұрын
Thank you so much for bringing this lady.promover tv
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndo ule umiss kwa Nabii mkuu duh Geo Davie unaua roho nyingi saana
@geofreyndambo8635
@geofreyndambo8635 Жыл бұрын
Ule umisi ni ushetani
@quintavitalis926
@quintavitalis926 Жыл бұрын
Hakuna furaha nje ya Yesu Kristo
@endlessloveofchristlovewor9991
@endlessloveofchristlovewor9991 Жыл бұрын
Luke 11:34 King James Version 34 The light of the body is the eye: therefore when thine eye is single, thy whole body also is full of light; but when thine eye is evil, thy body also is full of darkness.
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
Blessed kaka jacktan
@austineouma4270
@austineouma4270 Жыл бұрын
Morning, sauti ongeza kiasi
@angeliquentakirutimana
@angeliquentakirutimana Жыл бұрын
Na mimi nasema karibu kwetu huwa ni kusikiliza sanaa vipindi vyenu
@evelynetitus974
@evelynetitus974 Жыл бұрын
Ndo maana tunashauliwa kuwaombea watoto wetu sanaaaaaa hasa sisi wanawake
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Yani shetani analogies kila kitu kwa mungu
@millicentanyango526
@millicentanyango526 Жыл бұрын
I get you promover tv clearly
@lydiahnabwire128
@lydiahnabwire128 Жыл бұрын
Na sisi wakenya twakipata vipi kitabu hicho please we need it.
@happynessdavid7921
@happynessdavid7921 Жыл бұрын
YESU NIFUNIKE KWA DAMU YAKO YENYE NGUVU
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Kuzim wanakatazwa kutoa sadaka kwa watu wa duniani hiwa zinaenda kwa watu watu wao
@patrick55143
@patrick55143 Жыл бұрын
Kwa yesu inatosha
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 Жыл бұрын
kitabu kizuri, je nikienda Arise Fm naweza kukipata?
@WakioKyalo
@WakioKyalo Жыл бұрын
Jesus Christ help your children
@gerardineakima1766
@gerardineakima1766 Жыл бұрын
Abarundi dukurikirana hano hantu munyiyereke plz
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Жыл бұрын
Hicho kitabu ni pesa ngapi
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 Жыл бұрын
Polesana dada ibilisi alikutumia sana shalazima usome neno la MUNGU sana tena sana maana naona ugali naomba kupitia wa MUNGU wawili jua kwaba MUNGU nimmojatu alie kuja duniani kwamfano wakibina damu pili unapo sali lazima ufunike kichwa shako neno la MUNGU aliwezi kujipinga soma 1WAKOROTHO 11:5-6 soma 1TIMOTHEO 3:16 soma WAKOLOSAI 2:9 sama ISAYA 9:6 soma1TIMOTHEO 2:5,6 soma WAKOLOSAI 1:14-15
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kiswahili chako kigumu kuelewa mimi sijaelewa ulichomaanisha
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 Жыл бұрын
Nmefurah sana unajua sana maandiko ila mbona jina lako fatuma nauliza tu si kwa ubaya
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 Жыл бұрын
Sheria ya kufunika kichwa aliisema wapi Bwana Yesu?
@tonny_n
@tonny_n Жыл бұрын
​@@josephatjoseph1755swali zuri sana😂
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 Жыл бұрын
@@josephatjoseph1755namajina ya ta ukumiwa ? matendo yako ndo MUNGU anagalia siyo majina
@godfreymollec8206
@godfreymollec8206 Жыл бұрын
Kwa nini mtu alietoa kafara anamuriwa kuwasaidia masikini na mayatima?
@SelestinaJoshua-pn4zv
@SelestinaJoshua-pn4zv Жыл бұрын
Kufanya hivyo ni kujificha watu wasimgundue kirahisi
@phieh
@phieh 8 ай бұрын
Na pia ni kupandikiza roho za kishetani kwa watu,tuweni making Sana na misaada.
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 44 МЛН
Alat yang Membersihkan Kaki dalam Hitungan Detik 🦶🫧
00:24
Poly Holy Yow Indonesia
Рет қаралды 11 МЛН
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,3 МЛН
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 83 МЛН
USHUHUDA WA ALIYEKUWA KICHAA ANAYEISHI MAKABURINI
49:09
PROMOVER TV
Рет қаралды 15 М.
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 44 МЛН