Mashallah adhana ikilia mashetani hayawezi kufurukuta mimi ni mkristo lakini kuna nguvu ya Adhana imeniingia
@kelvinpeter566611 ай бұрын
Haujui kitu
@LugyMwasi Жыл бұрын
Daaah uyo paster kanikumbishaa nyumbn kyela boda ya malaw
@chalachalamandamgambe Жыл бұрын
Hivi yusu nae kumbe ni mungu hafu na hamsemi, leo mchungaji jambazi katuambia.
@rayahamisi118 Жыл бұрын
Jamani kujeni washindani😂😂😂😂😂 anatupiga na kitu kizito
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Tatizo siyo kujua uislamu wala nini cha msingi nikuifahamu kweli! dini haina lolote tu chamsingi nikuifahamu kweli! Ubishi hautakuoa, jina la Yesu tu ndiyo walililopewa wanadamu mengine ni kueneza dini wala siyo wokovu au ukombozi! Anayebishana twende kwenye maombi tuone ninani mwenye nguvu au la!
@rayahamisi118 Жыл бұрын
Wacha nipite😊😊😊😊
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Kubishana wao wanaufahamu kwani shetani ni lini anapenda vitu vyake viwekwe wazi! Lakini neno la Mungu Yehova yuko wazi. Shetani alimwambia Yesu amsujudie akamlipua mwingine akakubali kumwabudu joka!
@anaabsaid3544 Жыл бұрын
Ntakuza juu tukufundishe elimu yako ndogo sana jambazi we jifiche kanisani uwe na makondoo wako
@SarahMakongoro Жыл бұрын
hii Dunia ina mambo kaka davista Asante kwa kutujuza
@salimbaalwy93888 ай бұрын
HONESTLY IS THE BEST POLICY.
@LightnessMkama-z5n18 күн бұрын
Sasa mbona akukupeleka uwaone wazazi wake
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Yesu alisema ninazo funguo za mauti na kuzimu, akuna yoyote aliyeweza kutamka hilo!
@damarisnjerichege100 Жыл бұрын
This story is so good
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Nawewe unayesema muongo siulete yako unayoyajua?
@sukisa1234 Жыл бұрын
Jamaa kajaribu kuifupisha story lakin davesta umempelembaaa mpaka mwendelezo umezidi kunoga karbu kaka jambazi😊😊😊
@abdullahjongo Жыл бұрын
DAH!! HUYU JAMAA NI MUONGO SANA!!
@abumuhamadmujahid30762 ай бұрын
Ila jamaa hapo usha anza kudanganya
@abumuhamadmujahid30762 ай бұрын
Lakuskitisha si uislam wala ukiristo bado huujui kwa uhalisia wake.
@rajabungatanda630 Жыл бұрын
Uyu amevurugwa na roho nyingi za watu alizoua Na mali alizo nyang'anya
@graceshayo5763 Жыл бұрын
Huy kka anaonekan alikuw mtata alivompole sas sura yke
@oyay2821 Жыл бұрын
Huyu sio Jambazi ni mtangazaji dini ya X-tian. Hio story za ujambazi ni kusingizio tuu.
@JonsonLazaro-jn9jc Жыл бұрын
Waeslam wakiona kitu Cha dini Yao kimetajwa hua wanachukiaga Kwa nn mtu anatoa ushuhuda wake unakasirika Nini
@Adammbogo Жыл бұрын
Azana bwana
@smartjayrockcity4344 Жыл бұрын
Mungu wa kweli awezi kuombwa na mtu kufanya dhambi inamanisha wewe ulikuwa na pepo
@AishaKimaro-od8nh Жыл бұрын
Huyo Mzee aache uwongo nani kamwambia kuruani ni shairi hapo anageuza maneno hayo maneno anatamka hapo sio ya kweli kumtaja bi Aisha yenyewe hawez kumtamka mtume hajawah kumsujudia yeyote zaid ya mwenyezimungu pekee acha kumtamka maneno ambao hujui ukibadilisha neno moja umebadilisha maana ya neno hujasoma kasome upia
@anaabsaid3544 Жыл бұрын
Luck of education and knowledge-- fake human being
@ZaynbJimmy Жыл бұрын
Eti nilikuwa nawakaba majeshi jeshi gani huyo. ?njoo utusogelee uone we mjinga sana kadanganye kanisani ,jeshi hakabiki yaan ningejuwa ulipo ningekufata live Tena pekeangu nikakuonyeshe kwamba jeshi la Wana nchi tuko imala ,na hayo mazoezi yako yote asili yake nikambini kwetu tuna style zote za karate hapa utatueleza nini ?kakabe mgambo huko ,
@HezronKilongo Жыл бұрын
Ww wanajesh kibao wanayakanyaga mtaan wanapigika vizuri too kwanza asha sema Kuna wengine hawakabiki.
@rajabungatanda630 Жыл бұрын
Ndugu umehisi kujua Lkn haujajua uhalisia wa dini Kwahiyo usijaribu kuingia ktk elimu ya kiislam wakati ata theluthi ya lugha ya kiarabu ujui Cha msingi endelea kutubu midhambi yako ya kuuwa roho za watu na kunyang'anya mali za watu
@damasiibrahimu8892 Жыл бұрын
Ninyi mna mission tofauti na story mliyotunga Uislam hauwezi tingishwa na vijitu viwili
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
Hamtaki kuambiwa ukweli. Ucjaliii we baki na uislamu wako, utajionea siku mmoja.
@ZaynbJimmy Жыл бұрын
Yaani hili jama niliongo linatunga stor zakipuuzi linakuna kudanganya hapa eti mungu wa ukweli ni yesu acha ujinga kandanganye wakristo wenzako kanisani na kitabu chetu tuachie wenyew kachezee bibilia tu
@OscarMuhumenya-yc4ot Жыл бұрын
Tuliza mushino uambiwe ukweli
@eliadaniel216 Жыл бұрын
Tuambie wewe Mungu wa kweli yupo wapi...??? Mtu anapotoa ushuhuda kwa njia yoyote Ile ya mapito Huwa hafichi dini mbona alianza kuusema ulokole mpaka kufika hapa islamic mmeanza kutoa povu 😂😂
Huujui uislam wewe, please usiusemee. Inawezekana shetani ndio alikufundisha hayo ili upotelee huko ulipo sasa awe amekupata milele. Hujui hata kutamka maneno hayo ya kiislam, mimi ninayejua nimekereka jinsi ulivyoyatamka.
@MichaelMathew-ke6bi Жыл бұрын
Unakereka nini sasa wakati jamaa yuko sawa tu
@Hussein-gx4qu Жыл бұрын
We acha kupotosha Kwa makusudi. Jinga wewe huna unachokijua hakuna Aya Wala Hadith sehem yeyote eti Muhammad alitokewa na kiumbe na kikamwambia akisujudie hata katika vitabu vya history huwezi Kuta huo uongo wako. Mkiwa mnadanganya muwe mnajipanga yaani unadanganya Hadi unaumbuka mwenyewe. Na kila anasikiliza anajua ni kweli unadanganya we hujioni kama unajiaibisha ?
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Hussein una uhakika kuwa hakuna kitabu wala hadithi iliyoandika hayo huyo mtumishi amesema au ni mihemko yako?
@Hussein-gx4qu Жыл бұрын
@@mahershalalhashbazi2189 ndio hakuna na kama sehem hiyo IPO aseme ni Aya gani na katika sura gani. Au kama ni hadithi. Ni hadithi nambari ngapi na katika kitabu gani mtume Hadi anakufa hakukuwahi kutokea kitu chá namna hiyo. Et sijui kiumbe kikamwambia mtume akisujudie aachê uongo na propaganda za kishenzi ye kama ana chukua na uislam aseme ila saio kuzua mambo ambayo. Hayapo.
@zulfamnzava1042 Жыл бұрын
Uyo jama muongoz xana hawezi kutaja hata majnia kisilamu xx hiyo kurahani alisomaje muongo huyoalihadisiwa