Alijifanya naye ni mganga,akamgeuka mganga mwenzake na kumuibia pesa
Пікірлер: 85
@dianafredy38872 жыл бұрын
Jamani uyu mtumishi auchoki kumsikiliza mahubiri plus story..barikiwa mtumishi wa Mungu
@user-eu6ql9zl7n6 ай бұрын
Asante kwa mahubir mazur ila hilo pambo la nyekundu na jeus !!Msipambe kama kwa mganga wa kienyej
@norahmogiti6849 Жыл бұрын
Powerful message,it is a reality to many Blessings Blessings Blessings
@dianafredy38872 жыл бұрын
Jamani uyu mtumishi auchoki kumsikiliza mahubiri plus story..barikiwa mtumishi wa Mungu
@mariamushendwa82712 жыл бұрын
Haswa huchoki. Si kawaida. Mungu yupo ndani yake.
@restituta52062 жыл бұрын
Mungu akubariki kila iitwapo leo Mungu akutangulie .Mungu uyuuuuu! ASANTE YESU.
@anastasiaatieno8504 Жыл бұрын
Yesu anaweza kubadilisha. Alimbadilisha Sauli akawa mtumishi.
@elnessyambakisyeft.essauel6942 жыл бұрын
Unanibariki mno mtumishi. Yaani ushuhuda wako uko sawa na mdogo wangu jamani, lkn madawa yalishamuathiri. Maana na yeye alikuwa kiongozi wa uhalifu na mpk south ameenda alikamatwa na wenzake akarudishwa TZ., Yupo tu kwasasa anasaidiwa kila kitu. Una haki ya kumtumikia Mungu wako kwa nguvu zako zote naelewa Sana unachoshuhudia ndio maisha ya mdogo wangu kabisa.
@daniellukumay456510 ай бұрын
Aminaa mtumishi wa mungu nabarikiwa na ushuda wako
@user-xf1jp4tm2b5 ай бұрын
Hongera mtumishi kwamahubiri mazuri na mimi naitaji uniombee ili mungu atende nakwangu
@marywanyama22162 жыл бұрын
Mafanikio ya mungu aina majundo nasikiza nikiwa Nairobi Kenya 🇰🇪
@LuciaAloyce-pp9ei Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu uko vizuri ninabarikia kwa ajili ya ufunuo wa Mungu ndan yako,safi❤❤
@JoyceKithi Жыл бұрын
Asante mungu azidi kukupa maufunuo ya ndani zaidi
@JoyceKithi Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi,bwana ailinde kazi yake ndani mwako
@user-qy2qj3bj2f10 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu mafundisho yako hunifanya kuimarika zaid ki Imani Sana Mungu akupe miaka Mungu akupe mafunuo zaid
@mediavumbi9243 Жыл бұрын
Mungu akutumiye zaidi ya kawaida👏👏👏umenibariki sana
@dianajepkoech55632 жыл бұрын
Alleluuuuya...barikiwa sana🇰🇪
@lynejeroo8912 жыл бұрын
Already lam blessed pastor be blessed More 🙏🙏
@joychumbaa68962 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi shuhuda zako cnachekesha tena zina chenga kimahani from Kenya 🇰🇪
@alicekirigo76412 жыл бұрын
be bssd my brother , Alice from Kenya I like your preaching .
@pamelakarimi3309 Жыл бұрын
God bless you for the powerful word
@edithmavia72022 жыл бұрын
Mtumishi mungu akubariki sana
@elviskiptoo10812 жыл бұрын
May the almighty God use you in the mighty way
@rehemamagelanga201910 ай бұрын
Amina mtu wa mungu unatujenga kiamani
@janetybubegwa52722 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi neema ya MUNGU izidi kwako
@julianambone95842 жыл бұрын
Barikiwa sana🇰🇪
@fatumakalunga28522 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwaushuuda wako, unanijenga sana
@milkarogers8130 Жыл бұрын
You make it real and may can identify themselves 🙌🏿👃🏽
@meshamimi43742 жыл бұрын
Amen nnabarkiwa 🙏
@elviskiptoo10812 жыл бұрын
So powerful word, it's true
@user-nb2xb3vb3y8 ай бұрын
Mungu endelee kukutumia tu I'll tupone wengi
@user-xv8ji2bl1r10 ай бұрын
Mtumishi ❤mungu awe nawe unaeleweka vizuri sana katika ushuhuda wako
@marywanyama22162 жыл бұрын
Aki mungu ni mkuu ni barikiwa sana ushuda
@denisijosephat23612 жыл бұрын
Asante pastar.
@joramumeshack6950 Жыл бұрын
Emeee balikiwa pastor
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Hallelujah 🙌 naijulikane kua Mungu upo 🙏
@irenezemei39922 жыл бұрын
That is very true man off God
@benedictmuange2476 Жыл бұрын
Great great ,,,paster
@jacklinemapesa370 Жыл бұрын
Ameen Glory to God
@jacintamisiko9962 Жыл бұрын
Amen haki nimekuwa kwa giza
@happykajeli54532 жыл бұрын
Amina baba
@stellahmunisi1174Ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi mahubili yako yananigusa
@oliverkimambo2 жыл бұрын
Amina barikiwa
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Ameni hakuna kukata tamaa hapa lazima tushinde KWA jina la YESU
@Joshuawamalwa026 Жыл бұрын
Napenda kukusikia saaana.joshua (kenya)
@mckombe7200 Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@sarahyego3762 Жыл бұрын
Aminaaaa
@carolinatarzen23892 жыл бұрын
🙌
@wmunyiva1811 Жыл бұрын
Nakupata nikiw Nairobi kenya
@johnsylivester84122 жыл бұрын
Jamani mi nipo kinyerezi nielekezezini kanisa lipo wapi
@user-hh8eq7mn8k10 ай бұрын
Nataka kwenda kanisan kwako
@joycesanga69512 жыл бұрын
Amina
@mombo-rd6cc6 ай бұрын
Amen
@milkarogers8130 Жыл бұрын
Pastor andika kitabu pls
@anastasiaatieno8504 Жыл бұрын
Ameen
@jonathanjeremia3125 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@moseskingu72382 жыл бұрын
Mungu anamuongoza
@oman7985 ай бұрын
AMINA
@aikamichael4700 Жыл бұрын
Mchungaji habar Mchungaji natala kuja kanisani kwako naomba unielekeze jinsi yakufika
@emilynechesa4912 Жыл бұрын
Mungu alikua mbali mtumishi... kupitia ushuhuda wako watu waka badilike
@jacklinemapesa370 Жыл бұрын
I receive in Jesus name
@jacklinemapesa370 Жыл бұрын
Ameen in Jesus name
@michaelobed3022 Жыл бұрын
anaweza kuwa labda bado tena anajifanya mchungaji ili aendelee kuzipiga nyingi
@graceasagwile83622 жыл бұрын
Ubarikiwe asikiae na asikiae Roho wa Bwana anarekebisa yeye anamakusudi na mtu hapa apone
@oliverkimambo2 жыл бұрын
Ameen nimebarikiwa
@lilymwasi1221 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@dorcasdesignshegwando58132 жыл бұрын
Namba ya mt pls
@trophywilson72112 жыл бұрын
Duuh Watanzania Kweli kuokoka wanatoka Mbali mno wengine wanaigiza tu