Mungu awatumie malaka wake wamsaidie na wamponye popote alipo Paul Makonda
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Makonda yupo kwenye MFUNGO anaongea na kumuomba Mungu wake mfumgo wa siku 40 wala tusiwe na waswas Anaongea na Mungu wake
@samwelshepa84432 ай бұрын
Mfumo wa serikali ya CCM wanaogopa sana mabaki ya Magufulification. Yeyote anayejitokeza wanawatisha kwa kigezo Cha kukiuka za binadamu ama wanammaliza faster.
@methewbuzuruga-eg8oz2 ай бұрын
Huyu akifa ndiyo sasa kutaonyesha ni kwanini wazelendo tu itabidi iwe vita baridi siyo kwa sumu tena live live au kimya kimya kwa sababu tunitafuta hiyo chupa ya sumu inayogharimu maisha ya watu nakumbuka mheshimiwa mangula ili mkosakosa kwa hiyo lazima tuandae kauli mbiu tokomeza sumu
Hivi angekua nduguyo ungesema kujikomba Komba Kila afanyae kazi vzuri hupewa heshima yake Hala au wewe ndiye ulimkosa uenezi ukampata kwenye ukuu wa mkoa dhambi itakuotea maisha mile ogopa nafsi
@verdianabanabi22052 ай бұрын
Upo sahihi yaani kama watakuwa wamemdhuru au kumuua wajue wanatafuta mabaya kwa watu wasifikiri watz wote ni nguruwe.
@albertinamichael61232 ай бұрын
Viongozi wa CCM wengi ni wahalifu walio kivamia chama.
@kasongoIDDi-mx7gz2 ай бұрын
Hawawezi wako wenye wivu
@peternyamasiriri54502 ай бұрын
Serekali inashikwa na kigugumizi gani? Kueleza wananchi kiongozi wao alipo au kuna nini?
@KisakaMvungi2 ай бұрын
Acheni kujikombakomba kuwa Makonda ni mchapa kaz sana Kila mtu ana haki ya kuishi na kuwa huru hata kama ni mkulima wanaopotea nchi hii ni wengi
@JamesMduma2 ай бұрын
Wewe acha ujinga huo uhuru unaipata wapi au huoni walioko juu wanavowaonea walioko chini makonda anafungua kichwa walioko chini au na wewe ni bepari Nini?
@JamesMduma2 ай бұрын
Maana hii nchi sasahiv wamesharudi wanyima Amani utasikia mtu anasema unanijua Mimi ni Nani kwa Marehemu haikuepo bhana na wewe ni mmoja wa mabeberu walafi wa madaraka watu wananyimwa haki zao makonda kaziridisha alafu unaongea ropo ropo tu achana na makonda ni levo nyingine kama wewe ni kiongozi tuambie unaongoza Nini labda kama ni kiongozi wa kuchunga ng'ombe hapo takuelewa
@bcozhenry26982 ай бұрын
@KisakaMvungi upo kwenye genge la kumhujumu Makonda? Umeshiriki kumpoteza? Mbona unalazimisha watu wanaojua umuhimu wake wawe wapuuzi kama wewe?