PATA MAKAZI BORA NA YA KISASA KIGAMBONI DAR ES SALAAM

  Рет қаралды 25,031

Shirika la Nyumba la Taifa

Shirika la Nyumba la Taifa

Күн бұрын

Пікірлер: 48
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 5 жыл бұрын
Ndani mnakosea kujenga kana kwamba wanunuzi wote wanafanana, jaribuni kujenga kwa style tofauti na kuweka kama samples na kuruhusu wateja kuja kuangalia samples na hapo ndo mnachukua maoni ya aina gani za nyumba mjenge. Sio mnajenga nyumba nyingiiii ambazo ni mawazo ya mtu mmoja tu (mchoraji). Hizo nyumba watanunua watu amabao hawajaona nyumba sehemu zingine. Build more contemporary styles zenye muonekano wa kuvutia kwa kutumia vifaa hivyo hivyo mlivyotumia. Vyoo pia viwe vikubwa na kuwe na closets sio lazima mtu kununua mikabati kujaza vyumbani na jikoni. Kuna michoro ya bure online kwanini msiangalie na kujiongeza kidogo. Hizo nyumba hazina tofauti na zile za zamani za polisi kota na National housing za mikoani na Magomeni.
@kilimanjaroflavour
@kilimanjaroflavour 3 жыл бұрын
Yaani umeseka kila kitu nilichokua na waza sana. Tatizo la watanzania hawako exposed kabisa. Wangetoka hata nje ya nchi kuchukua ideas kwa nchi jirani.
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Umenisuuzaa Mana kila ulixhosema ndo nakiwaza iv kwann wasiulze au kuomba ushaur Jamani Aya mitandaon awaon wamezipanga vizur lkn ndani majanga matupu Yan apo jikon loh majanga Amna makabati wanakaa chin au ndo bas na hiyo master mbona Haina choo jamn au master kwakua Ina pembe
@birianination7097
@birianination7097 2 жыл бұрын
Hivi inasaidia kujenga kwa garama nafuu hivyo kusaidia watanzania walio wengi kuweza kumiliki nyumba kwa bei nafuu.
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Utafikiri vikota vya polisi au magereza. Kwakweli nunueni tu,kha!
@jafetiwilson8092
@jafetiwilson8092 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,,nimezipenda nyumba zenu
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 2 жыл бұрын
Karibu saana
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 5 жыл бұрын
07/11/2019 Leo nauliza hizo nyumba bado zinapatikana? Pia naomba bei yake
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Mnaboa sana semeni bei
@jacksommndellah7794
@jacksommndellah7794 4 жыл бұрын
Barabara zarami sasa kwenye iyo mitaa au muanze kujenga barabara zamitaaa kwanza alafu nyumba itapendeza sana
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 5 жыл бұрын
Nawapongeza sana mnaboresha mazingira ila mnachafua kwaiyo miwaya ya umeme kukatiza juu kilamahali kama tupo gugulethu South Africa
@ShirikalaNyumbalaTaifa
@ShirikalaNyumbalaTaifa 5 жыл бұрын
Ahsante kwa maoni yako tunayafanyia kazi.
@yaimuganyizi1026
@yaimuganyizi1026 4 жыл бұрын
Natamani mngekuwa mnauza tu viwanja maana hizi nyumba design bado ni changamoto sana, ni za kizamani mno hadi zinakatisha tamaa kwakweli. Pia zipo karibu mno, au inawezekana mtu kujijengea uzio wake? Location nzuri sana, hapo ndo mlipatia.
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 Жыл бұрын
Hawa watu wavivu sana kufikiria, wanawaza kupiga tu. Nyumba zao labda ninunue then nibomoe😂
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 5 жыл бұрын
Mbona landscaping/ bustani hazijatunzwa? Na ni nani yupo responsible kutunza bustani na mandhari? Au nyasi zikishaota ndiyo chaka.
@vibestudio4707
@vibestudio4707 4 жыл бұрын
BG up NHC
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Story nyiiiiiingiiii bei.gani sema.acha story
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Nyumba nyingi za nhc zinaibwa sana vifaa ukiingia au kununua ndani ya miaka 3 tu kila kitu kimeharibika tunataka garantee miaka mingapi kabla haijaharibika
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 4 жыл бұрын
Nzuri maana ata hiyo sina
@horizongroup-tanzania6363
@horizongroup-tanzania6363 2 жыл бұрын
Akili hewa kabisa! Eneo ni zuri sana lkn nyumba bure kabisa
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 5 жыл бұрын
Hii ni 2019 bado zipo?
@MWALIMUMBUNIFU89
@MWALIMUMBUNIFU89 4 жыл бұрын
VYOO VYA KUKAA SIO DEAL, BADILISHENI MIFUMO YA VYOO
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Siku ukitimiza miaka 45 hadi 60 utajua faida ya choo cha kukaa au ukiugua
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 5 жыл бұрын
Jengeni nyumba zenye mvuto wa kisasa sio kama Nyumba za zamani. Hakuna mvuto kabisa hapo, sijui wahandisi wetu wanakosea wapi
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 4 жыл бұрын
mbona Hii mijengon imerudi ZAMANI. msambusa hauna dili fatilia nyumva za ulaya na Philippines
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Pandisheni msangi. Hizo.nyunba maua ikikazia maji.yanajaa.ndani
@bibimzee7880
@bibimzee7880 4 жыл бұрын
Jee mtu wa kigeni mnasuhusu kuja kununua mnaruhusu
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Nyaya za umeme zingepotishwa chin kuepusha kizogo #NSSF
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 4 жыл бұрын
Eeh Joseph Haule nikajua ni yule Pfofesa wa hip hop kumbe...!
@rukiabaybe8594
@rukiabaybe8594 4 жыл бұрын
Hata oman kunahali nyumba zimefanan zote nyeupeee wengine wamenunua na wengine wanarent
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Nyumba zenu haziendani na ramani au miundo ya nyumba za kisasa ramani zenu ni za kizamani nendeni na wakati
@marionntomola1686
@marionntomola1686 3 жыл бұрын
mh!
@hanifawaliya7976
@hanifawaliya7976 5 жыл бұрын
Hapo si kama unaishi kambini tu. Ndo mambo ya kuvizia wake na watoto wa watu hapo
@daliamtanganaki6687
@daliamtanganaki6687 4 жыл бұрын
Hahahahaa hanifa kweli kabisa kama ulikuwepo, hapo ni vishawishi vya kutosha
@kilimanjaroflavour
@kilimanjaroflavour 3 жыл бұрын
Yaani hilo jiko mungu wangu! Ni nani ali design hizo nyumba🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@RamadhanMbwana-o1j
@RamadhanMbwana-o1j Ай бұрын
Bei?
@eddietaz710
@eddietaz710 3 жыл бұрын
national housing wanatakiwa kutafuta mtu awafundishe kupaka Rangi,
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 4 жыл бұрын
Hizo kota
@rehemaradhid5716
@rehemaradhid5716 5 жыл бұрын
Nzuri bei gani
@rehemaradhid5716
@rehemaradhid5716 5 жыл бұрын
Zinauzwa bei gani
@ladylady8440
@ladylady8440 5 жыл бұрын
Bei
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 3 жыл бұрын
Shida Vijumba Vyenu Mnajengaga Vyumba Vidogoo Yaani Hizi Zinafaa Kwa Mabachelor Ila Sio Mtu Mwenye Familia Kwani Mkijenga Nyumba Nzuri Zenye Vyumba Vya ukubwa Mzuri na Vyoo Mkaweka Vya Maana kutakuwa Na Shida Gani
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 3 жыл бұрын
Huwez ku sustain haja ya kila mtu, ndo maana mtu hajazuiwa kujenga ya kwake kwenye kiwanja chake.
@upendolema3323
@upendolema3323 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi umejibu vema👏
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 2 жыл бұрын
Magufuli oyeee
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Tqtizo mnaficha bei kaa na nyumba zenu
@omarikessy2339
@omarikessy2339 6 жыл бұрын
Bei gani?
MAISHA NI NYUMBA: ECO RESIDENCE
31:51
Taste of Luxury
Рет қаралды 14 М.
ENEO LA URAFIKI UPANGISHAJI UNAENDELEA, NA HIZI NDIZO TARATIBU ZA KUFUATA. FURSA HII HAPA
30:58
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
ROSÉ & Bruno Mars - APT. (Official Music Video)
02:54
ROSÉ
Рет қаралды 139 МЛН
MAKABIDHIANO YA MRADI WA MOMBASA KWA MCHINA
3:15
Shirika La Nyumba Zanzibar
Рет қаралды 827
NHC YAJIKITA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJENGO YAKE MKOA WA KATAVI. PART 01
15:46
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 1,3 М.
🇹🇿 IPO KIGAMBONI-KIBADA JE UNAHITAJI KUMILIKI NYUMBA DAR ES SALAAM INAYOUZWA KWA BEI NAFUU?
6:53
Aisam Bestland [Property Channel] Viwanja Town
Рет қаралды 8 М.
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН