I am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde
@salminasalim56308 ай бұрын
True he's a good guy and a good hearted man very polite protect all poor people and disabled human being may God continue blessing and protect him Aimen
@Mwarobaini3 жыл бұрын
Huyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana.
@frankkassongo66393 жыл бұрын
Best interview of 2021 🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥 Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka.
@tatukapilimba45353 жыл бұрын
Huyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka
@aminmohammed42493 жыл бұрын
Hamna kitu hapo we bwege!
@eddymatrix87043 жыл бұрын
Dah nimepaenda msemo uliosema kukosea sio dhambi..Asante paul
@joycelambwe90163 жыл бұрын
Huyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee.
@isackmachiyanshoka67544 ай бұрын
Upo sahihi makonda❤ much love🙏
@vickykapama83863 жыл бұрын
Mheshimiwa Makonda Hongera sana Mkuu💜💜
@user-tq7yh5mo9m8 ай бұрын
Mweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali
@samsonmaurice103 жыл бұрын
Nimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini"
@jamessilwamba42593 жыл бұрын
ushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word
@danieljohn38362 жыл бұрын
Mungu akulinde na Kila lililobaya,
@Hillaryedith73 жыл бұрын
Well said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring !
@harrieth568 ай бұрын
Am.proud of you so
@najma32683 жыл бұрын
Interview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli
@mustafajumajuma22263 жыл бұрын
Alikuwa kama Mungu Mtu
@kyaruzidativa93983 жыл бұрын
Wewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda
@africa74793 жыл бұрын
Nimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana
@haroldtere75153 жыл бұрын
Ongera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo!
@sylivanussyliacus50643 жыл бұрын
One love my up coming Rule Model
@eyumededu29483 жыл бұрын
Nampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo Nakuombeq kheri baba
@user-rs6lw3hy7t8 ай бұрын
Nice interview brother
@rizikimgimba84433 жыл бұрын
Makonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili
@theophilmakumbuli8 ай бұрын
,,,💪💪💪 unatisha sana
@salomewandya72573 жыл бұрын
Congrats Paul Makomda👏👏👏
@chalodavid45372 жыл бұрын
The real son of Our Legendary Lt JPM
@johnntabagi88613 жыл бұрын
Makonda makonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali
@salomembasha71003 жыл бұрын
wise interview
@halimamasai22343 жыл бұрын
Hongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah
@edsonguja5471 Жыл бұрын
Kweli w kolo unamsubiri na mama yako
@emilymideva87833 жыл бұрын
Woow nice interview mr muheshimiwa makonda #lv frm kenya 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@radhiasalum71563 жыл бұрын
Nakukubali sana we mzalendo moka akusimamie
@evambughuni53243 жыл бұрын
🥰🥰
@subirajohn7283 жыл бұрын
Nakukubali sana Bro!
@justinamautice97303 жыл бұрын
Namkubali sana huyu kaka no matter what...
@theophilmakumbuli8 ай бұрын
Mngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka
@namukwayamweshihange88663 жыл бұрын
Nikweli kabisa very intelligent. Well done
@innocentwilliam12143 жыл бұрын
Alisema wakufunzi wanafundisha angali hawawezi kuongoza hata panya!!!! Duuu
@deomugu16163 жыл бұрын
Have my respect all the way. Barikiwa sana kaka
@awesasaladi59483 жыл бұрын
Mh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu
@BETConlineTVTZ3 жыл бұрын
huyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali
@sylvestrengwelu20123 жыл бұрын
Mh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.
@enickosanga49212 жыл бұрын
Mara kafunguliwa kesi dah
@ussyhamza50113 жыл бұрын
Mh, Makonda Upo Juu Sana.
@musitemusite43163 жыл бұрын
Ongera sana kakaangu makonda
@rashidijaziru32793 жыл бұрын
Gd
@eddymatrix87043 жыл бұрын
Basi haaaya
@daviddouglas89438 ай бұрын
Bashite kama Bashite 😂, Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.
@saxinajoseph42898 ай бұрын
Muhuni sana huyu jamaa😊
@erastonicholas55893 жыл бұрын
Wewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana
@frankkaijage97263 жыл бұрын
Makonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Kabisa
@lidyateddy69508 ай бұрын
Umenitia nguvu😢😢😢
@hoseabigaye57873 жыл бұрын
Ukipta fursa yakwenda nenda 💪
@florakweyunga44908 ай бұрын
10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.
@raymonadsaliboko30682 жыл бұрын
Ukosawa
@queenlinda2553 жыл бұрын
Umeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi
@geraldluiso67923 жыл бұрын
Makonda is best to me
@hamisinyanga4579 Жыл бұрын
Paulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.
@frankkassongo66393 жыл бұрын
PhD baba join our world. Welcome to the world of PhD
@lusajomwaipopo50422 жыл бұрын
Ujasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida
@moshiomarymnyeda89073 жыл бұрын
Mama atakurudisha muda si mrefuu 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
@majutosanaelias43073 жыл бұрын
Hamna msomi apo ni nguvu tu
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Na kupenda makonda
@zaym7769 Жыл бұрын
Ndio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.
@shukurually8769 Жыл бұрын
Mwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya
@mustafajumajuma22263 жыл бұрын
Huna lolote kujikosha tu
@hassanabazar94113 жыл бұрын
Makonda kama makonda
@alfayowangwe6651 Жыл бұрын
Kiunongozi namkubali
@magdalena72233 жыл бұрын
Kila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba
@frankkassongo66393 жыл бұрын
I love you my brother
@emmanuelsamba25712 жыл бұрын
shida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma
@rugijofrey36853 жыл бұрын
Mh umeongea point sana
@epimackoscar25 Жыл бұрын
Mbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako
@djpassovertz..tunaishimaramoja Жыл бұрын
So umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?
@danielbugwema6969 Жыл бұрын
Upuuzi mkubwa jufunze madini
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Ulikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi
@amriamraan26123 жыл бұрын
Chizi wewe , awaombe radhi wauza unga? Au baba yako nae muuza sembe?
@jentlikuse57193 жыл бұрын
Alikua sahh 2 wewe unafulahia kutuletea kutuulia ndugu zetu afya zao hata mungu hajatuagiza
@jentlikuse57193 жыл бұрын
Una ufinho w akiri wewe binafsi ulifaidika n nini kwa uza unga na ndio mufrisi nhie
@ndogoroedson94383 жыл бұрын
Mjinga ww! Awaombe radhi wauaji au ulikuwa ni mmojawapo?
@chescomnyangali86013 жыл бұрын
Huna akili wewe huwezi kutetea wauza madawa wanaharibu familia zetu
@joachimmgina28473 жыл бұрын
No no up
@benny4345 Жыл бұрын
Tell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities 😆😆
@seifmohamed8363 жыл бұрын
Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔
@alisaid43803 жыл бұрын
Wata
@anethmgedi38442 жыл бұрын
@@alisaid4380 Bwana yesu asimame we MWANGU usiogope songs mbele
@AbdulnuruMbaraka-me9ri Жыл бұрын
KIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.
@godfreymlay60692 жыл бұрын
Utakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake
@Tony999-gu8qg Жыл бұрын
Ach a ushamba
@shijamasunga2048 ай бұрын
Leo ni tarehe 20 /10/2023 sema tena ulichokisema Enzi hizo 😂😂😂😂
@fatmakombo75843 жыл бұрын
Wewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee
@milomohamed72012 жыл бұрын
Huyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha. Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE
@enickosanga49212 жыл бұрын
I WEASH uwe mkuu wa mkoa wowote tz
@nenadurra84773 жыл бұрын
We support you Makonda, you are better than anybody, believe me!
@benny4345 Жыл бұрын
Stop glorifying criminals! That guy is a criminal!
@waheedahtanzania49123 жыл бұрын
Natarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah
@isackmabanza10393 жыл бұрын
Unatumia akili au matako
@kyaruzidativa93983 жыл бұрын
Hata Mimi natamani iwe hivo
@magejuliani52933 жыл бұрын
Ujue watz tuko zaidi ya milioni 60 wapo wengine
@waheedahtanzania49123 жыл бұрын
@@kyaruzidativa9398 Inshaallah Allah asikie madua yetu juu ya JABALI Huyu Makonda
@jamessilwamba42593 жыл бұрын
are serious au una joke mkuu wangu
@naitwahazina64333 жыл бұрын
Kaa ukijua watanzania tunakupenda sana
@shedrackamos40213 жыл бұрын
Moja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako
@jayjay43133 жыл бұрын
Kumbe ni kozi. Diploma miaka 3, mazee. Diploma za kozi kama tukianza kila mtu atoe zake, kuna watu wanazo mia humu🤣🤣🤣, ukisoma we kausha tu na vyetu vyako kavitumie ukiomba kazi. Bongo kwa kicki shikamoo.
@masungamashauri40703 жыл бұрын
Wewe unafikiri unamzidi Makonda ,nadhani wewe ndio kausha. Makonda tunamiss uongozi wake ndani ya Jiji la Dar es salaam
@jayjay43133 жыл бұрын
@@masungamashauri4070 Uongozi na vyeti, havihusiani. Au wewe unaona vyeti ni maajabu. Nyamaza ianzie kwako. Tembea kama umekosa maada.
@veronicamlali96693 жыл бұрын
Jay Jay mnafiki inawezekana umetoka ktk familia ya kichawi kwani mtu akionesha alichokua nacho unaumia nini
Unao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww
@yohanaanton74373 жыл бұрын
Hongera sanaaaaaaaa kaka Paulo Makonda
@joviangeofrey8663 жыл бұрын
Kilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla
@aminaadam99143 жыл бұрын
Tutafutane kwa maongezi juu ya kilimo cha vanilla. Niko kenya
@sponsor78823 жыл бұрын
Darasa la saba tu ilikushinda sembuse phd.
@ndogoroedson94383 жыл бұрын
Msenge ww! Kwa hiyo Kama la Saba lilimushinda aliongozaje mkoa ndyo ujinga mlionao
@joshuaandrew3863 жыл бұрын
Walioshindwa huwa wanamaneno MENGI yasiyo na kichwa wa miguu
@thobiasshikome14803 жыл бұрын
Wewe njoo misungwi unachelewa
@seifmohamed8363 жыл бұрын
Kwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini 🔥🔥🔥🔥Kigamboni hatr
@amriamraan26123 жыл бұрын
Babu vp umetumwa? Kama huna zuri la kuongea bora ukae kimya maana chuki hazitokufikisha popote.
@mashimbazephania35113 жыл бұрын
Aliachishwa au aliacha akaenda kugombea? Kwani kupata na kukosa kuna shda? Jtasmini.
@audaceleroi13703 жыл бұрын
Natamani nikuone tena kwenye uhongozi
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
Uhongozi = Uongozi
@afropatriot77693 жыл бұрын
Natumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile vile kuheshimu watu na kutokua na Ego
@queenmwasanguti23703 жыл бұрын
Turudishieni malouda wetu
@edwinnyabikwi5603 жыл бұрын
M
@aminamkumbi20543 жыл бұрын
Nakukubal boss wangu
@fredrickjohn84123 жыл бұрын
Zero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli
@nyakymedia84053 жыл бұрын
Kama ulivyo mshenz kula kulala ww unatukana genius
@fredrickjohn84123 жыл бұрын
@@nyakymedia8405 utaishia kusikiliza pumbaa tu za huyo ndg yako. Kama alikua kiongozi bora leo yuko wapi. Alitumia mkono wa chuma kwenye ukuu wa mkoa tu vp angekua waziri si angemaliza watu, hujielewi ww unaemsapot
@salimucvales74953 жыл бұрын
Ulichokiandika unaona kiko sawa watu wengine uelewa mdogo.
@wilsonrwekaza62473 жыл бұрын
Unamatatizo wewe
@fredrickjohn84123 жыл бұрын
@@wilsonrwekaza6247 vijana washamba sana nyie, mnafuata mkumbo bila kujisimamia wenyewe, mtaongea sana mtaishia kutukana mitandaoni tu ukweli unauma. Makonda ni zero braini hawezi kubadilika hata asomeje
@rashidijaziru32793 жыл бұрын
Gd
@alisele52993 жыл бұрын
Makonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda
@magrethmsuya55423 жыл бұрын
Mama samia tunakuomba mkumbuke makonda
@seifmohamed8363 жыл бұрын
Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔