PAUL MAKONDA AELEZA SABABU ZA KURUDI SHULE / KUPOTEZA MARAFIKI NA NIA YA KUREJEA KWENYE SIASA

  Рет қаралды 58,284

Dizzim Online

Dizzim Online

3 жыл бұрын

Пікірлер: 150
@EdwardSindayigaya
@EdwardSindayigaya 3 жыл бұрын
I am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde
@salminasalim5630
@salminasalim5630 8 ай бұрын
True he's a good guy and a good hearted man very polite protect all poor people and disabled human being may God continue blessing and protect him Aimen
@Mwarobaini
@Mwarobaini 3 жыл бұрын
Huyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana.
@frankkassongo6639
@frankkassongo6639 3 жыл бұрын
Best interview of 2021 🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥 Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka.
@tatukapilimba4535
@tatukapilimba4535 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 3 жыл бұрын
Hamna kitu hapo we bwege!
@eddymatrix8704
@eddymatrix8704 3 жыл бұрын
Dah nimepaenda msemo uliosema kukosea sio dhambi..Asante paul
@joycelambwe9016
@joycelambwe9016 3 жыл бұрын
Huyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee.
@isackmachiyanshoka6754
@isackmachiyanshoka6754 4 ай бұрын
Upo sahihi makonda❤ much love🙏
@vickykapama8386
@vickykapama8386 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Makonda Hongera sana Mkuu💜💜
@user-tq7yh5mo9m
@user-tq7yh5mo9m 8 ай бұрын
Mweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali
@samsonmaurice10
@samsonmaurice10 3 жыл бұрын
Nimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini"
@jamessilwamba4259
@jamessilwamba4259 3 жыл бұрын
ushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word
@danieljohn3836
@danieljohn3836 2 жыл бұрын
Mungu akulinde na Kila lililobaya,
@Hillaryedith7
@Hillaryedith7 3 жыл бұрын
Well said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring !
@harrieth56
@harrieth56 8 ай бұрын
Am.proud of you so
@najma3268
@najma3268 3 жыл бұрын
Interview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli
@mustafajumajuma2226
@mustafajumajuma2226 3 жыл бұрын
Alikuwa kama Mungu Mtu
@kyaruzidativa9398
@kyaruzidativa9398 3 жыл бұрын
Wewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda
@africa7479
@africa7479 3 жыл бұрын
Nimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana
@haroldtere7515
@haroldtere7515 3 жыл бұрын
Ongera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo!
@sylivanussyliacus5064
@sylivanussyliacus5064 3 жыл бұрын
One love my up coming Rule Model
@eyumededu2948
@eyumededu2948 3 жыл бұрын
Nampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo Nakuombeq kheri baba
@user-rs6lw3hy7t
@user-rs6lw3hy7t 8 ай бұрын
Nice interview brother
@rizikimgimba8443
@rizikimgimba8443 3 жыл бұрын
Makonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili
@theophilmakumbuli
@theophilmakumbuli 8 ай бұрын
,,,💪💪💪 unatisha sana
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Congrats Paul Makomda👏👏👏
@chalodavid4537
@chalodavid4537 2 жыл бұрын
The real son of Our Legendary Lt JPM
@johnntabagi8861
@johnntabagi8861 3 жыл бұрын
Makonda makonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali
@salomembasha7100
@salomembasha7100 3 жыл бұрын
wise interview
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
Hongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah
@edsonguja5471
@edsonguja5471 Жыл бұрын
Kweli w kolo unamsubiri na mama yako
@emilymideva8783
@emilymideva8783 3 жыл бұрын
Woow nice interview mr muheshimiwa makonda #lv frm kenya 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 жыл бұрын
Nakukubali sana we mzalendo moka akusimamie
@evambughuni5324
@evambughuni5324 3 жыл бұрын
🥰🥰
@subirajohn728
@subirajohn728 3 жыл бұрын
Nakukubali sana Bro!
@justinamautice9730
@justinamautice9730 3 жыл бұрын
Namkubali sana huyu kaka no matter what...
@theophilmakumbuli
@theophilmakumbuli 8 ай бұрын
Mngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka
@namukwayamweshihange8866
@namukwayamweshihange8866 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa very intelligent. Well done
@innocentwilliam1214
@innocentwilliam1214 3 жыл бұрын
Alisema wakufunzi wanafundisha angali hawawezi kuongoza hata panya!!!! Duuu
@deomugu1616
@deomugu1616 3 жыл бұрын
Have my respect all the way. Barikiwa sana kaka
@awesasaladi5948
@awesasaladi5948 3 жыл бұрын
Mh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu
@BETConlineTVTZ
@BETConlineTVTZ 3 жыл бұрын
huyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 3 жыл бұрын
Mh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Mara kafunguliwa kesi dah
@ussyhamza5011
@ussyhamza5011 3 жыл бұрын
Mh, Makonda Upo Juu Sana.
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 жыл бұрын
Ongera sana kakaangu makonda
@rashidijaziru3279
@rashidijaziru3279 3 жыл бұрын
Gd
@eddymatrix8704
@eddymatrix8704 3 жыл бұрын
Basi haaaya
@daviddouglas8943
@daviddouglas8943 8 ай бұрын
Bashite kama Bashite 😂, Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.
@saxinajoseph4289
@saxinajoseph4289 8 ай бұрын
Muhuni sana huyu jamaa😊
@erastonicholas5589
@erastonicholas5589 3 жыл бұрын
Wewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana
@frankkaijage9726
@frankkaijage9726 3 жыл бұрын
Makonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Kabisa
@lidyateddy6950
@lidyateddy6950 8 ай бұрын
Umenitia nguvu😢😢😢
@hoseabigaye5787
@hoseabigaye5787 3 жыл бұрын
Ukipta fursa yakwenda nenda 💪
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 8 ай бұрын
10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.
@raymonadsaliboko3068
@raymonadsaliboko3068 2 жыл бұрын
Ukosawa
@queenlinda255
@queenlinda255 3 жыл бұрын
Umeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 3 жыл бұрын
Makonda is best to me
@hamisinyanga4579
@hamisinyanga4579 Жыл бұрын
Paulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.
@frankkassongo6639
@frankkassongo6639 3 жыл бұрын
PhD baba join our world. Welcome to the world of PhD
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 жыл бұрын
Ujasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 3 жыл бұрын
Mama atakurudisha muda si mrefuu 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
@majutosanaelias4307
@majutosanaelias4307 3 жыл бұрын
Hamna msomi apo ni nguvu tu
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Na kupenda makonda
@zaym7769
@zaym7769 Жыл бұрын
Ndio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.
@shukurually8769
@shukurually8769 Жыл бұрын
Mwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya
@mustafajumajuma2226
@mustafajumajuma2226 3 жыл бұрын
Huna lolote kujikosha tu
@hassanabazar9411
@hassanabazar9411 3 жыл бұрын
Makonda kama makonda
@alfayowangwe6651
@alfayowangwe6651 Жыл бұрын
Kiunongozi namkubali
@magdalena7223
@magdalena7223 3 жыл бұрын
Kila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba
@frankkassongo6639
@frankkassongo6639 3 жыл бұрын
I love you my brother
@emmanuelsamba2571
@emmanuelsamba2571 2 жыл бұрын
shida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 3 жыл бұрын
Mh umeongea point sana
@epimackoscar25
@epimackoscar25 Жыл бұрын
Mbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako
@djpassovertz..tunaishimaramoja
@djpassovertz..tunaishimaramoja Жыл бұрын
So umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 Жыл бұрын
Upuuzi mkubwa jufunze madini
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Ulikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi
@amriamraan2612
@amriamraan2612 3 жыл бұрын
Chizi wewe , awaombe radhi wauza unga? Au baba yako nae muuza sembe?
@jentlikuse5719
@jentlikuse5719 3 жыл бұрын
Alikua sahh 2 wewe unafulahia kutuletea kutuulia ndugu zetu afya zao hata mungu hajatuagiza
@jentlikuse5719
@jentlikuse5719 3 жыл бұрын
Una ufinho w akiri wewe binafsi ulifaidika n nini kwa uza unga na ndio mufrisi nhie
@ndogoroedson9438
@ndogoroedson9438 3 жыл бұрын
Mjinga ww! Awaombe radhi wauaji au ulikuwa ni mmojawapo?
@chescomnyangali8601
@chescomnyangali8601 3 жыл бұрын
Huna akili wewe huwezi kutetea wauza madawa wanaharibu familia zetu
@joachimmgina2847
@joachimmgina2847 3 жыл бұрын
No no up
@benny4345
@benny4345 Жыл бұрын
Tell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities 😆😆
@seifmohamed836
@seifmohamed836 3 жыл бұрын
Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔
@alisaid4380
@alisaid4380 3 жыл бұрын
Wata
@anethmgedi3844
@anethmgedi3844 2 жыл бұрын
@@alisaid4380 Bwana yesu asimame we MWANGU usiogope songs mbele
@AbdulnuruMbaraka-me9ri
@AbdulnuruMbaraka-me9ri Жыл бұрын
KIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.
@godfreymlay6069
@godfreymlay6069 2 жыл бұрын
Utakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake
@Tony999-gu8qg
@Tony999-gu8qg Жыл бұрын
Ach a ushamba
@shijamasunga204
@shijamasunga204 8 ай бұрын
Leo ni tarehe 20 /10/2023 sema tena ulichokisema Enzi hizo 😂😂😂😂
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 3 жыл бұрын
Wewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee
@milomohamed7201
@milomohamed7201 2 жыл бұрын
Huyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha. Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
I WEASH uwe mkuu wa mkoa wowote tz
@nenadurra8477
@nenadurra8477 3 жыл бұрын
We support you Makonda, you are better than anybody, believe me!
@benny4345
@benny4345 Жыл бұрын
Stop glorifying criminals! That guy is a criminal!
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
Natarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah
@isackmabanza1039
@isackmabanza1039 3 жыл бұрын
Unatumia akili au matako
@kyaruzidativa9398
@kyaruzidativa9398 3 жыл бұрын
Hata Mimi natamani iwe hivo
@magejuliani5293
@magejuliani5293 3 жыл бұрын
Ujue watz tuko zaidi ya milioni 60 wapo wengine
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
@@kyaruzidativa9398 Inshaallah Allah asikie madua yetu juu ya JABALI Huyu Makonda
@jamessilwamba4259
@jamessilwamba4259 3 жыл бұрын
are serious au una joke mkuu wangu
@naitwahazina6433
@naitwahazina6433 3 жыл бұрын
Kaa ukijua watanzania tunakupenda sana
@shedrackamos4021
@shedrackamos4021 3 жыл бұрын
Moja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako
@jayjay4313
@jayjay4313 3 жыл бұрын
Kumbe ni kozi. Diploma miaka 3, mazee. Diploma za kozi kama tukianza kila mtu atoe zake, kuna watu wanazo mia humu🤣🤣🤣, ukisoma we kausha tu na vyetu vyako kavitumie ukiomba kazi. Bongo kwa kicki shikamoo.
@masungamashauri4070
@masungamashauri4070 3 жыл бұрын
Wewe unafikiri unamzidi Makonda ,nadhani wewe ndio kausha. Makonda tunamiss uongozi wake ndani ya Jiji la Dar es salaam
@jayjay4313
@jayjay4313 3 жыл бұрын
@@masungamashauri4070 Uongozi na vyeti, havihusiani. Au wewe unaona vyeti ni maajabu. Nyamaza ianzie kwako. Tembea kama umekosa maada.
@veronicamlali9669
@veronicamlali9669 3 жыл бұрын
Jay Jay mnafiki inawezekana umetoka ktk familia ya kichawi kwani mtu akionesha alichokua nacho unaumia nini
@jayjay4313
@jayjay4313 3 жыл бұрын
@@veronicamlali9669 Nyau we, Hujui kusoma hujui kuelewa. Wewe imekuuma nini mpaka uingie humu. Umeroga umeshindwa, ndo mana unaropokwa tu. Kenge we.
@wazirmasokola5951
@wazirmasokola5951 3 жыл бұрын
Unao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww
@yohanaanton7437
@yohanaanton7437 3 жыл бұрын
Hongera sanaaaaaaaa kaka Paulo Makonda
@joviangeofrey866
@joviangeofrey866 3 жыл бұрын
Kilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla
@aminaadam9914
@aminaadam9914 3 жыл бұрын
Tutafutane kwa maongezi juu ya kilimo cha vanilla. Niko kenya
@sponsor7882
@sponsor7882 3 жыл бұрын
Darasa la saba tu ilikushinda sembuse phd.
@ndogoroedson9438
@ndogoroedson9438 3 жыл бұрын
Msenge ww! Kwa hiyo Kama la Saba lilimushinda aliongozaje mkoa ndyo ujinga mlionao
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 3 жыл бұрын
Walioshindwa huwa wanamaneno MENGI yasiyo na kichwa wa miguu
@thobiasshikome1480
@thobiasshikome1480 3 жыл бұрын
Wewe njoo misungwi unachelewa
@seifmohamed836
@seifmohamed836 3 жыл бұрын
Kwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini 🔥🔥🔥🔥Kigamboni hatr
@amriamraan2612
@amriamraan2612 3 жыл бұрын
Babu vp umetumwa? Kama huna zuri la kuongea bora ukae kimya maana chuki hazitokufikisha popote.
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 3 жыл бұрын
Aliachishwa au aliacha akaenda kugombea? Kwani kupata na kukosa kuna shda? Jtasmini.
@audaceleroi1370
@audaceleroi1370 3 жыл бұрын
Natamani nikuone tena kwenye uhongozi
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
Uhongozi = Uongozi
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 жыл бұрын
Natumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile vile kuheshimu watu na kutokua na Ego
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 3 жыл бұрын
Turudishieni malouda wetu
@edwinnyabikwi560
@edwinnyabikwi560 3 жыл бұрын
M
@aminamkumbi2054
@aminamkumbi2054 3 жыл бұрын
Nakukubal boss wangu
@fredrickjohn8412
@fredrickjohn8412 3 жыл бұрын
Zero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli
@nyakymedia8405
@nyakymedia8405 3 жыл бұрын
Kama ulivyo mshenz kula kulala ww unatukana genius
@fredrickjohn8412
@fredrickjohn8412 3 жыл бұрын
@@nyakymedia8405 utaishia kusikiliza pumbaa tu za huyo ndg yako. Kama alikua kiongozi bora leo yuko wapi. Alitumia mkono wa chuma kwenye ukuu wa mkoa tu vp angekua waziri si angemaliza watu, hujielewi ww unaemsapot
@salimucvales7495
@salimucvales7495 3 жыл бұрын
Ulichokiandika unaona kiko sawa watu wengine uelewa mdogo.
@wilsonrwekaza6247
@wilsonrwekaza6247 3 жыл бұрын
Unamatatizo wewe
@fredrickjohn8412
@fredrickjohn8412 3 жыл бұрын
@@wilsonrwekaza6247 vijana washamba sana nyie, mnafuata mkumbo bila kujisimamia wenyewe, mtaongea sana mtaishia kutukana mitandaoni tu ukweli unauma. Makonda ni zero braini hawezi kubadilika hata asomeje
@rashidijaziru3279
@rashidijaziru3279 3 жыл бұрын
Gd
@alisele5299
@alisele5299 3 жыл бұрын
Makonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda
@magrethmsuya5542
@magrethmsuya5542 3 жыл бұрын
Mama samia tunakuomba mkumbuke makonda
@seifmohamed836
@seifmohamed836 3 жыл бұрын
Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔
#LIVE: ROMA MKATOLIKI AFUNGUKA KUHUSU PAUL MAKONDA NDANI YA PLANET BONGO
1:02:45
Just try to use a cool gadget 😍
00:33
123 GO! SHORTS
Рет қаралды 85 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Stupid Barry Find Mellstroy in Escape From Prison Challenge
00:29
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 111 МЛН
Mshuhudie Paul Makonda Uone Kitakachotokea Hapa!
2:00:15
Global TV Online
Рет қаралды 1,3 МЛН
GWT na PAUL MAKONDA
27:49
Gwt Tv
Рет қаралды 40 М.
Mkasi | S10E13 With Paul Makonda - Extended Version
1:04:40
MkasiTV
Рет қаралды 111 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 222 М.
Can this capsule save my life? 😱
0:50
A4
Рет қаралды 30 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
0:10
seema lamba
Рет қаралды 22 МЛН