*Bwana paula yuko sawa yaan mtu alitembea na mama ake na bado akamtaka na paula mwenyewe afu bado mama anamsamehe dauhh*
@begukulemosobe96852 жыл бұрын
Wakati baba yake analalamikia tabia zao walimu ona bwege acha wapambane sasa, kama mama kama mtoto
@jessykadaraja26912 жыл бұрын
I think it is an opportunity for Paula and her mother to open up a reality show and we will be more than happy to follow it.
@denicegabriel66162 жыл бұрын
Mtoto hawez mpangia mama ake m2 wa kuwa nae asiumize kichwa🤣🤣🤣
@blackman63792 жыл бұрын
That’s her Mom’s relationship , Paula should get married where she wants 🤷🏾♂️🤷🏾♂️not to interrupt her Mom’s relationship
@kellybreezytz24912 жыл бұрын
Usikute paula ndio anaitaka nafasi ya kuwa Mom Konde 😂
@malichanda31462 жыл бұрын
Atakuwa anamtaka konge mana aliuona mjegeju 😆😆😆
@officialbossy27672 жыл бұрын
😂😂😂😂😂uzuri mungu anakuona
@frankmasamaki96402 жыл бұрын
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥 ________________ Karibuni
@elizabetharon63342 жыл бұрын
Paula atabaki kuwa mtoto wa kajala analeta ubabe mbele ya mama akee,hata akimu unfollow BADO atabaki kuwa mama akee hawezi kumbadilisha,alichokifanya mama akee ni kutafuta furaha yake,anaweza akapewa pesa nyingi huko alikokua lkn akakosa furaha.kingine kajala jinsi anavyomlea MWANAE ndo hayo matunda yake sasa mtoto anampanda kichwani mpk inafika kipindi wananuniana hawasemeshani!!!!utandawazi na kumdekeza mtoto kuta mcost kajala sanaaa.mi naamini ata monalisa wanagombanaga na MWANAE lkn huwezi kuskia mitandaoni sio kwamba wao wapumbafu. Naskia hasira sana.kifupi mi nawapenda kajala na bamo basiiii mengine watajijuaa
@nataliakenny94992 жыл бұрын
Paula nae alidanganywa na rayvanny ndomaana yoote yakatokea na vdio akavujisha lkn msamaha ni kitu kizuri sasna kwann watu wanaumia hamornise kusamehewa na kajala wakt wanapendana ?? Watu wanalala na ndg wa dam au ata daddy zao lkn mwisho wa sku yanaisha,,,Sasa Paula anajivalisha utupu mbele ya harmoo Sasa angefanyaje na yeye ni rijali 😃 mi naona hamna ubaya wowote
@yusuphcharles14972 жыл бұрын
Acha wayamaliza family jamani Hapa duniani hakuna aliyekamilika
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Paula tulia mamaako alimiss muhogo wa harmo 😜
@hajimuhammed44422 жыл бұрын
Ndoivi Sasa anamaindi kama kama mhogo anapewa yeye amuache tu mamaake ale muhogo
@ireneimbuhira77592 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@najuf80212 жыл бұрын
Yeye yanamuhusu nini atoke hapa mtoto mdogo mambo makubwa
@selinaemanuel18772 жыл бұрын
🤣🤣
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Poula una tia Aibu sana , sasa mama yako unataka awe na Nani? Au unataka kumtafutia mwanaume wa Kuwa nae mmmmmh Shem on youu Poula Aibu sana.
@Lifewith07tv2 жыл бұрын
Sio mbaya
@salomeabel67212 жыл бұрын
Akwende zake uko uyo Paul yake yanamshida mama yake alimwacha afanye anachokita ,kujitegemea tu awez amwache mama yake amtafutie maisha ' mapenz ayaingiliwi
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Pole sana Poula yako yanakushinda mmmmmh!aibu sana
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Poula Wewe ni mtoto mdogo sana uwezi kuingilia mapenzi ya mama yako Maana siyo heshima kabisaaa
@aishaomary44982 жыл бұрын
Mmh yupo sahihi hivi baba amtake mtoto na amtumie uume afu bado umuite baba kweli
@johamussa14132 жыл бұрын
hpn paul yuko saw kbc
@d1w4n1dmoko92 жыл бұрын
Sas jmn kosa la paula ni nn mama hana akili je mtot angetembea na harmo kipindikile mngemuinaje mtt yupo saw kabisa
@annalubango98992 жыл бұрын
Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede
@annalubango98992 жыл бұрын
Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede
@twaine402 жыл бұрын
Una uhakika gani? Mind your own business yasiyokuhusu yasikupe pressure, watz munapenda sana kuifuatilia maisha ya mtu
@annalubango98992 жыл бұрын
Ugeanza wewe kukupita yasokuhusu.hata mimi nigepita tu lakini hayakuhusu ila ukasema mama hana hakili.
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@angelinahassani30972 жыл бұрын
Mama anuniwi acha ubwege Paula mtt usiekuwa na akil uwezi kumpangia mama yako mwanaume wakuwa nae pia kingine wewe ndio ulikuwa unacherewesha kumbe msamaha kukubaliwa ata mama yako kumbe alikuwa anampenda konde Ila wewe tu ndio ulikuwa ttz acha mama ako apate muhogo wa mmakonde bwana
@piusphilip3072 жыл бұрын
Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri(success), Duniani. Amri hii ya Mungu haijabainisha endapo kakufanyia vibaya basi usimuheshimu, Bali Kwa Hali zozote zile, maadam ni mzazi wako. Huyu mtoto analotafuta Kwa mzazi wake atalipa. Huwezi mchagulia mama yako Mume.
@dayanandama88732 жыл бұрын
Cdhani kama vitabu vya dini vinaongelea kuheshimu mzazi anakuhitaji kimwili au baba wa kambo wacojiheshimu
@mashakaamosgabinza38932 жыл бұрын
Mwambieni Paula hawezi kuingilia mapenzi ya mama yake ikumbukwe ,yeye alimwambia asipokuwa na uhusiano na Rayvanny atakufa kwa nn na yy asimurusu mama yake kama alivyo achwa yy
@kaisamjunior36922 жыл бұрын
Paula hauna adab huwezi kumchagulia mama yako mwanaume wakuwa nae
@estherkimario79402 жыл бұрын
Mmmmmmh yangu macho wasanii bhana mnamaigiz kesho tu mnaachana tushawazoea na Harmon hizo pesa unazochezea ipo siku utalia cjui umelogwa
@mbawalamakomae50942 жыл бұрын
Mtoto anaadabu anamchagulia mama mume htareeeeeee xnaaa
@stellachalamila74552 жыл бұрын
Wewe unge weza kushea mwanaume namtoto wako au nyie niwachawi
@malkiawanguvu31502 жыл бұрын
Huu ni ujinga wa kutupoteza maboya sisi! Juzi tu walikuwa zenji woote mama mtu na mtoto na mmakonde🥤🤗🤗🤗
@rukiamziwanda74582 жыл бұрын
Paula yupo sahihi huyu mama Hana akili mtt amekwakwambia huyu baba hafai amenifunulia utupu wake na kakuonyesha ushaidi wewe mama bado unamludia huyu baba kweli
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Haha safi mtu na mama ake top in town
@johnmike60592 жыл бұрын
Uyo mama ajielew kajawa tamaa za anasa tu
@eunicethoya60212 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Paula a nafikiria 2 dude akiingia chumbani kwake kule mama yuala raha yeye yuaumia na hisia
@ntabyoetienne25082 жыл бұрын
Hiyo ni mipango yawo wote wa tatu,paula akatae RANGE ROVER 3 nani atakataa wewe subutu iyo wamepanga tu
@sniper939992 жыл бұрын
Hizi comment wanaomlaumu Paula ni mashabiki wa Harmoniz na wanao muunga mkono Paula n watu wa Diamond 😂kwaiyo cjickii kucomment chochote kwangu lolote sawa
@simbaasad58112 жыл бұрын
Now I can believe the news@millardAyo. You never lie in your reports
@janeshigami87692 жыл бұрын
Pole Sana Paula... Rayvanny ndio huyoooooo amekuaja....
@jolinkimaro99392 жыл бұрын
familia ya uzinzi ni uzinzi tuu. hili hata kwa mwanae utalikuta tupeane muda. vinginevyo abadilike
@37thstreetradioandtv2 жыл бұрын
Big fan from KENYA
@firdausqutty20672 жыл бұрын
Kwani we Paula unamtaka hamo!! Mbona wivu mwingi!!
@nyandwiniyera55352 жыл бұрын
Paula atulie tu mbona yy alivyo kua anatoka na Mume wamutu mama yake alikua bele kwabele kumusimamia mwanae kwakila kitu jamani paula tulia bibie ww uweke masomo mbele huwezi kushidana na mumazi wako hata iweje mama atabakia kua mama mm sio tatizo ama kosa mama yako aliyo fanya ww kubaliana nayo kama yy alivyo kubalia na ww kipindi ulivyo kua kwenye mahusiona na ray Mume wa fayhma..
@geofreysadok48232 жыл бұрын
Kidole mama kido
@swalehesaad26922 жыл бұрын
Kidole mama kidooo
@nellyflo97362 жыл бұрын
Paula respect your mum decision.kwani utamuoa,😂😂💔
@allthingdranabeauty2 жыл бұрын
Paula mwache mama yko hawe na furaha utafanyaje ataukinunua ni mama yko usishindane naye ni mama
@wilfredelimeleki45432 жыл бұрын
Paula awe na adabu kwa wazazi wake(mama yake mzazi na baba wa kambo
@lilianestephanie78812 жыл бұрын
Umenichekesha😂😂😂😂😂
@Zainab-sq1tc2 жыл бұрын
Huyu mtt anampangia mamaake maisha ww ndy chanzo hata mama ako akaachana na harmo mtt inackilza sana watu hata ukifuta bado atabak kuwa mama tu hakunaga mama wawil
@annkim26902 жыл бұрын
🤣🤣🤣 lakini baba wako wawili
@slicehamfrey35042 жыл бұрын
Mtoto atakiwi kukuchagulia maisho anatakiwa akubali matokeo yoyote kwake ni baba
@aminahhuawei11332 жыл бұрын
WW PAULA HEBU TULIA USIMUINGILIA MAMA YAKO WW MTOTO
@valenakomba92182 жыл бұрын
Hamnaga mambo ya kuongelea maendeleo? . Kila siku hayo hayo
@islabocco4782 жыл бұрын
Kajala atajuta.hata mm ningea kua paul nisinge kubali yani mwanaume amuonyeshe mdudu ambao huo huo anamuingiza mama mtu Alf nitulie tu
@munirahassan63132 жыл бұрын
Paul nyupo saw mama amezingua sana
@islabocco4782 жыл бұрын
@@munirahassan6313 kinoma Alf Kuna mafala wanamtetea kajala
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Hivi kajala anafanya shuguli gani? Nakumbuka huyu dada alikuwaga kumbukumbu primary school
@stellachalamila74552 жыл бұрын
Hata ningekuwa Mimi ninge fanyahiyio
@editz54302 жыл бұрын
ndoman ww sio iVo... msenge
@faridyshaame47052 жыл бұрын
Script tu hzo movie bado inaendelea
@shazceo68532 жыл бұрын
Ebuuu bwana atulie kdg tujivunie sisi K❤️H
@janiaoma70932 жыл бұрын
Wewe huna kazi ya kufaya kweda kupoteza muda kuzgumzia life zawatu yiyi wandishi wa Habari mbona mbatia aibu mkuwa kama mashoga
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Ukikosa Akili kitu kibaya sana....
@filberthabashi28702 жыл бұрын
Mwache mamake apate raha, maama hizo raha wwe huwez mpa, wwe pewa na rayvany,
@angesignolinx58292 жыл бұрын
Kabisa🥰🥰
@edwardcosmas63592 жыл бұрын
Rayvanny nae 😃😃😃😃
@mutavijeniffer88952 жыл бұрын
Mtoto yupo såhihi jamani, mama yake mzazi anamdhalilisha, Ana kila haki ya kukasirika. Atabaki kuwa mamake, ila kwa sasa Ana haki ya kukusirika, mama anajidhalilisha jamani🚮🚮🚮🚮🚮
@begukulemosobe96852 жыл бұрын
Wote ni 🚮
@hamelzakaria24392 жыл бұрын
Ukidakwa si hatupo
@aishachambo86632 жыл бұрын
Paula anataka dudu ya babaake🤣🤣🤣🤣🤣
@malichanda31462 жыл бұрын
Kabisa 😆😆😆
@aishachambo86632 жыл бұрын
@@malichanda3146 😂😂😂
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@fralex_12762 жыл бұрын
No comment
@zennahmtoto18672 жыл бұрын
Huyu paula anamcontrol mamake mtoto mjinga snaa huyu😄😄😄Paula fata furaha yako ilipo mtoto umzae mwenyewe kisha akupande kichwa uwongo
@bwiseleloesse68082 жыл бұрын
Bumbafu zako kabisa wewe
@zennahmtoto18672 жыл бұрын
@@bwiseleloesse6808 Na zako pumbu ziko wapi😄😄😄
@bwiseleloesse68082 жыл бұрын
@@zennahmtoto1867 hivi kwa nini wa Tanzania wengi hamunaga akili nashindwaga sana kuelewa
@zennahmtoto18672 жыл бұрын
@@bwiseleloesse6808 Alo kwambie mm mtanzania nani😄😄🤗
@bwiseleloesse68082 жыл бұрын
@@zennahmtoto1867 unafikiria paula ni mjinga kama yake,ni mambo ya aibu sana
@leahchalresi56322 жыл бұрын
Mm naomba Kama kweli wameludiana nibola wafunge ndoa tuu
@samielmbay84952 жыл бұрын
poa Kaka yangu
@shimadosun2 жыл бұрын
💥💥
@crownprince39562 жыл бұрын
Team wcb huyo mapenzi ya wazazi hayaingiliwi Kama yeye alivyokuwa na rayvanny Kumbe inaumaaaaa😂
@zainabufeka872 жыл бұрын
Huyo paula fara tuu anaingilia vip mapenz yamama yake niutovu wananidham
@stellachalamila74552 жыл бұрын
Muchawi mkubwa wewe
@crownprince39562 жыл бұрын
@@stellachalamila7455 mchawi mwenyew na Paula wako asiyejielewa
@freelancer63682 жыл бұрын
Team wcb tunaingilia wapi kwenye huu uchafu wenu
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@tariqbutt95162 жыл бұрын
Waswahili husema Ushuzi wa ngomani haukawii kupita
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Huyo Paula Hajielewi,tena akae kimya anampangiaje mama yake mapenzi,
@mwajabummbaga63022 жыл бұрын
Kwahiyo na nyie mmeshakua kama page za umbea,mnakeraa,wamesha rudiana,na paula kashamfollow mama ake,na mm ake ameshamfollow paula
@hawahabibu38812 жыл бұрын
Kama hajakubaliana waludiane bac itakuwa anamtaka yy uyo Harmo
@surehaaman81122 жыл бұрын
Basi mtoto alitembea Nate kweli msibishe Wenda walilala wote
@protas61082 жыл бұрын
Kaona range 2 kapagawa nazo anatamani angekuwa yeye ila kwani vanny amnunulii ndinga kalikali kama harmo anavyofanya kwa kajala
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@annkim26902 жыл бұрын
Hii ndio taabu ya kuzaa mtoto mmoja
@tariqbutt95162 жыл бұрын
Ushuzi Wa ngomani haukawii kupita
@ladykimnan9022 жыл бұрын
Mmmmh sisi niwatazamaji wahili limove😎
@swalehesaad26922 жыл бұрын
Acheni machawa waongee sio wakiteleza mnawaita mafala, Na sio kila kitu uongee nipo na briana unaniuliza kajala una punguza utamu.
@freelancer63682 жыл бұрын
Naingiza beat hapa😂😂😂
@daimondelfina56892 жыл бұрын
Paula yuko sahihi
@ilovejesus6662 жыл бұрын
Huo ni ulimbukeni
@shaniashani70262 жыл бұрын
Mtoto msimtukane yupo sahii2 angetembea na huyo bwana asinge sema ikaja julikana badae mngemuonaje simngesema mtoto mbaya huyu kuna kesi nyingi sana mnaziona za wababa wa kambo kutembea na watoto wa wanawake zao mbona tunakuwaga tunalaumu watoto mbona ukusema hapo wapowanao bebeshwa mimba na wana ambukizwa magonjwa kwa mzazi huyu hakupaswa bwana kurudiana nae mtoto mmoja utaishi mbari nae umfraishe bwana anenepe mtoto akonde mmh
@omarymohamed98342 жыл бұрын
Ww uliwai kumsikia popote Paula akiongea kuwa alitaka kuliwa na harmonize?? Munapenda sana propaganda guys
@shaniashani70262 жыл бұрын
@@omarymohamed9834 Wesamahani sana babu vipi unatazama mitandao sana sindio mbona haukuwai kwenda polisi hama mitanda yote ilokuwa ikizungumzia swala hili la baba kumtaka mtoto vipi uniwakie mimi tafadhari sana tena ushindwe
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
@@omarymohamed9834 we acha ujinga ungekuwa we demu sijui ungeongea huo ujinga
@omarymohamed98342 жыл бұрын
@@karasuyazidi8547 we hakili hauna. Ungekuwa we mwanaume ungekubali mtoto amkataze mama ake kuwa na ww
@omarymohamed98342 жыл бұрын
@@shaniashani7026 we polisi ulienda?? Na unajuwa kilichowapeleka polisi ni nn?? Au ndo fuatilia sana drama
@ifgodsayyes.nobodycansayno17962 жыл бұрын
MTANGAZAJI MBONA USISEME WEWE UNA TOKA NA ANTI EZEKIEL KUNA VIDEO NILIONA.
@edigamwagala21332 жыл бұрын
Ushezi mtupuuuuu!!!
@meshakimwantimwa5372 жыл бұрын
Sasa kinachomfanya achukie ni nini anawivu hadi kwa mama yake , au alitaka aombwe yeye msamaha na aolewe yeye
@eunicethoya60212 жыл бұрын
Si harmo kaomba msamaha Kote kwa mama kwa mtoto akahakikisha haitatokea tena"am sorry my daughter" hakuna mkamilifu duniani Paula aelewe hilo
@marymfugwa8472 жыл бұрын
Hamo anatakiwa atoke na Paula
@MikiGermany2102 жыл бұрын
Wanawake tunawaheshimu ila akili zenu mnazijua wenyewe
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Poula nikushauri kitu tulia endelea na Mambo Yako Maana sikio halizidi kichwa ☺️Wewe ni mtoto tu acha Mambo ya kipumbavu
@bwiseleloesse68082 жыл бұрын
Hauna akili wewe
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Naomba nikukumbushe kuwa mama ni mama tu hata kama Kilema , kichwa hatabaki kuwa mama tu, acha kuingilia mahusiano wewe ni mtoto mdogo sana Tulia fanya mambo yako
@jrm94482 жыл бұрын
Maigizo tu. Mama na mtoto kula yao inategemea nyuchi zao. Hii yote ni kiki tu ya kuhalalisha mzunguko wa umalaya wao. Safari Harmonize asicheleweshe apige mimba wote wawili fasta.
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Acheni usenge kua mnatuletea habali zakifala
@omaryjuma80022 жыл бұрын
ihii inanipa picha kwamba wasanii wa kike wataishia kuchezewa tu Harmo nafikili uyo sio mwanamke wa ndoto zake kajara anatakiwa kuwa na mume bola anakua kama mtoto mdogo dah
@agwalubifaridah70792 жыл бұрын
Kajala anampenda sana.mwanae watu waache kuingilia tofouti zao wataelewana tu
@malkiawanguvu31502 жыл бұрын
Hakuna tofauti wanatuzingua tu! Lao. Moja
@einsteinmboje47302 жыл бұрын
Paula Yuko Sawa .. Ana Haki Ya Kummaindi Bi Mkubwa ,na Hii Inaonesha Ni Kiasi Gani Kajala Kakua Kiakili ,Lazima Awe Soource Ya Kumtoa Ujinga & Ndumba 😅Alizopewa Mppk Kuwa Mpuuzi Kiasi Hiko ,Siku Zote usiongozwe Na Tamaa & Hisia ...ongozwa Na Akilli kwanza ,Kwa Akili Ya Kawaida Unaweza Kumsamehe Mtu Aliyetaka Kumla Mwanao ?? ...Mwanao Unamtambulishaje Baba Yake Aliyewah Kumtongoza Na Kumtumia Mambo Ya Hovyooo ...Very Stupid Mother
@omarymohamed98342 жыл бұрын
Ww hyo ni siri yao we unaudhibitisho gan kuwa alitaka kumla mwanae. Paula anawivu
@nasramohamedi40952 жыл бұрын
@@omarymohamed9834 huna akili kijana acha ushabiki mavi
@twaine402 жыл бұрын
Dada povu lakutoka hivyo kwani ulikua wataka @harmonize akufuate wewe Nini? Punguza jazba na ujipe shuhuli in short hayakuhusu fuatilia tu kinachoendelea
@chizashungu83642 жыл бұрын
@Einstein mboje, Upo sahihi yule mama ni hovyo,inaonyesha jinsi gani akili zake ni matope.Paula kama kweli anataka kuwa salama aachane kabisa na Huyo mama ni hatari kubwa kwa her sanity.Huyo mama amekuwa robot.......na inavyoonyesha yupo tayari kwa lolote as long as kuna harufu ya hela.Paula go back to your daddy,let that mama go down on her own.
@rashidyally87152 жыл бұрын
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😄😄😄😄
@micmac70352 жыл бұрын
Mama kama mwanae Acheni utoto
@nelimajoy54122 жыл бұрын
A jealous daughter is a dangerous daughter,Paula arudi Kwa babake mzazi coz hakuna siku baba wa kambo atakua baba mzazi Kwa mtoto wa kike ambaye hakumzaa,,,if she can't be happy for her mum iyo ni wivu au alitaka monize mwanzo bt he chose her mom,it's a wicked world bt it is what it is,ameomba msamaha kasamehewa maana duniani hakuna aliyekamilika,angekuwa under 18 ndio tungesema harmo mbwaaaaaa lakini she's old enough to stay away from the step dad
@silyvya24082 жыл бұрын
Mama ni mama hata akifanya nisichopenda
@kebibasherry31172 жыл бұрын
Back to tz😂😂
@reginaedward48832 жыл бұрын
Ukilima avocado,utahervest avocado, you can't harvest mchicha, mtoto umleavyo? Carry your own cross
@neemamassawe19462 жыл бұрын
Poula una tia Aibu sana unamuonea mama yako wivu! Badala ya kumuacha mama yako awe na furaha 😆Wewe Ndiyo shida kwenye mahusiano ya mama yako
@omarymohamed98342 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kunywa soda nakuja kulipa
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
Kwa hiyo ingekuwa wewe ungekubali bwana wako atake kumtomba mtoto wako nyie ndo unaochangia bwana na watoto wenu
@omarymohamed98342 жыл бұрын
@@karasuyazidi8547 wewe unaushaidi gan?? Unajuwa watanzania weng wanapenda sana drama aisee
@lallysaidsaid72192 жыл бұрын
Kweli anawivu anamchagulia mama mwanaume
@SwahiliFilmTz2 жыл бұрын
VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇 . kzbin.info/www/bejne/aZm5ZJ5qqLqJd8k
@double8boy8022 жыл бұрын
Kajala karemba kidogo kama vile kinondoni hajaona kitu,ila pipi moja tu chupi limetupwa chini
@aminaomary55672 жыл бұрын
Huyo Paula anakuwa na wivu wa nini?ye
@omarymohamed98342 жыл бұрын
Huyo mtoto ni malaya anamtaka harmonize itakuwa
@stellachalamila74552 жыл бұрын
Huna akiliwewe
@omarymohamed98342 жыл бұрын
@@stellachalamila7455 me akili za nini we mbwa. Akili kuwa nazo wewe😅😅 na ww ingilia mahusiano ya wazazi wako
@zaitunifamao77772 жыл бұрын
Let her concetrate on her studies and leave the elders be.
@mirajimsomaketi9412 жыл бұрын
Real??
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Vidox nawe mbea sikuhizi mhh ila nawapenda wakweli tu kuliko wengine wote
@mautopolo2 жыл бұрын
Mtoto ana wivu Kwa mamake
@azizasuleiman10412 жыл бұрын
Huyu mtto hana heshima tena sio wa kuoa kabisa haheshimu wazazi ataheshimu wazazi wa mume mtto ana mdomo wa kiburi hafai kuwa mke kafanya la mana vanyboy engewadhalilisha wazee wa ravyan ana mdomo mchafu
@blackamerica70862 жыл бұрын
Au dogo alimpenda harmonise 😹😹😹 paula tulia nyege sio saizi yako
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
SHERIA IBADILISHWE KONDE BOY ALAZIMISHWE AWAOE WOTE