Huyu baba maashaallah. Allah akulipe heri unampenda mwanao sana niwachache wazaI kama huyo baba. Anamoyona mwanae naanajitambua nibaba mwenye uchungu na mtotowake
@fatmasalim8293Ай бұрын
Asaidiwe jamani huyu baba😢😢
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Subuhanallah. Allah akuifadhi kwahurumawake naakufariji kwahuwomtihani. Alokuanao. Baba ni mwemahuyu kwa mwanae anahuruma kazeeka naanakaa na wajukuuzake. Wemtoto rudi hukouliko unamsumbua baba yakokitakukutakituhuko ujute
Nasema hv arud tanzania🇹🇿nchi ya watu hyo jmn sim bak tu huku unamtesa mzee jmn 😢😢
@user-gg4xj1yt3rАй бұрын
Naomba namba zako dada Zari niko uku ilaq nikupe ukweli ili baba atulie
@user-wg1mm4xj7k27 күн бұрын
Kabisa mpe ukweli makosa sio ya maagenti Mimi mwenyewe Niko uku na ofisi Moja na uyo mwanae
@ritapiusnicolaus7068Ай бұрын
Mzee wetu unabusala saaaana Mungu akupe mwisho mwema 🤲🏼❣️🌹😊
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Mashaallah baba mtu na nusu wallah m/mungu azid kukupa afya njema maana unapambana aswaaa
@RichardMakokoАй бұрын
Baba pole kma mzazi unaejali wanaume wengi hawatunzi watoto walahawjali kuhusu watoto wanaozaa na wenza wao, ushari wangu kwako kma mzazi swara lautaftaji kunakupata na kukosa hilotunapaswa kulitambua airimradi nimzima tumuombee huyu mtz mwenzetu amesubutu kutoka nakujipambania ameuvaa uhusika wababa namaa na ukizingati nimtumzima anaejitambua hebutumpe nafasi yake kma mpambanaji akifanikiwa baba umefanikiwa na tz pia imefanikiwa na ukizingatia kikwetukwetu ajira bado sana maisha nipopote Mzee hata kma akirudi bado kutakuwa nachangamoto2 hdikufika huko kunamsoto alioupitia na kwenyemafanikio Kuna changmotopia litakalomkuta bado nimwenzetu pia tutanglia namna yakufanya
@habibabarker1644Ай бұрын
Rudi nyumbani ndugu yangu Mungu atakupa hapahapa Tanzania jitahidi kuomba Mungu
@mtumwamalikmtumwamalik1304Ай бұрын
Bora arud tu binti huyo aje atafute omani baba kashaona mbali huyo
@Official83640Ай бұрын
Jaman Nchi za kiarabu kwenye unafuu ni Oman tu kwingine majanga. Km vp arudi bora aje Oman atapata hitaji lake na atasomesha wanawe
@SiabaFadhiliАй бұрын
Mmh huko Oman pia majanga kibao nchi ambayo ina afadhali ngalau kidogo ni Bahrain kidogo wana utu
@Official83640Ай бұрын
@@SiabaFadhili Ukija na akili ya kazi utabadili nyumba hd utapata kwenye unafuu lkn ukija na akili yakushikiwa utajuta
@shamzone388Ай бұрын
Oman tupo miaka na miaka tupo na tunaendelea kuwepo TumejengA tumesomeshA na biashara zinaendelea Ukijua umekuja kufatA nini UtafanikiwA lakini ukija kudanga ndio utadangiwA
@zainabuabdulahi5012Ай бұрын
Waaa jamani watanzania na mkorogo waaa ! Tujipende vile tulivyoumbwa.
@user-ur7pw9ek6sАй бұрын
Subhanallah.
@RukiaJuma-ph2rjАй бұрын
Allah akbar inasikitisha kwa hakika
@faridaally-jp1gxАй бұрын
We binti rudi kwa baba yako
@user-jz1ee9cg2zАй бұрын
@@faridaally-jp1gx 😂😂😂
@user-hp7rx4zk4tАй бұрын
Mzee nakwambia ata angetumiwa Ela angeitapka😂😂
@deonicemollel4205Ай бұрын
Mzee kasema wawili wako nje ya ndoano😂😂 pole mzee wangu mawanao atarudi.
@asias8724Ай бұрын
Mwenyezi Mungu anajua zaidi ila angekuja Oman miezi yote hiyo kidogo angesaidia familia japo kidogo Oman ukifika siku hiyo unakuja kuchukuliwa kwa ajenti tofauti na Iraq kuna rafiki yangu dada yake hivo lakini yule si mtanzania tunakaa nae Oman nyumba moja
@joharishabani760Ай бұрын
Mbona hujamuombea pesa kwa wadau uyo baba anahitaji msaada
Uyo kurudi itakuwa ngumu waulizeni hao maagentii gharama zao ndo uyo dada atarudiii vinginevyo labda serikali iingilie kati na yakiendelea hivi atakosa kabisaa mawasiliano nae
@MaryNdondoleАй бұрын
Mwambie mimi niko salama
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Baba km imeshindikana salma kurud tareh 10 / 11 / bac muombee dua apate kz afanye ili ahudumie familiya na ww pia muombea dua tu ndio kilicho baki
@annahpeter7441Ай бұрын
Pôle baba
@user-hp7rx4zk4tАй бұрын
Ctaki namtaka yeye arud apa...na hyo Ela ntatamani kuitapka 😂inachekesha na inaumiza kiukweli ...ila mashaaalah baba una misimamo mikali.
@AminaVJ29 күн бұрын
Inachekesha huu msemo wa baba ctaki namtaka yy arud apa😂
@fathiyahmuzney7367Ай бұрын
Salma anafanana na baba ake
@user-ui4oh8gf8nАй бұрын
Bint ulikataa muendelezo.Ndio kwanza story inaanza.😂😂😂.Usicheze na Global. Kubali yaishe.
@fettyrashid9042Ай бұрын
Jamani😅
@OmanSinaw-mi7gpАй бұрын
Salama ludi nyumban kanzi nyingi utapata seemu nyege msikilize Baba ni Baba uone uluma anatabika kupambania lud nyumban kwaza uje kupata nalala ya mzazi
@Byme6434Ай бұрын
Kwa Uzoefu Mie Wa chi hizi Huyu Haiwezekani akaa mda Miezi yote hiyo bila Ya kazi Umechekewa miezi mitatu Lakini miezi nane Bado hajapata Angemsikiliza Baba yake Arudi Aje Ajipange Atapata nchi nyengine
@user-sd5zf6fz4vАй бұрын
Kakimbia ulezi huyo salma ni mjinga sana
@user-ur7pw9ek6sАй бұрын
🎉🎉🎉
@gracemsaki1561Ай бұрын
Zariamu niinee uruma kuhusu rozi na farida niaje jmn jmn
@user-lu8mb6qr6dАй бұрын
Salma Rudi ukifika huku Mimi nitakuoa.achana na ao.baba Ako anapata tabu sana ludi mama pls.ludi.
@mwajumamwajuma55Ай бұрын
Aya shemeji
@MaryamKhawar-h3jАй бұрын
Maskin anatia huruma jamani mama samia kipenzi cha watu anapenda kusaidia watu amsadie huyu mzee atengeneze nyumba yke na mzazi akiw hataki ujue kuna kitu nikweli arudishwe tu
@sophiakimaro5174Ай бұрын
Kwani huyu babu hana mke?
@user-dx1hz3ow7kАй бұрын
Yupo kwenye mtihani dada etu anaongea sio kwa amli yake anaamlishwa na yt hivyo vitisho anavyopewa anahitaji msaada arudi nyumban Kikubwa kumuomba Mungu aweke wepesi
@AbdulmujibAhmedАй бұрын
Huyo babu mnamsumbua nyie wqndish muacheni
@user-bx6rf6nv4xАй бұрын
Kaa kimya kama huyui tbamani Ya wazazi hivi kama baba hakufika kwa waandship waandshi wangejuaje kama anamatatizo Tulia kaa kimyap
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
Yani kama anakua salima bola aludi mzazi moyo wake haujakunjuka arudi atafute za oman mungu atasaidia inshalaah
@user-sd5zf6fz4vАй бұрын
Asiwasumbuwe huyo
@swaumuabdallah6886Ай бұрын
😢😢jmn uku tunalipwa how dada akil hana
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Sasa unaambiwa hafanyi kazi kalundikwa ndani analipwa nn usimtoe mtu akili sikiliza uelewe
@globaltv_onlineАй бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@zuweinaalhabsya8773Ай бұрын
Sasa kama mwanae anataka abaki afanye kazi huko Sasa si amwache afanye kazi ampe Baraka zake afanikiwe mwanae inaweza kuwa atapata kazi na akafanikiwa.
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Umemaliza afanye tu kz ili aihudumie familiya yake
@ShukranMwakyamboАй бұрын
Kinachooo muuma baba yake today Amendoka Sasa ni miezi 8 yuko oficin hajatuma hataa Mia Mala akamatwe Mala kakaaa police miezi 2 ko baba ana wasiwasi
@kadilamore802Ай бұрын
Kazi za uarabuni nisawa na kifo nusu waaulize wakenya..bora uuze mandazi tanzania
@kadilamore802Ай бұрын
@@ruqaiamohammed345kazi gani za waarabu ni sawa na nusu kifo
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
@@kadilamore802 tulia tukupashe hujui chochote
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Iyo ishu ya mababa mtihanikilakona kama mm nishasahau kama wanangu wana baba napambana mwenyewekilakitu nahata hawamjui babayao
@fatumahamadi1379Ай бұрын
Pole My ALLAH atakupa Faraja inaumiza sana kulea wtt peke yko
@deonicemollel4205Ай бұрын
Pole sana sisi wanaume bana😢
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
@@deonicemollel4205 Asante namshukuru Mungu kwani nilipofikia sihaba. Nipo Oman huku namafanikiyo nimepata Allhamdulillah
@deonicemollel4205Ай бұрын
@@HanifaOman-oo4pl pambana mami
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
@@fatumahamadi1379 Amyn yarabiaalamyn.
@bas2823Ай бұрын
WALLAHI HARAM KUMFANYIA UBAYA KAMA HUO! HUKO IRAKI HAWANA IMANI ZA ROHO ZAO!?😢! HUYO MOHAMMED HANA WATOTO YEYE!? HANA IMANI!?? HUYO!?😢!?
@RahmaHamad-x9fАй бұрын
Usimlaumu muhamed kosa ni la binti yake uyo muhamed namjua vizur dada zatu wakija huku wanajiharibu wenywe