Nakaaya My Sister, You are doing an amazing job 👏 and God will surely carry you through…Tafuta therapist Mzuri atakusaidia kuheal na kizuri zaidi Unasali Endelea Kumshirikisha Mungu …Atakuvusha!! Mimi Mwanangu Ana Mwaka Mmoja na Miezi Nimepitia Mengiii ndani ya Kipindi kifupi Ila niwe Mkweli Maombi Yamenivusha Nasikia kupona completely,🙏
@missmannydxb2 ай бұрын
Since the day she stepped her foot on Project Fame, i fell in love with her. I'm your biggest fan ❤all the best Nakaya. Girlllll sing, remember who you are 😍😍😍🥰🥰🥰
@ms_teeonly2 ай бұрын
Nakaya dah umeniliza sana story yako na motivation uliyonayo iko juu ku inspire wengine, what a mum!, Mungu akupe hitaji la moyo na uendelee kuwa mama bora. You are a muva❤✊🏽👏🏽,
@neemarwamugira11682 ай бұрын
what a strong woman ,Yesu akupe kusonga mbele na baraka tele
@ninemine30312 ай бұрын
I really wanna hug her🥺❤️.May God heal you Sis💕
@xxx..........................2 ай бұрын
Nakaaya, the best way to heal properly ni kuchukua jukumu la kumlea mwanao 100% na uwe proud to do that. Isijefika wakati ukamchukia mtoto sababu ulizaa kwa sababu ya mwanaume. Rudi kwenye nafsi yako umshukuru Mungu kwa kukujalia mtoto. Njia unayopita ikakupe ujasiri na kuongeza juhudi kufanya vizuri. Unaweza kuwa hupigi hatua kubwa kwa sababu moyo wako una hasira, una stress na ubongo wako unafikiria zaidi vituko vya mwanaume badala ya kuchanja mbunga kusonga mbele. Mwache aende. Msahau. Usimkaribishe tena. Usimpe nafasi tena. Usimuongelee tena. Wala usikubali kuletewa habari zake. Hiyo ndio njia ya kupona.
@ivankadaudi81612 ай бұрын
Hongera sana usiache kumcha mungu usiache kupambana hakuna gumu linalo dumu❤
@floshkitchen30612 ай бұрын
Pole sana kipenzi,wanawake tunapitia mengi,Mungu akusaidie upone ukimuongelea usipate maumivu bali umtumuze Mungu kwa kukutoa hapo.
@cleopapaulmrisho54782 ай бұрын
A very heart touching story, kilichoniumiza zaidi ni kudharau talent yako na kukutaka uachane nayo na wewe kukubaliana nae, sikulaumu kwa sababu ninajua nguvu ya mapenzi. Huyo ni binadamu wa kawaida kweli...!!???. Yaani tunakosa burudani kutoka kwako kwa sababu ya mpuuzi mmoja asiye na UPENDO, HURUMA wala UTU kiasi cha kukanwa hata na shetani mwenyewe!!!! Keep it up Nakaaya, GOD is good and you will make it
@marciawambui1965Ай бұрын
Pole sana nakaya,you are gifted singer truly. Sending love from Kenya ❤
@preciouspeter61262 ай бұрын
I see a preacher in you. Mungu akufikishe alipopakusudia kwa utukufu wake.
@shosekomba4492 ай бұрын
Nakaaya asante Kwa kushare your story God bless you sana nimepata nguvu as a single mother too..thanks
@MiriamMoses-h4q2 ай бұрын
Am so proud of you hunnie… keep it moving lady😘😘😘
@rehemavickie65212 ай бұрын
Wewe ni mama bora! Karma itamlipa. Wewe ni jasiri! Imara . Nakuombea Munguawape new Dady honestly! Nakupenda ❤
@christinakayombo55952 ай бұрын
Pole sana. Its so touching. Thanks for being honest. Mwenyezi Mungu akupe amani unayohitaji.
@gaspercharles22442 ай бұрын
Aisee mm ni mwanaume lkn nilichokisikia haki ya Mungu sijawahi kujua kweli kama Kuna wanaume tuko hivi kumbe ss wengine twaonewa hatujawahi kuonea mtu pole Dada utapata mtu bora atafuta mateso yote utashangaa ila ninachokuomba kwa kuwa umeamua kuwa wazi Sasa ishia hapo usiendelee kuliwaza Hilo ukiendelea kuliwaza Hilo hutasonga umeamua kusahau sahau kabisa usiangalie nyuma hata kidogo pambana tu kwa utulivu
@eddacharles6573Ай бұрын
Ushauri mzuri sana
@Mamshika2 ай бұрын
Pole mamy i feel your pain wanaume ni wanaumiza a lot of women kwa style tofautitofauti yaan ni wabaya sana I.I remember your song politicians rudia kipaji chako binafs i miss you
@nicolauselias9084Ай бұрын
Duh.polee sana mdada mzurii.na hongela sana kwa ujasiri wako .mungu akujariee
@SelinaWilson-b5y2 ай бұрын
Ahasante kwa ushuhuda nilishakata tamaaa sana! Mjmi ni single mama wa watoto wa3 nimepita magumu sana ila namshukuru Mungu bdo nahema!
@nathaliakoola29572 ай бұрын
Its worth shairing ❤ Super woman
@ZeishaFuture2 ай бұрын
Bora yako pole mimi nilijibiwa "utakoma utaijua dunia"😢lakini leo napambana Bila ya yeye Alhamdulillah🙏
@Yusuphmbuguni-d6q2 ай бұрын
Mungu ndio kila kitu kama Yeye si mzazi wako wala hana uwezo wowote wa kukulaani MUNGU ndiye msemaji wa Mwisho
@missamirajiiddy7077Ай бұрын
Kesi ya upande mmoja huwezi kuihukumu, na nyinyi wanawake ndio mlivyo kuongea uongo na vichozi vya bongo move meengi
@HamisiForogo2 ай бұрын
Asante kwa kututia moyo dear mimi pia single mother na bado I still ok napambana na nwanangu mambo yanaenda na MUNGU anasaidia
@gracetheweddingplanner34132 ай бұрын
Just wanna Hug Her
@marykyamba90422 ай бұрын
Amen. Nakupenda sana dear, umeponya nafsi za wengi. Mungu akubariki na akupe haja za moyo wako,ushindi ni hakika. Mungu wabariki single mothers, really passing a lot😢
@tanzaniadigitaltz2 ай бұрын
Hongera sana Nakaya kwa ushindi, Keep on trusting God, Mpaka hapo tayari uponyaji unaendeela ndani yako na umeshinda tayari, healing is the process...... slowly but healing in process, Hakikisha Neno la Mungu ni chakula cha roho yako ili uzidi kuendelea kwenda mbele na kufikia hatma Mungu aliyokukusudia.
@SiriNkya-z9m2 ай бұрын
Nakaya mdogo wangu,sahau,anza na usonge mbele huyo mwanamme ni jini achana nae,mtegemee Mwenyezi Mungu tu utawin
@dinakyoma59772 ай бұрын
Thank God nimepita hapa, so powerful and encouraging. Thanks Nakaaya🙏🏻
@AdelinaBenjamin2 ай бұрын
U have spoken all my ccta....am in tha shoes bt God is good always🙏
@patriciacarlo72362 ай бұрын
You will heal completely Nakaaya In Jesus name 🙏❤❤❤
@aj-gw1rl2 ай бұрын
Dah pole sana Nakaaya, mwanaume akikuchukia anakua na roho ya kiunyama unaweza kujiuliza kama ana ubinadamu ndani yake. Ila Mungu hamwachi mja wake❤❤
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج2 ай бұрын
Dada hauko pekeango yaan naona km unayasema maisha yng ya mahusiano.pole
@hadijajaicy25072 ай бұрын
I see me in her Story sema tu wengine sio maarufu.. ila tunapitia mengi kwenye haya mahusiano
@careen26mrope762 ай бұрын
Ku-heal completely inawezekana kipenzi, hakuna tatizo linalodumu milele. Hiyo situation ya ada nakuelewa sana, yap ni kweli inaumiza saaanaaa hasa unapopitia nyakati ngumu halafu ukiona unapopitia magumu unamkumbuka ambaye alikuumiza basi jua bado haujapona, me am a single mom but nimekubali kumove on!! Achilia........achiliaa....achiliaaaa............ilikuwa ili uwe Nakaya anayejitambua lazima upite hapo ulipopita. Mungu alikupitisha sababu alikuamini kuwa utavukaaa........jukumu ulilonalo ni kutengeneza furaha yako na furaha ya mtotooo............usilieeee...........aibu kubwa aliipata Yesu Msalabani tena ilitokana na watu aliowaamini. KUBALI KUENDELEA MBELE, ONA KAMA VILE ULIZAA NA MTU AKAFARIKI....Usimbebe dear!! Inawezekana kuishi maisha yako ikiwa tu umechagua kuwa na amani na kuona kuwa sasaa mimi ndio muhimili mkubwa wa mwanangu. Unaumia kwa kuwa unamuwaza. Utakapoamua kusimama wewe kama wewe utafanikiwa na utashangaa!!! Mwachie Mungu kipenzi. ISHI MAISHA YAKO, SIKU ZOTE MTOTO NI WA MAMA. NATAMANI UTOKE HAPO ULIPO NA INAWEZEKANA. Mtoto ni Baraka siyo laana, ukichukulia kama mkosi hautafurahia umama.....
@YasintaMtavangu2 ай бұрын
Nmeumia Sana Dada mungu Ni mwema pambana wew Ni mwanamke wa nguvu❤
@pceodhc2 ай бұрын
May you find a new Dad! Amen! 🎉🙏🏾
@innocentiaMgoyo2 ай бұрын
Nakaya nimesikiliza mapito yako hadi machozi yamenitoka, nakumbuka wakati umelazwa AICC hospital-private nami nilikuwa nimelazwa hapo, nakumbuka hata rangi ya vitenge ulivyo kuwa umevaa, mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo. Nakupenda sana, wewe bado ni mrembo sana, keep it up❤🎉
@dork87492 ай бұрын
Nakaya my sister usife moyo Hayo maisha wamepitia wanawake wengi sana sana sana Wewe bado unanguvu, na mrembo sana tu Muamini Mungu kamwe hatakuacha Utashinda tu dada
@Thisisgrace9792 ай бұрын
Mimi usingle mom ulinitenganisha na mama yangu mzazi, yani ni mtu kitu, huna utajua mwenyewe. But here i am moving on, najua 1 day tutakuwa pamoja happily.
@esterkimath12142 ай бұрын
He was Narcisistic man .utapata mtu atakae kupenda kwa dhati .Lakini wanawake sio lazima tuolewe tuishi maish yetu
@hadijajaicy25072 ай бұрын
hii inabidi kuifanyia awareness, hasa kwa wanawake wanaumizwa na kupotezewa kila kitu na watu wenye hii disorder.. yaani kama uchawi vile ha ha ha ha ha ha ha
@jenitharugaika52752 ай бұрын
Narcissism is real, most people are unaware of this😢
@LuluMalima-j1w2 ай бұрын
Good advice girl, much love
@annajohn24882 ай бұрын
Pole sana my dear mshukuru sana mungu na furahia zawadi ya mtoto wako mungu amekupa uyo shetani mungu atampa majibu yake
@charlesmbise23442 ай бұрын
Nakaya Dada yangu uko vizuri unajitambua unajieleza kama kamanda , Mimi kaka nakungeza sana kwa kujitambua mungu atakufungulia milango,mungu akubariki na ukupe wepesi
@RuthCharles-u4j2 ай бұрын
Am speechless sbb jmn l meet this guy mungu wambinguni nisaidie
@monicahsulley51632 ай бұрын
Weah! Your very smart Nakaya..wachana na huyo narsissist ,,kubali hali inuka pambana tumia hiyo akili mingi uliyonayo naamin kila kitu kitakuwa na utapata kila unachohitaji wewe na mtoto..me nakupenda sana nimefrah kuskia unaimba tena..never give up.
@miriamhaule2656Ай бұрын
Forgive yourself, forgive him!!God is here for you! Take heart my dear sisy,,,sending love and hugs for you❤
@QasimShabaan2 ай бұрын
This is my situation 😞 niko oman napambania watoto wangu bila msaada wa baba yao ila kwa uwezo wa Mungu tutafika inshallah masingle mama tusikate tamaa ipo siku Mungu atatenda kwa nafasi yake 😭😭🙏
@florakimaro-vw7qj2 ай бұрын
Ni kweli hawa wanaume wangekuwa na wajibishwa wangejirekebisha wasinge zalisha hovyo wanawake tunapitia ukatili mbaya sasa tunajipa furaha Hila moyo tuna machungu sana mungu atupe riziki single mama wote usiombe ulee mtoto mwenyewe.
@Clipalert-ft2vjАй бұрын
unaeza kua kwa hiyo ndoa na iwe ni wewe ndio unalea watoto na mwanaume hashugulikii hata yuko tu mfano wa mwanaume
@tiffanymo94532 ай бұрын
Keep moving ,your the strong woman ccy😘
@RukhaiyaNassir2 ай бұрын
😭😭😭unanisemea nakaya inaniumiza sna
@rehemabakari9862 ай бұрын
Mungu amesha kuongoza Nakaya ❤❤
@receptionmediteraneo2 ай бұрын
Nakaya my sister your the best wewe ni shujaa we learn through mistake baby, Mungu wa.mbinguni anaenda kukuinua.kwa.upya kbs kbs maadamu umeamua.kumkabidhi Bwana njia zako na mapito Yako,kila kitu kitakuwa sawa
@merumount59882 ай бұрын
Naakaya as a grown up person..angalia vzr maneno ya watu kwako..wengi ni crocodile tears! sijaona hata mmoja anakuelekeza njia sahihi kutumia kipaji chako..huko ulikotumia kipaji chako ndio umefika hapo..comeback to God n sing for Him!
@naturelle10972 ай бұрын
Nakaya i feel your pain. Polee sana time will help you to heal and move forward❤most noble thing to do is to forgive him please. You need your sanity.
@RoseRobert-qd6ip2 ай бұрын
Strong woman never give up, congratulations sis
@hubakombe5862 ай бұрын
Pole mamaa.. Hayo yote tumeyapitia na tunasonga mbele. Mungu hawezi kukuacha.. Wataendelea kukuona uki-shine. I have learned to love me first, kujithamini kwanza na ndo sasa naona ni rahisi kusonga mbele
@marthandenuka79032 ай бұрын
I love you Nakaya❤
@EVALINESILVIN-dp5kj2 ай бұрын
Pole sana
@scholamwasi2 ай бұрын
Natamani nikusikilize ila vingeleza vingi bana we ongea ambao atujua tujue bana nakupendabila unanikwanza bana ❤❤
@UpendoJohn-qr5ox2 ай бұрын
Strong hugs sisy❤.... please forget about the man...but hold your son hand , be proud of you and thanks God for the blessings of the handsome boy..... your strong, beautiful & super woman..... Kindly Leave Him alone forever
@shabanponera28952 ай бұрын
Ndoa ni kitu muhimu sana, huyo mwanaume ungemwambia kuhusu ndoa angekimbia mapema mno
@echosoundchannel6772 ай бұрын
Hongera sana hy ni hatua kubwa sana ya wewe kuamua kukaa mbali.ila unatakiwa kumuomba Mungu akusaidie uweze ku heal na kuendelea mbele bila yy.Wala usione aibu kwann umezaa na mtu mbea kila mtu ana mtihani wake wakwako ni huo na unaona kupitia huo umekuwa na growth kubwa sana ndani yako.
@faridapeace51122 ай бұрын
Wewe nimshindi kua tayali kula raha mpaka unakufa nakuombea mema sis 😘😘
@sofiarugoye79292 ай бұрын
Hata minilijua najiuliza huyu dada Yuko wapi,kwenye mains set yangu,nilidhani Ana mme washoka nafamilia nzuri Sana,pole Sana dada Mungu nimwema
@agneskighenda37952 ай бұрын
Pole sana Naakaya!
@roselinasandi65092 ай бұрын
Pole sana na hongera kwa kusimama tena,tusiziignore red flags
@pendothomas72582 ай бұрын
The issue of bullying 😢😢
@imakulatabakarysumaye92352 ай бұрын
Pole sana dada
@dativachuwa35662 ай бұрын
Ahsante kwa ushauri dada
@elizabethalex6138Ай бұрын
How I wish Raisi KIKWETE amuone 😢she will be in another step as she wishes God do your will if it pleases you
Hatafti km ataftat ili one tu km ndio huyo kid learn and understand kila kitu
@TinaMwasekaga2 ай бұрын
Tupo wengi,, Mungu ni mwema tusikate tamaa❤
@mariamgodson12902 ай бұрын
Mungu atusaidieee jamani kina mama wotee tunapitia mengi😢
@verodmrealuty7902 ай бұрын
My dear keep going chat was a chapter not a story just put it behind you and go on with your things
@VeronicaSalvertory2 ай бұрын
Ni kweli kabisa wanaume aina hii wapo hata baba watoto wangu Yuko hivyo. Nimechelewa Sana kuchukua maamuzi ya kumuacha. NaleA watoto watatu peke yangu na baba Yao yupo . Hana habari kabisa
@jamilaabdallah98662 ай бұрын
Tupo wengi mpenzi
@makaaya_34492 ай бұрын
ure strong woman dear ,just let it go siyo rahisi basi block everything zinazohusiana na yeye songa mbele I have been there dear You can do it .kila mwanadamu ameumbwa kukosea kikubwa kubali na usonge mbele
@merumount59882 ай бұрын
This s not a good advice..wewe una uhakika nakaya ataishi na mtoto siku zote? Sote hatujui kesho itakuwa nini, jenga mahusiano mazuri na watu including baba wa mtoto km unampenda mtoto na unapenda afanikiwe..msimpotoshe nakaya kushikilia uchungu ambao hautamsaidia chochote..
@YasintaMtavangu2 ай бұрын
Pole Dada ucjal pambana kwaajl ya mwanao
@patriciacarlo72362 ай бұрын
Katika single mothers niliowahi kuwasikiliza,wewe ndio umeongea ukweli,I just ❤ you Kaya.may God keeps you going, sending love, prayers and hugs ❤❤❤in Jesus name 🙏
@neemakawogo54792 ай бұрын
Just like my story
@DeboraSamhenda2 ай бұрын
God akusaidie sana akuponye moyo
@nasiwasumari38302 ай бұрын
Dear Nakaaya, Ulikua mpango wa Mungu Kai aje hapa duniani. Na ilikua aje kupitia huyo baba yake. Usishangae wala kujuta ilikuaje ulidanganyika. Kuna mambo ambayo ni ya kiroho. Mwenyezi Mungu ana kazi na Kai.
@annachubwa2 ай бұрын
Naelewa sana unachokizungumza dada yangu
@rosemanase96632 ай бұрын
Laiti nchi hii wanawake tuliachiwa watoto kwa kejeli tungesikilizwa kweli. Jamani mimi nilichwa na mtoto mdogo na kazi yangu akahakikisha amehiaribu nikaanza sifuri. Kama Kuna namna naweza kusikilizwa naomba hiyo nafasi pengine Kuna mwanamke atapona kwa story yangu. Pole wadada wenzangu sio rahisi ila MUNGU anatusaidia. Zamaradi naomba unisikilize naitwa Rose nipo Moshi
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج2 ай бұрын
Ivi kwnn wanaume tz wako ivi wanapenda bweteka wakiona mwanamke unapesa yeye hawez atakukuongezea ata mia why!??
@rehemadaudi43902 ай бұрын
Kweli tuna zaraliwa sanaaa ,ila Mungu yuko na sisi daima
@msusekingori23232 ай бұрын
Big up mpambanaji mshukuru Mungu hukufunga nae pingu za maisha he was just boyfriend angekuwa mume ungeteseka zaidi maana ungekuwa kifungoni
@finaurio32492 ай бұрын
I'm Tanzanian, and honestly, I hate how my fellows bully each other on social media. It hurts. Sometimes, you even wonder if they ever have anything else to do or if that's a career
@rehemadaudi43902 ай бұрын
Mambo, sijakuona mda Arusha uko wapi? Love❤ ni mefurahi Sana kukuona
@Lababyyy202 ай бұрын
🙌NAKAYA
@rosemunisi8182 ай бұрын
Fight for your son Darling, sahau uyo mwanaume
@sofiarugoye79292 ай бұрын
Waweke Sheria mwanaume akimchezea mwanamke apewe adhabu Kali,waachekuchezea watoto wa watu
@mariamgodson12902 ай бұрын
Hii inaumizaaaa sanaaa jamani 😢
@lucymtui86802 ай бұрын
❤real🎉🎉
@sophiaremmy63262 ай бұрын
Hugs sis ❤❤❤❤
@patriciacarlo72362 ай бұрын
Ndio maana simlaumu diamond platnumz,hatujui baba yake alikuwa anamfanyia nini mama yake
@JumaNyanda-kz3ib2 ай бұрын
Ni kweli giloo ww uko smart xana tangu mdogo ulikosea xana kuwa na hiyo mtu,
@elidaburton87372 ай бұрын
80% like my story 😢😢
@tricynicolaus67802 ай бұрын
Duu painfull story
@magrethmathayo28002 ай бұрын
pole kipenzi basi inatosha usiwahi mrudia tena 😢😢😢
@Magdalene-er2ur2 ай бұрын
Mungu akupe haja ya Moyo wako
@lucymtui86802 ай бұрын
Mungu yu mwemaa 🙏🙏
@maryamsuleiman63402 ай бұрын
Maisha nisafari yenye kila Aina yamitihani ,haijalish Nani wala Nani, kikubwa nikujikaza kuishi wewe km wewe,,endelea kusimama , nawengine wajifunze ,mimi sijawahi kuachwa ila yakinichosha naacha ,hata km haijalishi ,hatuwez kukwepa kupendana ,ila tusikubali kuumizwa ,pole sana ,niwengi yameshatukuta mengi