The Guy is well informed and knows how to hit the point... You talked well comrade
@stellakutta65134 жыл бұрын
Asante Sana Baba kiongozi wetu na viongozi wengine Kama wewe. Kweli wewe ni kiongozi Hali hasa wa Kitanzania na wewe na WaTanzania. Una uchungu a nchi yakima nchi yetu Kama Tanzania. Ukweli ni huo mtu Kama huyo ni wa Nini kuniingiza kwa yale ayatakayo.wapinzani wakekwama makangakawe. Na siku yao ni tarehe 28/10/2020. Mambo yote yatakuws tayari WaTanzania watskuwa jury na amani iko pale pale. Mungu yu pamoja nasi. Amina.Magufuli Oyeeee Wabunge na madiwani . Ccm juu juu zaidi.
@raymondroyer74144 жыл бұрын
Tunakupenda bure Komrade Polepole unapiga mpaka wapinzani wanasikilizia maumivu dadeki mpaka waisomee hasaaa
@bonnyngowo75674 жыл бұрын
Sio waisome hata wewe pia sukari unanunua kwa bei ileile
@edmondthomas33214 жыл бұрын
@@bonnyngowo7567 ...inaelekea bado huelewi mamtiki ya "kuisoma".
@marksonbeauty63974 жыл бұрын
@@edmondthomas3321 shida ni kuhisi unajua halafu hujui
@fnnyanda59933 жыл бұрын
Mhe. Polepole, SAFI SAAANA. Umewajibu kitaalamu. Mungu na Akubariki. Ushindi wa heshima upo.
@khalifawapili17994 жыл бұрын
Umejibu kisiasa sana aiseee😎
@babylonyNgwembe4 жыл бұрын
SAFI SANA H.POLE POLE YAN LISU ASIVURUGWE WALA KUSHIKWA SHKWA WALA KUSHTAKIWA MPAKA SIKU YA OCTOBER 28 APIGWE KWEUPE ASEPE ZAKE.
Nakuamini sana polepole wasituchezee raisi ni mmojatu magufuri
@onesmojustice23484 жыл бұрын
Ila polepole unanifurahisha unavyomchambua yule pimbi yaani umefunguka sana kumjua nia yake ndogo kabisa ya kutaka mwende na mihemko yake big up.
@khamismasoudy18984 жыл бұрын
Hana..hoja za kujibu..huyu..mwehu..analeta..Mambo ya kijinga tu
@onesmojustice23484 жыл бұрын
@@khamismasoudy1898mkuki umekuingia
@ahmadnassor73754 жыл бұрын
Very technical reply about Chato airport. Lazima kuwe na alternative airport ambayo ni Chato kucover Mwanza na nchi jirani. Kama hujaenda shule hii ni ngumu kuielewa. Kwa hili jibu polepole nakupa 💯 Well done brother
@estomihijohn60134 жыл бұрын
Haleluyaaaaaa! mitano tenaaaa! Tunamshukuru MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE Kwa Kutupatia Rais JPM Mwenye AKILI TIMAMU.Tunashukuru sana sana "UNAMLINDA NA JICHO BAYA" NA ANASHINDA UCHAGUZI
@dicksonmatulile15234 жыл бұрын
Tujuane 28 October 2020 kwa jpm
@esterstivin95234 жыл бұрын
Ana ukuu gani huyo
@marksonbeauty63974 жыл бұрын
Wajinga wasioona ndio watakuunga mkono. Ccm haifai kabisa kuongoza tena Tz
@dicksondickson77514 жыл бұрын
Tunajua wanao mpinga jpm,niwapigaji na vyet feki
@marksonbeauty63974 жыл бұрын
@@dicksondickson7751 wewe ndio hujielewi kabisa. Angalia uhuni unaotendeka hasa ktk uchaguzi ndipo utagundua ccm haifai kuongezewa hata siku moja ikulu.
@adammasunga48604 жыл бұрын
We shoga
@husseinkarim67454 жыл бұрын
Hongera polepole somo zuri kuhusu uwanja wa Chato. Kumbe mkoa waGeita wilaya ya Chato.
@wilfredmlaki8224 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa Mr polepole
@ezekielkizito15344 жыл бұрын
Ila polepole nataman siku moja nije niwe Kama wewe uko vizuri Sana aisee
@barikimwakajumba26274 жыл бұрын
Bro unataman nafasi yangu. Hakika mimi polepole namkubali akifuatiwa na palamagamba kabudi hao ndo ma real model wang
@fredfungo73944 жыл бұрын
lissu hafanyi mikutano kwenye viwanja vikubwa anafanya kwenye vichochoro ili kuweka presha ya watu hamuwezi magufuri ukitaka kujua hilo angalia umati uliopo kwa magufuri moshi halafu linganisha na mkutano wa lissu aliofanya moshi utapata jibu
@temkezatv43814 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@lightnesselirehema14644 жыл бұрын
Hapo hata Magufuli anakushangaa
@teddyoscar68764 жыл бұрын
Kweli kabisa hamjui mbowe, mbowe ni moto wa kuotea mbali hafai hafai Lisu mshamba angemjua mbowe nje ndani wallah asingekua nae karibu na kua kwenye chama chake
@isayakyando21384 жыл бұрын
Kaka polepole pole sana kwauchaguzi huu ccm kwisha
Duuh Mkuu Unapojibu fikiria mara mbili maana unamuharibia Rais wetu mpendwa kwa Pumba zako.. Unatamba na magari ya kifahari wakati mimi mwanachama naendesha mkokoteni...Ps jipange brother🙏🏻
@abdulyabubakar62474 жыл бұрын
Umeshasema wewe ni mwanachama wa kawaida so ni HAKHI yako kuendesha mkokoteni. Lakini ungekuwa kiongozi basi ungepata hio v8
@YusoufMjr4 жыл бұрын
@@abdulyabubakar6247 jibu simple san lenye kujitoshlza
@mbunimnyama5614 жыл бұрын
Maa v8 duuuh safi sana!!
@wingodmruma89254 жыл бұрын
Magu mzalendo wa Tanzania hoyeeee?!! Comred polepole hoyeeee?! Mnyoosha njia camander musiba hoyeee!? Tunajambo letu watanzania tar 28 Ni Komandoo Magufuli 5 tena. Nabaadayahiyo tunampa 10 Tena. Komandoo magu kutoka chato. Wapenda amani wote hoyee? MUNGU ibariki Tanzania na watuwake Amina.
@bahatimohamedi22554 жыл бұрын
Safi sanaa pole pole nakukubari
@elimwazembe36314 жыл бұрын
Kwaiyo unajisifia kanakwamba mnamaisha mazuri yakutembelea magali mazuri yenye viyoyozi huku watanzania hawana maji sarama wala safi kwajili ya ujinga wenu .poa mtaisoma namba tarehe 28
@EdmundMipawa4 жыл бұрын
Kwahyo unataka leo MO asitembelee Vogue yake apande daladala kisa kuna wananchi hawana Vogue? 😂 Huna akil ww eti
@elimwazembe36314 жыл бұрын
@@EdmundMipawa kumalamamayako ww ndohuna akili Mo naye ninani katika serikali ya ccm kama sio ukuma unakusumbua pumbavu zako katombwe mbele uko na uku wako
@EdmundMipawa4 жыл бұрын
Umepanic 😂😅🤣
@elimwazembe36314 жыл бұрын
@@EdmundMipawa kwaujinga kama uo unaongea lazima upaniki .mtu mwenye akili timamu utamamfananisheje MO na serikali ya ccm?
@EdmundMipawa4 жыл бұрын
Ni serikali ya watanzania..
@napendamazoezi4464 жыл бұрын
Maswali yamekzidi upeo kbs, hamna hata moja ulojibu kisomi na kiufasaha. Alafu mtaji wa wanaccm husikubweteshe nakuhakikishia wanaccm wengi waliopigwa na utawala huu kwa namna tofaut tofaut ndio watakaompa kura zao Lisu amino husiamini.
@alibell52464 жыл бұрын
Baba weye nakupenda umchapakaz sana tuleteeni maendeleo wananch
@anoldpotentin24464 жыл бұрын
Chama cha wanyonge viongozi wake wanatembelea V8😂🙌 wananchi huku hari ngumu
@neemagewe7174 жыл бұрын
Fact polepole
@mohamedluwilo31674 жыл бұрын
Unanuwa vijana wengi wanadanganyika na vya bule kwa ahadi ya huyu mwehu. Magu ndiye mteule wa mungu
@johnsonotieno53084 жыл бұрын
Mwandishi huyu Yuko vizuri hana chama no zake please
@elibarikimollel96294 жыл бұрын
Hamphray hujajibu swali umezunguka tuu na kurudisha kashfa!. Ndio mana mna miradi na mikataba kibao isiyopitia bungeni!!! Musa Assad yuko wapi?!!
@salimujuma1724 жыл бұрын
MbwA
@Unclerammaschannel4 жыл бұрын
Mrenda Mrenda mpeche mpeche midiocre kibaraka wa wazungu Tanzania
@tysonsinga50214 жыл бұрын
Polepole hata Kama mm Ccm sijawahi kukuelewa Broo Hauwezi kujibu maswali unayo ulizwa, Polepole Sisi Ccm tunaitaji chama Cha Upinzani imala Ili Baadhi ya viongozi wetu wanapo kosea wajilekebishe
@maimlelwa78944 жыл бұрын
Ameshindwa kujibu maswali yote mawili ya mwandishi wa darmpya
@errydeo88654 жыл бұрын
MASWALI YA KIPUMBAVU,YESHAJIBIWA MARA MILION
@depaolo34614 жыл бұрын
Maswali gani ya kipuuzi
@eliyatango36244 жыл бұрын
Wazungu sindiyo wabeber?
@fredmushendwa3574 жыл бұрын
Maana halisi ya mabeberu ni mafisadi wakinyonyaji ambao wengi wao wanatokea nchi za magharibi.Sio serikali zao wala wazungu wote, ni kundi la mtandao wa kinyonyaji,Hao ndio mabeberu na sio kila mzungu ni beberu. Watu hawana uelewa kabisa juu ya hili neno Beberu. Sasa kwanini beberu sio Mwafrika?!! Jibu ni kwasababu lengo la mabebu ni kuzinyonya nchi za kiafrica kwa kuhodhi mifumo ya kiuchumi na kuiba rasilimali zake. Mwafrika akijiunga na hilo genge bado sio beberu ila ni msaliti kwasababu bara la afrca ni kwa wafrica wote hata kama uko ulaya hapa ndio kwenu. Mwisho Mabeberu ni genge fulani la wazugu baadhi wenye nia ovu na nchi za kiafrica ikiwepo Tanzania na sio wazugu wote kama wanavyofikiri watu.
@jeremiahzacharia76554 жыл бұрын
Asiyeitakia Tanzania mema na wanataka kuinyonya Tanzania hao ndio mabeberu haijalishi rangi yake
@amosjohn24134 жыл бұрын
Mwakilishi wa mabeberu baba ako,polepole una matatizo mlipompiga risasi mlitegemea atakufa bila Shaka ata baba ako anawaza uyu mtu kaponaje ,na Sasa kawabana kweli mjiandae kuondoka
@mwambietv76143 жыл бұрын
Hao mnao waita Mabeberu ndo kuna muda mnawaita wahisani tena cjui mna maana gani??
@neemamwabukusi57044 жыл бұрын
Mi siwachukii wapinzani maana wamesababisha viongozi wa CCM wajitambue hata kampeni za lissu zinazidi kumpaisha Magufuli 😀
@imanmodern4 жыл бұрын
Hakuna mnyakyusa mjinga ww
@Unclerammaschannel4 жыл бұрын
Mwa kilishi wa mabeberu Tanzania
@abcdabcd16054 жыл бұрын
WE MZEE HESHIMA YAKO NDOGO SANA
@thadeusmateru13564 жыл бұрын
Polepole watu wanahoji maduhili yotte ya serikalli yanakusanywa kwa risiti mbona wanaopewa vitambulisho hawapewi risiti? Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa serikali atawezaje kukagua mapato hayo ? Naamini huna jibu la suala hilo ndiya maana unaishia kwenye matusi
@errydeo88654 жыл бұрын
KAWAULIZE WENYE VITAMBULISHO KENGE WE..KAKWAMBIA BARCODE,TS ELECTRONIC! UKISHA LIPIA DETAILS ZOTE ZIPO TRA
@simonlukiko28504 жыл бұрын
@@errydeo8865 NDUGU UNA POTEZA MDA WAKO KUBISHANA NA HAYO MANYUMBU MENGNE HATA KUJISHUGHULISHA AYA JISHUGHULISHI KAZI KUKAA MASKANI NA UMBEA HATA KITABU CHA UCHUMI KUSHIKA ASHIKI SASA WEWE UTA MWAMBIA NINI MTU WA HVYO AKA KUELEWA ACHANA NAYO KWANZA HATA KULA AYA PIGI YANI INGE KUWAGA COMMENT NDO KULA BASI TOBO ANGEKUA RAISI WA ONLINE
@bertinkimati26744 жыл бұрын
Ni rahisi sana kusema kuwz wapinzani wanauza nchi lakini ukweli ni kwamba wsliotufikisha hapa tulipo ni viongozi wa ccm. Na wanaosema kuwa wapinzani watauza nchi ni hao hao. Hoja za wapinzani hutokana na mapungufu ya watawala. Na ukimsikia pole pole akijaribu kuzijibu ukiachi uwezo wake wa kuongea hoja zake zinapwaya sana. Mfano amesema vitambulisho vya wamachinga vina barcode lakini tunajua vilitolewa kwa pamoja kama business cards. Unadanganya vina barcode uliwapata wapi wanachinga nchi nzima ukaingiza information zao kwenye system ili uweke taarifa za kila mtu kwenye mfumo huo wa barcode? Maana ili barcode ito taarifa za mwenye kitambulisho ni lazima ziingizwe kwenye hiyo barcode individual. Kama anaongelea barcode ya kuonyesha kuwa ni vilivyotolewa na serikali hapo sawa. Lakini hazitaonyesha taarifa za anayepewa. Na hicho ndicho lissu anachowaeleza watu kuwa hakitamsaidia mtu yeyote zaidi ya kuonyesha ni mmachinga na ni kwa upande wa serikali tu basi. Na ikiwa atapoteza au kuibiwa mtu yeyote anaweza kutumia maana hakina jina wa picha.
@jumannekhalifa77613 жыл бұрын
Bwege kweli mnatutambia v8 huku ss maisha magumu
@bayonicodem31854 жыл бұрын
Hawa wapiga dili tu hakuna chchte hapo Wote waxaka tonge tu,,
@maandaziimakavuu37903 жыл бұрын
Safi nakuelewaga sana
@kasmirimichael92284 жыл бұрын
Af ww unaeshabikia ccm hataakili hamna kwasababu mtu anajisufu kabisa tunatembelea v8 wakati wananchi hatuna hata maji
@adammasunga48604 жыл бұрын
Swali ni sahihi kuombea mkopo
@respigiusshayo50914 жыл бұрын
Hongera mkuu
@uzalendocontentschannel32774 жыл бұрын
Mh. Polepole.mwambie kuwa pesa za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge na udiwani ulikipatia chama zaidi ya billion 4.3 kwa watia nia zaidi ya elfu 40.3 ambao kila 1 alilipa tsh 100000. Pesa hizo tu mbali na ruzuku za chama zinaweza kutosha kuendesha kampeni. So mwambie mgombea wa mbowe atafute hoja nyingine ya vitambulisho haina nguvu wala mashiko.
@tusajigwekanemela47844 жыл бұрын
Nakuelewa kaka polepole
@rebeccamatwajo13584 жыл бұрын
Using'ate maneno wew toboa ukwel
@mursallusinde91894 жыл бұрын
Dah pole pole big up SNA mkuu na najua ccm haikukuweka hapo kwa sababu unajua kuongea bali unajua kueleza kila kitu kitaalam tena kwa uelewa mkubwa. Nani alikua anajua kua sis ndo wakuu wa anga wa nchi 5 africa mashariki.? Rasmi leo mjadala wa kiwanja cha chato tumeufunga na tulio kua hatuelewi tumeelewa hilo la maji ni jambo jingine tena usalama kwanza😂🤣
@thobiasshija76244 жыл бұрын
Nimeshakupata bro sana
@bockernyarusahi36552 жыл бұрын
Kweli kila zama na Watu wake,kujitapa kote kwa sasa upo wapi? we mpuuzi
@rashidmoleli89384 жыл бұрын
Kaká uliwanyoosha🤣🤣🤣 raha sana ccm oyeeeee
@jonathanvalentine91884 жыл бұрын
Watanzania jitambueni, ukisikia Tanzania tumejaliwa rasilimali ujue zimenunuliwa V8 wanachukua viongozi wa CCM wananchi mtabaki bila maji, ccm wanaona lissu anakuja na maendeleo ya wat u wanaanza kurubuni watu et katumwa na mabeberu ili wachukue rasilimali, mtanzania husiyejielewa utabaki kusema ccm oye wenzako wanatembelea magari ya kifaali kwa fedha za rasilimali
@bojobojoni62474 жыл бұрын
Lissu kaja na maendeleo gani??? Hahahahahahahahaha
@zenassylvester1254 жыл бұрын
Hata wewe unaweza kununua iyo v8 ukijituma kwa kufanya kazi vyema, usingoje serikali ikuletee nyumbani fanya kazi ufanikiwe, kuna biashara nyingi za kufanya jitume acha kulalamika
@daddieeddie50574 жыл бұрын
Hakuna kitu kama Maendeleo ya watu bila vitu dunia nzima
@farihiayusuph64054 жыл бұрын
Kuleni baba nchi niya kwenu matokeo mmepanga bado mnatutisha sawa
@yonahmbengale41564 жыл бұрын
Wewe ndio msukule wa Tanzania
@davoo25554 жыл бұрын
Hatuna mabeberu miaka hii maana Tanzania ni Nchi huru, kwanza wanakuwaje mabeberu wakati haya mandege mliyo nunua pesa zao mmekopa, pesa za kuboresha Elimu ni wao wanatoa, pesa za chanjo madawa hospitalini bidhaa zetu tunazozalisha hapa ndani tunategemea kuzisafirisha kwenda kwao kupata faida nzuri na fedha za kigeni hao ni mabeberu gani sasa. CCM ndio mabeberu wa hii Nchi. Hatuna mabeberu zama hizi tuna wadau wa maendeleo au marafiki wa mandeleo (Development Partners)
@godmremi35584 жыл бұрын
Na Wale Wenye Ndoo Za Maji Kichwani,Ni Vijana?Au Hawapigi Kura?
@adorakisamo80714 жыл бұрын
Hivi pole pole ni Mzee au kijana
@eliyatango36244 жыл бұрын
Babu
@abdulqareemseif90504 жыл бұрын
Kaka yake maalim seif
@miagielangoi32724 жыл бұрын
Hahahahaah kijana mzee
@mwajumashomari52794 жыл бұрын
Toeni mapovu lakini mwenzenu yupo juu, hata mkitoa povu yeye anapeta tu
@amenyemwansile6314 жыл бұрын
Haeleweki
@bandorajr4 жыл бұрын
Mgombea wa Mbowe na Mwakilishi Mkazi wa Mabeberu hapa nchini. Ha ha ha ha ha ha ha
@kipwintoadam25564 жыл бұрын
Unaonekana mkumbavu mjinga usijielewa malaya mkubwa
@bojobojoni62474 жыл бұрын
@@kipwintoadam2556 akili ndogo huwaza matusi sio kujibu hoja.hahahaha Na wewe toa maoni yako sio matusi
@simonlukiko28504 жыл бұрын
@@kipwintoadam2556 ACHA MATUSI WE BOYA SIASA SIO UADUI AU UNA DHANI UKI TAFUTWA UPATIKANI? ACHA UJINGA UKIKOSA CHA KU KOMENTI NYAMAZA
@fubanjenjele5214 жыл бұрын
Muuliza swali anauliza kwa woga, uliza kwa ujasiri ili watz tupate uelewa
@abdulkarim2424 жыл бұрын
Kwaiyo kwa kauli yake kuhus vitambulisho ana maana ya kwamba CCM niwakusanyaji kode... Maana kataja taasisi mbali mbali zinazokusanya kodii zisizo kua TRA kwaiyo pia CCM niwakusanyaji kodi za serekali
@jameshokororo60674 жыл бұрын
" arudi huko huko kwa mabwana zake ubelgiji "
@chriskapungwe76144 жыл бұрын
Polepole jembe kweli hapo ndipo utaona ewezo wa jpm kakuibua kijana unachapa kazi hatali
Unajitahidi kufanya kazi yako lakini labda mwende tofauti na kura
@fikiriniamani72814 жыл бұрын
Aeleze vizur,watakimbia nchi
@abdul-aziziomar59893 жыл бұрын
We mbele ya lisu ni nani,unajifanya kumdharau
@stanslausmteme84554 жыл бұрын
Sio vitambulisho vya Taifa alisema vya wa machinga Acha kupotosha we maandishi
@jamesthomas390jj4 жыл бұрын
Kuna vitambulisho vya machinga na vitambulisho vya wajasiliamali??? Yaan ww ndo hamnazo kabisaaa😂😂😂
@josephgomalo414 жыл бұрын
Haijalishi.. cha msingi ni kile Polepole amewaelimisha kuhusu BAR CODE.. ambayo ni namba inayomtambulisha mmliki wa card isiyo na jina kwenye mfumo wa computer za benki. Kwani hiyo BAR CODE inaunganisha taarifa za mmiliki wa kadi hiyo na kumbukumbu za kimfumo wa kielectroniki au DATABASE za kibenki na za kiserikali .. kuanzia tarehe ya kuzaliwa, picha yake, mahala alipozaliwa, address anakoishi, ndugu zake, kazi yake na kama ana rekodi ya uvunjaji wa sheria ambayo ndio itamnyima mikopo..! N asio jina! Kutowekwa jina kwenye kadi kutawakamatisha wezi wa kadi hizo kwani utapotumia kadi ambayo sio yako utakamatwa.. kwani mfumo wa benki utakufichua. Kaa chonjo.. bar code ndio habari ya mjini dunia nzima! Msome muelimike sio kufuata mkumbo wa mhuni kama Lissu!
@hamadisalim81734 жыл бұрын
Mwajulikana mbali kwa wizi
@basickasote5384 жыл бұрын
Mjasiriamali anapewa kitambulisho (barcord) na jina la mteja vinaingizwa kwenye kumbukumbu kwenye halmashaur husika
@hoseavusindawa56644 жыл бұрын
Hujielewi nini maana ya kitambulusho? Kikipotea kitajulikana vipi kwamba ni yake?
@TM.Sullusi4 жыл бұрын
@@hoseavusindawa5664 Kikiokotwa peleka polisi, wakiona Barcord watapeleka halmashauri na kuona hiyo barcord ilichukuliwa na mtu gani. As simple as that, unless otherwise kuna issue nyingine nyuma ya pazia.
@salimseif54914 жыл бұрын
@@TM.Sullusi Sasa tabu yote ya nini? Wangweka jina na picha tabu yake nini,majiziiiiiii wakubwa
@ibrahelectronics79784 жыл бұрын
Hii siasa banaa😭😭😭
@dramanirinju81534 жыл бұрын
Asa kwenye V8 tumefikaje tena? Hizo ni kodi za watanzania acha ujinga.
@chaavikachangilamathew57533 жыл бұрын
Vitambulisho vya Taifa au vya wajasiliamali
@petersteve49094 жыл бұрын
Umati gani wawatu waakati alikuwa anawapa hera wabodaboda na kuwawekea mafuta kwenye pkpk awu hzo hera ndio zinamuuma huyu mzungu mweusi
@issakitundu6174 жыл бұрын
Hapo kwenye v8 tu ndo imeniuma doh! Na tabu hiz jamn nyie wenzetu mnatutambia v8
@denicmsigwa51994 жыл бұрын
Wacha tuliwe
@mwahamedychilungu89814 жыл бұрын
@@denicmsigwa5199 tuna yataka wenyewe
@denicmsigwa51994 жыл бұрын
@@mwahamedychilungu8981 Duh hatari aiseee
@gwajiboiboi86643 жыл бұрын
Nyie Mnaona V8 tu Mataila Nyie Angalieni Magali Wanaotembelea Ma Rais wa Marekani huko Muone
@fnnyanda59933 жыл бұрын
Unataka watawala wetu wasafiri kwa Mikokoteni ya Kuvutwa kwa Ng'ombe?!. Au Watakuwa wanawahi ktk majukumu yao au Dharura mbalimbali kwa njia gani?! Kama siyo kwa kutumia Magari imara na yenye Mwendokasi wa kutosha?!. Pia, Kiongozi ana Heshima yake, Gari zuri analotumia ni HAKI yake. Mtu Mshamba na hasa Mpumbavu, hawezi kuelewa na kutofautisha Mtawala na Watu wa kawaida. Ndiyo maana kuna, "Meza kuu-High Table",Kuna VIP nk. Ndiyo maana halisi ya " UTAWALA".
@mgallason...56864 жыл бұрын
Don't Panic, don't listen to those madness whistlers move on and do the work. You have ajob to do and we have our work to finish on 28th. Mashoga Hawana nafasi katika nchi yenye katiba na sheria pamoja na utamaduni wake, narudia watanzania tunaongozwa na sheria na utamaduni wa nchi ambapo haushabikii ushoga, hizo ni tabia za Wabelgiji pamoja na washirika na wafuasi wake.
@barakaj.j.19764 жыл бұрын
Chama cha mbowe
@natafutamatatizo43824 жыл бұрын
JAMANI HUYU POLE NI MZEE AU KIJANA?
@ramathedon40014 жыл бұрын
uyu ni kijana aliyezeeka kabla ya mda wake kutoka na na uongo wake kwa wa Tanzania.
@danielmoses22444 жыл бұрын
Ukishafahamu ITAKUSAIDIA NINI?
@natafutamatatizo43824 жыл бұрын
@@danielmoses2244 katafute POMBE NA BANGI UCHANGANYE shoga mkubwa!
@missangela67204 жыл бұрын
@@ramathedon4001 Yaani kijana mdogo kawapelekesha hadi mmechanganikiwa. Ujue hata umri wa Makonda wa 34 hajafika, lakini mziki wake lazima mkasimulie kwa Wazungu wenu mwaka huu.
@ramathedon40014 жыл бұрын
@@missangela6720 mwisho wenu October 28
@coolruler68204 жыл бұрын
Umati sio kura,,,,pia wengi wa umati tambua ni vijana halafu wengi wao ni ushabiki tuu na siku za kura hawaonekanagi. Ukiuliza wale vijana waonyeshe kadi ya mpiga kura ktk 100 hawafiki 20
@allyjumanne73314 жыл бұрын
Wasani ndio kura
@jonathanvalentine91884 жыл бұрын
Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ni wa CCM Unategemea nini?
@jonathanvalentine91884 жыл бұрын
Taja matumiz ya hela za vitambulisho acha kubwabwaja kenge wewe
@coolruler68204 жыл бұрын
@@jonathanvalentine9188 Kazi kweli, nazungumzia kura unazungumzia vitambulisho, hapo ndipo ziro inapatikanaga
@solomoneglesius94484 жыл бұрын
Ogopa huo umati usiojitmbua🙄 akishindwa na kwa makusudi akaingiza hao wasiojitambuwa barabarani unadhani watakuuliza swali???🙄
@edigajoseph51304 жыл бұрын
Waizi nyinyi hatuwataki
@zamberimturi55934 жыл бұрын
Umeibiwa nn we ndezi😁
@sjfamily81214 жыл бұрын
Hawa wengine ni misukule tu yani wanafata upepo watokea wapi, eti nae kaibiwa na hajui alicho ibiwa
@bendit44764 жыл бұрын
Mheshimiwa Polepole hapo umelikwepa swali
@rabyngira20164 жыл бұрын
Hakuna mweshimiwa hapa fala tu huyu
@ibrahimbakary24644 жыл бұрын
Fala baba yako matako senge wewe
@castomwanasilanda25114 жыл бұрын
Yaaan hana point kabisa huyu
@castomwanasilanda25114 жыл бұрын
Ungea point wewe
@castomwanasilanda25114 жыл бұрын
Mmetesa watu alafu unataka kuwaaminisha siku wanainchi
@stellamwasenga62054 жыл бұрын
Kumbe tunawategemea mabeberu waje kutalii ndo maisha yaende huyu polepole hajui kula na kipofu
@mathiasmsese61284 жыл бұрын
vibaraka wa mabeberu
@depaolo34614 жыл бұрын
Sio kutawaliwa
@khadijamohd12164 жыл бұрын
Ss mtu huy ajenge kil kit kw wkt mmoja kwan ana Nguv za miujiza, hao Libya wamewekew kila kit na wamemuuw Gadaffi hili ni ttz la binaadamu hakinai.
@marksonbeauty63974 жыл бұрын
Hivi nyie manaoongelea habari za Libya ni mnazijua au mnafata upepo km mnavyopelekwa na ccm? Muwe mnajiongeza wajinga nyie
@bertinkimati26744 жыл бұрын
Unadanganya bila kutumia akili onyesha barcode inafanyaje kazi. Lissu kaonyesha kwa details kuwa hakiwezi kutumika kuombea mikopo. Kama mnaamini mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali mbona mkashindwa kuamini ukaguzi wa chadema? Utakuja kutueleza tu siku ikifika. Umeshindwa kazi ya kukijenga chama unakimbilia kumngangania mbowe. Watanzania wanajua ukweli kuhusu lissu na misimamo yake kabpa hujafikiriwa kuwa mwenezi. Watanzania walimsikia lissu kabla ya kuwa kiongozi wa kisiasa jivyo huna unachoweza kueleza. Utaleta usanii ukitegemea tume na jeshi la polisi. Chunga sana unachokiongea . Magufuli hakukuchagua ili uje kuwa msanii wa chama Alitehemea mgombane sana juu ya nini kifanyike kuimarisha chama kuliko kumsifia huku ukimwachia kazi ya kukinusuru chama. Uwanja wa chato na wa dodoma ni upi ulikuwa na umuhimu wa haraka? Kumbuka watanzania hawadanganyiki siku hizi. Ukisema jam o wanalinganisha na uhalisia wanapata jibu. Hata ukiona hawaongei sio wajinga na Magufuli alikuambia hilo .
@missangela67204 жыл бұрын
My dear, huyo Mzungu mgombea wenu ni just another cornman, mwanashari, wala si mwanasheria
@goodlucky85324 жыл бұрын
Bdo wiki moja tu MAGUFULI FOR CHANGE (M4C)😂😂😂
@goodlucky85324 жыл бұрын
Tar. 29 mtarud ubergij au America 😂😂😂
@missangela67204 жыл бұрын
@@goodlucky8532 Itakuwa kukimbilia huko, wala siyo kurudi tu
Uyu pole pole mbona kazeeka sana duh mtoto mdgo kazeeka kwa unafiki
@aganolamotoeliya20274 жыл бұрын
Chuki zako tu.
@kilangavanamaurus78184 жыл бұрын
Acha kauli za udaku brother ! Utasemaje chama cha mbowe huku mmekisajili. Jiheshimu eboo. Kwa hiyo ccm utakiita chama cha nyerere ? Vipi ww ?
@meryjohn71204 жыл бұрын
Hapo magufuli alifanya sawa
@daudsylvester31934 жыл бұрын
Polepole nakukubali sana
@isaacshauri48284 жыл бұрын
Tarehe 28 tunamaliza, wakapande ndege warudi kwa mabeberu
@hassaninkoja2844 жыл бұрын
Nawewe una v8
@joycepius70504 жыл бұрын
Huna jipya anawakimbiza mchakamchaka.
@josephgomalo414 жыл бұрын
Upotoshaji haumkimbizi ye yote zaidi ya wasiojielewa.. utakuwa mpumbaviu wa hali ya juu kufikiri Lissu anamtishia magufuli anayekubalika dunia nzima na wenye kujielewa wewe una wazimu..!
@zamberimturi55934 жыл бұрын
Anawakimbiza akina nan?
@mgallason...56864 жыл бұрын
mnaomtukuza mpenda ushoga ndio msiojielewa na bila shaka mmeshiba amani iliyopo.
@minskbelarus72554 жыл бұрын
Joyce, maisha yanakukimbiza wewe mchakamchaka
@bugabyarugaba52424 жыл бұрын
Jiandae kununa 28
@mohamedwarsame30734 жыл бұрын
Sasa hicho kitambulisho Chenye code utapewa mkopo.
@mariambeautysonghuseni95494 жыл бұрын
okey basi nimekuelewa kama nihivyo nisawa
@kaundasutikaunda77694 жыл бұрын
Mh Polepole una akili nyingi sana . Mungu azidi kukupa akili zaidi na zaidi.
@alabasmziwanda4 жыл бұрын
Yaañi añaúlizwa swali íla anajibu tófauti na swali
@richardsawe67774 жыл бұрын
Mkuu hiyo calculator unakuwaga nayo siku zote?, au ulijua mapema kuna hethabati
@majosamalundi36874 жыл бұрын
Atakuwa alijuwa mapema
@michaelmandia44054 жыл бұрын
Ni simu hiyo
@johnsonotieno53084 жыл бұрын
Umeongea vizuri ila kwenye magari unamaanisha nyinyi ni Bora kuliko vituo vya afya na dispensary zisizokua na magari nyinyi mnatumia v 8aibuuuu