Рет қаралды 57,629
Katika kipindi hiki cha Jenerali Exclusive on The Chanzo, Jenerali Ulimwengu amezungumza na Balozi Humphrey Polepole ambaye kwa sasa ni Balozi wa Tanzania nchini Cuba. Mazungumzo haya yameangazia masuala mbalimbali mtambuka
mengi ikiwemo kukua kwa kiswahili, fursa mpya na mabadiliko katika jamii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.