POLISI WAZUIA MKUTANO wa CHADEMA na WAANDISHI wa HABARI - WATANDA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU...

  Рет қаралды 27,662

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 68
@WaryobaChacha-s6c
@WaryobaChacha-s6c 8 күн бұрын
Mkutano wenyewe unazungumzika kwa kiingereza sasa watanzania watafuatiliaje, kikubwa viongozi husika wapo kwenye mkutano na ndio watakaoshughulikia hiyo mipango ya nishati, hawa wengine ambao hawana mchango wowote waendelee na mambo yao tu😢😊😮
@IsmailKatope
@IsmailKatope 8 күн бұрын
Hiv unaongea ukiwa timamu au hamnazo kidog.?nchi kma Marekan wanapokua na mkutano wa umoja wa mataifa wanazuia baadh y maeneneo akuna raia wa kawaida kupita vp tz iliyopata ugen wa marais 20 kutoka Africa.?ikiyopata wageni rais wa bank y Dunia rais wa bank y umoja wa mataifa y EU rais wa bank y maendeleo y Africa na mawaziri kibao makamu wa marais na mawazir wa fedha wa nchi mbalimbali.?alafu atokee chawa cjui kutoka wap awe na kikao chake.?sasa napata picha kwann JPM aliwabana hawa wajinga ad wakahama nchi km wapo kwa maslah y wa tz ayo wanayoyafanya ni sahhi.?mm ningewatia ndan awatoki ad wapate uginjwa usio na jina yn mle selo wangekua wanawake wa wafungwa wenye nyege hasa wapuuzi hao
@Hkilave
@Hkilave 8 күн бұрын
Hayo unaombea yawapate wenzako kwa uwezo wa Mungu yatakupata wewe ​@@IsmailKatope
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 9 күн бұрын
Upuuzi tu kwani lazima tuangalie huo mkutano
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 9 күн бұрын
Mh Tundu lisuuu ataweka mambo sawa tu Hana baya mtoto wa singinda
@salehmdemu5722
@salehmdemu5722 9 күн бұрын
Sasa ndo kuwapa umaarufu,,
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 күн бұрын
Aibu kubwa sana
@GasperKapungu
@GasperKapungu 9 күн бұрын
Daaah.jamani tumefikia uko tena?hii mbona ni albu tena
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 8 күн бұрын
Wanalazimisha watu kuangalia mkutano wao hahaaaaa yaan wanachekesha kama serikali Haina mvuto nihaina mvuto tu
@PeterKisabo-z5g
@PeterKisabo-z5g 8 күн бұрын
Mhmhmh asa mkutano unausiana nn na chadema jaman mbna tumefka huko
@maryshayo57
@maryshayo57 8 күн бұрын
Mimi hata sielewi kwani wanazungumza kiingereza tu wangeweka mkalimani jamani sisi tuelewe yaliyojiri hiyo llugha shikamoo😊
@ZulekhaAltiwani
@ZulekhaAltiwani 9 күн бұрын
Tembeeeni muone mjifunze ..ugeni ktka nchi hauzuiii wenyeji kuendelea na mamboyao.
@JeremiahLukumy
@JeremiahLukumy 9 күн бұрын
Hawa sio police ni Wana CCM waliovaa sare za police.
@BorchertWilliam
@BorchertWilliam 9 күн бұрын
Hilo liko wazi polisi ndio ccm namba moja..
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 9 күн бұрын
Punguza ujinga wewe
@josephosborne3072
@josephosborne3072 8 күн бұрын
Kila mtu achague lakee...wee mbona Chadema na hatukusemi?​@@BorchertWilliam
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 9 күн бұрын
Wameambiwa wasogeze mbele acheni ukuda shule zimefingwa Kwa ajili ya ugeni Kwa nn mikutano iendelee
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 9 күн бұрын
Kwahio wangekwambia uwabebee mauwa msimame barabarani muwapokee wageni ungeenda!!?😂
@allymusira2153
@allymusira2153 9 күн бұрын
Tatizo chadema wanajiona wao wanajua kila kitu
@ZakayoSanga-o5l
@ZakayoSanga-o5l 9 күн бұрын
Naww ni mkuda kama hao
@ZakayoSanga-o5l
@ZakayoSanga-o5l 9 күн бұрын
​@@allymusira2153 nama ccm jee
@richardnganya2311
@richardnganya2311 9 күн бұрын
Mkutano au kikao cha ndani na wana habari ....
@Yassinseleman
@Yassinseleman 9 күн бұрын
inahusiana Nini na mkutano unafanyikia nyumbani kwao na niwaandishi na katibu mkuu jamani
@johnsamuel7298
@johnsamuel7298 8 күн бұрын
Jitahidi Sana kwenye Maisha yako watu wasifahamu kuwa huna akili. Maana michango mingi humu ni kama familia ya Kambale wote wana ndevu 😅😅😅😅
@Mosesndahani
@Mosesndahani 9 күн бұрын
Chadema walikuwa wanatumia ukumbi wa mkutano wa hao wakuu wa Nchi ? Kwani kinauhusiano gani na mkutano huwo.
@atulalimpakakiereweke
@atulalimpakakiereweke 8 күн бұрын
Wamesha anzakuwewe seka na bado
@sirielsamweli
@sirielsamweli 9 күн бұрын
Hiiii ndio kuwapa umarufu chadema ss, kweliii haki iko mbinguni,
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 8 күн бұрын
Hivi kwanini nchi hii Haina Uhuru?? Kwakweli hii ni aibu kwa serikali yetu 😢😢
@FashoKibona
@FashoKibona 9 күн бұрын
Police washughulike na wahalifu cyo wanasiasa?
@atulalimpakakiereweke
@atulalimpakakiereweke 8 күн бұрын
Duu
@JosephChrisant
@JosephChrisant 9 күн бұрын
Kheee 😂😂😂😂
@allykigatta7564
@allykigatta7564 9 күн бұрын
kumamamaye zao...YANI TUNALAZIMISHANA KUPENDA MKUTANO WAO.....??..KILA MTU AFATILIE MKUTANO ANAOUPENDA....WASITULAZIMISHE IONEKANE KM WATU WENGI WANAPENDA NA KUFATILIA MKUTANO WAO..KIUKWELI HATUUPENDI WALA HATUFATILII LOLOOOTE....TOKA LINI KWANZA MTANZANIA AKAJUA MA,BO YA MIKUTANO KUTANO ILIYO CHINI YA HUYU BIBI....
@sethymagyo3405
@sethymagyo3405 9 күн бұрын
Huu ni UPUMBAVU wa hali ya juu. Yani huo mkutano wa nishati unaingiliwaje na press ya katibu mkuu wa CHADEMA. UPUMBAVU HUU
@helencyprian8745
@helencyprian8745 8 күн бұрын
Aibu dah!
@onesmomanase
@onesmomanase 8 күн бұрын
Wivu tu
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 9 күн бұрын
Hio nchi yaujinga dunia gani ipi kila siku polic or serekali inafanya km ujukha
@MaguguStore
@MaguguStore 9 күн бұрын
Leo kuna mkutano , na Serikali ilitangaza waooo wanataka nini ni wajinga
@sethymagyo3405
@sethymagyo3405 9 күн бұрын
We kujua kusoma na kuandika tu uneshindwa unategemea ujue nani mjinga na nani ana akili. Washangilie tu form four failure wenzako kwenye ujinga wao.
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 9 күн бұрын
Uonevu WA Hali ya juu, mkutano WA chadema unahusiana nini n huo WA kiserikali ?
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 9 күн бұрын
Kwn we uko wapi kwn serikali iko 2?
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 9 күн бұрын
Hiii nchi duh
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 9 күн бұрын
Na hatuingii on line mpk waondoke
@abuubaya7614
@abuubaya7614 9 күн бұрын
kwan huo mkutano wa mataifa unafanyikia ofisi za chadema??!
@barryrioba3934
@barryrioba3934 9 күн бұрын
Kwahiyo Kama Kuna MKUTANO WA KIMATAIFA Ndio Tuache Kazi Zetu Zingine Zote?! Kwahiyo Leo Tusifanye Chochote Hata Kutembelea Jirani Hapana?! Hata Kwenda KANISANI AU MSIKITINI Hapana?! Eh,Eh,Eh.!!!
@NDIMUELIAS
@NDIMUELIAS 9 күн бұрын
Pameanza kuchangamka sasa
@ZulekhaAltiwani
@ZulekhaAltiwani 9 күн бұрын
Yaaaani kufanya hivyo ni kuwaamsha vizuri watu wajiunge chadema...kama hamfahamu cku Moja mtafaham...
@saulimmbaga.safisana9556
@saulimmbaga.safisana9556 9 күн бұрын
Muda wao unahesabika
@severinantunuligwa4598
@severinantunuligwa4598 9 күн бұрын
Walisema mbowe alikuwa laini sana akiita maandamano watu hawaji kwa sababu ya mbowe haaminiki! Ok Sasa Leo waandishi wa habari wameshindwa kuja kwa sababu Gani! Hiyo bado hamjaseema
@RandomRealitiesRevealed
@RandomRealitiesRevealed 9 күн бұрын
Waandi shinwalifika wengene walikua ndani wakatolewa na wa nje wakaziiliwa
@lilianchambua5839
@lilianchambua5839 9 күн бұрын
Ala Hawa hii ni fujo, kwani hawaoni kuna mkutano? Mbona ustaarabu mdogo jamani
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 9 күн бұрын
TRUMP KAISHAFUTA USHOGA NA MISAADA, ULAYA WAKO BUSY NA VITA YA UKRAINE , MISAADA HAKUNA TENA, TUKASHIKE JEMBE TULIME ..
@SulePonda
@SulePonda 9 күн бұрын
Inchi ya kisenge sna
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo 9 күн бұрын
Kuahirisha mkutano wa chama kwa amri ya polisi wenye silaha na mkutano mkuu wa wakuu wa mataifa mbalimbali, vinashabihiana na kuathiriana vipi? Au intelligentsia imenusa kitu gani hapo? Ila yote heri, kinachotakiwa utii bila shuruti!
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 8 күн бұрын
HIVI CHADEMA UWA MKOJE? NINYI KILA KITU UWA NI VURUGU TU. NA MNAOKOMENTI UJINGA TULI SIKU SI NI 2 TU MAMBO YAENDELEE, VURUGU YA NN??!
@selemankishema5780
@selemankishema5780 9 күн бұрын
Piga mavirungu hao hawaoni kuna ugeni
@jonasimwanzi
@jonasimwanzi 9 күн бұрын
Ugeni unakusaidia nini acha ujinga wewe
@selemankishema5780
@selemankishema5780 9 күн бұрын
@jonasimwanzi huna akili
@ZakayoSanga-o5l
@ZakayoSanga-o5l 9 күн бұрын
Ugeni hautuhusu ss fanya yako
@selemankishema5780
@selemankishema5780 9 күн бұрын
@ZakayoSanga-o5l mko wengi huna akili
@ZakayoSanga-o5l
@ZakayoSanga-o5l 8 күн бұрын
@selemankishema5780 ata wee mwenye azimo kabisa nii bogazii
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 9 күн бұрын
Kwani si mkutano wa waandishi..tu wanajua...chadema itatrend nchini kuliko mkutano wa CCM
@helencyprian8745
@helencyprian8745 8 күн бұрын
Ndo maana yake
@tumainikibona5252
@tumainikibona5252 8 күн бұрын
Kama kipindi walipokuwa Dodoma wote tulikuwa live mlimani city,😂😂😂😂
@MasanjaNyanda-p1p
@MasanjaNyanda-p1p 9 күн бұрын
Mkutano wa wakuu wa nchi kwani unafanyikia ofisi ya chadema au vipi kama sio kwann wazuiliwe kufanya mkutano wao na zaidi ni mkutano wa ndani kuna jambo hapo polisi mjitafakari msitimike vibaya kwa maslahi ya watu.
@gidongailo7174
@gidongailo7174 9 күн бұрын
😂😂😂😂
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 274 М.
LENNOX LEWIS vs SHANNON BRIGGS
14:35
FRIZALZ
Рет қаралды 2 МЛН