Рет қаралды 216
Profesa Aldin Mutembei wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anahoji kwamba wakati Afrika ikipigania kujiondowa kabisa kwenye minyororo ya kikoloni zaidi ya miaka 50 baada ya uhuru, inapaswa kwanza kuuondowa ukoloni kwenye akili ya watu wake, hasa hasa wale waitwao wasomi.