Mwalimu Lightness Isojick anafundisha Skuli ya Msingi ya Blue Rhino International iliyoko kaskazini mwa Tanzania. Yeye ni mwenyeji wa Karatu kutoka kabila la Iraqw. Anasimulia hapa kuhusu lugha na fasihi ya watu wake.
Пікірлер: 24
@aladinynur791519 күн бұрын
From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa
@bajagihaji892320 күн бұрын
Asante dada historia nzuri kujua❤
@veronicasafari60020 күн бұрын
Hatimaye wairaqw tumefka Majuu
@samwelpanga240420 күн бұрын
Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy
@zaneco20 күн бұрын
Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa
@faisaloaljabry640020 күн бұрын
Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja
@Grataaaaa20 күн бұрын
Mungu wao juwa hatr xnaa
@smallscaleminingsupplies967020 күн бұрын
We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu
@d1535521 күн бұрын
Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo
@sulebaajun601520 күн бұрын
Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?
@d1535520 күн бұрын
@@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.
@sulebaajun601519 күн бұрын
@@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.
@Abdullatifkilupy-tn6ii20 күн бұрын
Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.
@yohanayusuf471321 күн бұрын
Duh! mungu mke Jua
@abuualiyuu243521 күн бұрын
Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa
@DAMIANOPETRO-n8l21 күн бұрын
Loa a amen Bara khuaka
@DAMIANOPETRO-n8l21 күн бұрын
Loa a amen aga akhasika
@lumage20 күн бұрын
Desi Laway
@saidnoumani724420 күн бұрын
Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful