DC MAGOTI ARUDI MSIKITI ULIOLAZA WATOTO 90+, ACHANGIA MIFUKO 300 YA CEMENT “MMETEKELEZA AGIZO HARAKA

  Рет қаралды 72,875

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 474
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 6 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini uyu shekh kiukweli yuko vizuri ni mtu mwenye eshima na mnyenyekevu nimempenda sana mwenyezi mungu ampe maisha marefu.🙏🙏🙏🙏
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 6 ай бұрын
Uislamu sahihi ndio huo unyenyekevu, masalafi ndio hao karibu sana ujifunze mengine mengi
@bakarisahede9532
@bakarisahede9532 6 ай бұрын
Charlesmugisha6529 Nikweli nduguyangu hatamimi kanihuzunisha sana huyu sheghe mpole mnyenyekevu duh
@Muadhin1
@Muadhin1 6 ай бұрын
anakukaribisha ukamtembelee
@fredducaunt
@fredducaunt 5 ай бұрын
​@@issaadinaniissa6487 kwahiyo maalshababu ni wahuni au waislamu pia
@victorterry227
@victorterry227 6 ай бұрын
Shukrani Miradi Ayo kwa kutusapoti sisi waislam katika hili insha-allah Allah akulipe na akujalie ya heri na akuepushe na yashari
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 6 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu DC wangu,na akutangulie katika majukumu yako ya Kila siku.
@jojomdosi-ip4rg
@jojomdosi-ip4rg 6 ай бұрын
Kiongozi mwenyezimungu hakujalie hakupe maisha marefu hakupe hulizi wa kutosha kwa kutusitili Aameen ya rabb
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC 6 ай бұрын
Huyu DC hapo ata akifa Leo ghafla PEPONI anaenda
@KONDOBANNAHMUSIC
@KONDOBANNAHMUSIC 6 ай бұрын
​@@jojomdosi-ip4rgkabisa yani sikutegemea aseeeee kama angerudi kwa staili hiyo huyu BANA mi namuombea aseeee ni mtu mwema
@kilogreek4050
@kilogreek4050 6 ай бұрын
Huyu sheikh muelevu sana msikilivu mungu Awabariki viongozi wote na sheikh wangu ❤❤❤
@sufianijuma5568
@sufianijuma5568 6 ай бұрын
Kwel,Allah amesema kwel ktk Quruan ,Mnaweza mkachukia jambo likawa heri yenu na mnaweza mkapenda jambo likawa shari yenu,Allah tuzidishie subra Waislam na hekma na busara kwan aman kwetu ndo tulio usiwa na mtukufu wa daraja.Allah iongeze nchi yetu muongoze Dc Magot aijue haki na aifuate,Amyn Amyn Amyn.bila kusahau Mpe Hekima na Busara Rais wetu Samiya Suluhu Hassan❤Amyn Amyn Amyn
@YohanaThadeo-ki2qg
@YohanaThadeo-ki2qg 6 ай бұрын
Samia
@RamaahMtulivu
@RamaahMtulivu 6 ай бұрын
Wallah DC Allah akupe maisha malefu na akuonyeshe haki aamin. Sheykh Allah akulipe Kila kheiri liwe kwako kwa jitihada zako fidunia walikhera aamin.
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 6 ай бұрын
AL hamdulillah namshukuru Allah juzi niliandika comment yng nikasema simlaumu mkuu wa wilaya ktk hili ila nnao walaumu ni matajiri wa kiislamu wapo tyr kutoa mamilioni ya mapesa ktk mipira na baadhi ya mambo ya kipuuzi yasiokua na faida . Sasa kiongozi Magoti hapa umeqapiga pini kubwa sana sasa baada kiongozi wng kutoa cement 150 + 150 sehemu nyengine tutawaona wanaafiki matajiri sasaiv kujitokeza. Mungu akubariki Hon Magoti
@Allybinamour
@Allybinamour 6 ай бұрын
Kwa hapa DC umekua kiongozi unaepaswa kua mfano wakuigwa. alhamdulillah kiongozi wewe allah akubarik. asante DC kwa kazi nzur mashallah
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
SI mnatuita makafir,haya kafiri kawasaidia Kwa hekima ti
@Allybinamour
@Allybinamour 6 ай бұрын
@@christinewomanoffaith5479 kufanya wema hakuondoi dini ya mtu, na wala si makosa kumsifia kafiir anapofanya jambo la maslah kama hili. na huo ndio uadilifu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
​@@AllybinamourNa Wewe kafiruna pia
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 6 ай бұрын
Mashallah Mungu akubariki ulipo towa hicho Mungu azidishe kingine Baada ya dhiki ni faraja Mungu atujaalie subra katik wakati mgumu huwezi juwa nilip litakacho fwata Allahul mustaan
@bashiruhassani1017
@bashiruhassani1017 4 ай бұрын
DC magot ww n Mt wapekee sana mungu akujalie pale ulipo toa mungu akuongezee🙏🙏
@KhatibSalehKhatib
@KhatibSalehKhatib 4 ай бұрын
Dah kwakweli DC Allah akufanyie wepesi umefanya Jambo zuri mnoo na Allah atakulipa malipo yanayostahiki
@CharlesMwakaligita
@CharlesMwakaligita 5 ай бұрын
Mi ni mchungaji nawapongeza sana sheikh kwa unyenyekevu ambao umezaa mema hayo. Viongozi wa dini tujifunze mema, toka kwa mtu yoyote mwenye karama hizo. Mmbarikiwe sana Kisarawe na Dc wenu.
@ZuberJafar
@ZuberJafar 6 ай бұрын
Takibir takibir anaye mtaka DC aendre n moyo huuu weka laik nyingi kwenye komenti yangu alhu akibal mungu anasababu kufanya k2
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 6 ай бұрын
Allah akujaalie DC Magoti, Lakini pia Ustaadh alikuwa na hekima kwa clip ya kwanza majibu yalikuwa mazuri na pia alikwa msikivu sana Allah atamjaalia Ustaadh wetu❤
@jeffmwambe7657
@jeffmwambe7657 6 ай бұрын
Asante sana DC huo ndo uongozi na utu maana rengo ni zuri ivyo tuna shukuru kwa saport yako.
@SwalahaHusseini
@SwalahaHusseini 6 ай бұрын
Maashaallah. Allah akupe zawasi ya kuingia katika uislamu na akufishe ukiwa katika imani sahihi .
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 6 ай бұрын
Tunashukuru sana mkuu wa wilaya kwa hicho ulicho toa.mungu akulipe kila lenye heri na wewe pamoja na familia yako awafanyie wepesi kwa kila jambo.ubarikiwe sana🙏
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 6 ай бұрын
Allah akubariki DC magoti Allah azidi kukuongoza katika njia iliyonyooka na hiyo sadaka Yako iwe ni nyumba Yako yakuishi akhera.
@OfficialA83640
@OfficialA83640 6 ай бұрын
Kuna watu walitafsir vibaya sana leo sura zao wataweka wapi Dc kawaumbua vibaya mno Alhamdulillah Allah afanye wepesi In'shaallah
@burhaanmamboleo3551
@burhaanmamboleo3551 6 ай бұрын
Na ni sura mbaya kweli...na hao hao uliowaita wametafsiri vibaya sauti zao ndy zimefanya huyo jamaa yako akajikosha.....huwezi sema mazingira yale ni mabovu kuliko mahala pa kulala nguruwe....sisi tumesoma shule mbovu vyoo vibovu tena za serikali hakuna aliezivamia usiku wala kuzifunga na hata leo shule za namna hiyo zipo...bado alichokifanya hakijafunika uvundo alioufanya ..
@KomboHawa
@KomboHawa 6 ай бұрын
Tunaomba namba ya kutuma michango japo kidogo jambo la kheri Hilo,hongera MKUU WA Wilaya Kwa Moyo Mkuu
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 ай бұрын
Namba c zimetajwa Skiza vizuri basi
@husna34562
@husna34562 6 ай бұрын
Mashallah
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 6 ай бұрын
Hamna kidogo mbele ya kuchangia msikiti, chochote ulicho nacho ni kikubwa mno mbela ya Allah
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 ай бұрын
​@@winfordmwangonda5375siyo msikiti ni majengo
@SalmaSamiry
@SalmaSamiry 6 ай бұрын
Mashaallah allahumma barik mwenyezi mungu awajaalie awape maisha marefu awaepushe na hasadi za walimwengu ameen ameen ameen yaa Allah 🙏
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 6 ай бұрын
Maaashaalllllah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah maashaallah..........hongeraaa sannaaaa mungu akufanyie wepes....kwajuhudikuuubwaaa ulizofanya mkuu wa wiliyaa...
@chikujuma18
@chikujuma18 6 ай бұрын
❤❤❤❤ mashallah mwenyezi mungu ampe maisha marefu na afya njema inshallah
@SaadIssa-c9o
@SaadIssa-c9o 6 ай бұрын
Umeupiga mwingi sana DC kwa kuonesha mfano kwa viongozi wengine ,mungu akubariki sana!!Inshallah jengo litakamilika kwa uwezo wake ALLAH S.W .INNAH BAADA USRI YUSRA🎉🎉🎉
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 6 ай бұрын
Mama Samia hili Jambo nilaheri sio mnasapiti mpira tu Jambo la mungu mnaacha nyuma mnasafirisha paka mashabiki naomba mlione nahili la mungu muweke akiba duniani na ahera💪💪💪💪💪
@issarashid7707
@issarashid7707 6 ай бұрын
Mungu akusimamie katika kazi zako ..Kwa hakika huo ndio mfano mzur
@FghgRyy
@FghgRyy 5 ай бұрын
Takbiiiiiiiirrr ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU ALLAHU AKBARU Walillah Llihamdu
@jamalnaheka
@jamalnaheka 6 ай бұрын
mh.magoti Allah akupe afya njema sana kazi nzuri.
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 6 ай бұрын
Mlikuwa mnamsema unafiki tu
@husseinkadawa2846
@husseinkadawa2846 6 ай бұрын
Allahuakbar shekh Allah hatakuacha peke yako na malengo ulio weka yata timia tu kwa uwezo wake ndugu zangu waislam na wale wote tunao amini uwepo wa mungu tuchanga usidharau hela hata buku tuma kwa maana buku kwa watu milioni ni bilioni jambo linaenda nuia sadaka yako tuma huenda na wew ikawa ndo sababu ya kufunguliwa matatizo yako.
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 6 ай бұрын
Ni Dc mfanowa kuigwa, the best Dc.
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 6 ай бұрын
Mtangazaji Mungu akubariki kaka unajua kuriport hongera sana kwa taarifa yako
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 6 ай бұрын
asantesana mkuuwa wilaya munguakujaliye kwaupendowako akuogezeumrimrefu akuhfadhiwewe na familiyayako
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 6 ай бұрын
Allahu akbar DC mungu Allah akuhifadhi❤❤❤
@AboubakarRashid
@AboubakarRashid 6 ай бұрын
Masha Allah tunahtaj viongoz kama wey mungu akupe afya
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 6 ай бұрын
Masha Allah allah akuongoze na akufanyie wepes upate neema ya uislam
@AbdulmalikFredrick
@AbdulmalikFredrick 6 ай бұрын
Mashalahaa Alha akufanyiewepesi kwenye uongoziwako Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani ujawaikuniangusha una tupa viongozi makini sana awakulupuki na kupenda laisi wangu Samia
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 6 ай бұрын
MashaAllah.mkuuu.wawilaya.Allah.akupemwisho.mwema.naimani.mola.wetu.anaweza
@BN.seleman
@BN.seleman 6 ай бұрын
Masha’Allah Allah awalipe mumefanya kazinzuli
@fetychina3969
@fetychina3969 6 ай бұрын
Mungu ambariki amazing alipo pungunguza
@SophiRamadhani
@SophiRamadhani 6 ай бұрын
Mama msikivu na mtendaji. Mwenyezi Mungu amuongoze kwa hili liwe jepesi Insha Allah
@HappyGreenHat-um6ky
@HappyGreenHat-um6ky 6 ай бұрын
DC Mungu akusimamiye kwa hili
@ashiaabdul887
@ashiaabdul887 6 ай бұрын
Masha Allah DC Allah akufanyie wepesi katika utendaji wako wa kazi .
@yasirsaid8464
@yasirsaid8464 6 ай бұрын
MAA SHAA ALLAH ALLAH Awabariki wote
@RazakAbarola
@RazakAbarola 6 ай бұрын
Mashaallah Allah haitupi Qura'an alishaahidi
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 6 ай бұрын
Allah akulinde ktk uongoz wko mku wa wilaya yakisarawe wewe nikiongoz wakuigwa ktk uongoz
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 6 ай бұрын
Safi sana DC huo ndio uungwana mungu akupe Imani sabiti
@allymwinyi970
@allymwinyi970 6 ай бұрын
Ahsante sana Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. MUNGU akubariki. Tunakuombea MUNGU kwa wema ulioifanyia Madrasa hiyo. Tunaamini huku fanya lile zuio kwa utashi wako, ila kwa utekelezaji wa majukumu yako ya kuangalia maslahi ya baadae ya watoto hao. Tunamwomba MUNGU akuinue kupitia Raisi mwenye huruma kwa watu wa makundi, rangi na dini zote na na hata huruma kwa watu waakundi maalum. Mama yetu Dkt SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU anakupenda, wananchi wote wanakupenda. Kuna watu hawakuona Kam unaweza. Kwa Rehma na Huruma ya MUNGU amempa jicho Raisi wetu kukuteua na sisi tunaona. MUNGU akulinde na akulipe heri nyingi. Amin.
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 6 ай бұрын
masha allah kajitahifi mkuwamkowa.naselekari yetuwendwa
@zaituniNkupa
@zaituniNkupa 6 ай бұрын
Hongera mkuu wa wilaya umefanya jambo jema mno. Mungu akubaruki
@YasminaMkali
@YasminaMkali 6 ай бұрын
Mashaallah! Mashaallah! Alhamdulillah!❤❤❤
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 6 ай бұрын
MashaAllah. Hongera sana Dc Petro magoti kwa moyo wako mkunjufu nakuombea kwa Allah akusimamie katika majukumu yako ya kazi inshaAllah. Ameen
@stevenmanase8162
@stevenmanase8162 6 ай бұрын
Watu walianza kumdhihaki mh petrol sisi wakristo hatuna baya kazi kazi kwenu sasa ona hata milioni16 mnashindwa kuchangishana mnaomba kwa rais mmekalia kuwa ita watu makafili tuu
@mayaniphilipo9256
@mayaniphilipo9256 6 ай бұрын
Hongera Sana Mheshimiwa Nimependa Ulivyorejea Mwanzo Ulinishangaza Kwa Lugha Zako Ila Hakuna Aliyekamilika Allah Atusamehe, Atuongoze Na Atufanyie Wepesi Kwenye Harakati Zetu BIG UP DC
@shabanimbiaji
@shabanimbiaji 6 ай бұрын
SUBIRI NA WEWE MUDA SI MREFU ALLAH ATAKUPA MAKIPO YAKO,,,,SUBHANNALLAH
@StewadKizenganya-sk6sg
@StewadKizenganya-sk6sg 6 ай бұрын
ALHAMNDULILAh ,mungu anawaongoza watu kwanafsi zetu huku mwili ukitumikishwa
@SirahShabani
@SirahShabani 6 ай бұрын
Mashaallah ❤
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 6 ай бұрын
Allah alifanyie wepesi inshaallah
@SmilingBirdwingButterfly-yq5qt
@SmilingBirdwingButterfly-yq5qt 6 ай бұрын
Mashaa Allahu Allah awalipe wt walowezeshwa na Allah kuchangia tunaomba namba ya
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 6 ай бұрын
Asante sana mkuu huu ndiyo uwongozi mungu akulipe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 ай бұрын
DC Asante Sana..🙏🙏🙏
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 6 ай бұрын
Allah akudumishe katika uongozi .na akujaalie katika njia sahihi.
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu 6 ай бұрын
Asante DC hakika umefanya vema kulichukulia jambo hilo kwa uzito,Sadaka yako ikawe kheri kwa watoto wetu.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 ай бұрын
Maashaallah. Allah akutoe kwenyegiza akuoete kwenyemwanga yaraby. Mjaalie huyo baba atukiewitowako. Amyn
@gmelectronics1997
@gmelectronics1997 6 ай бұрын
Taqabal Minah wa aminkum JAMIYAHTUL muslimunah..kila apangalo mungu hua lina kheri kubwa
@SuleimanIbrahim-lp7qs
@SuleimanIbrahim-lp7qs 6 ай бұрын
Asante sasa R C mungu akulinde kwaulichokifanya
@AbediMzava
@AbediMzava 6 ай бұрын
Allah awalipe wote shekh na dc
@Oman-p8x
@Oman-p8x 6 ай бұрын
Maashaallah nimefirahi sana
@khalfanabeid5998
@khalfanabeid5998 6 ай бұрын
Allah ampe maisha marefu na anyanyue uchumi wa nchi yetu kupitia hili. Amin.
@awadhmchaki6567
@awadhmchaki6567 6 ай бұрын
Alhamdulillah waliopeleka fitna chuo kidhalilike Alhamdulillah chuo kinajengwa ama kweli Allah anahekma ktk hili . mjinyonge na kamasi. Mmesaidia chuo kiimarike.
@AbuujureyjKhaniy
@AbuujureyjKhaniy 6 ай бұрын
Usimjaji mtu kwa muonekan wake hakik Dc umekuwa mwema na umetend haki mungu akutangulie Shekh uwaz na ukweli wake mungu kamfungulia upande mwengine hakika ukweli ni baraka nyoote Allah akutangulie
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 6 ай бұрын
Mungu Akubariki Inshallah 🙏🏾🙏🏾
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz 6 ай бұрын
Asante sana muheshiwa 🙏🙏
@farajichilumba5114
@farajichilumba5114 6 ай бұрын
Allah hakadirii shari Mashallah
@hanifamziray277
@hanifamziray277 6 ай бұрын
Allah akubariki ujenzi utausha kwa uwezo wa wake
@FekiHappy
@FekiHappy 6 ай бұрын
Mungu akujalie sana kuona tatizo na kulitatua sio kuhukumu haijawahi tokea hili ungeeishia tu sehemu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 6 ай бұрын
Huyu Mkuu wa Wilaya nimemkubali mapema sana japo Mimi niko Kigoma. Big up DC Petro Magoti
@kamarhelo
@kamarhelo 6 ай бұрын
Kwaio ulijua ukiwa nae mkoa moja ndo utamjua vizuri au
@adambakari9276
@adambakari9276 6 ай бұрын
Unajua kwann kafanya hvyo huyu kafungia madrasa na waislamu wamekuja juu hapo anajisafisha juz tena katangaza wauza mkaa na pikpik wakamatwe fain milion 1 na vijana wengi wa kisarawe ndo kaz yko
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 6 ай бұрын
Na mm nilitaka nishanga yaani kw Maneno yale yakuwaambia watoto waende shule wakasome wapate kuajiriwa kwa kweli ningeshangaa sana kuona uislam ungekaa kimya 😅​@@adambakari9276
@w4058
@w4058 6 ай бұрын
Tupatieni namba ya kuchangia
@AishaIssa-l4q
@AishaIssa-l4q 6 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujakie ds magoti Kwa moyo waupendo allah akulipe kheri ww na timu yako inshaallah
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 6 ай бұрын
Alhamdulillah kheri hutokana na tumbo la shari
@HarunaFursana
@HarunaFursana 6 ай бұрын
Naomba mimi niko mbali mnipe namba niagize kidogo insha Alllah
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 6 ай бұрын
mungu akubaliki sadaka hii itaish miaka na miaka hongera sana unafaa kuigwa
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo 6 ай бұрын
mashaallah
@stevenmanase8162
@stevenmanase8162 6 ай бұрын
Kesho tuu mnanza kuwaita makafili alaa kumbe kafili anaweza kuwa lulu hivi waisilamu wote leoa wanapompongeza
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 6 ай бұрын
​@@stevenmanase8162uyo kiongozi yupo apo kwa ajili ya wananchi
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 6 ай бұрын
kwaiy kwa sababu katoa sadaka Ndio ukafili wake umeisha ukafili haundolew Nasadak Na hata kafili akifanya jema anastahili kushukuliwa japokua ukafili wake upo pale pale mpaka asilim
@AbdulmalikFredrick
@AbdulmalikFredrick 6 ай бұрын
Shekh wangu Alha akufanyiewepesi kwenye ujenzi uo
@ismailkiwawas5982
@ismailkiwawas5982 6 ай бұрын
Shukran Sana DC jaah bless 👍👍
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 6 ай бұрын
Alhamdulillah Allah awajazie kher hilo nijambo labaraka
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 6 ай бұрын
Mm nimemkashifu sana kwa vedio ya kwanza kufunga madrada.nasasa nampongeza
@Lidyakagondi-h9b
@Lidyakagondi-h9b 6 ай бұрын
Mungu akujaalie kher mkuu
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 6 ай бұрын
Inshaallah tupeni namba ya kutumia pesa lau hata kidogo
@fatumasaid9882
@fatumasaid9882 6 ай бұрын
Mashalaah mashalaaah peter magot kwa hilo umengusaaa
@nasrasalumu7005
@nasrasalumu7005 6 ай бұрын
DC wewe ni mfano wakuigwa kabisa mungu akuongoze hivyo hivyo kiongozi wangu mkuu wa wilaya safi kabisa na shekhe mungu akulipe kwa hekma wewe muelewa na msikivu na wewe mungu akuongoze hivyo hivyo na akujaalie mwisho mwema inshallah
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 6 ай бұрын
Allah atie nuru ya uislam ktk kifua chako mkuu wa wilaya bora kuwahi kutokea
@KulthumRashidmusa
@KulthumRashidmusa 6 ай бұрын
Mashallah.nimefurahi.sana
@NaziaMudi
@NaziaMudi 6 ай бұрын
Wanafiqi saana awa baada yakuaambia watoto kwamba elim ya dini aina maana wasome wawe madaktari na viongozi wakubwa serikalini leo tena 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 innalillahi wainna ilayhi raj'uun allah awape ufaham wakuitambua hakki
@user-latent
@user-latent 6 ай бұрын
Saf mkuu wa wilaya🎉
@FelisterNdaka-g9r
@FelisterNdaka-g9r 6 ай бұрын
Mungu akubar8ki
@ChidyKenny-dc1ue
@ChidyKenny-dc1ue 6 ай бұрын
Mungu amzidishie dc
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 6 ай бұрын
Mheshimiwa Petro Magoti ubarikiwe sana. Mungu azidi kukufungulia na akujaalie afya njema.
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 6 ай бұрын
Siku zile nilijisikia vibaya lakini lengo lako lilikuwa jema kabisa...Mungu akutunze DC
@WardaDonyi
@WardaDonyi 6 ай бұрын
Hakika DC Magoti were ni kiongozi bora sana. ALLAH akubariki ulipotoa
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 6 ай бұрын
DC.umeanza vizuri sana umetengeneza taswira njema kwa Taifa.Nakuomba,Mungu akulinde usitamke neno lenye kuwashiria kuwa unatumika kisiasa.Mwingine angetamka,jina la Samia mara mama kaupiga mwingi.Ccm waoga mno kwenye uchaguzi,Tunajua wameanza kampeni mapema,nashukru umejitahidi kuificha hali hiyo .Shekh ndiyo kaboronga ameanza na mama yake tayari.Rais hana.hela bali Serikali ndiyo yenye.hela.
@abdulmagido5444
@abdulmagido5444 6 ай бұрын
Big up Doto Magoti Allah akuhifadhi
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 6 ай бұрын
Allahu akbar Mungu akupe hidaya mkuu Shukran sn
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 6 ай бұрын
M'mungu mkubwa kumbe hii ndo ilikua maanayake? Sasa bakwata kazi kwenu innsha'allah 🤲🤲
@ancytarimo1103
@ancytarimo1103 6 ай бұрын
Hakika huyu Shehe ni mnyenyekevu sana . Mwenyezi Mungu atakuinua kwa hilo.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 225 М.