Eee Mungu 😭😭🙏🙏 wangu ulie hai tunusuru na hizi nguvu za giza ,Kuzimu na roho za kishetani ,haribu ,Bomoa,vunjavunja,vuruga ngome zao zote katika jina la yesu.
@kmwendemusic53793 жыл бұрын
Ashukuriwe Bwana Yesu kwa kukuokoa.. Sasa tumikia Yesu zaidi ya vile ulitumikia shetani umudharalishe alivyokudharalisha pia,
@dokasa91762 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka Jacktan,hizi shuhuda zimeinua imani kiwango kingine, nimeona kwamba hakuna uchawi hata kidogo,ukiwa ndani ya Yesu kristo maombo yote yako sawa sawa
@joyblessing1913 жыл бұрын
Yesu wangu Nafunika watoto wangu na familia yangu na Damu yako. Nilinde na kila roho ya mapepo na wachawi...
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Amen watching from 🇰🇪
@naomikalinga30423 жыл бұрын
Barikiwa Sana jacktan kwa ushuhuda unazo endea kutuletea pia ashukuliwe MUNGU yeye ambae amemuokoa huyo binti ktk kifungo Cha uchawi naomba YESU tuponye na guvu za giza
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@charlesmbena91212 жыл бұрын
Blessed forever
@estasage4983 жыл бұрын
I like her. Anajuwa kujieleza and she is truthful
@langistany68113 жыл бұрын
Shalom, Bwana Aku Bariki Ndugu jaktan Msafiri, Kazi mzuri kweli kweli, Nina omba maswali yako kwa Dada huo yawe very technical, yaani naomba umswali kwa namna ambao ata wa Hongoza wa Kristu ktk kuhomba ili ku bomoa hizo kazi za shetani, kwa mfano ktk hivyo vikao, wakristo waweza fanya nini ili kuvuruga kabisa vikao hivyo? Hizo kafara wakristo waweza helekeza je mahombi ili ku komesha vitu kama hivyo. Naomba Mashali ya hende ktk mlengo huo. Aksante.
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Anen, asante sana
@everlyneiminza57223 жыл бұрын
Nguvu za wachawi zishindwe kwa jina la Yesu, nawafunika watoto wangu kwa jina la Yesu christo
@gracewelschemeyer6653 жыл бұрын
Amen
@winfridadeo1518 Жыл бұрын
Mungu atuteteee kwa kweli duh, ubarikiwe Kaka jactan mungu anatubadilisha kupitia hizi shuhuda
@aprilking82503 жыл бұрын
Yesu ni Bwana
@rebeccagikonyo56482 жыл бұрын
Mungu waisreali have mercy upon your people.
@piusmtwale76903 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana jacktan kwa kutuletea shuhuda za kuokoa nafsi zetu yesu akubarki
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@mushialfa16853 жыл бұрын
@@PromovertvTz j can l xx mbojxmhx Xn
@anneafrica9393 жыл бұрын
Duuh Bwana YESU tusaidie watu wako
@deodatusmaliti77903 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana huu, asante
@naomijohn72752 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Weww mbona sahivi siyo mchawi tena umeacha bora uwendeleye tu na kazi yako ya kichawi nzur sana
@kennethogonda29473 жыл бұрын
Mtu wa Shetani wewe! Ushindwe katika jina la Yesu.
@aminaally41633 жыл бұрын
Mungu anaokoa
@salomefabian94743 жыл бұрын
Rufiji ipo Mkoa wa Pwani sio Mtwara.
@saida50913 жыл бұрын
Je anaweza kumgusa huyo baba kule kwenye Bonde au haiwezekani?
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Ukiwa mchawi itakuwa raha dunia akhera shida bass
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Huyo baba ako alikuwa aliwe nyama yeye mshenzi huo atakiona kiyama huku duniani amepata mali gani au pesa nyingi au nyumba nyingi sana ataingiya motoni huyo babako
@nanadarey24823 жыл бұрын
Mingus no mwema
@flower9523 жыл бұрын
Y
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Unakunjwa uchafu huo dam siyo nzur usaha
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Hee mtihani huo
@jeniphaledaschali45943 жыл бұрын
Nipo naangalia kutoka tanga
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Yupo mamko mkubwa au amekufa au yupo hai
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Heee mtihani huo
@mrsnzilomgisha26873 жыл бұрын
Mtangazaji punguza maswali unatukosesha uhondo bana. Maana unakatisha maongezi kukujibu anakuwa anahama kipengele. Mfano swala la kukoroga uji kalisema muda na wewe unakuja kuuliza tena mbele.
@piusmtwale76903 жыл бұрын
Kazi yako MUNGU aiwekee mkono hisonge mbele
@mercykariithi79193 жыл бұрын
Ni swali tu Yani huyu nabii hawezi kuongea kiswahili ama hailewi kiswahili??99% ya wagongo wanaelewa kiswahili