Mungu azidi kutukuzwa kwakweli inatisha sana iyi dunuia Mungu atupiganie
@SabinaEzekiel-vb5nh5 ай бұрын
Shuhuda nzuri, Asante promover kwa kazi nzuri.
@catherineangaufoo2530 Жыл бұрын
Amen& Amen. "Kila kitu kitapita lakini YESU KRISTO NI BWANA" Mbarikiwe kwa ushuhuda mzuri,umenifungua macho na masikio. Nashukuru.
@fitinamarando Жыл бұрын
PROMOVER TV, Ukweli wana wa Mungu awabariki bila ninyi hii nisingeisikia.
@MAONYOTVTANZANIA Жыл бұрын
Jactan Bwana Yesu akubariki sana unafanya kazi kubwa mno kuliamsha kanisa la wakati wa mwisho , Roho wa Bwana atuamshe Tena
@PromovertvTz Жыл бұрын
Amen amen
@lydiahnabwire128 Жыл бұрын
AMEEEN AMEEEN
@reachelchemtai2604 Жыл бұрын
Kila kitu kitapita lakini yesu kristo ni bwana wa mabwana amen asente Sana jactan Msafiri
@ezekieljob8679 Жыл бұрын
Mara zote ninaposikiliza Promover ninapata kitu kikubwa sana barikiwa sana Jactan na team yako
@faridashabanifaridashabani5950 Жыл бұрын
Amina Sana YESU NI BWANA AMINA 🙏
@patrickkatana8823 Жыл бұрын
AMEN..NABARIKIWA NA KUINULIWA KIROHO NA HIZI SHUHUDA..🎉🎉
@LucyKapinga-fg4dk Жыл бұрын
Yani Shetani mpumbavuu sana yanii nilishatangazaga vita ulimwengu wa Roho nakusema shetani sikupendi na siku nikikuona hahaha nitakumaliza .mpuuz hapa kwenye kufunga na kuomba ndio maisha yangu wakaona wanitupia Kansa watanikomesha Hahaha ndio kwanza nikambia Yesu Ahsante kwa kuruhusu jaribu hili nili relax but nilikuwa nakazana kuomba na kumuamin Mungu
@DenisCasey-kh8ub Жыл бұрын
Amen yesu Kristo ni Bwana wa maisha yetu asante sana mukombozi wetu kwa upendo wako juu yetu
@RoseMary-sw2ec Жыл бұрын
Amina yesu kristo ni bwana..mung aendelee kukutunza na kukubark kak jacktan🙏😊
@PromovertvTz Жыл бұрын
Amen
@lydiahnabwire128 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi jacktan kwa kazi hii nzuri Mungu akubariki na akulinde zaidi, hizi shuhuda zanifungua saaana they renew my spirit everyday lazima nije niskize shuhuda kujifunza mapya🎉🎉🎉🎉good job brother 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@BenjaminKihanga5 ай бұрын
Amen toka nimeijua Tv hii imenisaidia sana kiroho, barikiwa mtumishi Jactan
@neemakamgisha2951 Жыл бұрын
Jamani Jana nimeisaka hii mpaka bac asante
@THEODORATHEONEST9 ай бұрын
Mungu azidi kutulinda kwakweli
@maryandason1815 Жыл бұрын
Blessed kka jacktan❤ power of testimony
@josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын
Naomba kusaidiwa
@florencemueni1183 Жыл бұрын
Amen Amen ad Amen all glory to God forever and ever
@YoungsHilary-xd2ml Жыл бұрын
Mimi sina ,cha kusema sema ,lakn nimetoka nilipo
@josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын
Praise God bona nikisikiliza hii mafunzo nasikia kuna KITU kinajaa kwangu nini tatizo
@emojongtv399511 ай бұрын
Maybe una Pepo zinazokuwa na wasiwasi ndani. Ama roho mtakatifu anaingia😂
@josephatjoseph1755 Жыл бұрын
Haya leo nmewah kucomment
@adeladamasi4391 Жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣yaaaani YESU nimbabe akiamuwa kumpokonya shetani mateka nisekunde nafuhaha sana kwau.ushu.uda😂😂😂😂utukufu.kwa Mungu baba 🙏🙏
@ceciliastanley8157 Жыл бұрын
Mpendwa n wewe adela damasi uliekua ukikaa kota za railway tabora?