Urusi itashinda vita. Maana marekani wamemwacha Mungu. Mungu yupo mbali na taifa la marekani. Na lazima mjue vita vyote vinaendeshwa na Mungu. Mungu yeye ndio amiri jeshi. Mkitaka kushinda vita kwanza ni kumtii Mungu. Hata kama marekani wanatechnolojia ya juu. Dunia itashangaa marekani itakavyopigwa.
@happymrema7487Ай бұрын
Yan Putin nampenda sana
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Ahsante sana kwa habari
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Dj Smaa yuko vizuri sana hasa kwenye tasnia ya uchambuzi ,ni division zero tu hawawezi mwelewa.
Putin ni mtu Mmoja ambae ana akili nyingi sana na maarifa na ushawishi mkubwa sana na anazifahamu vita vizuri mno ziwe na kiuchumi au vita vya silaha jamaa ana akili na mbinu za kupumbana na vikwazo vyote kuipiga urusi ya Putin ni ngumu sana Wala kushuka kiuchumi ni ngumu sana labda Putin afe🙌🙌🧍
@Elizabeth-gq9klАй бұрын
Urusi Wakaye mbali, Atasiwataki, Niwanyangany ya Aridhi
@abuukamanda.s.mkenga6687Ай бұрын
Na hao wa Korea kusin utakt silaha wataytegemea kumpa ukreyn n hizo za kupewa na markan
@davidsika5292Ай бұрын
Kuna kitu watu hawaelewi kuhusu USA na Roma kwa akina papa ...ukisoma ufunuo 13 na 18 utaelewa kuwa akina putin na kiduku Wanatwanga maji kwenye kinu haya mambo wanaelewa watu wachache duniani
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇷🇺🇷🇺🇰🇵🇰🇵🇰🇵👏
@KilimbikeHaji-iy2fmАй бұрын
Mpige huyo kibaraka ya kishetani wa marekani
@AbsalomVladyАй бұрын
Uzur hayo ni maoni yenu bahat mbaya watu wanaamin ndo ukwel, mnaongelea vitu ambavyo ni top secrets as if mnaongelea maisha ya mwijaku 😂😂....vitu ambavyo ni siri kubwa za nchi na majeshi nyie mnachukulia kma mnaongelea migahawa ya shishi food dah...
@Mtaki_ZakayoАй бұрын
wanachukulia vitu very simple et kuna makala nimeiandaa inakila kitu duuuh😀😀
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Mashoga hawawezi kuelewa hii channel
@emiliankomba5217Ай бұрын
Upo sahihi sana
@IrPop-lm8wqАй бұрын
Russian hawaogopi kupewa silaha Ukraine, bali wanasikitika kuwapiga Ndugu zao wa Ukraine, Mashoga hawana mbele Wala nyuma kote wamejawa na wadudu, wadudu hao hawana huruma Wala ubinadamu, ndio maana Wana peleka Silaha Ukraine, Ndugu wawili wamewagawa,sasa wanawapiganisha.Lakini wamesahau kama Kuna Mungu (Allah) ANAWAONA..
@SimfukweKaembaАй бұрын
Kila siku unasema kuna makala kwa urefu
@user-up6zl1ck3jАй бұрын
Hivi marekani anaweza pigana yeye mwenyewe bila msaada wa NATO na urusi ?
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Yeye peke ake hawezi na hata nato haiwez kupigana na urusi
@suratibrahim6417Ай бұрын
Tulioona meza ka jeneza tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌🎖️✨🪖✍️
@JoelFortunatus-du8wwАй бұрын
Kwa mungano huo walio saiana nikiashilia tosha kuwa tuko kalibuni kuviona vita vya amagedoni au vita vya maangamizi vya umati vya atomic 💣au nuclear ☢️☢️☢️☢️
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@hbdinaАй бұрын
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Putin atawakung'uta hawa manyang'au mpaka wataogopa kuvaivamia nchi nyingine hasa Africa
@joshuaswai8203Ай бұрын
Acha upumbavu Kama mppuuzi putin
@hbdinaАй бұрын
@@joshuaswai8203 Ndani ya Africa tunawahujumu kama wewe ni mojawapo ya sababu tuko nyuma tunaitaji kuwatokomeza watu kama wewe
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
@@hbdinaputin hana uwezo huo
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
@@joshuaswai8203we unao
@hbdinaАй бұрын
@@MathewNathan-yb2bz kama hauwezi kuona mpaka sasa hivi sioni ajabu kwanini Waafrica wengi hawana akili ya kuona mambo ya mbeleni sababu mojawapo ya umasikini wetu
@user-jy4pm3hh9sАй бұрын
South kijesh yuko vizur sana we smaa chambua uharisia siyo kishabiki
@abdalahngozi5455Ай бұрын
Uhalisia ni kwamba south Korea kijeshi hawako vzur kama north Korea ndo mana anatumiwa na US. Mbinu ya western ni zile zile kuungana na walio dhaifu kumpiga alie imara ili kuwatawala wote. Hapo smaa hana haja kukujib
@djsma255Ай бұрын
@@abdalahngozi5455 north hana kambi yakijeshi ya nchi yoyote nyengine kutoka nje, south ana kambi yakijeshi ya marekani, analindwa na us 6th fleet na kiasi kikubwa anategemea silaha kutoka marekani... north anatengeneza silaha zake mwenyewe na lizo bakiza kutoka kwa soviet sasa kama south yuko vizuri kama unavyo ema basi aondoe majeshi yakigeni yote abaki mwenyewe tuone
@omarymwaluko9765Ай бұрын
@@djsma255ww mtu makin ila hao mashoga hawawezi kukuelewa
@vintz338Ай бұрын
North Korea ni hatar Sana kama isingekua USA wangeshapigwa kitambo Sana na north Korea
@munezeroolivier411Ай бұрын
Slava Dj sma
@MaulidiMrisho-uj1tbАй бұрын
Maelezo yake sijaelewa kati ya North Korea and South Korea
@GabrielSky64Ай бұрын
Mkwara wa chura kwenye Maji. Mbona alisema hivyo kwa Inchi za Ulaya na Marekani kiko wapi
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Mashoga washapelekewa nyambiz
@josepheriah5977Ай бұрын
Uyo mweu anapgwa kilasik
@omarymwaluko9765Ай бұрын
mashoga Ukraine wanapigwa kila siku
@AbubakarAlly-th6opАй бұрын
Smaa wendio rais wa wachambuzi
@user-jy4pm3hh9sАй бұрын
Smaa uchambuz wako ni wakuegemea upande mmoja ndo tatzo lako mzee
@Mtaki_ZakayoАй бұрын
uwezo wa kuchambua anao mzuri ila kashachagua upande
@djsma255Ай бұрын
ukitaka upande wa pili nenda cnn n bbc
@joshuac.mashida1378Ай бұрын
Unafanya biashara tu hao watu Wana fanya biashara co vita hakuna vita vita ipi uwezo upi ulaya Kila kitu ninyi wandishi vigeu geu wakipigwa kidogo tu mnageuza maneno ,biashara tu
@uwimana6533Ай бұрын
Tatizo hutumii akili kwenye kufata maelezo wanacho adisia , umetoka nchii jiran uwelewa nimdogo sana 😂😂
@ErickMwashamboАй бұрын
Tz +255 Russia forever
@josepheriah5977Ай бұрын
Putin afe
@yosefamlumbe7044Ай бұрын
Unaamini ujinga huo yani putini amuonye us Sungura kukaba tembo
@user-ul7jc8ll4nАй бұрын
Subiri MUDA UTAONGEA,LAITI ZINGEKUWA NCHI ZA AFRICA AU ASIA WAZO LAKO NO SAWA LKN UNAE MCHUKIA ANAITWA MJOMBA PUTIN UJUE!!,
@omarymwaluko9765Ай бұрын
@@user-ul7jc8ll4nus mashoga tu hawana kitu
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Marekani dhaifu mnyonge
@JacksonLukumayiАй бұрын
Putin kiboko Yao sasa
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Kiboko yao na wakati vita nchini ukraine vinamchachia
@aishaarusha894Ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzvina mchachia wapi ngoja uone atakupiga bomb la matako ili akili ziwakae sawa
@JacksonLukumayiАй бұрын
@@MathewNathan-yb2bz wew mpumbafu tu, vita ni akili wew, kwani wafikiri Putin alishindwa ukrain, tumia akili wewe
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
@@aishaarusha894 kwa sababu kazoea kukupiga kwako hilo bomba na ndio maana kila ukikaa unawaza bomba tu.
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
@@JacksonLukumayi sasa kama vita ni akili mbona hadi sasa huyo putin wako kashindwa kushinda vita huko ukraine hadi sasa unaingia mwaka wa tatu huu.
@AyubuIssa-np3vcАй бұрын
Tatizo vyombo Vingi vyahabali avichambui Habari kihaki vipo kutafuta komenti na lek kilahabari nilazima ziegemee upende waputini nakusifia tu upuuzi
@Mtaki_ZakayoАй бұрын
😀😀
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Sasa si uende bbc uko choko ww 🖕
@ShawnBeatzАй бұрын
Sma na putin utadhan marekani ni njombr😂😂😂 sawa ss tunaangalia
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Marekani mashoga
@aboubakarkam6419Ай бұрын
Aaaah sma kwa hii umezingua umarekan itabak kua juu katık mambo meng
@IddyAmir-gq1jrАй бұрын
Kwakuwa mwanaume wako yupo marekani sio
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Tujiulize toka dunia imezaliwa usa alikuwa anatawala yeye walio kuwepo na kuanguka na yeye kwisha
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Ottoman Empire, Mongolian Empire, USSR, Roman Empire ni baadh ya Madola yaliokua makuubw lkn yamepotea Amerika mda eke utafika km c sas bs sio mbali
@hansiselemani8025Ай бұрын
Utawala wa kumwaga damu huwa haukai Muda mrefu ,,umekaa sana miaka 75 ...ko marekan ndo mwisho wake.
@KS-iw7qvАй бұрын
Haitakuwa milele... na kwa matokeo yanayoenda nadhani wapo kwenye muongo wa mwisho kuiongoza Dunia....
@maroahkissiry4863Ай бұрын
The so called DJ Smaa always talk rubbish 😂
@djsma255Ай бұрын
yet u always come to listen.....🤣🤣🤣
@Elizabeth-gq9klАй бұрын
Hakunasiku west tutarudinyuma, musahauhilo, Na hakunasiku Urusi watashinda .
Na kama marekani yupo vizuri anaogopa Nini Pakistan kuuza ujuzi wa nyuklia kwa vikund vya kigaidi😂
@PAULNYANDILEАй бұрын
jinga lingine hili hapa😂😂😂 mijitu ambayo ubongo umeganda kabisa
@johannesssamsonambogo4125Ай бұрын
@@PAULNYANDILE Mimi siwezi kuzidiwa ufahamu na wewe, Rais wa Ukraine anazunguka uku na uku, akiomba silaa aendelee kupiga na Urusi, Aya putin wenu yeye anazunguaka kuzuia silaa, Sasa nani kashidwa apo kama kweli wewe akili yako imeyeyuka?
@MWAJUMAKIZA-gb8usАй бұрын
Hilo ndo swala la msingi!
@MWAJUMAKIZA-gb8usАй бұрын
wana SNS tangazeni habari za kila pande , mqpungufu na mazuri ya kila MMOJA. Ila matangazo yenu yanaegemea tu UPANDE MMOJA! Huu ni upungufu wa stadi za utangazaji au watu wanao analyse siasa za vita au vita! Poleni ila naamini waswahili na waafrika hivyo ndivyo walipo!