Kwa Nini Marekani na Ulaya Wamechukizwa na Ziara ya Putin Nchini Vietnam

  Рет қаралды 25,515

The Chanzo

The Chanzo

21 күн бұрын

Rais wa Urusi Vladimiri Putin amemaliza ziara yake nchini Vietnam baada ya kuwasili hapo jana asubuhi, Alhamisi Juni 20, 2023, ambapo alipokelewa na mwenyeji wake To Lam, Rais wa Vietnam.
Ziara hii imekosolewa vikali na nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 20
@yordanyona1234
@yordanyona1234 19 күн бұрын
Wakome ..wamarekani wadhalimu sana.. Wana roho mbaya
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 19 күн бұрын
Hivi wapi wadharimu km ya urusi na marekani urusi pga hayo mashoga
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 19 күн бұрын
Upo vizuri
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 19 күн бұрын
Wamarekani na ulaya mashoga wanaona waume kwa waume na wanawake wanaona wake kwa wake 😢😢
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 19 күн бұрын
Endeles Putin kupanua wigo na kutafuta wadau wa kunyoosha hao mashoga.
@gorettimtungwe9011
@gorettimtungwe9011 15 күн бұрын
Mandira boy anawasungua vichwa, ❤Putin. Kama wanaweza wafanye ziara kwa Kim
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 19 күн бұрын
Wivu tu
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 11 күн бұрын
Hao wataungana mpaka wachoke lakn mzungu ana tumia akili sana sana.... Marekani hawezi shindwa kirahc hvo
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 17 күн бұрын
Marekani ndiye anaestahili kutengwa na dunia, anavuruga amani kwa faida yake. Atengweee.
@rashidmollel529
@rashidmollel529 17 күн бұрын
Kabisa!!
@PUTINN365
@PUTINN365 19 күн бұрын
Urusi piga hao mashoga
@SalimuKimaro
@SalimuKimaro 15 күн бұрын
Wamarekani bado wanandoto ya kuendelea kuitawala Dunia, ni jambo ngumu sana,manya nyaso yao ndiyo wamafanya mataifa mengine kujipanga, ss anapata taabu sana, China ni super power kiuchumi na kijeshi ,marekani na mashoga kwisha
@MohamediOmari-nz4vv
@MohamediOmari-nz4vv 18 күн бұрын
Vietnam wanapigana hawa jamaa 😅😅😅
@adimudachi7984
@adimudachi7984 18 күн бұрын
Yaani mpaka waseme pakahao
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 19 күн бұрын
Washindwe kbs wamarekani
@RamoDee
@RamoDee 18 күн бұрын
Marekani ni mbwa
@mapundawilliam370
@mapundawilliam370 19 күн бұрын
Hilo niswali la wasio elimu.
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j 19 күн бұрын
Putni ongeza washirika uwe na G 10 muwapige hao mashoga
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 19 күн бұрын
Marecani jasusi wa dunia.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 18 күн бұрын
marekani mashoga ya dunia
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
Israel-Hamas, Ukraine-Russia and China: John Mearsheimer on why the US is in serious trouble!
37:19
Centre for Independent Studies
Рет қаралды 1,9 МЛН