Hakika Dj Sma Wallahi mungu kakubariki, hebu funguwa channel nyingine yakuwa unatupa mafunzo mimi wakwanza ntakuwa nalipia ili nasi tuje kuwa msaada kwa wengine baadae.
@SarhaSaid3 ай бұрын
Haswaaa👌Dj smaa nimwalim mzuri hakika
@kasabalibraryseason40183 ай бұрын
Zama za mwisho Vita kila mahali🥹🥺🤔😭😭😭watu kuuwana siio shida tena watoto na wanawake ndo wamekuwa wahanga.ila Allah Yeye ndo mjuzi wa kila jambo🙏🏻🙏🏻
@allahisone63863 ай бұрын
AKILI KUBWA SANA KBS UPEW ULINZ WAKUTOSHAAA
@alihamisi84403 ай бұрын
Hayo wameyajua juzi na Jana ,mbna mtume Muhammad s,a,w alishayatabiri miaka 1400 iliopita.na mwishowe inshaallah HAMAS wataibuka na ushindi.
@hansiselemani80253 ай бұрын
Mh kweli au wengne maamuma
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
@@hansiselemani8025itajulikama siku ikitimia maana sio kama wametajwa Hamas ila kama unafkiria kwa akili utajua kua ndio hawa hawa, maana ata kwenye Qur'an wana ambiwa Israel kua wataleta ufisadi na kuuwa watu, ila kuna jeshi kali kwa vita halita shindwa na litawaingilia mbaka majumbani mwao
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
Ushindi wa Hamas itakuwa nini?
@RitbayRitbay3 ай бұрын
@@johannesssamsonambogo4125Ugali na mlenda
@User-mo9ox3 ай бұрын
Mungu atawanyang' Anya waisrael ardhi takatifu na watapewa wapalestina na hii ni kutokana na kushindwa kutii maagizo waliyo pewa kwenye injili na kumkana yesu@@johannesssamsonambogo4125
@salymsuleiman20353 ай бұрын
Ahsante Dj sma maneno yako ndio ndio yanaendelea kudhihirika sasa
@MustafaChinanda3 ай бұрын
DJ sma ukweli ukiusimamia ndo vizur leo evidence wanaipata waliokua wanapinga
@sharifahabsi50043 ай бұрын
Pamoja forom Oman 🇴🇲
@hamisiprinsi52403 ай бұрын
{ إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ يُنفِقُونَ أَمۡوَٰلَهُمۡ لِيَصُدُّواْ عَن سَبِيلِ ٱللَّهِۚ فَسَيُنفِقُونَهَا ثُمَّ تَكُونُ عَلَيۡهِمۡ حَسۡرَةٗ ثُمَّ يُغۡلَبُونَۗ وَٱلَّذِينَ كَفَرُوٓاْ إِلَىٰ جَهَنَّمَ يُحۡشَرُونَ } [Surah Al-Anfāl: 36] Ali Muhsin Al-Barwani: Hakika wale walio kufuru hutoa mali yao ili kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Basi watayatoa, kisha yatakuwa juu yao majuto, na kisha watashindwa. Na wale walio kufuru watakusanywa kwenye Jahannam.
@pro_the_dj3 ай бұрын
Nawafatilia sana
@AliNassor-qt6fm3 ай бұрын
Warudi kusini mwa Lebanon wakamalizwe
@alexdougly823 ай бұрын
Brother Sky and DJ Sma kindly tupeni detsils kuhusu issue ya raisi wa Senegal kukutana raisi wa Ufaransa wakati alishaanza kuweka sera za kuwaondoa. So many people provoking about this matter so kindly just say something on this.
@SarhaSaid3 ай бұрын
Yule rais wasenegal nimnafiki tu nyau yule
@alexdougly823 ай бұрын
So disappointed
@AbdallaBarisa3 ай бұрын
Israel masenge Sana wanafikiria Hamas nikama wao masenge.. Hamas wko strong 😂
@CalebThomas-ie4zy3 ай бұрын
Hii vta ina history ndef haiwez isha mpaka yesu arudi ispokuw watapigana na watapumzika ila hii vita haita kwisha
@OmmyJames-xn7ji3 ай бұрын
Taifa teule wanarudi kwao poland 😢😢😢😢😢
@asrymohd66903 ай бұрын
sky watupe wachambuzi wote ila Dj sma noma mara ya kwanza kuongelea ishu ya Israel aliongea leo yaleyale
@AbdallahNassor-p2n3 ай бұрын
Allah anasema ivi aoo mayahudi watauwa watu kusudi lkn Allah kasema pia kua aoo mayahudi sio washindi jeshi la allah ndio litakaloshinda vita iyo zidi ya mayahudi
@FrankMushi-cs5js3 ай бұрын
Utakuwa unapaka rangi upepo ndugu ilo ni taifaaa la MUNGU Israel
@abdirizakibrahim19753 ай бұрын
Palestine itakuepo Leo na kesho
@j4amas53 ай бұрын
@@FrankMushi-cs5js Mungu kakosa mataifa hadi achague taifa la mashoga ndo liwe taifa lake?
@evelynemugeni23693 ай бұрын
@@FrankMushi-cs5jsTaifa la Mungu 😢😅😅😅😅wale ni wa polande wanasaidiwa na inchi za ulaya na marekani
@BimkubwaMohd-ef6hr3 ай бұрын
@@FrankMushi-cs5jstaifa la mungu na ushoga wapi na wapi na mungu gan uyo unachekesh kweli ww 😂 naon bdo ubongo wako unatokota propaganda na ujinga pole san
@henryking60703 ай бұрын
😂😂😂wameanza kukutana na mizimu ya wapalestina wasiyo kuwa na hatiya, na bado watasema sana
@wadantz1233 ай бұрын
😂😂😂😂kwakweli
@hawahussein1373 ай бұрын
Allah ndiye mjuzi wa Kila kitu Free palestine
@mudub0etz3 ай бұрын
Mdhamin(USA) kabanwa na Urusi. Ko mwaka uuuhhh israel n umu t.😂 Fully kujipigia
@braystuskibassa38423 ай бұрын
IDF hawawezi wanachoweza wao ni kuua raia wasio na hatia
@Aminaamina-us5yj3 ай бұрын
Tumia hakili kama hao wanaenda ua raia mbona wasijitokeze kulinda raia wao na wapambane nao😅😅hao kujiotea wakaue Israel warudi kujificha wawache raia wauliwe😅😅hiyo ndio werevu
@BimkubwaMohd-ef6hr3 ай бұрын
@@Aminaamina-us5yj kam huelewi pita kushoto ustuletee nuksi hebu jiulize kwann Jeshi la. Linatupa mabomu ovyo kam wanawez kuwakabil hamas Ana kwa Ana Alipaswa aende uso kwa uso kam mrusi. Anavyopigan Ana kw ana na Ukraine na wasaidiz wake
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga
@thabitsalim79143 ай бұрын
@@Aminaamina-us5yj Sheria ya vita. linapopigana jeshi la nchi moja na jeshi la nchi nyengine au linapopigana jeshi na kundi fulani, inatakiwa udili na wale wahusika tu sio vyenginevyo. Na ikithibitika unaua kwa makusudi watu wasio na hatia unapewa kesi ya uhalifu wa kivita katika Mahakama kuu. Unauaje wanawake na watoto, kama kweli wewe ni Mwanaume.
@Aminaamina-us5yj3 ай бұрын
@@thabitsalim7914 oh kumbe hamas waliua wanajeshi tu na kuwateka mate mateka wanajeshi wa Israel 🤣😅😆😃😀
@festohaule97163 ай бұрын
Kamwe huwezi kummaliza adui mwenye Mafunzo na anayetumia Silaha vyema kama wewe!!! Ukijaribu kumshinda anajilipua mpe wote ..mshindi atatoka wapi???
@mausubrah61533 ай бұрын
InshaAllah watashinda tu ata km wata kufa na ss tupo nao
Yani huyu dem nyau anapenda kuuawatu mshenzi mgungu ana kusubilia akupe haki Yako mshenzi
@Williamstozzo3 ай бұрын
Brother sky ,,, Daniel hagari alizungumzia hamas as ideology not as persons
@shaameshaame97213 ай бұрын
Hamas nyoosha wafiranaji mpka waelewe
@vladimirputn18093 ай бұрын
😂
@StanleyLusinde-cs6ir3 ай бұрын
Watase.! Hawajasema mbn bado.!
@ZANAMBER3 ай бұрын
Ukaidi wa Israeli ndio maana babu zao wakageuzwa masokwe na manyani
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga wadhaifu
@NoelNjementi3 ай бұрын
Angetudanganya kwenye chaneri yake angesema mkuu wamajeshi waisrae kumbe nimsemaji wajesh la Israel
@Zuhuranadadoita3 ай бұрын
Machozi ya wapalestine iwaache Bure
@Williamstozzo3 ай бұрын
Tatizo mnapata taarifa za CNN, BBC,aljazeera hizo media
@Williamstozzo3 ай бұрын
Dj sama israel so dhaifu,,hakuna nchi hata moja duniani inapigana na kutoa taarifa kwa raia
@MohammedBwanga3 ай бұрын
Hagary ndio alietoa mlio km Hamas haiwezekani kuangushwa lkn Pia kalichelewesha Hilo kulitangaza coz liko waazi kila ukiangali ktk uwanja wa vita utaona vifaru vyao vinachomwa lkn na wanajeshi na magari kuangamizwa Kazi yao kuuwa wanawakke na watoto na kubomoa majumba Leo ndio katema ndoano
@Aminaamina-us5yj3 ай бұрын
Sasa si wanajificha kama kweli wako ngangari si wajitokeze live wapigane Israel inasema hivyo juu ya kutowapata wanajificha 😅na kuacha raia wauawe 😅😅
@MohammedBwanga3 ай бұрын
@@Aminaamina-us5yjwamechanganyikiwa😆😆😆
@thabitsalim79143 ай бұрын
Kujificha ni moja kati ya mbinu ya vita, Vita ni kuviziana na mwisho kuibuka mshindi na sio kujitokeza uwanhani ukatangaaza njoo tupigane. Kama wewe ni Jasiri na unapigana na mtu anayejificha unatakiwa utumie mbinu zako za kivita kuweza kumfichuwa na sio kuwauwa wengine wasiohusika (Wasio na hatia)
@MohammedBwanga3 ай бұрын
@@thabitsalim7914 exactly na hakuna hata taifa moja litakaloigana likaacha kujificha.coz ni moja kuu miongoni mwa mbinu ya vita.kabisa.
@Aminaamina-us5yj3 ай бұрын
@@MohammedBwanga unachekesha wewe sasa wana defend nini hao hamas ujifiche uache watu wako wauwawe mbona hao Israel hawajifichi na ata hao hamas wakienda ua Israel inatoka na kusaidia watu wao na kufunga mipaka
@moohazuume3 ай бұрын
Wnao kupinga Smaa hawajui mambo wapo wapo tuu
@jumamussantuiche3 ай бұрын
Uwo ndo ukweli japo unauma
@lcn_vol3 ай бұрын
Nimeona kuwa wote mmepigwa nyundo ya kichwa na hamjui kuwa watu tunacheza chess ni mtego huo jiongezen
@SAYMOEKARIM3 ай бұрын
alfu kikubwa nikwamba kila familia inazalisha zaidi ya Hamas 20 iDf ni wachumba2
@vincentcharles43853 ай бұрын
Mama akifirwa atasaidia kuongeza hiya idadi
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@vincentcharles4385ww baba ako na mama ako na ww wote mnafirwa
@eveliusreveliantv59853 ай бұрын
Africa inamengi ya kuongelewa na yenye facts and evidence.... but kila siku mnatuletea habari za umbea....majadiriano ayalengi kuleta suruhisho mnaishia kushabikia tu....ata ninyi yawezekana mnatumia matukio ya vita kujiingizia kipato.....fanyeni majadiliano ya kuleta amani...mnawasifia hamasi wakati laia wao wanateseka...ubora wa jeshi ni kulinda watu....tutafuteni suruhisho watu Palestine wanateseka jamani 😢😢😢
@djsma2553 ай бұрын
Ww ukuongelea ya Africa inatosha....hakuna anae kuzuia
@hassanshariff48023 ай бұрын
Bro uko very slow kwa update hii news ilikuwa morning 11
@Bittertruth-u4n3 ай бұрын
Hata mimi nikizani hivyo lakini kwa tz lazima atakuwa ana majukumu mengine tofauti na hii ama anahitaji kuconfirm kazi na kuangalia vyanzo mbalimbali vya kuaminika vinasemaje ,ukwel ni kwamba hachlw ila wewe unahamasa na unafatilia hiz habar kwa ukaribu zaidi kuna watu ndio kwanzaa wanazani hii ni hot news
@djsma2553 ай бұрын
KWANI KUNA SEHEMU IMEANDIKWA NI BREAKING NEWS?..... AU KUNA KITU KINAZUIA KULETA TARIFA ZA MWAKA JANA ? JE KAMA WW UMEONA INAMANISHA KILA MTU AMEONA? AI UNADHANI WATU WANAFANYA KAZI YA COPY N PASTE?
@Bittertruth-u4n3 ай бұрын
@@djsma255basi kaka tusamehe bure sisi tunaipenda hii channel yetu na tunafatilia channel zingine abroad kama times of india,aljazeera,crux,kule wanatoa hotnews sasa tunavutiwa sabb maelezo unayotoa haupindshi habar unasimamia ukweli tunatamani habari ikitoka tuipate kwa uchambuzi kutoka kwako umetuhamasisha tuifatilie siasa ya dunia
@jumaramadhan16003 ай бұрын
DJ sma hayupo slow, anataka kupeana tarifa yenye uhakika. Bila shaka alikuwa anahakikisha ukweli wa tarifa
@Bittertruth-u4n3 ай бұрын
Kiufupi nikiyosikia na kuambiwa kuhus israel ni uwongo mtakatifu inaonekan israel wanaweza kupigwa na wamama wana kikundi wa vikoba😂😅
@pesaspy_tv3 ай бұрын
😂😂,,😂😂😂
@evelynemugeni23693 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga wadhaifu
@mwanajumaomahundumla65043 ай бұрын
Bado hawajasema mpaka waseme
@ditmanndunguru97343 ай бұрын
Ukisema Israel haiwezi vita ya aridhini sio kweli,tazama vita ilipoanza na ilipo sasa,aliyeweza kufanikiwa katika vita ya ardhini ni yule aliyekamata eneo lako na kufanya anavyotaka tazama hamasi ilipokua na hapa sasa walikua na ngome ngap katika maeneo yao je zile ngome zipo ?
@suleim5053 ай бұрын
Acha ulofa, kama ushindi ni kuvunja ngome mpaka sasa viongozi wenyewe ndio wanakiri walishashindwa lakini wanafosi, usiwe kama nyau ambae ndiyo sababu ya hasara kubwa kwa waisrael...
@ditmanndunguru97343 ай бұрын
@@suleim505 mtu kaweza kuingia ndani mwako na kukaa na kukupangia hakuna kuingizwa misaada mbaka anavyopenda yeye na bado kakurudisha nyuma kimapigano kutoka Gaza mbaka huko mnapopaita Rafah halafu bado unaita zaifu 😂
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@ditmanndunguru9734kweli kabisa Israel mashoga wadhaifu 🖕
@Williamstozzo3 ай бұрын
Wapalestina wanateseka kwasababu ya ushabiki na na kutumiwa na Arab countries,,,no arab country hata muslim who open their border to help palestine,,,hata egypt,jordan, Qatar hata uturuki yenyewe
@timotheothadeomgassa49293 ай бұрын
Hivi Djsmaa huwezi kusema au kutumia kauli ya kwamba Hamas wanajificha au kujichanganya na raia wa kawaida? Hivi leo hii Russia inaweza kumpiga Hamas licha ya kuwa bora katika kila kitu? Guys vita vinavyohusisha wanamgambo wasiokuwa na eneo maalumu au vazi maalumu ni vigumu kupigana nao unless otherwise uwamalize wote raia. Mfano ni pale Ukraine leo hii Russia inapambana na Ukraine face to face kwa maana ya Ukraine inajulikana wapi ilipo lkn kama wanajeshi wa Ukraine wangejichanga na raia wa Ukraine basi Russia isingeweza kufanya chochote na badala yake wangeishia kulaumiwa tu.
@djsma2553 ай бұрын
Ndio mana kuna jitu kinaitwa rules of engagement! Uliona marekani kivyo kuwa anapambana iraq au alivyo kuwa anapamban dhidi ya takiban afghanistan? Je aliua wa afghanistan wote au alikuwa anafanya door to door sweep na kuzingatia rules of engagement? Japo kuna nyakayu alivunja hizo shria....
@mustafamasudi80933 ай бұрын
Putin hata ukijigeuza panya lazima atakujua tu
@ShawnBeatz3 ай бұрын
Sma ni pro anti west kaka, mashabik wake wamekaza fuzu...1994 marekani yenyewe ilikimbia vita ya wanamigambo wa somalia, je somalia ni bora kuliko marekan?
@husseinmassawa71863 ай бұрын
Kama ameshindwa kuwatambua ndo intelligence failure yenyewe hiyo
@timotheothadeomgassa49293 ай бұрын
@@husseinmassawa7186 Ndugu yangu sikia nikueleze jambo hapa, ebu acha kuchanganya mahaba ulionayo dhidi ya Hamas ati kisa tu anaewashughulikia ni Israel. Ipo hiviii Hamas hawana eneo maalumu kwamba hapa ndio eneo lao ikumbukwe wale ni wanamgambo wanaopigania maslahi ya kudai ardhi yao na kuwa na Taifa lao guru kwa maana ya Palestina. Kwahiyo kinachotokea ndio kama tunavyoona kwamba Hamas ni raia wa ki Palestina ambao ni wakeleketwa dhidi ya wale wanaodai kuwakandimiza katika kudai haki yao. Kwahiyo hao ni raia wa kipalestina wanaojiunga na kundi la Hamas na kuwa wanamgambo ambao pia wanashughulizao kama raia wa Ki Palestina wameoa wanawatoto wajenga etc. kwahiyo wanapoamua kufanya ambush dhidi ya adui yao mkuu ambae ni Taifa la Israel ndio maana hupeleka mashambulizi ya mabomu kule Israel au kuwateka Raia wa Israel kwa minajili ya kuachiwa ardhi yao. Sasa watu wa namna hii ni vigumu kupambana nao sababu wanajichanganya na raia wa kawaida na makazi yao yapo ndani ya Raia ndio maana Israel anapowafanyia ambush Hamas basi lawama huwarudia Israel kwa kulaumiwa kuuwa Raia wasiokuwa na hatia na moja kati ya sababu kubwa ni kwa Hamas kujichanganya na Raia period. Kwahiyo huyu DJ Sma Anaposema eti Israel sio wazuri ardhini anamaanisha nini? unawezaje kusema Israel ni wadhaifu ardhini na wakati hata wao Israel hawajui adui yao ni kajificha wapi na ndio maana alikuwa analipua mpaka hospital pamoja na makazi ya kiraia na hiyo ni kwamujibu wa vyombo vya kiintelejensia yao. Ninaposema hata Russia hawezi kuwamaliza Hamas maana yake ndio hiyo sasa kwamba hao Hamas ni ngumu kuwabaini kwamba ni akina nani na kila kukicha raia wa kipalestina wapya wanajiunga na kundi hilo la Hamas sasa kwa style hii unawezaje kuwamaliza? Kwahiyo punguzeni ushabiki mandazi kwenye vita au mgogoro kama hamjui nini kiini cha wao kushindwa kukaa meza moja kuyatatua matatizo hayo. Hamas kama ni kidume kweli na anataka battle la face to face na Israel basi kusingekuwa na kundi kama hilo tena. kwanza hawana hadhi ya kupigana na Israel kama ambavyo Israel haina hadhi ya kupigana na Russia na hii ni fact sio opinion ndugu.
@BarakaAkech-r9q3 ай бұрын
Wewe aujawai hata kusikia vita vya siku 6 ambapo Israeli ilishambilia nchi 7 za kiarabu kwa wakati moja
@djsma2553 ай бұрын
mwaka gani na leo tuko mwaka gani...
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
YANI MNATOA HABARI KIASI KWAMBA MSIKILIZAJI ANAJUA MNAUNGA MKONO UPANDE FLANI 😂😂
@JeremiahElfadhili3 ай бұрын
Bora hata wewe umesema hii media itapoteza watu siku zijazo utaona tu kwa sababu ya huyo DJ anaonekana kabisa yuko upande gani hamasi imepigwa mpaka basi eneo lipo kama jalala leo unakuja kusemaje? Ni vituko huyo DJ yani hafai hafai kabisa ni mdini wa hali ya juu
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
@@JeremiahElfadhili Eti Israel ni dhaifu sijui amelewa, yani anaongea vitu avieleweki, Yani Israel inapigana vita ngumu kama iyo bado watu wanachulia poa, Yani Adui asipo shika silaa unajua ni raia wa kawaida anenda a anashambulia kwa nyuma alaf anakimbia alaf bdo mtangazaji anasema jeshi la Israel ni dhaifu, Kweli Uislam ni kama kirusi cha Ukimwi kikikuingia hakina dawa, Yani unashabikia kitu ambacho ata wewe unajua akiwezekani 😀😀😀
@husseinmassawa71863 ай бұрын
Shida hao wanaopigwa, hawatoi taarifa wanapigana kimya kimya, wao wenyewe ndo watoaji taarifa kuwa wamefeli, asa unataka waongee nini wakina dj sma
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@JeremiahElfadhilimashoga ndo wataondoka wataenda bbc cnn ila vidume tutabaki na hii channel
@NoelNjementi3 ай бұрын
Smahaa apunguze kulopoka lopoka kama mropokaji yore wairani nawatu wake warokufa kwenye edikopta apo tusingekuwa makini
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
Mbona hufahamiki ndugu
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga
@julianamwamgogwa3 ай бұрын
Najua jambo moja mungu wao co wenu atawasaidia kwani yeye huwa anajitokeza mahali pasipokuwa nanjia kuwasaidia
@Allymzaki3 ай бұрын
Jeshi linashindwa mgambo hakuna jeshi hapo.na mabwanazao nyuma.
@Mtaki_Zakayo3 ай бұрын
hao sio mgambo kama unaowajua wewe
@tayga20313 ай бұрын
Mzee unajuwa hao ni mgambo wa tz
@Allymzaki3 ай бұрын
@@tayga2031 hapa panaitajika elimu kdg. Ila kwa kifupi mgambo ni mgambo. Mgambo sio wa tz na jeshi sio. La tz mgambo bora zaidi ya wa tz na jeshi bora zaidi ya la tz hii mbona aihitaji ata elimu kujua.
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga tu wadhaifu
@princejames74383 ай бұрын
Yaaan hiyo inaitwa njoo kichwa kichwa uone moto hiyo ni mipango ya kukuleta karibu we hata hauoni adui Yako ukitaka kummaliza vizur mlete karibu tumia akili ww
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Kweli kabisa Israel mashoga wadhaifu
@princejames74383 ай бұрын
Huyo anaye chambua nadhan hajui kitu anacho kisema Israel ikiamua kufanya msako ni sekunde tuy
@suleim5053 ай бұрын
wanaoelewa na wasimamizi wenyewe wao ndio wanaelewa nini wanamanisha kusema walishashindwa: adi mtu mtu anajiuzulu nafasiyake wewe bado king'ang'anizi tu kama ruba🤠 unafinywa apoapo unapogandia.
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Ww choko Israel mashoga tu wadhaifu
@MaurusMpinga3 ай бұрын
Habari zinakela sababu hamjui vita pumbavu waondoe raia alafu wabaki hao hamas uone kitakachotokea inaleta ugumu sababu ya kujichanganya na watu na watoto
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga tu
@BenjaminMetanyau3 ай бұрын
Dalili za mpasuko zili muua ibrahm rais wa irani😂 sasa huu wasasa ngoja tusubiri unamuua nani maana nyie Akiri za wa izilaer hamuwezi kuzierewa mkiwa na akiri ndogo😢. Wanapigana vita baridi na vita ya moto kwa wakati mmoja🙏
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Kweli kabisa Israel mashoga wadhaifu
@ditmanndunguru97343 ай бұрын
Israel sio zaifu, pia hamasi wanavaa kiraia na hawana makao maalumu hivyo Israel inalazimika kuingia zaidi kwenye makazi ya watu na wanao uawa niwote kwa pamoja raia na hamasi kwakua wao wamejichanganya kwa raia.
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel mashoga wadhaifu
@AwadAbedalla15 күн бұрын
🇪🇸🇪🇸🤔🤔👍👍👍👍🇯🇴🇯🇴🇯🇴👍👍👍👍🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴🇯🇴❤️❤️❤️
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Mashoga Israel washalaniwa wanatapatapa tu
@subrynerysegerow13233 ай бұрын
Wnajeshi 70,000 wamekuwa walemavu na maelfu wameuwawa israhell wanajesh wanakwisha yani mwisho wao kama vile Ukraine wanajeshi wote wameuwawa wengine wamekuwa walemavu waliobaki wachache sasa wanaomba waafrica wakaungane nao wakapigane na urusi kivipi😂😂😂
@yohana12423 ай бұрын
Israeli mabwabwa
@barackbrysonramsey3 ай бұрын
Propaganda tu. Vita ina maarifa sana wajichanganye tena wakapige kule israel
@BarakaAkech-r9q3 ай бұрын
Wewe mchambuzi umekunyua gongo
@KajokaTanzania3 ай бұрын
Source ni Aljazera 😀😀😀 Hao na Hamas ni damu damu.
@salehkhalfan73453 ай бұрын
Hata HT ya India wamesema hvhvo nasio kwa Maandish ila kwa Video
@radjabusuleiman64863 ай бұрын
Source ni combo cha Israel chenyewe.
@vincentcharles43853 ай бұрын
Yaani wamekaza mafuvu,toka lini aljazeera akamsupport Israel
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@vincentcharles4385Israel mashoga wadhaifu
@fredmbossa-kc3qn3 ай бұрын
hamasi wanapata sapoti kutoka nchi za saudia na hata wapiganaji wengi wanakodi kama ilivyo kwa vikundi vingine kama islamic state,au kile kikundi kilichokuwa kinapigana urusi chini ya pregozin
@j4amas53 ай бұрын
Uthibitisho?
@Awatee3 ай бұрын
Saudia ipi iyo unayoisemea 🙄
@kylesmeight48373 ай бұрын
Nchi z Saudia ndy zip
@prettynayally21773 ай бұрын
Saud na Israel ndo wanasapotiana wq unaogea n unaota ama 😊
@paschaljuma33123 ай бұрын
Hahah shida iko wapi kama wanakodi wapiganaji ata israel si anasaidiwa na waume zake alofunga nao ndoa
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
WEWE DJ NI MPUMBAVU, UNAZANI ALICHOKIONGEA HAGARI SISI ATUJASIKIA AU UNAZANI WOTE HATUJUI MAANA YA IDEOLOGY? IDEOLOGY NI HITIKADI SIYO NGUVU YA KIJESHI WEWE WADANGANYE WAISLAM WENZIO WANAOPENDA KUFARIJIWA BILA KUJUA UKWELI HALISI 😂😂😂
@e11said233 ай бұрын
Hebu toa ukweli wako tuone kila kitu kipo wazi sasa
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
@@e11said23 ISRAEL ILISEMA WAZI ITAONDOA UTAWALA WA HAMAS NA KUIONDOLEA SILAA GAZA NA KUHAKIKISHA GAZA HAITAKUA TISHIO KWA KWA ISRAEL NA KURUDISHA MATEKA WAKE WOTE, ALIKICHOKISEMA DANIEL HAGARI MSEMAJI WA JESHI LA ISRAEL DEFENSE FOREVER NI KWAAJILI YA WAANDISHI WA HABARI WA OVYO KAMA UYO DJ WENU ASIYE JUA MAANA HALISI YA GOALS ALIZOSEMA NETANYAU KUHUSU HAMAS, YANI HAMAS NI KUNDI LA ITIKADI ZA KIISLAM LINAONGOZWA KWA MISINGI YA KIDINI SIYO JESHI LA NCHI FLANI KWAMBA ZILE ITIKADI ZIPO KWENYE MIOYO YA WATU, MFANO MTU ASEME TUONDOE WAISLAM DUNIANI NIKITU AMBACHO AKIWEZEKANI UNAWEZA KUVUNJA MISIKITINI YOTE DUNIANI LAKINI HUWEZI KUONDOA ITIKADI YA DINI KWENYE MIOYO YA WATU, WATAABUDU ATA CHOONI, SASA ISRAEL INACHOFANYA NIKUITOA HAMAS KWENYE NGUVU ZA KIJESHI AIMAANISHI HAMAS WATAKUFA WOTE ILA AWATAKUWA NA NGUVU YA KIJESHI MAANA LENGO NI KUWAONDOA KIJESHI, NA ISRAEL INAPIGANA VITA NGUMU SANA YANI ADUI AJULIKANI KIJANA ASIPOBEBA SILAA UJUI KAMA NI ADUI AU RAIA MAANA AWANA JEZI LA KUWATAMBULISHA, AKIFIKA MBELE ANAJIFICHA ANASHAMBULIA ANAKIMBIA, ALAFU MTANGAZAJI ANASEMA ISRAEL NI WADHAIFU SASA UCHAMBUZI GANI UO WA OVYOO
@johannesssamsonambogo41253 ай бұрын
@@e11said23 au badilisheni jina la media hiitwe, Hamas and Russia media 😀😀😀
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@johannesssamsonambogo4125ww choko unaumia nenda bbc uko 🖕
@julianamwamgogwa3 ай бұрын
Katili ni alie chokozwa au alie chokoza au mlitaka islaeli mwanzo walipovamiwa na hamasi wange nyanaza?ndo mseme co makatili?ungumzieni vita co kuwanyoshea vidole islaeli.wao walichozwa na hii nda matunda ya uchokoz
@Mtaki_Zakayo3 ай бұрын
huyu jamaa kashachagua upande then anavunga et fact and logic
@sultanbakary42923 ай бұрын
Hiyo ardhi ardhi ni yapaletina hao mashoga waisrael wezi tu na hawatokaa Kwa aman hapo
@JamalKanani3 ай бұрын
Israel ndo walianza tangu march 2023 lkn wapalestina wakaa wakapanga ndo wakajibu na wao walioanza waisrael tena ilikuwq mwezi wa ramadhani wakaua watu msikitini wewe umeanza kufatilia October 7 ndomaana
@charlesboniphace22493 ай бұрын
Wajinga wengi wanazani Israeli ni ardhi ya wapalestina Lkn biblia ndio jibu sahihi linaloweza kukuonyesha mipaka halisi ya nchi ya Israel inaanzia wapi na inaishia wapi Ndio maana waisrael CK zote wanapigana wakiwa kwenye nchi Yao halosi YOSHUA 1:1-7,
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@charlesboniphace2249bibilia imeandikwa na mashoga
@PhenixSwahiliGaming121123 ай бұрын
Oneni JINI lilivyotatua kesi ya WANANDOA kzbin.info/www/bejne/pJ20qWeHgtx_la8si=IQzgOqV7uOKGobns
@hazygardmericho95713 ай бұрын
tanzanians we stand with israel
@B13-AK473 ай бұрын
Nawasiwasi wewe sio mtanzani, sisi watanzania halisi hatuegenei upande wowote, get it.
@Bittertruth-u4n3 ай бұрын
Peke yako😅
@khalfanfahd76133 ай бұрын
Don't say tanzanians,say you stand with them
@ME-kb8rk3 ай бұрын
PEKE YAKO!
@idrisakasuwi78653 ай бұрын
kichwa maji kwel wew
@BarakaAkech-r9q3 ай бұрын
Unasema Israel ni dhaifu wakati imewai kushinda vita vyake viote aina akili wewe mchambuzi
@omarymwaluko97653 ай бұрын
kweli kabisa Israel mashoga wadhaifu
@vincentcharles43853 ай бұрын
Yaani mtangazaji ni kumamako,unatoa taarifa Al Jazeera unafikiri hao supporters wa Israel,basi hii media ni ya kipuuzi,wewe na na wanaokusupport ni mashoga,hamna evidence na takataka mnaongea,sijui mnaongea mkiwa mmepakatwa bila virahinishi
@BizzBoy-g4o3 ай бұрын
Mtoto wa haramu hachaguagi tusi
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
😂😂😂ina wauma wayahudi magapiz kula chuma icho Israel kashindwa vita mwez wa 9 huu unaisha tna hamas wana kwambia ata asilimia 10 hawaja pungua
@HamisiLisu3 ай бұрын
😂😂 Hamas tutokomezee mashoga maanina
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Israel ndo mashoga wakubwa duniani choko ww 🖕
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Vidume ndo wanamuelewa ila nyiny mashoga hamuez kumuelewa