Sheikh, kazana na mafundisho, INSHAALLAH ALLAH ATAKUSIMAMIA. Asiyetaka kuelimishwa, achana naye. (Mfano;-Muumba anakataza mengi kama Kula nyama ya Nguruwe, kuweka sanamu ktk. Nyumba za Ibada au Majumbani, nk.) Lakini watu hukaidia. Yaani wanaikataa hata Biblia maamrisho yake. HAO AINA HIYO ACHANA NAO.
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
MashaAllah Shaikhe Ramadan Allah akubariki na akuzidishie afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
@HamsiKatunzi-wl4dd Жыл бұрын
Inshallah mungu atasaidia walio poteau kuwa katika njia sahihi
@ShabaniAshura Жыл бұрын
Allah akuzidishie umri uendelee na daawa watu tuelimike
@nooroman25352 жыл бұрын
MashaAllah shelkh Ramadhani Mungu hakulipe pepo ya fildas lnshaallah
@jamilaomari24442 жыл бұрын
Huyu kijana mtafute uenda akasilimu in shaa Allah.
@janieali55212 жыл бұрын
Sheikh Ramadhan, i really admire and appreciate your patience ♥️ may Allah Subhana Huwataala increase your Imaan, health, patience, knowledge and grant you the best here in the world and Jannah ferdaous. Kama vile Allah anavyo waahidi wenye Subra ndani ya Kuraan Tukufu.
@nooor11202 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah bless you and your family sheikh
@saudahassan66672 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah sheikh ramadhan kurya allah akuzidishie kila la kher
@KxrmaAttax2 жыл бұрын
Mansahallah sheikh ramadhan mungu akuzidishiye umri.
@HamsiKatunzi-wl4dd Жыл бұрын
Mungu akujaalie UMR mrefu
@KxrmaAttax2 жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah. Mungu akuzidishiye umri na afya..
@sosajamal87702 жыл бұрын
Mashallah i respect you Rahmadan
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
MashaAllah, kaka Allah akupe umri mrefu.
@maymgaya419210 ай бұрын
Allah akuweke Zaid na akupe afya njema. Tupo pamoja nawe
@sadiqmwafrica67592 жыл бұрын
MashaAllah Ustaadh Ramadhan, your very patient with difficulty people, who trying to make things even difficult kwa kujifanya hawafahamu, In Shaa Allah, nakuombea Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo, dawa mashinani si kazi rahisi, watu wengine wabishi kweli kweli, Pia sote tujitahidi kufanya dawa popote tulipo, hata tukiwa tuna fanya nao kazi, tunao wakaidi kama hao hapa UK, wengi hasa hawa Wazungu wapi wakaidi zaidi, wanajidai Mwenyezi hayupo.
@hamedihasani99102 жыл бұрын
MashAlah shiekh,huyo jamaa Emanuel tumejaribu pia hapa eastleigh daawah mbishi sana ,Mungu amuongoze
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
@MustakimaMuhammad-fy5ij5 ай бұрын
Aa ramadhan ucichoke kutuilimisha jazaa yako iko kwa mngu
@SaidMgeni11 ай бұрын
SubhannaAllah
@MohamedHassan-oi1yi2 жыл бұрын
Jazaakumullaahu khayran mungu awe zidi she khayran na Mimi Muni ombeye ni mgonjwa
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@salmanassor87322 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Rakhman
@Sal.02 жыл бұрын
Huyo Mschana Rasta, pia Biblia ungemu somia kuhusu mavazi na kusuka na ku funika nyele. Wengi wao, huwa hawa amini !Qurani! Otherwise, MashaAllah. Allahswt aku rahashiye kazi hii yako, na mambo zako zotee! Ameen.
@mutomubaya2 жыл бұрын
Huyo dada inaonekana yeye huwa anaelewa mambo kwa haraka kwa sababu anauliza maswali machache na anaonesha uelewa kwa wepesi. Lakini simtakasi mtu yeyote. Allah ndiye anajua udani wa watu. Nataka nimwambie tu kwa kikamba....Akamba tumanye kui ngai ungi ateo Allah. Na tumanye kwa uwo Muhammad ni mutume wa Allah.
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
Ramadhani kuria umenichekesha eti mungu akekuweka na mabawa Ili uruke ruke
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Naam, kijana anataka kuwa highly
@guenterernst54812 жыл бұрын
Hata mimì nimechekaa Allah awabariki
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
@@guenterernst5481 amin
@husnanancyatieno23912 жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah
@myoutubecom-gg7sb2 жыл бұрын
MashaAllah
@abdishakurosmanraahid51412 жыл бұрын
Mansahallah sheikh ramadhan mungu akuzidishia umri..utakucha lini garisaa tunakupenda na tunakufatilia
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Tuombeane inshaAllah nitafika tu
@firdausjabir14362 жыл бұрын
barakallah fik akulinde allah na familia yako
@husseingabo54972 жыл бұрын
Kazi nzuri
@halfanabdalla89492 жыл бұрын
MaashaAllah mnafanya vizuri, ila nilitaka nitoe ushauri kwa sheikh ingekuwa vizuri kama mngekua mnatoa kadi ambayo ina namba zenu za simu kwale ambao mnaongea nao, endapo watakuwa na maswali baada ya hapo wanaweza wakawapigia na kuwauliza, shukran
@linetkikin40232 жыл бұрын
Mashaallah Kwa elimu nzuri shekh
@prettyaysha78922 жыл бұрын
MashAllah
@KxrmaAttax2 жыл бұрын
Truly Ustad Ramadan is very patient with this guys who deliberately go against the teachings of their own book but still claim they love Jesus
@mutomubaya2 жыл бұрын
Why did you say deliberately? You can hear them saying they were born by Christian parents. ..Its we Muslims who are not doing their duty of informing others properly. Sheikh Ramadhan is one of those born by Christian parents. He found out about Islam when he was already a past teenage...
@suleymanali4312 жыл бұрын
Asalam aleykum bro ramadhani unafanya kheyri sana na mungu atakulipa ujira wako amiin, but bro usisahau kuwaeleza ya kwamba , wasipo muabudu allah watakua tu katika maisha ya thiki siku zote , na wakimuabudu allah subhana huu wa taala atawafungulia milango za riziki njema.
@shahabdallah94078 ай бұрын
hyu jmaa mm ncngeweza kuhojiana nae!!!! yani ni kichwa ngumuu!! cjaonapo!!!!!! unasubra brooo!!!
@mapishiyetumazuri23122 жыл бұрын
Uislam sio ya waria
@fatimaismail22502 жыл бұрын
hiyo wimbo yua igiza sauti ya kondoo😂😂😂
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
Hee video yote kaichukua huyu 🤔 kichwa ngumu 😂
@mutomubaya2 жыл бұрын
Emanueli anasema yeye ni Mkristo damu. Je ni ukweli ? Hebu tuongeeni ukweli...Mtu akihitaji damu ya group fulani je ikipatikana ya Muislamu akiwekwa Mkristo atabadilika? Je Muislamu akihitaji damu akiwekwa iliyopatikana kwa mkristo je itambadilisha Dini?
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Swali nzuri
@guenterernst54812 жыл бұрын
Damu haibadilishi Dini, dini ni imani yako na roho yako, ukiwa mgonjwa waeza tiwa damu ya mtu yeyote lakini Dini yako itabaki vile vile
@naimaabuualii5782 жыл бұрын
Et AAA Mimi si mwizi😂😂😂
@yusufonumo7000 Жыл бұрын
Cr
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
K8jana mkorofi
@mariamhakim1463Ай бұрын
Daa ona jamaa anavyo tafuna majani kama mbuzi😅😅😅😅
@fatimaismail22502 жыл бұрын
masha Allah sheikh Ramadhan Allah akuzidishie umri