Pata faida kwa kuskiliza Durous Mbalimbali kupitia chanel yetu @wajawemaonlineTv ili kuwa wakwanza kufaidika Usisahau ku subscribe ku like ku share pamoja na kutia maoni yako chini ya Video hii Ahsant ____
Пікірлер: 26
@baqirmkilindi936911 ай бұрын
Mwalim mfumo wa maisha yako yote unatakiwa uwe ndani ya sheria... Swali halipo sawa
@KomboShineni8 ай бұрын
naona comment nyingi tu paha ila nikwamba suali limetoka hilo tunaomba jibu lake
@fareedahmad6857Ай бұрын
Jibu hoja za SHEKH uwesu wapi amekosea wapi amesema uongo....
@khalifaahmed523210 ай бұрын
😂😂Aweso 10yrs Azhar mistri ww 6month saudiaaaa inkua ww ndio msomi kuradd haimaanishi kua ww ndio mwenye haki Ila wasomi wanajua vzr Sanaa kunao wanavyuoni walokubali llte litaafikiana N sheria ni Sawa shida kubwa utako ww tuu iyo sheria ndio haki wengn motoni Dini haipelekwi kwa radd eti ndio haki
@adennurahuka4026 ай бұрын
Aweso ni khirafiii wakutupwa pipani,,,walahi anashubha nyingi,,,pia yy husema Allah hayuko juu,,eti yuko kila pahali
@adamjutto58494 ай бұрын
Sheikh qaasim 6 months yemeni,15 yrs saudi,chunga babuu,huyo pia ana mar halaa ya doktooraah,siku ungekaa ukaskiliza wala darsa yake ya تدريب الراوي Ndo ungemjua nani qaasim Au darsa ya الأشباه والنظائر Sio tu hvyo,katafute ruduud zake akimjibu dr mubaarak aweso,ndo utajua sheikh qasim mafuta nanii.
@darajanida3 ай бұрын
@@adennurahuka402muongo wewe wapi dkt mubaraka kasema kuwa mungu yupo kila pahali itakadi ya kuwamungu yuko mbinguni nitakadi ya kikafir
@ismailmsangule13809 ай бұрын
Wewe kweli unaisraaf ya elimu yako Hujui unachokifanya
@KomboShineni8 ай бұрын
Mashekhe wakiongea maneno lazima uwe makini ndipo utaelewa na usiwe na msimamo angalia haki ipo wapi
@pembamusic392929 күн бұрын
😂😂 katafte elimu mwnzo naona huelewki ata.pointi yko niip ?
@abdulali75310 ай бұрын
Tushawajua nyinyi njaa ndio yawasumbua kwa kutukana mashekh
@MkindiJujan2 ай бұрын
Misufi huchukua jambo pale linapokua na maslahi kwao likiwa kinyume na maslahi kwao hulileta nusunusu tena bila insaf huku wakijua hadhira kubwa ya waislam dini yao ni chenga hawasomi km wakiristo bali husubiri dini kutoka kwa mashekhe zao
@HuseniChina8 күн бұрын
Jitahid kusoma
@MohammedAli-ud8so8 ай бұрын
Halafu acheni kuuliza maswali pembeni mualikeni uwanjani aje ajibu maswali
@KomboShineni8 ай бұрын
ss ambao tunajua misingi ya elimu tumeelewa na ndio mana tunasubria jibu
@salimkhamis940610 ай бұрын
Hahahahhhh khatarrr Kazi ippo yaan unatuharbia mb zetu tuu cc tunajua unaongea lamaana aloo ebu mashekh tulien barazan na mamadrasah msomeshe maan naona maneno mengi wala hapana linalozngumzwa ha ww umeongea nn hpo ah hadi mnakera
@AllyAhmad-zg2yp10 ай бұрын
Ameongea kielimu na alietetea kielimu, hawezi kumfaham isipokua mwenye elimu, alietetea nadhan amemfaham
@salimkhamis940610 ай бұрын
@@AllyAhmad-zg2yp hyo elim ipo wp hpo iliyotmika hamuwez mkokota kila mtu
@AllyAhmad-zg2yp10 ай бұрын
@@salimkhamis9406 unakokotwa maana mnaambiwa maulid ni bidaa hakufanya mtume wala maswahaba, wala shafi wala malik, hambal wala abuu Khalifa lakini mnakubali tu kuambiwa ni ibada
@salimkhamis940610 ай бұрын
@@AllyAhmad-zg2yp kwnza ujue nn maana ya bidaa kisha ndio uje kusema Abuu khalifa yaan hjui madhehebi nini watu mnakokotwa tuu ha nan kasema ktk madheheb kitu kma shaf hjafnya ndio madheheb hyo ymekiktaa watu someni nyi msichezewe akili Hao ulotaja ni ma imamu wa madheheb ila ktk kila dheheb kuna malaki ya ma imamu na wanaskizwa na wao c kwmba aseme shafi tuu
@AllyAhmad-zg2yp10 ай бұрын
@@salimkhamis9406 nimrkusudia abuu Khalifa ndugu na wewe pia ktk mesej yako kuna makosa mengi , basi hebu niambie nn maana ya bidaa, maana mm nafaham ni ibada ambayo haikueepo wakati wa mtume na maswahaba na hakuifundisha wala hsikufanywa wakati wake akanyamazia, na haikuwepo wakati wa maimamu wakubwa wanaotegemewa ambao nimewataja, imamam malik, ahmad bin hambal, abuu khanifatunn numan bin thabit na muhammad bin idriss ashafi
@HemedAbdalla11 ай бұрын
Naona porojo tu
@fareedahmad6857Ай бұрын
acha porojo... Na falsafa nyiiingi Tuambie wapi kakosea.... Huwezi kulazimisha MASHEKHE WOOOTE wafuate ufahamu wako..... Wewe NANI.?..MTUME..? Acha kuuliza uliza kaulize mitaani kwenu huko au kapige goti darasani kwa shekh UWESU halafu uliza masuala yako