RAIA WA OMAN ANAYEZUNGUKA TANZANIA KWA GARI "AMKUMBUKA HAYATI MAGUFULI, ASILI YANGU NI TZ"

  Рет қаралды 6,009

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Ayo TV inakukutanisha na Yusuph Said Amir Raia wa Oman ambaye kwa sasa yupo Tanzania na anazunguka Mikoani kwa kutumia usafiri wa gari, tayari ameshaingia Manispaa ya Bukoba Mkoa wa Kagera.

Пікірлер: 33
@mename6020
@mename6020 3 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Tumempata Balozi wa Utalii! Nawaomba viongozi wetu wakupokee, na hasa Waziri wa Utalii akupokee, maana unaitangaza vizuri Nchi yetu... Barikiwa kaka yetu... Karibu nyumbani! 🇹🇿🇴🇲
@pendael02
@pendael02 3 жыл бұрын
Namkubali , huwa hachanganyi kiswahili na English ... KiswaEnglish
@boysalim83alhabsi19
@boysalim83alhabsi19 3 жыл бұрын
Asante bro kiswahili lazima tukienzi
@adamsharif475
@adamsharif475 3 жыл бұрын
Zanzibar
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 жыл бұрын
Bss
@FatmaAyoub-yr6mk
@FatmaAyoub-yr6mk Жыл бұрын
Please twaomba namba ya hyo mtu wa oman
@aliamjad2683
@aliamjad2683 3 жыл бұрын
Nimependa achanganyi Luga tujifunze ilo na afichi ukweli wa kabila nime penda iyo
@hamisimakunja521
@hamisimakunja521 3 жыл бұрын
Millard Ayo Michuano simba yanga
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Millard Ayo, mke wake na watoto wake for the next interview, please!!!👨‍👨‍👧‍👦 👨‍👨‍👧‍👦 👨‍👨‍👧‍👦
@mwamibukulu7745
@mwamibukulu7745 3 жыл бұрын
Oman wanaitaka Zanzibar kwa nguvu zote! So wanachokifanya ni kuangalia nguvu ya Tanzania bara kwa ujumla!
@tatubadi9010
@tatubadi9010 3 жыл бұрын
Oman kwa Sasa tunaiva kwa joto.. Hata ukioga maji asubuhi.. Yanamoto.. Atar..
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 3 жыл бұрын
Mmmmm
@jdidyehuddhveor5479
@jdidyehuddhveor5479 3 жыл бұрын
Mnapesa nyingi toeni misaada huko tz
@marthageorge559
@marthageorge559 3 жыл бұрын
Boss kama bosi ludi omani tumekumisi
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Nazipenda busara zake jamaa huyu... "Msizozane, mkagombana, mkaweza kufeli mambo yenu, na umoja wenu ukaondoka, na kisha nguvu zenu zikapotea... " Hii ni kweli kabisa, umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu... Ujumbe umefika:-)
@boysalim83alhabsi19
@boysalim83alhabsi19 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 shukran
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 жыл бұрын
Bass haya
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Waoh! Jamaa anazungumza Kihaya, Kiganda, Kiswahili, Kiarabu, Kiingereza, na Kifaransa !!! Lugha ngapi kwa jumla ?! Siwezi kuhesabu!
@innobugobola1694
@innobugobola1694 3 жыл бұрын
Oman kwa Gar ad Tz sawa je Kuna watanzania wanaotoka Tz ad Oman kwa Gar!?🤔🤔
@nasrahassanmasesa3745
@nasrahassanmasesa3745 3 жыл бұрын
Yaani Oman ya tisha kwa joto jua kali kinoma fikilia samoja asubuhi maji ya vuka moshi bombani 😂😂
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 3 жыл бұрын
Ila wanatumikisha ndugu zetu huko Oman 🇴🇲 kama watumwa kazi kibao mshahara mbovu
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Hapana jaman kazi za kawaida nashahara mnono bila makato 😅
@marthageorge559
@marthageorge559 3 жыл бұрын
Tunakufa na joto uku maji ya kuoga niyamoto mbaka uweke barafu ndio uwoge
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
Haaaaaaa nimecheka
@marthageorge559
@marthageorge559 3 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 tunakufa sio utani
Waziri wa Mafuta wa Oman alivyolonga Kiswahili kama Mbongo IKULU
7:59
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 33 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
MFALME WA OMAN AJENGA FAKHARI YA MSIKITI ZANZIBAR
7:03
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 159 М.
PRITHVIRAJ SUKUMARAN & NAJEEB  | REEL v/s REAL | AADUJEEVITHAM  | INTERVIEW | GINGER MEDIA
15:44
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,7 М.
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 33 МЛН