Рет қаралды 17,048
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli azungumza na Waananchi wa Mianzini alipokuwa akitokea Namanga ambapo yeye pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta Walifungua kituo cha kutoa huduma kwa pamoja mpakani(One Stop Border Post-OSBP Namanga Wilayani Longido Jijini Arusha.Disemba 1,2018