No video

RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA VIHENGE NA MAGHALA YA KUHIFADHIA NAFAKA, KIJIJI CHA KANONDO-SUMBAWANGA

  Рет қаралды 4,530

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Vihenge na Maghala ya Kuhifadhia Nafaka, Kijiji cha Kanondo Manispaa ya Sumbawanga ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.

Пікірлер: 5
@osamaabdallah2876
@osamaabdallah2876 Ай бұрын
Umeupiga mwingi sanaa surplus itahifadhiwa kwaajili ya dharura, kuuza nje na pia kuvutia viwanda kujengwa vya unga. Akili kubwa sanaaa
@fidelruga3814
@fidelruga3814 Ай бұрын
Kwanini tuuze mahidi Zambia badala ya kuwauzia unga sisi Tz tuna shida gani
@JacoboKalindo
@JacoboKalindo Ай бұрын
Hii nchi buana🤗
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 Ай бұрын
Yani watu wanataka mahindi we unapeleka unga,,. Mmmh!; nani mgonjwa apo?
@petrondunguru6069
@petrondunguru6069 Ай бұрын
Zambia wapelekewe unga sio mahindi. Kwa kuwapelekea unga inamaana mtakuwa mmeongeza ajira kwa vijana wetu wa Tz watakaokuwa wanasaga hapo Sumbawanga. Kama mnawepelekea mahindi inamaana mnawapa ajira zaidi vijana wa Zambia kusaga. Uamuzi fanyeni. Viongozi wetu watumie akili. Wasiwe wajinga hivyo na vijana wetu hawana ajira.
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 42 М.
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 41 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Jua Kali leo Ijumaa Usiku 23-8-2024 High Quality Definition
24:54
Kasai Boy Tv
Рет қаралды 4,8 М.
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН