hizi Mic jamni mbona zinashida nyingi hvi? kuna matatizo gani na hii mitambo lakini? kila pahali ni kugoma..hivi Ikulu kwann watu tukisema mnaziba masikio? mbona matatizo ya mic yanaendelea kuongezeka kila kukicha?
@deogratiaskatinda92322 ай бұрын
Usanii mtupu wa viongozi wetu! Usanii katika kujali wananchi.
@albertjulius66512 ай бұрын
Bamia na mahindi ya Rais yananunuliwa njiani, halafu anatoa million 20. Cheap promo