Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuli amezungumza kuhusu stendi kuu ya Nane Nane Dodoma
Пікірлер: 334
@Richiemagessa4 жыл бұрын
Safi sana hongera kwa clouds 360 kwa kuzijali kero za wananchi pia hongera na pongezi nyingi kwa mheshimiwa Rais JPM kwa kufatilia kwa ukaribu kero za wananchi wako kwa wanao kufatilia wanajua hukuanza leo kupiga cm na kutoa maelekezo mbali mbali hongera sana mheshimiwa
@herimallya33854 жыл бұрын
I feel pride of my motherland🇹🇿🇹🇿asante Rais wangu..MUNGU akubariki.
@e.m.e.m59494 жыл бұрын
Kama umemuona Askari mtiifu 🤣🤣🤣,gonga like
@mariamtegele86064 жыл бұрын
Saaaana hii ndio nidhamu magufuli mbele kwa mbele
@e.m.e.m59494 жыл бұрын
Kama umemuona Askari akifanya maombi,gonga like
@adammakoye41984 жыл бұрын
Ebwana!! Mkurugenzi uko safi sana hongera bro ww ni mchapa kazi unaipenda Dodoma ww ni mzalendo wa Dodoma ww geneus. Karibu Kondoa mjini.
@geofreybahema51184 жыл бұрын
Alemwonaa mwambaa ana kiparaaa mwenyee hamsha hamsha ka mzotee zen akaduwaaa baaada ya kuskiaa wapgaa debee awatakiiii likes kwangu tafadhaliii note ni yule wa nyuma ya mkurugenz
@leonardmanyanza10584 жыл бұрын
Voice of Tanzania mfariji mtetezi msimamizi mtoa matumaini kiongozi mwenye msimamo thabiti am proud of you my hero rais kipenzi cha wote
@hashimuissa48114 жыл бұрын
#aliemuona kamanda mwenye nidhamu..👮👮 gonga like
@v_i_p11094 жыл бұрын
😂
@shabanikidaba98564 жыл бұрын
Nakbali
@mhebhoamoskisimple20954 жыл бұрын
Huyu magufuli ni tano Tena.Mungu awe nawe.tutakuchagua kwa hasira kuanzia mbunge.diwani vyote chukua tu
@CyimSky4 жыл бұрын
CHANZO CHA URAFIKI NI HISIA AU MASILAHI MAJIBU HAYA HAPA/ KUCHEZA GEMU KWAWA NA FAIDA. kzbin.info/www/bejne/hIO7qZlvrLCimdU
@agnessamuel85144 жыл бұрын
Atawale tu jmn mpka mwisho wa maisha mm ananifurahisha sana
@MuslimChannelTZ4 жыл бұрын
Mimi anitawale tu siku zote! Huyu rais wangu
@alfredjohn56934 жыл бұрын
5/5 stand sio kwa ajili ya matajiri tuu bali ni kwa watanzania wote ikiwemo maskini 💪 JPM tunae raisi wakujivunia
@errydeo88654 жыл бұрын
Hivi JPM analala???anafatilia everything...i take off my hat 🎩 to this man
@friminrogasian61594 жыл бұрын
Kwel kwel
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Me too same question
@bjzee19814 жыл бұрын
Alisema hua ana soma hadi comments. Mzee jiwe 😂
@boeihongoa14364 жыл бұрын
@@bjzee1981 😂 noma sana hii
@Jitu_Lisilofikirika.4 жыл бұрын
@@bjzee1981 bwana bwanaaa
@Audilover60004 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Rais wetu Mpendwa unayewajali sana wanyonge. Tunaendelea Kukuombea.
@shebaminde76564 жыл бұрын
Jaman m nampenda sana huyu Rais wangu hv muheshimiwa ulikuwaga wapi?
@djmeza411a584 жыл бұрын
Atanamimi najiulizaga kwanini atukumupata zamani
@mudrikkabubakar81364 жыл бұрын
Na ndo maana napenda kumsikiliza kiongozi wetu Maana katika viongozi wenye Akili🤔 #Afrika basi huyu No,1 hongera sana
@missmwayway47044 жыл бұрын
M/mungu azidi kukutia nguvu katika uongozi wako Rais wetu🙏🙏🙏🙏
@jamaa27604 жыл бұрын
Safi JPM,,, Sisi maskini tukishukia stendi kuu ya Dodoma, tuwezee kununua maandazi ya 100, au 200, tununue wali maharage wa 1500, wenye hela nyingi waende hotelini kununua vya elfu10
@japhethgeriad45194 жыл бұрын
Man of People ☺️☺️☺️
@CyimSky4 жыл бұрын
CHANZO CHA URAFIKI NI HISIA AU MASILAHI MAJIBU HAYA HAPA/ KUCHEZA GEMU KWAWA NA FAIDA. kzbin.info/www/bejne/hIO7qZlvrLCimdU
@karimmsosa42624 жыл бұрын
Magu genius amemkwepa swali la mtangazaji.
@adelinaadoloph53114 жыл бұрын
Hongera mh Rais, mkurugenzi,na clouds fm
@kingnicky25684 жыл бұрын
Ila mzee Magu ww noma.... sanaa.....nakubali sana 😂😂😂😂😂😂😂respect sana
@gervasjustn28424 жыл бұрын
Jamani stand ni Kwa ajili ya watanzania wote,matajili na maskini, hongera sana Rais Magufuri.
@CyimSky4 жыл бұрын
CHANZO CHA URAFIKI NI HISIA AU MASILAHI MAJIBU HAYA HAPA/ KUCHEZA GEMU KWAWA NA FAIDA. kzbin.info/www/bejne/hIO7qZlvrLCimdU
@kalundemalale88374 жыл бұрын
Safi sana sana kwa kujali wananchi
@weremamwita97404 жыл бұрын
Mungu ni mwema. Tunakushukuru kwa rais wetu mpendwa rais JPM.
@talikisiomlegehe77334 жыл бұрын
Wa ilangamoto ikweha kwa sasa nipo mafinga Tz Namshukru nawapata mubashara kabisa CLOUDS360 muweke reapet jioni
@horrormoviesgang8674 жыл бұрын
Mzee wangu umepita Rais Magufuri uishi maisha marefu sana✊✊
@selemanimkonga81504 жыл бұрын
Yani wewe ni Rais wa maisha utake usitake😂😂😂😂😂💪
@franceyaraby43424 жыл бұрын
A man of the people save demand. Of his people.God bless Tanzania
@tatunaheka42654 жыл бұрын
Uongozi wa mh rais Magufuli unajidhihirisha wazi kuwa "uongozi ni karama " hakika M/Mungu aendelee kukutetea,akukinge na kila baya ili uendelee kuwapambania watanzania na Tanzania
@alfredlaurent17284 жыл бұрын
Rais wa waTanzania wote,Mungu akujalie afya njema,maisha marefu uendelee kuwatumikia waTanzania na kutuletea maendeleo na Tanzania iendelee kusonga mbele.
@deogratiasgabriel85554 жыл бұрын
Hongera rais wangu magufuliiii miak Mia naneeeee
@kimwerionlinetv55744 жыл бұрын
The President of Africa
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Daah huyu ndiye Rais, wa Dunia nzima
@laurentraphael54704 жыл бұрын
Wajasiriamali tushindwe wenyewe sasa. Kila support ya kuinuka awamu hii ya tano zipo, ni kuchagua sekta tu ya kupiga kazi. Mungu akubariki Sana Mhe. Rais Magufuli.
@dianafyondi90484 жыл бұрын
JPM jamani mungu azidi kukupingania. Kuna watu wengine kila kitu nikupinga tuu. Tukutane mwezi wa 10😀😀😀😀😀😀😀😀
@CyimSky4 жыл бұрын
CHANZO CHA URAFIKI NI HISIA AU MASILAHI MAJIBU HAYA HAPA/ KUCHEZA GEMU KWAWA NA FAIDA. kzbin.info/www/bejne/hIO7qZlvrLCimdU
@shebaminde76564 жыл бұрын
Diana huo mwez wa kumi wakat wa kukutana unipitie tukamuwakilishe JPM
@barakarobert70034 жыл бұрын
Mwez wa 10 tutawanyoosha 😁😁
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Tuchinje kabisa mwezi 10 fyekelea mbali sukuma nnjee
@nurumaumba7134 жыл бұрын
Huyu no zaidi ya rais hata Kama uchaguzi bado but tayari kashashinda
@presseg.63624 жыл бұрын
Duhhhhhhhhh!! Hadi raha, Rais anaongea na watu Wa kawaida, Gooood saaaaaanaaaa%%%
@damianmachira75354 жыл бұрын
Uyu no Raid wa Peke. Stend nyingi abiria wanasumbuka na kusumbuliwa sana. Big up president. 👏
@damianmachira75354 жыл бұрын
Sorry, nimemahanisha, ndo Rais. Cyo no rRaid
@hassankissakakissaka20314 жыл бұрын
Rais wa wanyonge safi san
@saidimazengo99344 жыл бұрын
Safi Sana mh.rais Magufuli.
@rahelmasiga15034 жыл бұрын
Hiki chuma Cha chama tawala hakina mpinzani Jembe letu latosha wengine mnajisumbua tu
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Sasa umpe kura mwingine unatafuta nini?
@user-hb8vi9fx6g4 жыл бұрын
DAH SHUKRAN SANA !!!
@tajaelmichael2274 жыл бұрын
Clouds media mnafanya kazi nzuri God bless you
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Mashallah, uyu Rais ni kiboko 😘
@mathayodundo54334 жыл бұрын
Magufuli ulikuwa wapii? Kwanini nchi haikukujua mapema? Mungu akutunze
@charlesking82524 жыл бұрын
Safi sana my President Magufuri
@olboruimaley962 жыл бұрын
Dah! Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi baba, naumia sana nkiona pcha ako au jna lako latajwa nahc km naota vle kuwa haupo naci tena baba😭😭😭😭😭.
Afande kakunja mikono utafikiri rais yupo hapo😂😂😂🤛
@peternichoraus59834 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha dah watu mnafatilia sana duh na nimemuona hata mm
@juliustarimo12574 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeona. Kana yupo kanisani vile
@martinchege5004 жыл бұрын
Hiyo ndio heshima sio lazima uonyeshe hata kama mkuu wako....
@wahidkombokhamis43304 жыл бұрын
Angekuwa anachezea simu mngesema anamdharau rais, binaadam kazi jamani
@rahmaoman51224 жыл бұрын
Sauti tu ya mh rais ikombali lakn vire anatoa heshima 🤣🤣 hadi raha jmn
@hamadiharuna99744 жыл бұрын
Allah azidi kukulinda rais wangu
@harunimfaume62804 жыл бұрын
Aisee haitatokea ndani ya nchii hiii kumpata rais kama huyu huyu ni rais wa wanyonge kiutekelezaji sio kimaneno ongera saana muheshimiwa rais hapo sio heshin wakizoea migambo kupga wananchi masikn mungu mungu mungu ikiwezekana azid kuiongiza nchi hii bila uogaa
@ktvbongo4 жыл бұрын
Tunaahkuru mheshimiwa.wew umeletwa na mungu kutukomboa taifa lako. Ambao tulikua tunaishi ktk nchi yenye utajiri Wa kutupa pasina kutambua. Sasa tunaona nchi unavyoijenga. Mungu akupe nguvu uzidi kufanya makubwa zaidi lakini pia miaka 10 haikutoshi@ Mimi nakuombea
@hellenmollel66794 жыл бұрын
Sijawahi kujuta kukupigia kura Baba, Magufuli wetu Mungu akulinde Baba yangu
@jimuabdul68164 жыл бұрын
huyu askari yuko makini hataki kucmuliwa
@wahidkombokhamis43304 жыл бұрын
Ndio inavyotakiwa
@yusufjuma37734 жыл бұрын
Safi saana
@sokonifarmfresh88184 жыл бұрын
Hahaha
@titomhagama55454 жыл бұрын
Magufuli upo vizuri sana kiutendaji
@maiyasiraji8784 жыл бұрын
Nice mweshimiwa rais
@jamesdaudi97504 жыл бұрын
MHE Rais sina neno juu yako wewe ni genius.
@elizabethkkerubokerubo64214 жыл бұрын
Nimefurahi sana maghufuli baba wa watu nikiwa kenya mungu akubariki sana tena sana ...maisha marefu baba
@simonzakaria47704 жыл бұрын
Safi sana Mkurugenzi na mtangazaji Safari ninyi ni wapiganajii
@jordanclassic78494 жыл бұрын
Mungu akubaliki kiongozi wetu kwa damu yesu amina
@selector7284 жыл бұрын
Siyo akubaliki sema akubariki
@othmanal-nabhany92434 жыл бұрын
Nakukubali Rais wetu Mungu akuzidishie iiman tunataman na Zanzibar tupate rais kama ww
@gideonkalumbu26034 жыл бұрын
Rais kama huyu Afrika ni Menta pekee barani Afrika aliyebaki akijua Africa is for Africans.
@machaelmabula13734 жыл бұрын
Wanasayansi wa nchini mnafanya nini hebu chukueni sampo kwa huyu mtu mkatuzalishi wa kinamagufuli wengi maana hii nchi inawahitaji miaka 300
@mdadamzur48614 жыл бұрын
Piga keleleeee kwa raisi wetu weeeweeeeeeeeeee barikiwa sana kiongoz wetu mdog wake na nyerere
@mamachris68114 жыл бұрын
Clouds No. 1
@wilsonmalaji41334 жыл бұрын
Mungu ampe kuona mema JPM ni kwel wapiga debe ni kero hasa maeneo ya stendi
@rehemakaberege81194 жыл бұрын
Salute nyingi kwako baba yetu hauna mpinzani tena
@sengeremaxleo92954 жыл бұрын
Alazimishweeeeeee tuuuuuuuuu
@silyadamian57084 жыл бұрын
Sengeremax Leo 😂😂😂
@sengeremaxleo92954 жыл бұрын
Hamnaaaa namna atake asitakeeee alazimishweeee tuuuu
@madukaj.j.69994 жыл бұрын
Alazimishwe full stop
@machaelmabula13734 жыл бұрын
Mpaka kufa alazimishwe tu
@papayatnzania10054 жыл бұрын
Kulazimishwa sio mjadala tena bali ni lazima
@mjombamjomba18874 жыл бұрын
Kazi nzuri Mkuu Mungu akubariki kila leo
@kafukukalimbatila9154 жыл бұрын
Nimeipenda hiii🙏🙏
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Kura zote za ndio kwa JPM jamani msirudie kuchagua hao wengine wasio na mwelekeo hawana diraa JPM oyeee
@vascostanleymbisse44774 жыл бұрын
Afande ni kama haamini kuwa ni Rais anaongea😂😂😂
@edgerelkana51384 жыл бұрын
😂😂😂
@alexramadhani40824 жыл бұрын
Asante saaaana Rais wetu mpendwa JPM Ukae miaka 💯
@fatumamcharo39294 жыл бұрын
Chukua mitano ✋tena magu uiongoze Tz!!
@bukobatalentsnanimkali94234 жыл бұрын
Huyu jamaa kasura kake kamefanana na raisi Kwa mbali😂😂😂
@raziunaabdalah55924 жыл бұрын
Hahaaaaaa
@aishasmoni58814 жыл бұрын
Masha Allah
@elickjosephy294 жыл бұрын
Safi mheshimiwa rais unastaili pongezi
@stephanosimkoko6304 жыл бұрын
Nani Kama Magufuli jamani? Mungu mjalie Rais wetu maisha marefu.
@shabanikidaba98564 жыл бұрын
Pride of TZ president bnafsi namwelew sana baba WA TZ. Baba pitia na singida stand biashara zfanyke ndani ya stand na sio nje Viongoz wa mikoa mingne wajifunze hapaa
@richardchawenda96124 жыл бұрын
Asante baba mungu akubariki
@marymfugwa8474 жыл бұрын
Huyo asikali yupo makini kusikiliza!
@danieljumanne36434 жыл бұрын
Dah kumbe rais anafuatilia vyombo vya habari dah respect sana
@felicianamassawe98814 жыл бұрын
Huyu ndiye Rais wa wanyonge Mungu akupe miaka 100
@sameermilo24924 жыл бұрын
Safi sana Raisi Wetu Magufuli . Mungu akuzidishie Hekima , busara na Upendo kwa wote 🇹🇿❤️ . Viva JPM 💪🏼
@jessydaktari52094 жыл бұрын
God bless you presida
@laurentmbakile93894 жыл бұрын
Hila clouds kufa sio leo wala kesho forever
@mamachris68114 жыл бұрын
Hila !!!!????
@KUTOKA-ep2fk4 жыл бұрын
Not hila hila ni kitu kingine tofautisha Ila na hila.
@laurentmbakile93894 жыл бұрын
Sawa
@hassanmwaihojo82614 жыл бұрын
Kunywa pepsi ntalipa
@paschalmashimba35844 жыл бұрын
Safi sana. Jpm present of Tanzania
@danimwiruki47664 жыл бұрын
Safi sana Clouds 360
@leonidaskalumuna83504 жыл бұрын
Tunaomba pia sehemu ya ofsi za kukatia tiketi ziwe chini na waweke mabango ili iwe rahisi ,kule juu wagonjwa na wazee na walemavu wanapata shida sana.
@sarananyaro90894 жыл бұрын
Hakuna haja ya uchaguzi kabisa,umepita kabisa,endelea tena na tena,sisi tunataka raisi anayeongea na sisi namna hii
@tozzaalexandar49054 жыл бұрын
Safii. Magu
@yassinijuma47084 жыл бұрын
Hongera sana raisi wetu wa chama chama tawala tz daima
@priscambwambo10304 жыл бұрын
RAIS WA WATANZANIA WOTE ASIEJALI MASKINI NA MATAJIRI DA KAMA MARAIS WOTE WALIOPITA WANGEKUWA HIVI SIJUI TANZANIA INGEKUWA WAPI. MBALI SANA SANA . NI RAIS MWENYE UPENDO NA WANANCHI WAKE WA HALI YA JUU.
@ernestjohanes90874 жыл бұрын
Vichura hapana nimemkubali raisi
@selemankishema57804 жыл бұрын
Yaani mzee magu akili yako utasema zilikusanywa kutoka kwa viongozi uliowachagua zote ukapewa wewe sijui kwanini hawajiongezi kwa mambo madogomadogo kama hayo.
@abuusufian65064 жыл бұрын
Ni Magufuli tu ♥️♥️♥️♥️
@CyimSky4 жыл бұрын
CHANZO CHA URAFIKI NI HISIA AU MASILAHI MAJIBU HAYA HAPA/ KUCHEZA GEMU KWAWA NA FAIDA. kzbin.info/www/bejne/hIO7qZlvrLCimdU
@ummyhemedy4884 жыл бұрын
Piga kelele kwa rais wetu weuweeeeeee
@herimallya33854 жыл бұрын
Hakuna mwingine
@benjaminhabwendelo66064 жыл бұрын
Ni MUNGU tu alitujalia kukupatia Rais kama huyu kutoka Chato mwana wa Biharamulo
@ezekielpeter53774 жыл бұрын
Magufuli atawale miaka 20 huyu ndie anaefaa
@pascalmstaarabu43724 жыл бұрын
Sitaki NIONE watu WANGU wakipigishwa vichura!!!!! Jpm Kura zoooooote kwako
@kibajetihassan62184 жыл бұрын
Mweshimiwa wewe bingwa napendekeza itengenezwe sanamu yako iwekwe sehemu nzuri Iwe ukumbusho Kwa watoto wetu tafazari mabingwa fikirieni iro
@marykibwana94134 жыл бұрын
Najuta, kupoteza kura yangu 2015,nilichukia baadhi ya watendaji katika chama, Mungu anisamehe kumbe wapo watendaji wazuri hivi. Mheshimiwa Magufuli nisamehe, Oktoba kura yangu chukua kwa 100%.
@elderkogo20024 жыл бұрын
Mi ni mkenya na natamani tungepata rais kama huyu.shujaa kweli kweli.
@abdulfatahalsisy4004 жыл бұрын
Huyu raise nampenda sanaaa
@burtonmahenge77094 жыл бұрын
Nionavyo mimi, kwa utendaji wa kazi wa huyu mheshimiwa, na upekee aliouonesha katika mapambano dhidi ya Covid 19, kwa heshima aliyoionesha kwa Mungu, safari hii angeachwa kuwa mgombea pekee wa Urais ili dunia ijue kuwa Tanzania imeheshimu mchango wake kwa taifa.