JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!

  Рет қаралды 473,996

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea mkoa wa Mara, wilaya ya Bunda katika jimbo la Mbunge wa Chadema, Ester Bulaya na kisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo kisha kuzitolea ufafanuzi papo hapo.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzbin.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Category

Пікірлер: 201
@OFFTRACKTV
@OFFTRACKTV 3 жыл бұрын
Kweli vizuri aviddumu mungu akutunze huko siku moja tutaonana tena😭😭😭
@issaomary9520
@issaomary9520 5 жыл бұрын
Kama unakubari serikari ya magufuri haichezewi gonga like hapo
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
Yaan hii video imeniliza kabisa kweli huyu ni rais wa wanyonge kutoka moyoni kama unamkubali rais magufuli acha ubishi gonga like yako hapa
@hananmustafa6430
@hananmustafa6430 5 жыл бұрын
Mashaallah raisi unaimani Allah akuhifadhi Inshaallah
@jumakiparis2267
@jumakiparis2267 5 жыл бұрын
Hugo Mkuu wa wilaya mla ruswa tu hafai
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
@@jumakiparis2267 sure
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 5 жыл бұрын
Huyu ndio raisi anawafikia wananchi sio yule kila siku yupo ULAYA
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
@@manyotaskipper5765 sure
@joshuamchiwa861
@joshuamchiwa861 5 жыл бұрын
Yaani hadi machozi yamenitoka. MUNGU akubariki sana mheshimiwa Raisi.
@mathiasambrose8027
@mathiasambrose8027 5 жыл бұрын
Mungu akulinde sikuzote Rais wetu John pombe magufuli
@ymusic803
@ymusic803 5 жыл бұрын
kama umetoa chozi kama mm gonga like
@user-mi6zy3gn1u
@user-mi6zy3gn1u 5 ай бұрын
Magufuli pongezi
@davidandrew9575
@davidandrew9575 5 жыл бұрын
Mungu akulinde na kukupa maisha marefu yenye afya tele. Utuongoze vyema
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@felistakalindima8239
@felistakalindima8239 5 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu nakupenda sana daah
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Wale tunaompenda jembe letu hebu piga like kwa magu
@sweetbertgeofrey6273
@sweetbertgeofrey6273 5 жыл бұрын
Like zikusaidie nn
@ramadhanimam6323
@ramadhanimam6323 5 жыл бұрын
Zinbo Rmdan j
@abelmakori
@abelmakori 5 жыл бұрын
How i wish things were this way in Kenya.
@happysteven1276
@happysteven1276 5 жыл бұрын
Safi sana mweshimiwa jpm,nakupendaga kwa kutenda haki
@frankjoshua1152
@frankjoshua1152 5 жыл бұрын
safiii
@phillephillip6091
@phillephillip6091 5 жыл бұрын
Aisee nimepiga makofi nikidhani niko live kumbe naangalia video! Mkuu miaka 10 haitoshi kuinyoosha nchi wakuongezee 10 mingine! Allah akulinde baba yetu!
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 жыл бұрын
👌💃💃
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Daaaaaaah inauma sana
@mwanajuma2666
@mwanajuma2666 5 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa Rais...mungu akubariki
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Chapa kazi baba nakupendajeeee
@gipsonice7gipsonice791
@gipsonice7gipsonice791 5 жыл бұрын
Nawapenda viongozi kama hawa mimi
@mababiyoo8099
@mababiyoo8099 5 жыл бұрын
Dah
@judithcherono4141
@judithcherono4141 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana saidia wanyonge
@aminaabdallah6009
@aminaabdallah6009 5 жыл бұрын
mungu akulinde daima
@user-sb7ge6yj1i
@user-sb7ge6yj1i 5 ай бұрын
Hata patikana Kama magu
@silverjoseph4577
@silverjoseph4577 5 жыл бұрын
Big up Sana Mr President
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 5 жыл бұрын
live long the righteous ruler
@winnerhilary98
@winnerhilary98 5 жыл бұрын
abdag
@joycekomba8427
@joycekomba8427 5 жыл бұрын
nampenda Jeee
@fahminasser3855
@fahminasser3855 5 жыл бұрын
Shikamoo magufuli safiiiiiiiiiiii
@agapituslunalo9464
@agapituslunalo9464 5 жыл бұрын
Tanzania mumebarikiwa na kiongozi mwenye utu. I wish Kenya tungekua na kiongozi kama makafuli, you are blessed country
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 4 жыл бұрын
Mashallah
@KajunaMathayo
@KajunaMathayo 25 күн бұрын
John mungu amulinde
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 5 жыл бұрын
Anaekubali kua huyu Nirais wa vyama vyote gonga like
@NOVATISIYAME
@NOVATISIYAME 4 ай бұрын
RIP FATHER AFRICA
@manmborrow212
@manmborrow212 5 жыл бұрын
Nakupenda Raisi wangu
@joycekomba8427
@joycekomba8427 5 жыл бұрын
Uyo ndo Magufuli bwana
@annajoseph9959
@annajoseph9959 5 жыл бұрын
Mi pia
@robertobunga3158
@robertobunga3158 5 жыл бұрын
MAGUFULI IS A FIXER BUT FIXERS ARE KNOWN NOT TO FIGHT AND CHANGE SYSTEMS BUT FIX PARTS OF IT. HUYO KAMISHNA IS PART OF A ROTTEN ENTIRE SYSTEM WHICH HE NEEDS TO FIX... HE FIRED THE GUY LAKINI THE SYSTEM IS STILL INTACT
@donlen7273
@donlen7273 5 жыл бұрын
Man Mborrow uyu mheshimiwa atafika mbali Mungu ambariki
@mw.paulolaizer8262
@mw.paulolaizer8262 5 жыл бұрын
Ooooh my God mlinde huyu rais wetu jamani!!
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Haki ya mjane na masikini ni ya lazima kuisimamia.MWENYEZI Mungu huwatetea kwa mkono hodari watu wa kundi hili.Tusidhulumu haki za wajane na watu masikini jamani.
@nikolasemanuel233
@nikolasemanuel233 5 жыл бұрын
Mimi naendelea kusema ww ni rafiki wawanyonge kwakweli nimetokwa namachozi kwaraha maana maamuzi unayo yachukua ni uhalisia wa maisha ya mtu ambaye ni mtoto wamkulima.ule utanzania halisi tunauwona kwako.Barikiwa muheshimiwa raisi wetu,
@francischipangapole7671
@francischipangapole7671 5 жыл бұрын
amen
@ombenilyawalika8731
@ombenilyawalika8731 5 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu kwa kutetea haki ya wanyonge kama huyo bibi
@asha121almabsli4
@asha121almabsli4 5 жыл бұрын
Haya mambo makubwa
@jumakapola419
@jumakapola419 2 жыл бұрын
Inauma sana roho ninavyo mtanzama hayati jonh Joseph pombe makufuli
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 5 жыл бұрын
Mapenz yang kwako aya semek nakupenda sana magu
@melkonjalika4727
@melkonjalika4727 5 жыл бұрын
congratrats presdawa
@user-kw5pb9dd7p
@user-kw5pb9dd7p 2 ай бұрын
Ahsante
@franciskarangwa6554
@franciskarangwa6554 3 ай бұрын
I MISS DR Magufuli >> may the almighty God give him a confotable after earthly life!!
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Kweli mnakula rushwa ila huyu mzee mjukuu wake atachukuwa kiwanja
@danitarimo5013
@danitarimo5013 4 жыл бұрын
Safii Jpm
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 5 жыл бұрын
Wanaopenda Rais. Wetu Kipenzi Atutumikie Miaka 20 Layk Hapa Kuniunga Mkono
@lizyyjfdxpatoo1374
@lizyyjfdxpatoo1374 5 жыл бұрын
Namupenda sana kwa kazi yeke
@mapholendesingo6359
@mapholendesingo6359 5 жыл бұрын
kwa kazi nzuri kwa wanyonge aendelee hata kwa awamu 3 za uongozi
@halawachandika7611
@halawachandika7611 4 жыл бұрын
@@lizyyjfdxpatoo1374 hahama
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Tanzania imejaa dhuruma sana wa2 wenye pesa wanasumbua wa2 maskini hii ni shida sana hakuna raisi kama magufuri aseeeeeeee
@samsonkibona8702
@samsonkibona8702 4 жыл бұрын
Magufuri kweli ni jembe
@gilbertmtoshu4334
@gilbertmtoshu4334 5 жыл бұрын
mpaka choz aise
@faizebrahim338
@faizebrahim338 5 жыл бұрын
Piga kazii kaka
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Watawaibia hela
@Basagamp4
@Basagamp4 4 ай бұрын
Daaaaaah
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Ukiona mtu hamkubali magu bas jua alizoea kula vya bure
@saidomar5555
@saidomar5555 5 жыл бұрын
Kweli zinaumiza mioyo ya watu, what I can see there is future in tz hongera wrote wanaofahamu viongozi was juu was nchi. Pole nyimbo za zamani Bora sasa waombwe wa radio station wazipige X10 a day. Watanzania tuchape kaziiiiiiiii.
@ayubuchindo8002
@ayubuchindo8002 5 жыл бұрын
Mmh
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 5 жыл бұрын
true
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Ni mchawi
@MrChakoo
@MrChakoo 5 жыл бұрын
Kupatikane basi wakutupatia matokeo baadaye ya juhudi hizi nzuri za Rais Magufuli...kulienda aje baadaye.
@ngassaphilipo2427
@ngassaphilipo2427 5 жыл бұрын
I really love makufuli
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 жыл бұрын
Uchaguz hatutaki tena Rais wetu anatosha kila sekta karbu na dodoma
@ericsamba464
@ericsamba464 5 жыл бұрын
kwa kweli hii nchi ina tatizo kubwa katika mfumo wa uongozi na namna ya kushughulikia matatizo ya wananchi, 'chain of command haipo vizuri. Matatizo yote hayawezi kuwa yanamsubiri rais peke yake
@amanibwire4423
@amanibwire4423 5 жыл бұрын
Hongera JPM tunashukuru kwa kuwajari wanyonge Mungu akubariki sana Rais wetu.
@dominicchelesi2351
@dominicchelesi2351 5 жыл бұрын
Amani Bwire
@abbacabdul8475
@abbacabdul8475 5 жыл бұрын
hongera sanaa prezi dar
@ladybilionaire379
@ladybilionaire379 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu love you so much
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Jpm alikuwa mtetezi wa nyonge kabisa mungu amlaze pema poponi aseeeeeeee
@kalistchuwa7447
@kalistchuwa7447 4 ай бұрын
Dhaaaa akika ww nd ulikuw mtawal w hak kwel😂😂😂😂
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 5 жыл бұрын
Kwa hapo Mh, Mm namkubali maana anaweka mambo wazi hakuna konakona. Tatizo wengi walifanya kazi kwa mazoea.
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 жыл бұрын
Mungu akuangazie nuru Rais wetu
@allyvumbi745
@allyvumbi745 5 жыл бұрын
Ndio mana tunakupenda mheshimiwa rahis wetu mpendwa mzee wetu John pombe magufuli mngu akuhifazi ili uwatetee wanyonge
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Makufuli nakupenda kwa kazi yako inanifurahisha
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Watu hawapendi kujifunza cjui kwa Nini wanawaonea wanyonge,wakumbuke duniani tunapita tyuuu jamani hivyo mnavyowaumiza watu mtaviachaaa na hao wanyonge watawazika huko vijijini, ustaarabu muhimu
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Ckua nampenda na wala ckumchagua magufuli lkn kunavtu anafanya namkubali.
@hidayaamri1112
@hidayaamri1112 5 жыл бұрын
Namkubali sana sana Uncle Magu jamani, yanikuna matendo yake
@annamfinanga3944
@annamfinanga3944 3 жыл бұрын
Huyo Shewiyo ni mla rushwa mkubwa, hapa DSM alininyanyasa sana na kiwanja changu maeneo ya Mbezi Beach.
@user-dm2le6jo4e
@user-dm2le6jo4e 3 ай бұрын
Say ❤❤
@marie-rosesirikari6181
@marie-rosesirikari6181 3 жыл бұрын
Dr. John Pombe Magufuli, hata mimi siko Mtanzania, uko ulikuwa kiongozi yangu kabisa😭😭😭😭😭😭
@shabaniiddy6565
@shabaniiddy6565 5 жыл бұрын
safiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana JPM
@wolterdavid8979
@wolterdavid8979 2 жыл бұрын
Magufuli Mtu wa Mungu.
@nancywangeci8189
@nancywangeci8189 5 жыл бұрын
In Kenya we need such leaders ...... Not thieves who steal from their people....
@delabossreizer9471
@delabossreizer9471 5 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌walai ukifanya kazi na magufuli ofisi moja kama ndio mm bola nikaacha kazi tu nikasake kwingine mzee kupumua kwa shida yaan ukipigwa swali moja pakuchengea akuna unakutana nacho duu magu 🙌🙌🙌
@senetaseneta2222
@senetaseneta2222 4 жыл бұрын
Rais natoa machozi kabla ujafa
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 жыл бұрын
Ongera sana Rais wa Wanyonge Hapo Magufuri Nimekupigia Saruti Tawala Miaka yote
@jobashikoye8403
@jobashikoye8403 3 ай бұрын
Sijaona Raisi mwingine kama Magafuli mtetezi WA wanyonge. Heri Mungu angelimpa uzima
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 5 жыл бұрын
Hii nimeipenda sananaaaaaaaaaa
@Basagamp4
@Basagamp4 4 ай бұрын
Itatuchukua karne na miongo kupata Rais kama huyu
@richardmanjira6800
@richardmanjira6800 5 жыл бұрын
Safi sana Rais wa wanyonge
@kaidrisa2711
@kaidrisa2711 5 жыл бұрын
Gudi sana
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 4 жыл бұрын
Kiboko yenu ishakuja hio hapo hopo jee
@mohammadahmed8013
@mohammadahmed8013 4 жыл бұрын
Ubarikiwe Mr president hapana mchezo hata mzungu hawajawahi Fanya mambo Kama yako
@hawasaimon9321
@hawasaimon9321 5 жыл бұрын
Mpaka nasikia raha kumsikiliza JPM wetu asiyemkubali basi tu jamani.
@rehemalyimo3852
@rehemalyimo3852 5 жыл бұрын
rais wa wanyonge
@jnkb257tv5
@jnkb257tv5 4 жыл бұрын
Mimi naishi Burundi rakini mungu amubariki Magufure nimwawume hodari
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
January makamba na nape jifunzeni kupitia kunahofuya mungu
@innocentpaulchillu1512
@innocentpaulchillu1512 5 жыл бұрын
thank you my president,the lord GOD give you along life
@muhidinshafii9253
@muhidinshafii9253 5 жыл бұрын
excellent Mr president
@abdiiddirageson5557
@abdiiddirageson5557 5 жыл бұрын
Daaah wenye pesa hawanaga huruma aseee......
@nassoromangi3597
@nassoromangi3597 5 жыл бұрын
raisi ana kazi kubwa sana,tuzidi kumwombea dua
@MasumbukoNgata
@MasumbukoNgata 3 ай бұрын
Huyu baba
@MusaMusa-dq3hd
@MusaMusa-dq3hd 5 жыл бұрын
safi sana rais kwahapo uko pamoja na wanyonge
@jomlawcrossslaw7932
@jomlawcrossslaw7932 4 жыл бұрын
ww magufuli ulizaliwa ama
@ngoshazedon9988
@ngoshazedon9988 5 жыл бұрын
wasaidie wasiojiweza mzee kazi nzuri naaaam
@everistsiriri6393
@everistsiriri6393 5 жыл бұрын
nakupenda mpak nakufaaaa
@humayduwe1762
@humayduwe1762 5 жыл бұрын
Dah hii kali mwanaume unalia
@emaydickson4239
@emaydickson4239 5 жыл бұрын
ubalikiwe baba
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Nimelia jmn,yaan matajr wananyanyasa sana wanyonge.
@judithcherono4141
@judithcherono4141 5 жыл бұрын
Safi saidia maskini
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Iko kazi uongozi watu
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 5 жыл бұрын
mzee magu cheichei mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mwenyeweeee
@leilahomar5608
@leilahomar5608 5 жыл бұрын
one love jpm
@binurarassi8156
@binurarassi8156 5 жыл бұрын
Jamani huyu Mtu analia machozi ya uchungu Na furaha kuona Rais wa wanyonge anavyoshughulikia viwanja vyao, Mungu akulinde Rais wetu, Mungu akulinde Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi.
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Samia atayaweza haya?
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 238 М.
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 350 М.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 7 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 19 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
JPM "Kama Mkandarasi ni Mshenzi, Mimi ni Mshenzi Zaidi Yake"
41:58
Global TV Online
Рет қаралды 61 М.
HD VIDEO: JPM alivyotangaza kuwasamehe Babu Seya na Papi Kocha
3:49
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
Magufuli aamsha dude jingine bandarini
7:49
Azam TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН