LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"

  Рет қаралды 121,781

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

#JPM #MAGUFULI

Пікірлер: 102
@HopesonGamadzi
@HopesonGamadzi 4 ай бұрын
Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼
@awadhgugu317
@awadhgugu317 4 ай бұрын
Wewe hujielewi
@etemesiedward1508
@etemesiedward1508 4 ай бұрын
pombe best
@CharlesWanyeche-er6rw
@CharlesWanyeche-er6rw 4 ай бұрын
Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge
@zitojosempakama8918
@zitojosempakama8918 2 ай бұрын
Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa
@HopesonGamadzi
@HopesonGamadzi 2 ай бұрын
@@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.
@PauloLeonard-ol5oo
@PauloLeonard-ol5oo 4 ай бұрын
Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.
@PriscaMohamed-l7z
@PriscaMohamed-l7z Ай бұрын
Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima
@victorgerryson2695
@victorgerryson2695 4 ай бұрын
MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 10 ай бұрын
Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p Ай бұрын
Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 Ай бұрын
@@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha
@tumainichengo1477
@tumainichengo1477 Ай бұрын
Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli
@blackhunter455
@blackhunter455 4 ай бұрын
Nikimkumbuka "Jembe" nakuja hapa tu,kamwe hatusahau ❤
@joelkiiru1223
@joelkiiru1223 2 ай бұрын
He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.
@tumainichengo1477
@tumainichengo1477 Ай бұрын
mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE
@user-tp8fq9mb8e
@user-tp8fq9mb8e Ай бұрын
Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa
@osircharles9371
@osircharles9371 4 ай бұрын
Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p Ай бұрын
Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia
@estermpare4078
@estermpare4078 2 ай бұрын
Mpakaa leoo nafwqtilia hotuba zako babaa 😢😢😢 R.i.p jembe letu😢😢
@ibrahimmungure7493
@ibrahimmungure7493 4 жыл бұрын
Mh.magufuli Miaka Kitano mbele haitoshi bado una kazi kubwa kuinyoosha Tanzania .
@etemesiedward1508
@etemesiedward1508 4 ай бұрын
Best president in Africa
@MaikoManeno-v9r
@MaikoManeno-v9r 5 ай бұрын
Tunakukumbuka sana rais wetu pendwa ulikua mchapakazi makini sana 😢😢
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 21 күн бұрын
Hivi uwa najiuliza Tanzania ipo siku tutapata Rais Kama Magufuri.
@AnordJoseph-e2e
@AnordJoseph-e2e 2 ай бұрын
Eti raisi samia nae Raisi mhhh ata ningekuwa mm mbona naweza, Raisi alikuwa huyu Toka Tanzania ianzishwe
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Ай бұрын
Chuma jpm I'm still watching 2024..R I P😢
@TysoniTarimo
@TysoniTarimo 2 ай бұрын
Mwenyenzi mungu amrehemu na amlaze kulingana na matendo yake
@NakoyowaDickson
@NakoyowaDickson Ай бұрын
Moyo unaniuma sana Magufuli
@jayjay4313
@jayjay4313 4 жыл бұрын
Duniani kwenyewe wanamtambua kwa jina la "BULL~DOZER" alafu nyie bado mnajifanya anko wenu. Atafunga mutu hapa. FANYENI KAZI/ NO JANJA NYANI 😁 ALA!
@RASHIDIKAHINDI
@RASHIDIKAHINDI Ай бұрын
Nitakumbuka daima mimi niko Masumbwe❤❤
@CharlesWanyeche-er6rw
@CharlesWanyeche-er6rw 4 ай бұрын
R.I.P Dady nakukumbuka sana utumishi mwema wenye kujali maslahi ya taifa zima.
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 23 күн бұрын
Kifo cha magufuli kinamuuma kila mpenda maendeleo!Ni wachache sana tena wasio wakamilifu ndiyo wasioumia!
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 21 күн бұрын
Nchi za nje walikuwa wanamtaka sana uyu kiongozi akawe kiongozi wao wabongo hawakmtaka alipokuwa saivi wanajuta
@MobileDawat
@MobileDawat Ай бұрын
Magufuli,Traore nyinyi ndiyo wa Africa wenyewe!wengine wezi tu!!!
@MuendoJusto
@MuendoJusto 5 ай бұрын
Best President in Africa,,, continue resting in peace
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
Rais mwenyewe huwa anaongea kingereza wakati mwengine kidogo Sana siku izi kapunguza lakini huwa anaongea.
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 22 күн бұрын
Jembe lilifaa sana kwenye urais
@happydavid4346
@happydavid4346 Ай бұрын
Pumzika kwa Amanii babaangu,
@DansonMasai
@DansonMasai 19 күн бұрын
Pumzika Kwa amani anko magufuli
@shizoshop2469
@shizoshop2469 4 ай бұрын
Magu alichifeli ni kutaka lissu afe tu ila mambo mengine alikuwa shwali sana
@SELEMANITEKETEKE
@SELEMANITEKETEKE 25 күн бұрын
Huyu ndiye kio changu
@IadoBoy
@IadoBoy 13 күн бұрын
Jaman.tumuombee.kwa.mngu
@benardmartine244
@benardmartine244 4 жыл бұрын
Hene bangosha ise yaniye Hiiiiiii!
@paulmatonange6718
@paulmatonange6718 4 жыл бұрын
Fukuza mukulugenzi kwanza hajui anachofanya hana cha maana
@SELEMANITEKETEKE
@SELEMANITEKETEKE 25 күн бұрын
Magufuri
@TysoniTarimo
@TysoniTarimo 2 ай бұрын
Mwenyenzi mungu aturehemu zone na atuepushie na adhabu ya kabuki a moto wa jeanamu
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 ай бұрын
Huyu Mwamba Sio Poa Duuh 😂😂😂 Anatukana Watu Na Familia Zao R.I.P JPM
@ShadrakaJohn
@ShadrakaJohn 10 күн бұрын
Mangufuli amubanani shamuchina
@ShadrakaJohn
@ShadrakaJohn 10 күн бұрын
Mangufuli amubanani shamuchina
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 4 ай бұрын
Hapana bora awatukane weweumepewa hela miaka 3 hujafanya chochote nahela unayotu nchihiii nishida
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 4 жыл бұрын
Majitu mazima hadi aibu. Mnashindwa kufanya vitu vyepesi namna hiyo. FUKUZA TU HAYO MAJITU
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 4 жыл бұрын
Mwandishi ni "NITAKIFUNGA" au "NITAKUFUNGA". Kuweni Makini katika Uandishi
@mcgabby
@mcgabby 4 ай бұрын
Msiwe mna mpost tu huyu mzee coz yanayo endelea hayaendani walai😢😢😢😢
@LeonardLukongola
@LeonardLukongola 4 ай бұрын
Inaumaaa sanaa 😢😢😢
@CharlesWanyeche-er6rw
@CharlesWanyeche-er6rw 4 ай бұрын
Yaan we acha maumivu Mungu tu atusimamie tunakoelekea
@naphtalleyakoyi1336
@naphtalleyakoyi1336 Ай бұрын
Mii ,Mkenya najiuliza Raisi Samia Huwa Anaya fuatilia mazungumzo haya kweli?
@paschalnghomba4671
@paschalnghomba4671 Ай бұрын
Naomba Makonda awe Rais hakika ni Magufuli mtupu
@zakiazakia4552
@zakiazakia4552 4 жыл бұрын
Mfunge kifungo cha maisha pumbavu
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 4 ай бұрын
Bb pumzika kwa amani haitatokea kiongozi kama wewe mwenyeudhubutu kama wewe hakikatutakukumbuka
@MageeDaudi
@MageeDaudi 25 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@SalimaOmary-o5b
@SalimaOmary-o5b 28 күн бұрын
😮
@hastings456
@hastings456 5 ай бұрын
A true leader who loved to deliver for his people
@awadhgugu317
@awadhgugu317 4 ай бұрын
Dunia tunapita tu haijalishi wewe ni nani utaiacha tu dunia mchew!!!
@solemba595
@solemba595 4 жыл бұрын
Sijui inakuwaje kila siku viongozi mpaka wakumbushwewajibu wao, wakati pesa wameshapewa...
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 4 жыл бұрын
Amekataa Kiingereza cha Mkurugenzi na Mkurugenzi alitamka "nukta" lakini Magufuli amesema "point", je point ni lugha gani?!😂😂😂
@MaryNgeni
@MaryNgeni 3 ай бұрын
😂,😅
@MirajiSimba-qi7zj
@MirajiSimba-qi7zj 2 ай бұрын
We unatakaje kwan ongea wew bhc wew hayupo tena ongea zamu yake
@ROBERTMAXIMILIAN
@ROBERTMAXIMILIAN 5 ай бұрын
Utumishi wa Umma ni zaidi ya Utumwa
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 4 ай бұрын
Nenda dunia nzima ndo ilivyo ukiona mtu kaajiliwa na serikali harafu hataki ahoijiwe jua haitumikii serikali au wananchi
@kenedzouma9406
@kenedzouma9406 4 жыл бұрын
viongoz na watumishi kaz mnayo😂😂😂😂😂
@kevinjohn4507
@kevinjohn4507 4 жыл бұрын
Wamekua wazembe sana mpaka wapigwe pigwe mgongoni ndiyo waende
@IadoBoy
@IadoBoy 13 күн бұрын
Tutakukumbuka.daim.mag
@salimshaban7120
@salimshaban7120 4 жыл бұрын
Ni shida kweli
@jeremiahjoseph3358
@jeremiahjoseph3358 2 ай бұрын
Nmeielewa hyo
@eng.lazarongoro
@eng.lazarongoro 2 ай бұрын
hakutaka kupambwa
@DjamilaNdikumagenge
@DjamilaNdikumagenge 2 ай бұрын
Magufuri sitakusau maisha
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi 4 ай бұрын
Much tears for you JPM😂😂
@mashaurimasolwa2601
@mashaurimasolwa2601 2 ай бұрын
Vibarua😂
@shijakaswahili1374
@shijakaswahili1374 3 ай бұрын
Atakubukwa sana mwenda zake
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 жыл бұрын
mbona unaonekan mpumbavu sana ww...,hajahahaha..
@fredrickotsieno9775
@fredrickotsieno9775 4 ай бұрын
Lala pema jembe
@mohamedomar4037
@mohamedomar4037 4 жыл бұрын
Kiingereza ni kiswahili ya Dunia
@DavidSoka-b7h
@DavidSoka-b7h 2 ай бұрын
😂
@waziriwaziri4330
@waziriwaziri4330 4 ай бұрын
H
@MegaAlexison
@MegaAlexison 4 жыл бұрын
Wafukuze wote
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 4 жыл бұрын
hapo kuambiwa mpumbavu imevuka kabisa taratibu za maelekezo kazini. Hayo nimatusi mbele ya familia yako
@kevinjohn4507
@kevinjohn4507 4 жыл бұрын
Mpumbavu kabisa huyu Pesa inatolewa wanashindwa kuzielekeza ktk kazi za maendeleo
@PoulFred
@PoulFred 2 ай бұрын
Sasa wew ulitaka rais asemeje kwa watendaji wazembe au na wew ni kipumbavu nn
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 2 ай бұрын
@@PoulFred mwehu si lazima atembee uchi hata katika kauli hujulakana
@MaryMapunda-xm3ek
@MaryMapunda-xm3ek 3 ай бұрын
😊
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 4 ай бұрын
Babaafrica nakumisssi
@philosophicallearning.3194
@philosophicallearning.3194 4 ай бұрын
👏👏
@kenedymbangule9105
@kenedymbangule9105 5 ай бұрын
Huyu Rais mungu
@awadhgugu317
@awadhgugu317 4 ай бұрын
Wacha kufru na ushirikina wewe
@anthonymchilika3224
@anthonymchilika3224 4 жыл бұрын
Mtanyooka mwaka huu🤣🤣🤣🤣😂😂😂huy msukuma ana sifa hadi raha
@agreytitus4603
@agreytitus4603 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 жыл бұрын
Kiswahili kwanza (Africa) ayo tv no 1
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
Huyu Raisi anadhalilisha sana watu! Iko siku yako!
@JihelyaKwilasa-q1p
@JihelyaKwilasa-q1p 6 ай бұрын
Adabu huna
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 105 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
COMEDIAN BARAKA MAGUFULI MEETS RAIS MAGUFULI!TALENT!
5:09
Mutembei TV
Рет қаралды 115 М.
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16