Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼
@awadhgugu3174 ай бұрын
Wewe hujielewi
@etemesiedward15084 ай бұрын
pombe best
@CharlesWanyeche-er6rw4 ай бұрын
Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge
@zitojosempakama89182 ай бұрын
Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa
@HopesonGamadzi2 ай бұрын
@@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.
@PauloLeonard-ol5oo4 ай бұрын
Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.
@PriscaMohamed-l7zАй бұрын
Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima
@victorgerryson26954 ай бұрын
MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM
@ubunifulifestyle349210 ай бұрын
Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo
@JaziraMustafa-g9pАй бұрын
Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.
@ubunifulifestyle3492Ай бұрын
@@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha
@tumainichengo1477Ай бұрын
Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli
He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.
@tumainichengo1477Ай бұрын
mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE
@user-tp8fq9mb8eАй бұрын
Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa
@osircharles93714 ай бұрын
Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke
@RachelLaizer-n2pАй бұрын
Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia