Mama etu apo umetuumiza wananch nibora ungeanza kuboresha Ges harafu ndio utoe katazo la matumiz ya mkaa
@halphanhamisi1795
hili mama etu Rais nitafakar vyema jaribu kutoka nje ya muji uangalie maisha ya wanaich wanayoish pamoja namakaz yao Ujionew
@YugoAlly
Weka gesi elfu tano sio kupiga marufuku tuu swala hilo gumu mtanzania hawezi wekeni bei pungufu ya gesi sio kusema tuu
@user-ws8mo3eg4u
kalopoka apo ivi anajua matumizi ya mkaa kwel uyu we fanya kitu matumizi ya mkaa yawe yapunque lkn kataza kbx xio kwl mama etu
@halphanhamisi1795
atupunguzie ges na majiko ya umeme wapunguze bei
@halphanhamisi1795
nawanainch weng tunakura Wali na maharage je maharage ayo ktka ges nitaitumia kwa mda gan? natungu wangu Mdogo kama skull moja tu ges imeisha na kujaza23000-25000 Hiyo pesaro ya kujaza kila baada ya sku mbili naitoa wapi
@halphanhamisi1795
watanzania hatulingani kipato chetu utamlazimishaje mtu anunue ges wakat mulo wake mumoj kwa siku help ya kununua mtung anaipataje