Wanajisifia wakikamata wahamiaji haramu, lakini watekwaji wanapitishwa humo mabarabarani hawasaoni hii ndio nchi ya wenyewe .
@godymbanyi187812 күн бұрын
Inahuzunisha😢😢😢😢
@JoyceKabula-in1sh8 күн бұрын
Mungu atawaona ipo siku yao mungu asimame kea hili inaumavsana I ukatiri wa halo ya juu mungu atalipa
@user-rl6vf9tg8m10 күн бұрын
Tanzania yetu hiyo
@OmmyJames-xn7ji12 күн бұрын
MBOWE MZEE WAKUSUBIRI MATUKIO LAKINI LA PAROKO HAJA BWEKA 😢😢😢😢😢
@SmilingCityMap-xb9md6 күн бұрын
Hapo wakuu nyosheni maelezo je ni mwendazake au tumtazamie mwingine ukweli uhulu vinaennda pamoja acheni kigugumizi
@danielamosi687111 күн бұрын
Mbowe tunakupenda
@user-cx1xz2is5d12 күн бұрын
Pole sana kijana
@josephmkinga950912 күн бұрын
mbuyu ulianza kama mchicha kenya nao wameanza hivi hivi hatimae mizizi imekolea
@dianamakyara421011 күн бұрын
😭😭🙌
@gracekagoma323112 күн бұрын
Hiyo ndiyo sera😢😢ya Mbowe
@kaguripenina6312 күн бұрын
Ww unafurahia hayo mambo
@gasperelasto884212 күн бұрын
Nafikiri
@ceciliamagalabajimmy439110 күн бұрын
Nadhani anafurahia watu wanavyotekwa.
@user-ui4oh8gf8n9 күн бұрын
😮😮😮
@annaheagle291512 күн бұрын
Serikali inahusika tuache ubishani aiwezekan watu wapite barabaran nzima from dar to katavi bila polic kujua n uongo
@CHARITYKUMBERFIELD-uz9os8 күн бұрын
Kiboko ya Wachawi
@realswahilicultural814012 күн бұрын
Wewe mzee Mbowe achia ngazi au tandamane wanachama chama kinakufia nasisi hatuko tayari kuona chama chetu kinakufa ..kaa pemben tanataka mweyeketi mpya
@frankjohn870610 күн бұрын
Serikali ya ufalme wa FARAO ilikua kubwa lkn Mungu ni mkuu Sana aliwapigania Wana wa Israel kwa USHINDI mkubwa bila hata ya fimbo mkononi MAPIGO makubwa alipata FARAO Mungu ni yule yule Jana na Leo na milele hata Leo anapiga WABAYA watu wasiojua kama serikali ni ya nani kati ya Mungu na watawala
@mbikamtanganaki6 күн бұрын
Mpakan wacongo ziwa tanganyika katavi
@SylivesterKilunga12 күн бұрын
Mh
@athumanbalozi97489 күн бұрын
Kwahilo namimi nalaani
@janiafaomaa512012 күн бұрын
bowe na chadema yako meishiwa mtakuwa mnasubiri mtu akieda choni mtu akigombana na mkewe mnakuja kweye jukwa kueleza hamna hoja ya kuwaeleza watanzania
@monicamwita78658 күн бұрын
Akili subiri wewe
@omaryramadhani2906 күн бұрын
Huna Akili unaepinga ukweli kusoma hujui hata picha mmmh
@davidmalisa80438 күн бұрын
Katavi
@user-yh3dv2bl7u12 күн бұрын
Ndo nchi yetu yaanani wanahubir Aman Aman ikowapi
@sadicksingogo2602 күн бұрын
Ni zambi,pia ni uhabifu wa mali
@richkaja33179 күн бұрын
Kwani samia hajui kinacho endelea nchi yake
@estakapufi75829 күн бұрын
Anajua ila kaa kimya hata kustuka kuulizia mwananchi wangu kimemkuta nini, kwakuwa waliofanya wanajulikana ila mungu huwa anajibu kwa wakati tumuachie mungu tusiwe watu wakulaumu maana sio kama selikali haioni hili swala liko wazi ila wanatafuta kulizima.
@valenakomba768611 күн бұрын
JAMAAANI, MBONA HII SIYO HAKII. WATALAANIWA TU. SASA WANAOGOPA NINI.?
@salama111312 күн бұрын
Watu mashuhuli wanaamia kwenye chama chako mjitathimini
@MACHOYATAI-jk6fu12 күн бұрын
Ccm wameisha zoea kuuwa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atawalipa
@alphoncewilliam432512 күн бұрын
Huna jipya
@markoshem-ij6cf10 күн бұрын
Baba Ako ndoo anajipya
@omaryramadhani2906 күн бұрын
Pole usiyejotambua babako akitekwa ndio utajua kuwa Tanzania inaamani
@rabsonchisumo66409 күн бұрын
Kuna watu wanaakili za kichawa kwenye comment wajinga sana
@samwelrobertmwakatobe64678 күн бұрын
Jambo hili linasigitisha,Ulimboka, kibanda na Sasa sativa,wte Hawa ni Wa upande Fulani wa nchi.tabia hii ikome mala moja