RAIS SAMIA Kwa KISHINDO AKANYAGA ARDHI YA TZ AKITOKEA UBELGIJI

  Рет қаралды 96,833

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 161
@rashvokotz1205
@rashvokotz1205 2 жыл бұрын
Allah akupe maisha malef kuipigania taifa letu
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 3 жыл бұрын
Pole na safari raisi wetu karibu Tena nyumbani
@samsonmaiko6089
@samsonmaiko6089 3 жыл бұрын
Pambana Raisi wetu tuna Imani nawewe, tuvushe mama.
@meshajoni5662
@meshajoni5662 2 жыл бұрын
Hamna kituu hapoo tumepigwa,nakitu kizitoo ,,,,,uyu mama atatuacha vibayaa sanaa,,
@saxannjo6173
@saxannjo6173 3 жыл бұрын
JPM alifanya makubwa bila kuombaomba, na kujipendekeza hivyo. Fanya umalize muda wako UTUACHIE NCHI YETU
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 3 жыл бұрын
Thubutu, kakopa hela nyingi tu sema hakua akisema tu hadharani.. Tofauti ya Mzee wenu marehemu na Mama ni kwamba mama muwazi sana anakwambieni kila pesa anayoipata na matumizi yake ni yepi... Watanzania hawakuzoea kuambiwa ukweli juu ya pesa zao hasa za mikopo na mikataba ya uwekezaji wa makampuni ya ulimwenguni..
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 Huyu anajipendekeza sana. JPM alikua anakopa, ili baadae alipe, bt huyu anaenda kuomba hela, matokeo yake atashawishiwa asaini mikataba ya kipuuz ya kuwanufaisha hao wazungu
@issarashidiferuziferuzi9201
@issarashidiferuziferuzi9201 2 жыл бұрын
Roho zenu mbaya tuuuh ataendelea kuwa raisi mambo yatakwenda vizuuri mungu yupo nae Hasidic Hana sababu
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 2 жыл бұрын
@@saxannjo6173 Kuna mkataba wowote wa kipuuzi aliousaini umeuona wewe? Au unadhana tu juu yake? Dhana ni mbaya na ni chanzo cha shari na hasad, huwezi kumdhania mwenzako maovu na mabaya wakati huna ushahidi juu hayo......Nyinyi ni waleee wenye roho mbaya juu ya huyu mama na hamkutaka awe Rais wakati alietaka awe Rais ni Mola wa ulimwengu mzima... Acheni choyo na roho mbaya mwacheni mama afanye kazi yake.. Mbona hamsemi JPM kenda katumia mapesa tele kwa kujenga kiwanja cha ndege kikubwa Chato kwao wakati hakuna hata mgeni wa kitalii atakaeacha zake ende Chato... Jee huo sio mradi wa kipuuzi?
@kabogeof9597
@kabogeof9597 2 жыл бұрын
Hata familia zetu mzazi anaekopa deni kwa uwazi na malengo ya mkopo husika huwa haisumbui kulipwa na familia. Mshua alikopa kimyakimy akasema pesa za ndan. Mficha mardh kf hutoa mlio
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 2 жыл бұрын
Sijaona Raisi anotaja pesa pindi anapo rudi safari yake kama wewe Asante mama
@ulaweboy3479
@ulaweboy3479 3 жыл бұрын
Mama kiukweli Mimi sikisuport hata kidogo kwani magufuli aliwezaje kuunda nchi .usidulaghai huo ni mkopo tuache ujinga watanzania kwani hata kwenye familia zetu Aya mamb ya ajabu yako kauli aitendi ila iko siku.unatamanije kuwa Kama ulaya na wakati wenzako walitumia zaidi ya Kati ya miaka 1600hadi Sasa usiforce we Mama
@boybony5103
@boybony5103 3 жыл бұрын
Mpuuzi ww
@fredyona5780
@fredyona5780 3 жыл бұрын
Mpuuzi wa mwisho kabisa,we unajua magufuri ameiacha hii nchi na madeni kiasi gani ambayo yalikuwa hayasemwi,we unajua alikuta deni la taifa ni sh ngapi na mpaka anaondoka kulikuwa na deni kiasi gani?tafuta report ya CAG ya mwaka 2015 halafu na report ya mwaka 2019 ndo utajua hujui
@ulaweboy3479
@ulaweboy3479 3 жыл бұрын
@@boybony5103 we niite mpuuzi uwenda kwenu auna hata mbuzi wa kisingiziw nyie ndo wale watu ambao atuwataki
@binhussain3445
@binhussain3445 3 жыл бұрын
@@ulaweboy3479 Wewe nani anakutakaa
@binhussain3445
@binhussain3445 3 жыл бұрын
@@ulaweboy3479 Kwanza tuomba kufahamu Elimu yako isijekuwa tunabishana na Chekechea
@amourmattar773
@amourmattar773 3 жыл бұрын
Ahsante mama shukraan mama na wewe ni muelewa MASHAALLAH
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 жыл бұрын
Omba omba amerejea nyumbani.!!!!! Aibu.!!!! Tz ina kila kitu lakini mazwazwa maraisi wanaenda kuomba omba pesa na misaada kwa mabeberu.
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 3 жыл бұрын
Pole na safari hongera kwa juhudi zako, kubwa wafuatiliye hao watendaji wako Mhe. Wako waliokuwa bado ubinafsi na ulafi umewa tawala. Nchi inakubalika kila pembe hatuwezi kuwa ni kisiwa lazima tuwe pamoja na nchi nyingine. Nenda kampumzike Mama yetu.
@abdallahally842
@abdallahally842 3 жыл бұрын
Huyu mama nimeanzaa kumuelewaaaa sanaaa nampendaaa mama samiaa anavision ya haliyaju shee genius ♥
@marikbakali3920
@marikbakali3920 2 жыл бұрын
Kwaiounataka zoezilakunyan'ganyana hela nakufungiana acount zawatu bank liendelee?
@htx1873
@htx1873 3 жыл бұрын
Excellent. , Hongera sana mama . Wanaobeza Wataona kazi na itaongea ye yewe
@getitdoneright1938
@getitdoneright1938 3 жыл бұрын
Akitokea alikoenda kuuza nchi
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 3 жыл бұрын
Wahenga husema "umekuja umenono tukoke moto". Yaani umerudi vizuri sio mikono mitupu tupate zaidi kutokana na ziara zako. Hongera Mh si haba umekuja umenona kiuwekezaji.
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 жыл бұрын
Siyo hela ya bure. Kumbuka Ndugai alisema nini kuhusu hizo pesa anazokwenda kuomba omba?
@issarashidiferuziferuzi9201
@issarashidiferuziferuzi9201 2 жыл бұрын
Ndugai wivu ulimzidi alitala kuwa raisi tu hatakuwa raisi milele
@sallygrace1495
@sallygrace1495 3 жыл бұрын
Minister wa France ndio Shetani wakubwa, na Belgium sindio huyo Tundu lissu akampa plan mama na wakaenda kwaiyo meeting na kupewa tena Pesa.. Mungu have mercy upon Tanzanians.. Na mnashindwa hata kuwasaidia watoto wenyeshida waliogongwa miguu yao na kukatwa na hawana hata huduma ya kuwapele Shule ili wapate elimu zao!!
@saxannjo6173
@saxannjo6173 3 жыл бұрын
UNATIA AIBU SANA.... Uombaomba tulishaanza kuuacha,,, ila unaturudisha huko. WaTz wazalendo wa kweli, hatukuelewi.... JPM We Miss U
@antonnadenade4597
@antonnadenade4597 3 жыл бұрын
Tuko hoi kweli Kila siku unasafiri
@frednjau5662
@frednjau5662 2 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@peterstivin4639
@peterstivin4639 2 жыл бұрын
Hakuna haja ya kuwa Kama ulaya kwa njia ya mikataba na mikataba hiyo no ipi,watanzania no matajiri tutajenga taifa letu wenyewe hayo mavuno hayana maana kwetu Tanzania bila mabeberu inawezekana,tunapaswa tu tujiamini tu inatosha,maendeleo ya mikopo Haina maana nimizigo kwetu na kwa vizazi vyetu.
@anuaryally6177
@anuaryally6177 2 жыл бұрын
Asante sana mzalendo mwenzangu
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 жыл бұрын
Hiyo dubai imejengwa KWA mikataba seuze sisi mbulula 🤣🤣🤣🤣🤣
@zahiribrahim7418
@zahiribrahim7418 2 жыл бұрын
ahsante mama piga kazi
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 2 жыл бұрын
Musifieni uyo mama madeni anayokopa ulaya watayalipa wajukuu zeno.. # hakuna vya bure mzungu ana akili kuliko wewe muafrika misaada na mashariti na wengi wanaomsifu wanashiba matumbo RIP magufuli
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 2 жыл бұрын
Ivi inamaana anazunguka nchi za nje kukopa? Aisee anatuaibisha,lkn bila magufuli tungekuona unafanya chamaana kukopa lkn magufuli ametufanya tujijue kwamba nchi yetu sy yakutegemea mikop .magufuli alifanya mengi sana namakubwa bila kutegemea mikopo iweje samiia hakujenga darasa nihela yakukopa?.hela zandani magufuli aliondoka Nazi au ameachia mafisafi? Kwann mama usisimamie uchumi wetu?
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 3 жыл бұрын
Hizo ela unazo safirinazo ndo ungemalizia mwendo kasi.. mzungu awezi kupa ela zabure. Mama...
@hasanimikeyo8893
@hasanimikeyo8893 2 жыл бұрын
Nikweli kwa mzungu akuna cha bure bro
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 2 жыл бұрын
Pamoja Sana , nakuelewa mama,
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 2 жыл бұрын
Salamu yako nzuli ila penda kuanza salamu ya mwenyezi mungu wewe ni muisilamu sema asalamu alaykm Kisha bwana yesu asifiwe kwa wakrsto
@raysambala1248
@raysambala1248 2 жыл бұрын
Acha udini ww
@mbelwapaschal6320
@mbelwapaschal6320 3 жыл бұрын
Kama Hatujipangi Kujenga Kwetu ,usitegemee Mzungu akujengeaa utobaki salaama , Mpka ukarabati watufanyie jmn Dah ,Tunafeli wapi sisi
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 3 жыл бұрын
Hatujui kutunza wao ndiyo walojenga sisi ni wizi tu na maneno
@mudyguy7441
@mudyguy7441 2 жыл бұрын
Ongera mama kwa kazi mzuri.
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 3 жыл бұрын
Wanadamu hawana wema, piga kazi mama, wenye chuki wajinyonge
@athumanially906
@athumanially906 3 жыл бұрын
Safii mama endelea kupiga kazii
@Jonasmemruti
@Jonasmemruti 3 жыл бұрын
Kazi iendelee MAMA
@allyhotti3777
@allyhotti3777 3 жыл бұрын
Pambana mama tukonyumayako tumekuunga mkono kwajitihadazako!🙏👍
@kashindisimukindje142
@kashindisimukindje142 3 жыл бұрын
Ongereni sana watanzania kupata raisi anaye angaikia wananchi wake , na kupenda taifa lake la Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan Oyeeeee..... Juuuuuu ...... Juu sana Kazi inandelea kweli Ongereni sana wa TZ wakongomani wenzenu tunateswa sana nchini mwetu kongo, serekali yetu ya kongo ndo adui wa raia yake
@grederoperater7970
@grederoperater7970 2 жыл бұрын
↩️ Kazi iendele 🇹🇿💪💪💪💪💪💪💪
@antonnadenade4597
@antonnadenade4597 3 жыл бұрын
Mikataba mama mpaka unatoka madarakani tutakuwa mkopo mkubwa sana
@thomasnyakisho5093
@thomasnyakisho5093 2 жыл бұрын
Yani huyu mama kwa makamba ameferi
@saidimtame2320
@saidimtame2320 Жыл бұрын
Uta safir sana kwa njaa zako kupitia wananch wako
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 3 жыл бұрын
Safi Mama karibu nyumbani na sisi wa Ughaibuni tunasubiri mtupe hiyo hadhi maalumu ili tuwekeze nyumbani bila wasiwasi na tununue ardhi ya kutosha tu
@maishamazuri9897
@maishamazuri9897 2 жыл бұрын
Wamejaa watoto wa shule as audiences
@husseinkakanga4082
@husseinkakanga4082 3 жыл бұрын
Mama dhana ya kujitegemea huna kabisa tumekuwa dhalili ombaomba kwa kiwango hicho. Kuomba kwako ni fasion sio hatutaki unatukera Sana .Umerudi mbona umepoa Sana kimekusibu Nini huko hutokako? Wanaokusifu wanajari matumbi yao ukitaka kuamini tuma watu wako waingie mtaani waulizi watu juu ya wewe wakulete majibu kamwe 2025 huwezi gombea urais nakuambia ukweli hajuna chuki Wala roho mbaya huo ni ukweli
@abuyizedon
@abuyizedon 3 жыл бұрын
????
@Bmtstudiostz
@Bmtstudiostz 3 жыл бұрын
Sisi hatumkubali au wewe ndio humkubali mama? Tuachie mama yetu haukai moyoni mwa mtu
@babuloliondo5975
@babuloliondo5975 3 жыл бұрын
Mama uwekezaji unatakiwa shuguri Kia UMEME kwanza siyo porojo
@salumumakombo9136
@salumumakombo9136 3 жыл бұрын
kweli kabisa uwekezaji bila umeme wa uhakika ni bilabila
@abbassalum6824
@abbassalum6824 3 жыл бұрын
Hajawai kua na Maajabu
@hosannaevangelisimoutreach1271
@hosannaevangelisimoutreach1271 3 жыл бұрын
Mama yangu na rais wangu mpendwa samia suruhu ,shkamoo, Mi NAKUOMBA tuuu mama etu mpendwa ,uwe unawasalimia watu kwa asalaam aleykhum, alafu ndio usalimie Salam iyo ya jamuhuri, nayo ni ya heshma kwa jamuhuri yetu ya Tanzania, ila naomba umtangulize mungu kwa njia ya salaam, asante mama angu mpendwa
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 жыл бұрын
Hiyo NI salamu ya kiimani sio kilamtu anapenda hiyo salamu, na akiwa Rais mkirisyo Naye atasalimia kwa Imani yake sio kila mtu ataipenda salamu hiyo, kwahiyo anacho kifanya raisi wetu sija jua kosa lake NI lipi?
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 3 жыл бұрын
Huyo ni Raisi wawote salamu inatakiwa ya kitaifa bila kuwatenga wengine. Hiyo ni protocol hawe Raisi mkristo au muislamu au dhehebu lolote lile itampasa kufanya kila kitu bila kumtenga mtu.
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 2 жыл бұрын
@@Frankgamanuel kwahiyo ndugu yangu salamu ya kitaifa NI ipi? Mimi bado siijui.
@fatmamunde5543
@fatmamunde5543 2 жыл бұрын
Mhh! Watanzania shida kwelikweli" Huyo mama ni Chif Hangaya" Hangaya Hana din jamani. Haaa!!!
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 2 жыл бұрын
@@fatmamunde5543 hakuna mtu asiye kuwa na dini! Nivema ukajua nini maana ya dini
@imeldabernard5728
@imeldabernard5728 2 жыл бұрын
Walio Eda kumpokea. Awanakazi zakufanya
@tibasmsenga2404
@tibasmsenga2404 2 жыл бұрын
Asante
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 2 жыл бұрын
Mama anakopa tu lkn mipangp yakulipa mafeni haionyeshwi
@allyngogomi2989
@allyngogomi2989 2 жыл бұрын
Habari tz jamani ni shida
@salumsalum8274
@salumsalum8274 2 жыл бұрын
Sisi tunakops kwasababu tunakopesheka na tunaouwezo wa kulipa. Hakuna nchi isiyokopa duniani. Mama tenda wema wende zako usingoje shukurani. Wasio kuelewa ipo siku watakuelewa tu.
@daimanyakunga6293
@daimanyakunga6293 3 жыл бұрын
Ondoa tozo
@Tariqxxtenations
@Tariqxxtenations 3 жыл бұрын
Hawana la maana hao ukijichanganya tu wanakuletea vita. Vya bure vibaya
@kassimali2273
@kassimali2273 3 жыл бұрын
Tufanyaje labda tushauri
@salumumakombo9136
@salumumakombo9136 3 жыл бұрын
@@kassimali2273 akushauri nini subiri ujionee mwenyewe ...ukisha ambiwa usisubiri ushauri jiongeze
@anuaryally6177
@anuaryally6177 2 жыл бұрын
Mikutano inaendelea kwaiyo na safari zitaendelea kwenda ulaya
@mc-shaulinsingeristmsomi3903
@mc-shaulinsingeristmsomi3903 2 жыл бұрын
Adi kuja kujielewa kwa baadhi ya waafrika Kuna kazi kubwa sasa
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 3 жыл бұрын
Nchi imekushinda achia ngazi
@sallygrace1495
@sallygrace1495 3 жыл бұрын
I agree
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu ! kzbin.info/www/bejne/b6OuZGxvmdqkga8 Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿 A new project will then be OUT ✊🏿
@kassimali2273
@kassimali2273 3 жыл бұрын
Hahahahahahhhaha kwann imemshinda ndugu ulitakaje labda ili awe mzuri kwako
@binhussain3445
@binhussain3445 3 жыл бұрын
Jina lako kwanza Mzee yaani umezeeka na Mzee ni kama mtoto so kalale
@salumumakombo9136
@salumumakombo9136 3 жыл бұрын
@@binhussain3445 falsafa yako ni ndogo sana ko wewe ukisikia mtu kaitwa mzee basii wajua kikongwe daaa yaani kuma kwelii wewe braza
@king-size8114
@king-size8114 3 жыл бұрын
Wow
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 3 жыл бұрын
Karibu Mama Nyumban
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 3 жыл бұрын
Kashibisha kwake nyinyi kalia kuachama
@sbboymkaliofficial9108
@sbboymkaliofficial9108 2 жыл бұрын
Karibu Sana mrembo wetu vp uko uliko toka naskia eti umetoka kudanga eti kweli 🤣🤣👇👇 kzbin.info/www/bejne/a3-TYZasqZyUpdE
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 3 жыл бұрын
Chuki binafsi haijengi, mtakufa na chuki zenu, Kazi iendelee mama
@issarashidiferuziferuzi9201
@issarashidiferuziferuzi9201 2 жыл бұрын
Ahsante saana ahsante saaana
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 жыл бұрын
Mihela Kila Siku Unavuna Tu lkn vitu Kila Siku Vinazidi Kupanda Ndio Nini Sasa But mwenda Zakee Alikuwaa Havuni Mipesa Ulaya lkn Kila Kitu kilikuwaa kinaenda sawia Tuuu Hovyoooooooooooooo
@bekaashbai1781
@bekaashbai1781 2 жыл бұрын
Zanzibar ile uchumi wa blue
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 жыл бұрын
Mambo yenu ya kila mara mnakwenda ulaya Mimi sielewi kabisa ninavyokuona wew unaweza kuwa ulihusika na kifo cha JPM sababu kila alioyakataa yoote wew ndo wakwanza kutafanya ikiwemo hayo Mambo ya kuamini kwamba kila kitu kinaweza kujengwa na wazungu, safari za hapa na pale zinazo haribu pesa za nchi siku gani JPM alisafiri eti Ubelgiji, ufaransa na wapi na wapi?? Fala Sana we mama
@Elfordobokegillo-ne4jo
@Elfordobokegillo-ne4jo Жыл бұрын
Akili yako imejaa maji,nasikitika kukuambia hivyo.Huyu Ni kiongozi wa nchi soma misaafu,kwann umtukane?au kwa sababu umemiliki kijisimu uchwara ukajua kuandika unaandika tu?
@Elfordobokegillo-ne4jo
@Elfordobokegillo-ne4jo Жыл бұрын
Ukiambiwa ulete ushahidi wa unayoyasema utasimama na kutetea hoja yako,?
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
@@Elfordobokegillo-ne4jo manyangau kuna siku wanakosa mashabiki?? Sishangai kuona mtu kama wew una reply comment imekaa mwaka mzima sijapingwa na mtu ila wew boya flani unakuja kutetea km
@merekwangujati158
@merekwangujati158 3 жыл бұрын
Amekutana na wafanya biashara Ulaya, kuwatoa ngorongoro co nyingine
@barakanestory3521
@barakanestory3521 3 жыл бұрын
Umeme wakisema hautakatka Tena,, zamu imeisha, lakini chakushangaza bado umeme unakatika hovyo, mbona enzi za Magu,haikuwepo,Mama msimamie waziri wa nishati hajakuwelewa, kwanini wanatangaza hakuna mgawo halafu bado wanakata
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
haswa waziri wa nishati wa saahv ndio hana analo lijua
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 2 жыл бұрын
Fisad ww tozo zote hizi bado unakopa mikopo na baazi ya w tz wlv watumwa mnampokea mkicheka hamjui kesho yenu ktk hao anao jinad
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
Mlienda shopping mtuangamize raia
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 7 ай бұрын
Nakomenti bilahata kutazama wlakusikilizi
@otmanmbwilo6789
@otmanmbwilo6789 2 жыл бұрын
Mama kaz yako haionekan propaganda tuuu fanya mambo ya msingi mufumuko wa bei VP
@oceanstar8890
@oceanstar8890 2 жыл бұрын
Mama ukweri umechemka sio sili nakukumbuka baba
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 2 жыл бұрын
Waulizeni Zambia wameuza nchi yao mpaka Polisi wachina....wameshindwa kulipa deni walilokopa uko uchina
@waltermassawe1876
@waltermassawe1876 2 жыл бұрын
Few people not like magufuli
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
pumba tupu HAMNA CHa Maana
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
Yaguju usidanganye hao ndondocha waliokuja kupumbazwa
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
ina maana hao wafaransa wanakuja kujenga hizo terminal bure tuu?? ama kweli tumepigwa
@taagiza1159
@taagiza1159 2 жыл бұрын
Huyu mama mfupi ana matatizo
@mariammmbaga976
@mariammmbaga976 3 жыл бұрын
Dada kwa mwezi mmoja Nakuomba tuonane
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 2 жыл бұрын
Mbona mbeya huisemei kwenye barabara unazungumzia tuu dodoma dar ,mwanza daa ,huku ndiyo kusema sisi siyo watanzania au
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 2 жыл бұрын
Wewe jifanye mjanja mbelegiza lna kuhusu
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 2 жыл бұрын
Umeme wenyewe wa mgao
@kaengelemuseba2619
@kaengelemuseba2619 2 жыл бұрын
mama kumbuka kama wa filisti wa ngali naendelea na kazi zao.
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
Tuwape mafuta Zay Zanzibar
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 жыл бұрын
Kuna hotuba ya Nyerere inahusu kujifananisha na ulaya ikapelekea serikali yake kukwama Kwa kufanya ulaya Kama ndio mfano wa kipimo cha maendeleo ya Tanzania au Afrika Kwa ujumla,tufike wakati tusijikatae wenyew kwann tujishindanishe wenyew ktk jumuiya zetu za afrika ,mbna Mambo mengi tunashirikiana ya kimaendeleo ,Kisha tuone miaka mitatu tutafika wap ,japo itahitaji msimamo mkali Sana make tutachonganishwa wenyew tugombane na tuchukiane .hyo ulaya inapenda isifiwe yenyew tu ,kibao kikigeuka kidogo tu wanatafuta mbnu za kutuvuruga , mtoto anajengwa Toka mdogo kimaadili ,mpaka anafikia umri wa kujitambua na kuamua kujitegemea ,kwann suala la maendeleo lisiwe Kama malezi ya watoto hauwezi mfananisha mwanao mdogo na mtoto wa jirani aliyemtangulia kuzaliwa wawe sawa wakati kila maendeleo Yana mbinu zake Kama ilivyokuwa ulaya sisi ndio mashamba yao ya mahitaji ya sehemu kubwa ya viwanda vyao yanategemea afrika
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 жыл бұрын
Ww NYERERE ndo katuchelewesha emu usitukumbushie
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 жыл бұрын
@@imranijuma6955 inwezekana Kwa kuwa siku hz vijana wengi mnajiangalia nyie sio vizazi vyenu ,haujiuliz juu ya hao wanao wataishije miaka kadhaa ijayo ,hongera
@isayamapolu3904
@isayamapolu3904 3 жыл бұрын
haya bwana
@barakambasile2651
@barakambasile2651 2 жыл бұрын
Toa huyo wazili makamba Kwanza kwenye umeme tunaumia Sana huku chini weka hata jafo namuonaga nimpambanaji Sana huyo dogo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 2 жыл бұрын
Ushuzi mtupu, tukutane2025
@lilianmakwati5228
@lilianmakwati5228 2 жыл бұрын
2025 mama unatosha
@ramadhanihamisi5596
@ramadhanihamisi5596 2 жыл бұрын
Siri 5 Kuhusu Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Kwa Wanandoa... ... Je, upo kwenye ndoa lakini huna amani na ndoa yako? ... Je, tendo la ndoa kwako ni tatizo? ... Je, umehangaika kutafuta mtoto au umeambiwa unazalisha mbegu pungufu? Je, unahisi ndoa yako ipo hatarini kuvunjika kwasababu unahisi mke wako anachepuka? Kama majibu ni NDIYO, basi ujumbe huu ni muhimu sana kwako usipuuze kusoma hii makala... Tafiti Zina Sema ndoa 3 hadi 4 kati ya kumi zinavunyika kila mwaka... kwasababu ya mwanaume kushindwa kushiriki tendo la Ndoa barabarani.. wanaume wengi wanapenda sana kupuuzia vitu hasa ushauri kuhusu afya zao pia kuhusu lishe... Kama ni wewe unapitia hizi changamoto hapa chini basi Soma makala hii hadi mwisho... 1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege. 2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kumwaga mbegu za Kiume. 3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito. 4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa. 5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima. Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume kama umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na Kama unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho? NITAKUPATIA USHAURI WA JINSI YA KUTUMIA FORMULA MAALUM YA KUTATUA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA ASILIA PASIPO. KUTUMIA DAWA YOYOTE. Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa. Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0784161431 au piga simu usaidiwe haraka.
@petermalia7224
@petermalia7224 3 жыл бұрын
³
@daimanyakunga6293
@daimanyakunga6293 3 жыл бұрын
Ama kweli bila wao hatufiki kweli
@kassimali2273
@kassimali2273 3 жыл бұрын
Ndiomana yake hatuwezi kufika pekee ye2 lazima tushirikiane na wao na ndo waswahili husema kaa karibu na uwaridi ili unukie
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Ndio maana Magu kawapigia magoti kisirisiri (kwa kuficha) na kuchukua mikopo ya kijinga kwenye Benki zao za kibiashara!
@mbelwapaschal6320
@mbelwapaschal6320 3 жыл бұрын
Tumeshapigwa na kitu Kizitooo
@salumumakombo9136
@salumumakombo9136 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 umenuswa mkundu na panya
@salumumakombo9136
@salumumakombo9136 2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 panya kisha kunusa mkundu huna ishu
@michaelgwimbugwa1535
@michaelgwimbugwa1535 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fnLJmqSZdtRgnqM KATAZAME. HAJI MANARA ALIVYOSEMA BAADA YA SIMBA SC KUPATA SARE UGENINI
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 жыл бұрын
.
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu ! kzbin.info/www/bejne/b6OuZGxvmdqkga8 Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿 A new project will then be OUT ✊🏿
The Lost World: Living Room Edition
0:46
Daniel LaBelle
Рет қаралды 27 МЛН
요즘유행 찍는법
0:34
오마이비키 OMV
Рет қаралды 12 МЛН
Every team from the Bracket Buster! Who ya got? 😏
0:53
FailArmy Shorts
Рет қаралды 13 МЛН
TAZAMA MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOZUNGUMZA NA KUMKOSHA MAMA YAKE
6:53
Putin and Trump Meeting / Venue Preparation
12:07
NEXTA Live
Рет қаралды 609 М.
KIJANA  Aliyejitosa Mbele ya 'MAGUFULI'  Akamponza Mkurugenzi!
1:02:33
Global TV Online
Рет қаралды 77 М.
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE - IKULU, DAR ES SALAAM
1:33:10
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 27 М.
The Lost World: Living Room Edition
0:46
Daniel LaBelle
Рет қаралды 27 МЛН