Sema John Joseph pombe magufuli ❤ ukweri utabaki parepare
@mkutamajuto15493 ай бұрын
Hayati magufuli azungumzwe kwenye hili pia maana yeye ndy alie Anza.... Msimpuuze
@ahmedronga75833 ай бұрын
Yani magu ndo wakutajwa na sio alie sasa
@fransicmushenyera93023 ай бұрын
nyie mawaziri msimgombanishe rais samia na wananchi kwakudhani labda anawatuma mnapotaja miradi aliyoinzisha magufuri bila kumtaja kwa kumtaja bado rais samia alikuwa makamu wake hivi mnajua wananchi hawapendi mnavyojipendeza
@katemachanda70353 ай бұрын
@@ahmedronga7583Haikatazwi Rais wa Sasa kutajwa kwa mambo yake, lkn kama Kweli we ni raia wa Tanzania kinachofanyika Sasa ni kama Rais wa Awamu ya tano alikuja na akaondoka tu. Ziko juhudi za dhati na za makusudi wataje mambo yaliyofanywa na Marais wote waliopita lkn ya Magufuli hayatajwi kabisaaa, yanatajwa kwa jina la Rais aliyepo Sasa. Kwani wewe hilo hulioni ndugu???
@josephambrose22153 ай бұрын
Haswaa, Samia ameendeleza tu. Kama siyo kifo Cha Magufuli, hiyo treni ingeanza kazi kitambo na maendeleo mengine yangefikiwa. Hayati Rais JPM alikuwa na uchu wa maendeleo ya Tanzania🇹🇿 na mzalendo haswaaa, RIP🇹🇿🙏
@GodlivenMaximillian-ot7mg3 ай бұрын
Hongereni TRC ila tunawaomba sana sana msituwekee manyimbo ya ovyo ovyo kama yaliyopo Kwenye mabasi, manyimbo hayo ya watu hawajavaa nguo, wanaimba matusi tu yanaharibu vizazi. Ndio maana vijana wa leo hawana umakini. Chonde chonde TRC Tunawapa mawazo kama mtaweka TV humo wekeni MAKALA mbalimbali za wanyama na nyingine nyingi za uzalendo.
@yesesalambwe94203 ай бұрын
Hii ni hoja ya msingi sana. Izingatiwe! TV zioneshe mbuga za wanyama, maendeleo ya miradi yetu mbali mbali, mipango ya nchi na mambo mengine ya kujenga nchi ma jamii. Sio filamu za kichawi, mapenzi na mabongo fleva
@hemedrashid29213 ай бұрын
naongezeee hususani na nyimbo za uzalendo na vidio za tanzania kuchangia ktk ukombozi wa bara la africaaaa
@abasiabdallah60673 ай бұрын
That's the real meaning of Magufulification of Africa.
@KamardinTebe3 ай бұрын
Fikra na alama za jpm pumzi kwa amani jpm tutakumbuka daima
@emmalexrelaxingsounds74033 ай бұрын
Tumrekebishe ndugu masanja kidogo. Guinea Bisau iko West Afrika. Haiko Sadc. na Wanaongea Kireno sio Kifaransa. Guineas iliyo walau karibu na sisi ni Equatorial Guinea. Wao wanaongea Kispanyola. 😇
@jebace3 ай бұрын
Guinea Bissau,Guinea Conakry na equatorial Guinea
@ibrahimally80733 ай бұрын
Labda we ndio tukurekebishe.. maana masanja hajasema unachotuambia.... kasema lengo la serikali ni SGR ifike mpaka mataifa ya jirani ya sadc.. Wala hajasema kuhusu eti guinea IPO sadc.. hapo umemsingizia..
@border2bordercuisine1683 ай бұрын
Mnh. Huko nje mama anakubalika sana . Hongera sana mama. Mungu akupe nguvu zaidi.na sisi ndani wengi tunakukubali.❤❤❤
@nguruwekikwete16353 ай бұрын
Mama gani wewe fara
@ernestsinje97003 ай бұрын
Jpm uliona mbali Baba Mungu akurehemu
@ahmedronga75833 ай бұрын
Kongole kwa babu wetu JPM
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Mashaa-Allah Refu saaana
@athumaniabdi41223 ай бұрын
Mungu wangu, nakuomba endelea kuibariki Tanzania
@GdFf-ik2eo3 ай бұрын
Humo msiweke miziki na nyimbo za kupotisha vijana wetu wekeni mbuga za wanyama bs watu wasngalie msiwrje nyimbo kama kwenye mabadi wengine hatupendi hiyo miziki
@omarybakunda25543 ай бұрын
Mimi nadhani tujipongeze watanzania wote mana tunalipa kodi
@ROZITHOMAS-y4q3 ай бұрын
TV za train wekeni wanyama wa mbuga zetu
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
@piusmapunda59003 ай бұрын
Naomba usimamizi uwe makini sana sana ili hii reli ya gharama kubwa sana iweze kudumu kwani tumeona si muda mrefu mradi wa mabasi ya mwendo kasi (BRT) uko hoi bin taabani kutokana na usimamizi na kutojali kutunza mali ya umma kunakpsababushwa na waliopewa dhamana kufanya kazi kwa mazoea na kulewa sifa. Ni hilo tu. Mungu ibariki sgr na Tanzania
@mashakabundala99553 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 mpoo
@emmanuelmasanja60403 ай бұрын
Wanajiona,hawaoni
@DeodatusiLyaruuu3 ай бұрын
JPM ndo wakupongezwa
@ulimbombonaulindi50883 ай бұрын
Mbona hamjampa nafasi Mheshimiwa Rais kuzungumza tukamsikia?!
@mussamussa81813 ай бұрын
KWAKWEL ALIPO KANYAGIA MAGUFURI NI PAZURI ,,MAGUFURI MITANO TENA MIE NITAMPIGIA KURA MAGUFURI...KATUTOA GZAN SANA
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Magufuli oyee ndiye alifanya haya
@mohamediomari16143 ай бұрын
Mchongoko lini jamn
@jameskapele4413 ай бұрын
Kongole TZ
@raymondmichael88053 ай бұрын
kazi ya magufuli matapeli nyie
@HansChuma3 ай бұрын
Ruache Porojo naupumbavu wa maneno mengi na Media kusifia ujinga Inatakiwa tutunze malizetu vizur kwa maendeleo Shenzi
@killy_hoffman26983 ай бұрын
sasa kilicho kukasirisha hapa ni kipi ? au ulimbukeni ndo unakusumbua