Nimependa hotuba nzuri ya DC magoti, Kwa kumsikuliza tu nimegundua ni mtu mwenye hekima Sana, DC magoti mwenyezi MUNGU akubariki Sana na akuinue ktk viwango vingine ktk uongozi wako. Nimependa pia ulivyomtambulisha vema mkeo, hakika umempa thamani kubwa Sana. Umeinyesha mfano wa kuigwa. Ubarikiwe kaka.
@LUNGWEWILLIAM12 күн бұрын
Jembe hilo. Magoti. Mkuu Wa wilaya.
@user-jh1dn7cy6p2 ай бұрын
Asee mungu anajua nmemsikiliza uyu kaka hakika mungu campania kipaji kikubwa na yote mwenyez mungu aendelee kuwalinda yeye na mkewake pa1 na timu yake nzima❤
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Good And talented speech. God blessings you.amen
@jumaigoti754116 күн бұрын
Mungu akujalie sana
@kitejamayunga76452 ай бұрын
Dah! Nimekoshwa sana na DC magoti. I wish angekuwa ndugu yangu. He has a sense of solidarity. Chapa kazi bro
@tanzaniasociallightfoundat90532 ай бұрын
Mh. Magoti anaongea na kwa hekima sanaaa. Yafaa kuigwa hivii. Ni maombi yetu Mungu amsaidie achape kazi kumsaidia Mh Rais Katika eneo lake.
@fatmaallyabdul17322 ай бұрын
Hongera sana Mhe.Mungu akuwezeshe utekeleze majukumu yako kwa ufanisi na kwa weredi... in'shaAllah 🤲🙏
@user-sc2ze2rn6n2 ай бұрын
Mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
Uko vizuri kaka magoti nafurahia sn kazi zako ..
@charleshaule4008Ай бұрын
Hongera sana Mh DC Mungu aendelee kukusimamia!
@janethcharles69432 ай бұрын
Mungu akutangulie Muheshimiwa Magoti
@aminaomary55672 ай бұрын
Kaka ongera kaendelee kuchapa kazi. Kaka kawe kama makonda❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Kweli kabisa,akatengeneze timu yake kama Makonda,wanasheria na sekta zote wawemo... Mungu awatangulie watu wa Kisarawe wakajivunie kama cc wa arusha na Makonda wetu.
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Mungu azidi kukutangulia na kuwalinda.
@odiliacharles35122 ай бұрын
Hujui Hata Kuandika Vzr!!!!Ni Hongera Cyo Ongera.Unataka Awe Kama Makonda Kivipi????!!!!!
@hassanmfaume45222 ай бұрын
@@dorahmushi-we6tskwani makonda ana nini mimi nilimpelekea tatizo langu hakuweza kutatua mpaka leo ninavyokomenti hapa hajaweza kama mnakumbuka makonda aliitisha wananchi pale wenye kesi mbalimbali hakuna hata moja aliyotatua ikiwemo mama mmoja alikuwa na offer akaenda mhaya mmoja kuchukua hati ardhi huu mgogoro wa kweli wa kutatuliwa kwa sekunde tu lakini hakuna alichofanya zaidi ya kuwasumbua wananchi wale..!
@davidrweyemamu9382 ай бұрын
Magufuli tone!
@aliceudoba36722 ай бұрын
Mungu baba awe nawe siku zote za maisha yako
@TharcissCizaАй бұрын
Heshima kubwa sana kwako, ninaamini katika uwezo wako . Nakupenda bure mhe. DC
@user-jf1yd4oi4w2 ай бұрын
Hongera sana kaka,Mwenye enzi Mungu akuogoze
@JeremiasikilianiJeremiasikilia2 ай бұрын
Indeed, may god bless you DC Magoti and your family in Jesus name Amen 🙏🙏
@johnsimbaАй бұрын
Magiti ulimurume na Mungu akulinde ata cheo chio bakuyaye nkitoto achikusabhira bakongeshe ubhe Mkuu wa Mkoa, karibu mwanza Nyagezi, Mungu akubariki sana DC Magiti umetulia sana.
@user-gb6us5xt1p2 ай бұрын
Hongera sn mh. ALLAH akusimamie kila hatua
@hamisaramadhan-ft9mi2 ай бұрын
MH.magoti mungu akutanguliee ktk utendaji wako wa kaz🤲
@user-oy9wr2zc6x2 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa kapige kazi.
@JoseHaule-tx7luАй бұрын
Mh magoti pongenzi sana ni mtu ambaye hujikwezi ni mnyenyekevu pia sio mtu wa majivuno Bigup bro
@lerakalaita6909Ай бұрын
Nimemsikiliza MH.DC MAGOT yaani hotuba yake namuona MAGHUFULI ndani yake ❤❤❤🎉🎉🎉
@salimkhamis3638Ай бұрын
Kumekucha amka usije ukajikojolea! Bado una ndoto za Magufuli tu
@josephminja79532 ай бұрын
Hongera sana unaonyesha una unyenyekevu
@jacklinelusekelo48422 ай бұрын
Duuu akili mingi kama JPM had sauti Mungu akujalie Dc
@user-th6mr7sq2k2 ай бұрын
Be bless dada naomba umlee huyo mume kwa upendo sawa mama
Hongera sana kaka kwa kazi hii mungu akusimsmie popote ulipo
@chikujuma18Ай бұрын
❤❤❤ mashallah hongera kwa hotuba nzur
@nurumwinyi796Ай бұрын
Masha Allah mola azidi kkusimamia,uko na busara sana🎉❤
@aminaomary55672 ай бұрын
Hakika kaka una mke mzuri sana na mpole🎉🎉🎉🎉
@tielyelibariki89582 ай бұрын
Mama Samiha nimefurahi sana kumuweka huyu baba ktk uongozi anastahili. Mungu akulinde sana ❤
@zainabumartin9520Ай бұрын
Mashaallah tabarak ❤❤❤upo vzuri kiongozi
@RichardAmaro-pv8po2 ай бұрын
Mh. DC Magoti, hongera sana kwa nafasi uliyoipata. Hakika umempata kiongozi mahiri (RC Mh. Mhandisi Kunenge), historia ya utendaji wake unajidhihirisha kwa vitendo na ueledi. Ni Mtendaji mahiri, mwelimishaji na mlezi mzuri sana. Siyo kiongozi wa mtandaoni hata siku moja, na kazi zake zinaendelea na kupimika vizuri sana. Hongera sana Mh. Magoti, hongera sana Mh. Mhandisi A. Kunenge kwa uchapaji KAZI wako uliotukuka.
Hongera Mkuu Wa Wilaya.Mh.P.Magoti.Kaa kwenye Sheria ,Be Strong.
@ZubaibaАй бұрын
Hongera sana mheshimiwa magoti
@user-oj3lv6et4n2 ай бұрын
Huyu ndiye mkuu wa wiraya zote Tanzania 🇹🇿
@HinohiatHidoCoАй бұрын
Wilaya na siyo wiraya.
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
UBALIKIWA KIONGOZI MAGOTI PAMOJA NA VIONGOZI WENZAKO NA FAMILY YAKO ❤❤❤
@RachelMwakitalu-db2vjАй бұрын
Kwa kwl Mungu kaweka kitu ndani yako ningepewa nafasi ya kumpendeza ungeteuliwa kuwa kisha ukapewa wizar nyeti ya ........
@petermgosi51112 ай бұрын
Mungu akutangulie katika majukumu yako
@rabsonchisumo66402 ай бұрын
Mkuu wa wilaya mkubwa sana anatembea na Prontoko kabisaa
@petermgosi51112 ай бұрын
Yani nimesisimuka kusikia hotuba fupi au maelezo ya shukrani ya DC magoti kumbe inchi hii inahadhina kubwa ya viongozi wenye busara na hekima soon your going to be Rc trust me one day you remember my expectation
@ZubaibaАй бұрын
Mashaallah mashaallah 🎉🎉
@wemakanka31712 ай бұрын
Hongera DC magoti mungu akutangulie
@kiondoshaghude49662 ай бұрын
Mh magoti Kuna watu wamekusubiria muda mrefu sn na Leo umefika ,,Tembelea Kijiji cha Tondoroni chemchem watu Hawa wametafuta kujua hatima yao muda mrefu nenda uwaambie kati ya Mambo mawili wabakie na eneo lao ,,au Waondoke walishalipwa ili maisha mwingine yaendelee..mgogoro ule ufike mwisho ...mm toka mdogo mgogoro upo Kijiji kina hati ya halali 1992 unaambiwa kilitasminiwa kiondoke 1984-86 aliyetoa hati ya 1992 ni nani?...hebu wasaidie Hao wanyonge sio washinde isiyo haki yao waambiwe Waondoke,,,kama ni haki yao wapewe ...wanasumbuliwa na Viongozi wao wasio waaminifu kuchangia kila siku Kesi na haiishi ...nenda mungu akuongoze mgogoro huo ufike mwisho...sijajua waliokutangulia walikua wanatishwa na nn ila najua na nazifahamu kwa kusikia KAZI zako unakwenda kumaliza huu mgogoro kabisa ,,mungu akutangulie sn na kukupa maisha mrefu barikiwa sana Mh DC Magoti
@user-px3po9lt8g2 ай бұрын
Kweli kweli nimemkumbuka uncle magu r.i.p
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Mungu akutangulie ktk utendaji wako
@Mojabo-qi7sv2 ай бұрын
Karibu kwetu mkuu utusambazie maji kwa mwingi vijijin kwetu mungu aku baliki🎉🎉🎉🎉
@user-px3po9lt8g2 ай бұрын
He is good
@princesaha32622 ай бұрын
Kachero mkongwe
@user-gm4qi3nn9n2 ай бұрын
❤❤❤❤mke mtiifu,mume hekima karibu kisarawe
@SelemaniMajengo-fg7nv27 күн бұрын
Uwezo wake unadhihirisha wazi wazi anapoongea
@eliasthomas154727 күн бұрын
Anamke chuma kweli.
@merrynancesimon15622 ай бұрын
Na mkewake ametulia mnoo Mungu awasimamie kwenye mapenzi Yao Daaha love is beautiful ❤❤❤❤❤❤
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Maashaallah
@PeterMshali2 ай бұрын
Duuuh.... Mbona wengi wakikosolewa wanakupoteza😮
@ezekieltate48772 ай бұрын
Mr.Magoti nikiongozi wa busara sana,hakika wanakisarawe mtafaidi sana tena sana
@huldamichael44452 ай бұрын
😂😂Magoti Magoti Magoti nimekuita mara tatu😂😂😂...Baba mkwe wako ni handsome
@MossesAlly-lo4ub2 ай бұрын
Hongereni
@francoismalenge13732 ай бұрын
Amen Amen 👏👏
@user-qj2fz8uq3j2 ай бұрын
Ana ababu ana maono pia mungu akusimamie akupe afya tele
@mackbossofficial55372 ай бұрын
Hongera sanaaa
@bensonmgaya5693Ай бұрын
Tatizo mwenye akili kubwa anapewa nafasi ndogo mwenye akili kidogo anapewa nafasi kubwa tutafikaje ?
@sabinuskomba25352 ай бұрын
Watu wa maana kabisa, magoti Mhe. Upo vizuri piga kazi
@jtheophil54992 ай бұрын
Hongera sana DC You are the best.
@mackjohn4684Ай бұрын
Hotuba zur sana nimemkubali
@josephminja79532 ай бұрын
Hongera sana MH magoti,kaifanye vyema KAZI uliyoaminiwa na MH RAISI
@khadijayusuph26342 ай бұрын
Kanda ya ziwa hiyo""ujasiri Kama wote
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@musakasingo59413 күн бұрын
Magoti ni kifaa
@serafinamalecela4728Ай бұрын
Nakumbuka anapomuoa huyu dada watu Wali Ongea maneno mengi saanaaa
@MenelusCzar27 күн бұрын
MAGOTI🔥❤️
@eliasthomas15472 ай бұрын
Amina ni chombo cha maana kabisa.
@francisgituti24942 ай бұрын
Weldone magot
@princesaha32622 ай бұрын
Naona wale makachero wa ikulu wanatolewa nje Sasa hvi kimsaidia mama. Bado Warsam
@user-kg9uz2hh1y2 ай бұрын
YES YOU CAN
@amedeusmmanga80432 ай бұрын
Good
@marygregory75662 ай бұрын
Sijawahi jua Kama magoti Ana hekima kiasi hiki
@FIDELISMfugale2 ай бұрын
Mkitaka kujua tabia za huyu anajfanya mpole muulizeni kigogoo😢
@albertkadyanji97222 ай бұрын
Ukimuuliza wewe uyo kigogo inatoshaaaaaa
@alexandermuhubiri64762 ай бұрын
Kwani kigogo si zuzu na huwa anawapenda mazuzu wenzie lakini watu wenye kujielewa kama hiki chombo ni maadui kwake. Muacheni Magoti apige kazi hawezi kuwanyamazia watu wasio waadilifu
@erickwanjarajr57072 ай бұрын
Jamaa akili kubwa sana awakukosea kuwa ikulu, amejaa hekima, unyenyekevu, nazani Raisi kumteuwa mkuu wa wilaya ni hili amsaidie tumtazamie zaidi kwenye field kama yeye alivyo sema.
@rabsonchisumo66402 ай бұрын
Mtu wa system
@yusuphmkapa934Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AshaNdoweka2 ай бұрын
Aah mvungi huyoo
@realbeda28802 ай бұрын
❤❤
@maase20232 ай бұрын
Jamani ??????
@anatholwannah98152 ай бұрын
Ni KISARAWE sio KISALAWE
@fortunatahulilo84112 ай бұрын
His Mother tongue
@edgarmazyeta91292 ай бұрын
Uyu alikuwa usalama ikulu
@user-qk2wu5wm1fАй бұрын
Yaani ccm hovyooo
@EddyAdam-w5q28 күн бұрын
Oy
@glorified60452 ай бұрын
👏👏👏
@fatumahossein754Ай бұрын
🙏🙏🌹🌹🌹🤲
@PetroIbrahim-ds9ml2 ай бұрын
Kaka umeongea mpaka machoz yamenilenga , hakika saut kama mwamba wetu alyelala chato kat ya maneno ya hekima na busara ndo haya tunayoyataka ,maneno yasyokuwa na ufisadi Wala vijembe kama wengne