RAMADHANI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI AKIPAMBANA NAO, POLISI AKATWA PANGA

  Рет қаралды 32,093

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 81
@danielkanso
@danielkanso Ай бұрын
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri kwa hilo tunawaunga mkono kwa kweli naombeni msikubali kurubuniwa na wanasiasa au wenye mamlaka mkatumia vibaya nafasi zenu
@Pvpmediatanzania
@Pvpmediatanzania Ай бұрын
Safi sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri, tafsiri ya jeshi la polisi sasa naiona katika kulimda raia wake.
@richardmercio3855
@richardmercio3855 Ай бұрын
Hongeren sana kwa kaz nzuri na ngumu JAMBAZ KWAKUA ANAUWA NAE AUWAWE TU
@kelvinnjawike1808
@kelvinnjawike1808 Ай бұрын
Dawa ya wezi kuua ,,msileee wezi hongera sana
@PaulinaKaheshi
@PaulinaKaheshi Ай бұрын
Jeshi letu la polisi Mme Fanya kazi nzuri
@SalahSalum
@SalahSalum Ай бұрын
Safi sana police nawapongeza
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Ай бұрын
Jamani Mzee WA watu anaumwa amepata na dharura badala ya kumsaidia inampiga na panga Mzee anaanguka chini huku anaumwa kisha mnamwuibia Hayo ndiyo malipo ya dhuruma Kwanza rasta mungu mungu amekataza anayesuka rasta na n msukwaji wote mungu amewalaani Sasa inaondoka ktk dunia huku unalaanab Mtihani Mungu tuongoze ktk haqqi
@AbubakariBausi-zd6xf
@AbubakariBausi-zd6xf Ай бұрын
Siwapendagi kwajili ya uonevu lakin kama mmeuwa mwizi salute wazee kwa leo uweni kabisa wezi hawastaili kuishi
@SaiminiUrio
@SaiminiUrio Ай бұрын
TUNAPAMBANA SANA TUNAJITAFUTA TUNAPATA KWA JASHO SANA WENGINE WANAKUJA KUTUDHURU WAVICHUKUE SAFI SANA JESHI LA POLISI MUNGU AWATANGULIE PIA MUNGU AWALINDE ❤👏👏👏👏👏👏👏👏
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi Ай бұрын
Kazi nzr Afande barikiwa sana
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo Ай бұрын
Hongera afande kwa kazi safi
@aloycemeela2607
@aloycemeela2607 Ай бұрын
Kwakweli napongeza sana polisi mkoa wa pwani kwa KAZI nzuri endelee kurudisha matumaini kwa watanzani
@modricseif1018
@modricseif1018 Ай бұрын
Fresh tu, kubwa msiue raia wema
@yohanalikwawa1171
@yohanalikwawa1171 Ай бұрын
Kazi nzuri Jeshi la polisi, mpaka hao panya road waishe.
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v Ай бұрын
Yn toka aondoke magufuli hali si shwali
@samwelmwangi9185
@samwelmwangi9185 Ай бұрын
Ni vizuri pia hao wengine wakapatikana maana wakati huu hayo matukio yameanza kurudi tena hapa Kibaha, hasa wakati wa alfajiri na usiku. Mungu ibariki Tanzania. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@babajay3445
@babajay3445 Ай бұрын
Kazi nzuri police waongezwe vyeo hao askari hawa majaa huwa wanatuibia sana flat screen zetu majumbani
@EliaHiluka
@EliaHiluka Ай бұрын
Kwann kama alikuwa na panga polisi watumie bunduki hamuoni hapo mlitumia nguvu kuliko sheria inavyo wataka?
@ramajuma5620
@ramajuma5620 Ай бұрын
Daah kwan lazima kutaja jina langu nimeshtuka hujui to wew Askar halaf majin yoote yamefanan aisee😂😂 ila Me nashukur nipo hali
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Hatar
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 Ай бұрын
Safi Sana ndo Kaz hiyo tuna itaka wahuni wahun wote wauwawe
@smstore5535
@smstore5535 Ай бұрын
Safi sana
@MwendeshaMwendesha-i6h
@MwendeshaMwendesha-i6h Ай бұрын
Ww jamaa unafanana na siro
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 9 күн бұрын
Hawa marasta ni balaa kubwa
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Ай бұрын
Ni jambo la kuhuzunisha mno,wengi ktk wenye biashara ya bodaboda ni majambazi!!
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 Ай бұрын
Inahuzunisha kweli yan😢
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c Ай бұрын
Safi sana,,
@fidelnkurunziza
@fidelnkurunziza Ай бұрын
mngefanya hivo nakwawat wasiyo julikana
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Ай бұрын
😮WEWE UMEUWA NA WEWE UMEJERUHIWA SASA NANI ALO ATHIRIKA 😅😅
@DavidMgimba-z8o
@DavidMgimba-z8o Ай бұрын
Nitawasifu mara tu Deus na wenzake pia walio muua mzee wetu kibao wakipatikana
@MichaelPaulo-k1c
@MichaelPaulo-k1c Ай бұрын
Polisi Tanzania kuwa nikawaida. Ata Kama Hana hatia
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Ай бұрын
Safi sana! Majambaxi yanatesa sana.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 Ай бұрын
Ukakaso kufurahia mtu kuuawa
@MichaelPaulo-k1c
@MichaelPaulo-k1c Ай бұрын
Hawa damu za watu zitawalilia,nyinyi na family zenu uwe tu,
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Ай бұрын
Awa waongo sana wanajitete wanapoua
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Ай бұрын
Wewe acheni kupotosha raia nyinyi mna bunduki iweji mpambane na mtu mwenye panga kuma nyinyi
@jumapilimakondo4250
@jumapilimakondo4250 Ай бұрын
Nahisi hata wewe ni mmoja wa majambazi pia ​@@rogerabdallah439
@jumapilimakondo4250
@jumapilimakondo4250 Ай бұрын
Nahisi hata wewe ni mmoja wa majambazi pia ​@@rogerabdallah439
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
Sasa unategemea nini unapokuja na panga kuniua halafu mimi nipo na bunduki,siwez kwenda kutafuta panga natumia bunduki we jichanganye​@@rogerabdallah439
@dianaleo6067
@dianaleo6067 Ай бұрын
Hii nchi polisi hatuna😢
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
Nenda ambako kuna polisi
@dianaleo6067
@dianaleo6067 Ай бұрын
@yohanakananika3586 kwa mamako
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 Ай бұрын
@@dianaleo6067 Ndo uje sasa
@acariusamos6228
@acariusamos6228 Ай бұрын
Hawa akuna kuwalea
@yohanamjema5121
@yohanamjema5121 Ай бұрын
Ndugu wanachelewa chomeni moto huyo.
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Ай бұрын
Kazi njema afande tunawaombea
@Yangabingwaofficial
@Yangabingwaofficial Ай бұрын
Ndo inavyotakiwa mwizi akikamatwa auwawe aina haja ya kumpeleka polisi
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Kila mtu skifuata shelia bila shlti tutabaki na amani yetu
@ZuhuraAthuman-u2i
@ZuhuraAthuman-u2i Ай бұрын
Mapigano ya raia mwizi na police lzm mwizi uende ahera baba😭
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Ай бұрын
Barabara ya morogoro eneo la kibaha kuna vichaka sana
@magigesabai8674
@magigesabai8674 Ай бұрын
kibaha gani yenye vichaka ? ungesema chalinze Moro hapo ila kibaha uongo huo
@allymohamed2724
@allymohamed2724 Ай бұрын
HAPO TATIZO LIPO WAPI. KAMA NI KING WA KUJERUHI NA MWISHOWE KUUWA, HURUMA GANI INATAFUTWA HAPI.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
We nae ungekuwa wewe ni askari ungakaa tu ukatwe mpaka ufe na au usiombe ukutane nao sikia tu kwa mtu
@king_King-4029
@king_King-4029 Ай бұрын
Mie siungi mkono saana kuua, baada ya siku chache utasikia alieua hakuwa jambazi, hapo itakuaje?. Ilitokea 2023 kule Kusini na Kuna polisi waliwekwa hatiani kwa Hilo.
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 Ай бұрын
Kwahili police,siwapingi mmetimiza wajibu wenu,maana anae diliki,kupambana mpaka napolice nakujelui askari,wetu,nivyema auawe maana anaonekana mzoefu kumwaga dam zawatu.
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Yale mapori yajengwe nyumba, hata ukitoka bank pale maliasili kuna majambazi wengi mchana mchana
@bonnymsd8116
@bonnymsd8116 Ай бұрын
Sio majambazi ni vibaka hao
@king_King-4029
@king_King-4029 Ай бұрын
Lakin hata humu KZbin fanya search kuna story ya mwanajeshi aliingizwa kwenye stori ile ya majambazi ya ubungo, yeye hakuua ila alipata msukosuko mkubwa katika maisha yake, lkn anakataa hakuhusika na huo msala.
@farajiissa560
@farajiissa560 Ай бұрын
Chek lile la nyuma ukute ndo liliuwa
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 Ай бұрын
😂😂😂mtinted😎😎
@dianaleo6067
@dianaleo6067 Ай бұрын
Nawatekaji jee? Mmewakamata?
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 Ай бұрын
Ndugu yangu sqlim morcase hongera sana
@AmaniMathod
@AmaniMathod Ай бұрын
HAWA JAMAA UKIKUTANA NAO USIKU UKILETA UBISHI WANA KUKATA KWELI NA PANGA.....BOLA WAPUNGUZWE SAFI POLISI ..
@lovegodmunisi1006
@lovegodmunisi1006 Ай бұрын
Kama mwiz afe
@EmilyNego
@EmilyNego Ай бұрын
Sasa mnachunguza Nini wakati kafa kamfukieni aende na laana zake
@PeterDaudi-z2z
@PeterDaudi-z2z Ай бұрын
Polis wa bongo bwana bola angekuwa na silaa sasa panga tu adi mumuuwe kunashida hapo Kwa jeshi la polis
@EmmanuelMlowe-u1v
@EmmanuelMlowe-u1v Ай бұрын
Mkundu wa mmamako kila Jambo linalofanuwa na polisi mnaona kosa,hamuoni makosa ya marehemu?
@EmmanuelMlowe-u1v
@EmmanuelMlowe-u1v Ай бұрын
Mtu yeyote anaejifanya kupambana na na polisi is tu. Kama anapambana na polisi he akimtokea mtu wa kawaida je?
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha Ай бұрын
Kama anapanga na ana pambana na askari police wamwangalie? Ndio maana alipigwa mkono na mguu ili kumtuliza sio kumuua Lego nikumshikilia na kuupata mtandao wote walio nao kwa hili nawapongeza police Mungu awaongoze katika kutulinda wa Tanzania wote kwa haki bila Upendeleo
@GervasMalimi
@GervasMalimi Ай бұрын
Sinapeanda afande anavyo jieleza hana ukakamavu
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Ebu toa mfano, ebu kakamaaa😮😮
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 Ай бұрын
Hivi Police hamna njia nyingine zaidi ya kuua???
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo Ай бұрын
Njia gani kwa mfano, ukawafundishe polisi?
@Pvpmediatanzania
@Pvpmediatanzania Ай бұрын
Nenda kawaelekeze wewe ukiwa unashambuliwa na mapanga ubgetumia njia gani ???
@barakamachard1944
@barakamachard1944 Ай бұрын
Shuleni walipkua wanasema soma habari kisha jibu maswali walikua na maana kubwa sana
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Ipi toa maoni
@AllyKiluwa-wx1qr
@AllyKiluwa-wx1qr Ай бұрын
Kamaa ni ww ungefanyajeeee
Wanajeshi feki walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma
9:42
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН
Counter-Strike 2 - Новый кс. Cтарый я
13:10
Marmok
Рет қаралды 2,8 МЛН
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН
Jaidarman TOP / Жоғары лига-2023 / Жекпе-жек 1-ТУР / 1-топ
1:30:54
Jerusalema: Gangster's paradise  HD Movie
1:58:57
Rewind ZA
Рет қаралды 119 М.
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 47 М.
FAMILIA YA KIYEYEU YAGOMA KUZIKA MWILI WA MTOTO WAO
2:27
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,6 М.