Huwezi kulificha jina la magufuli kama ambavyo huwezi kumficha makonda kipenzi chetu watanzani wenye utimamu na wapenda haki na usawa,makonda wataenderea kukuonea wivu ila tambua idadi kubwa ya watanzania wanakupenda kuliko mtu yoyote nchi hii ya Tanzania
@OthumanOchu-dx6euАй бұрын
Makonda ndio ndio kiongozi wa afrika kwa Sasa anae kubarika
@dominickrukokelwa1284Ай бұрын
Kuna mwamba wa Ouagadougou Burkina Faso Rais Ibrahim Traole. Juzi raia/wapiga kura wote wamempitisha bila uchaguzi.
@yordanyona1234Ай бұрын
Huo upole utawaponza sana ...nchi zote Tajiri ni wakali sana kupitia viongozi au sheria zao ziko seriously...
@user-nr2ud1dm3yАй бұрын
Ubabe uliyo na misingi ya kusimamia haki kwangu ni sawa. Ubabe utumike kwa kuzingatia haki.
@NeemaOmar-ou1sqАй бұрын
Wamuache Makonda afanye kazì. Amesaidia wengi kupata haki zao . Huo sio ubabe ni wajibu wake kama kiongozi kujua kero za wananchi katika mkoa wake sio kukaa ofisini tu unaletewa taarifa .
@obadiajuma436Ай бұрын
Wakuu wamikoa wengine wanajaribu kumuiga makonda lakini haliko ndaniyao
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Ni uchawa tu,iko siku nchi hii huu ujinga mnaotufanyia watanganyika,,mtakimbia hii nchi ninyi mafisadi,
@yordanyona1234Ай бұрын
Kwetu UZALENDO ni mdogo sana hivyo ni muhimu kufikiria
@user-qi7px6nb8rАй бұрын
Hii nchi tulipofikia viongozi hamutakiwi muwe Wapole..Muharibu nchi,nchi inatakiwa kuwe na viongozi kama akina makonda.Sio kuwa Wapole sana,wapinzani watawapa Kiki sana.
@dominickrukokelwa1284Ай бұрын
Wewe unayesema umeacha, mfuatilieni kijana mwenzenu mwamba wa Ouagadougou Burkina Faso Ibrahim Traole.
@Joseph-qp6qtАй бұрын
Kwataarifa tu nikwamba hata wazazi wa watanzania wote wakiambiwa kuchagua Kati ya watoto wao na makonda hakuna asiye jua ka makonda ndio Chaguo la kila mpenda haki na mwenye akili timamu
@DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын
Maneno yote hayo mnamtafuta Makonda, ili kumfifisha kwenye utendaji wake kazi ulio bora na kumfanya awe kimya natunaona kweli yuko kimya , ivi nchi hii niyenu pekeyenu kwani kama kusingekuwa na wananchi nyie mngekuwa viongozi wa nani, mbona mnaanza kuwa harati nakuwaziba midomo viongozi wanaosema ukweli, naongea kwa uchungu sana hii hali sio poa kabisa ,
@sylvanuskavindi2756Ай бұрын
Kuna baadhi ya maeneo usipokuwa rough mambo hayaendi. Anachofanya Makonda ni sahihi tu, kuna watu ktk halmashauri zetu wanapora sana haki za watu.
@IsackJoseph-jt3hk29 күн бұрын
Kijitabu kasome mwenyewe na chawa wenzako
@epifaniamilinga2848Ай бұрын
Mmeanza.kumwekea zuio.Makonda.siasa shida.Makonda Fanya Mungu anavyokuongoza.wakikutoa ondoka.Mungu yupo.
@kichenjewillian5720Ай бұрын
Tofauti yao ni kwamba makonda ana stara na hekima...ila mjomba uyu matusi hasira na kujipa madaraka ya kiungu.
@AbdulmujibAhmedАй бұрын
Wemwenywe wa kwanza mbabe
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Wacha uoga ubabe uendelee
@RevocatusRuttechuraАй бұрын
Uchawa tu hakuna jipya hapo
@msafiriomary89315 күн бұрын
Huyu kasha ungana na wapiga diri
@RichardKilepo-xj1syАй бұрын
Hakuna jipya
@OthumanOchu-dx6euАй бұрын
Hatuwezi kuachana na makonda mbaka mwisho wa dinia