"NAKULIPA HELA YANGU HIYO KESI NAINUNUA" RC CHALAMILA AMCHIMBA MKWARA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUTAPELI

  Рет қаралды 45,814

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

MIMI NIMFUPI WA UMBO NIKIAMUA KUZITUMIA ZOTE" RC CHALAMILA AMBANA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUDHULUMU

Пікірлер: 176
@johnjoycemalusu4886
@johnjoycemalusu4886 2 ай бұрын
Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level. Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania. Endeleeni kutusaidia wanyonge.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 ай бұрын
Mikoa mingine hakujakucha? Tunamuona Mhshmw Makonda, Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...
@imanuelzakayo8703
@imanuelzakayo8703 Ай бұрын
Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa
@MaryShayo-tg4vq
@MaryShayo-tg4vq Ай бұрын
Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Ай бұрын
Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
🎉🎉🎉
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 2 ай бұрын
Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri
@farijala1
@farijala1 2 ай бұрын
Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni
@godiegodie1336
@godiegodie1336 2 ай бұрын
Jerry Silaa mbona kufanya sana
@user-no4ny7ox2d
@user-no4ny7ox2d 2 ай бұрын
Chalamila na sio makala
@selector728
@selector728 2 ай бұрын
huyu sio makala ni Chalamila
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 2 ай бұрын
Makala gani tena
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 2 ай бұрын
Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.
@menelus911mene5
@menelus911mene5 2 ай бұрын
Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 2 ай бұрын
The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 2 ай бұрын
Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy 2 ай бұрын
Duh makonda chalamila
@ConstanciaShangali
@ConstanciaShangali 2 ай бұрын
UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤
@barakarobert1029
@barakarobert1029 2 ай бұрын
😂😂😊😊
@barakarobert1029
@barakarobert1029 2 ай бұрын
Ni huzuni kwa kwel
@dn.n4983
@dn.n4983 2 ай бұрын
Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour
@chire4574
@chire4574 2 ай бұрын
Makonda ni mfano wakuigwa..
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 2 ай бұрын
Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai
@user-yf2ro1wb4y
@user-yf2ro1wb4y Ай бұрын
RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali
@steve-zf4tj
@steve-zf4tj 2 ай бұрын
Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona
@amisindondi4549
@amisindondi4549 2 ай бұрын
Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza
@user-wr7io8lh6j
@user-wr7io8lh6j 2 ай бұрын
Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda
@isaacorengo1404
@isaacorengo1404 2 ай бұрын
Safiiiiiiii like Makonda
@dizzboss7526
@dizzboss7526 2 ай бұрын
Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze
@dereva0
@dereva0 Ай бұрын
wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh Ай бұрын
Kabisa nchi itakuwa nzuri
@user-vk4zb8fo9u
@user-vk4zb8fo9u Ай бұрын
Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya
@paulmaganga9700
@paulmaganga9700 Ай бұрын
Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 Ай бұрын
Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Ай бұрын
Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .
@EligiaMligo
@EligiaMligo 2 ай бұрын
Makonda kaonyesha njia
@robertlary6007
@robertlary6007 Ай бұрын
Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Chalamila una masihala sana
@babuuriziq3243
@babuuriziq3243 Ай бұрын
MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO
@ezehabari947
@ezehabari947 2 ай бұрын
Safi sana RC kwa kuinunua kesi
@lwitikoasa6899
@lwitikoasa6899 Ай бұрын
Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 2 ай бұрын
Chalamila oyeeeeer
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 2 ай бұрын
Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana
@matukutajuma156
@matukutajuma156 2 ай бұрын
KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢
@dizzboss7526
@dizzboss7526 2 ай бұрын
Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅
@abuusufian6506
@abuusufian6506 2 ай бұрын
😂😂
@casperegreen3034
@casperegreen3034 Ай бұрын
huyu kweli noma
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Ай бұрын
Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Ай бұрын
Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko
@mugapro
@mugapro 2 ай бұрын
Naona nchi imeanza kuchangamka
@johnkapesula122
@johnkapesula122 Ай бұрын
Laaa sanaaaaa...
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 Ай бұрын
Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike
@HAPPYSULE
@HAPPYSULE Ай бұрын
Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.
@abusufianijuma1224
@abusufianijuma1224 Ай бұрын
Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 ай бұрын
Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Ай бұрын
chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz
@PiusNjelekela
@PiusNjelekela Ай бұрын
chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊
@DiniMwambashi
@DiniMwambashi Ай бұрын
Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm
@harunirashid
@harunirashid 2 ай бұрын
Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Ай бұрын
Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila
@johnkapesula122
@johnkapesula122 Ай бұрын
Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 Ай бұрын
Ongera Sana baba
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh Ай бұрын
Duuh anapita njia za makonda safi sana
@user-sd4uv7sh6e
@user-sd4uv7sh6e Ай бұрын
Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa
@johnkapesula122
@johnkapesula122 Ай бұрын
Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Ай бұрын
Kazi nzuli mkuu
@fredykephacy5166
@fredykephacy5166 Ай бұрын
makonda na chalamila Mungu awape nguvu
@PaulMasolwa-ir4fp
@PaulMasolwa-ir4fp Ай бұрын
Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona
@titokimambo1367
@titokimambo1367 Ай бұрын
Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 2 ай бұрын
Ebwana huku Dar nako kumechafukwa
@JasminEddy-cc3tx
@JasminEddy-cc3tx Ай бұрын
Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde
@musamwambara6835
@musamwambara6835 Ай бұрын
Chanika hayo mambo yamekisiri sana
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Allah awape subhanallah na haki
@tupacthedon7104
@tupacthedon7104 Ай бұрын
Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia
@daudimwakipesile4801
@daudimwakipesile4801 Ай бұрын
Hongera Charamila
@SeraphineKamau-db9ty
@SeraphineKamau-db9ty Ай бұрын
Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 Ай бұрын
Hongera RC Chalamila
@nyanziratatou5404
@nyanziratatou5404 Ай бұрын
Wewe ndo komesha ya wezi.
@emmabrownmissana6996
@emmabrownmissana6996 Ай бұрын
Safi Sana mkuu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 ай бұрын
Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote
@MussaKitaluta
@MussaKitaluta Ай бұрын
Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Mmfuatwa nyao za makonda.
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 2 ай бұрын
So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 ай бұрын
Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu
@mahatakitengewamuninga1260
@mahatakitengewamuninga1260 Ай бұрын
NAUONA MZIMU WA MAGUFULI
@neemareuben311
@neemareuben311 Ай бұрын
Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa
@godlistenuriourio6114
@godlistenuriourio6114 Ай бұрын
Safi sana
@tembatembele5332
@tembatembele5332 Ай бұрын
Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu
@zefamange7281
@zefamange7281 Ай бұрын
MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢
@user-vp1zu3fb5w
@user-vp1zu3fb5w Ай бұрын
NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 Ай бұрын
Utapeli Mwingi sana Tz
@renatusgasembe3338
@renatusgasembe3338 2 ай бұрын
mtanunua kesi ngapi
@leonardmulimila1632
@leonardmulimila1632 Ай бұрын
Nakubali
@user-tr3bi1ry6t
@user-tr3bi1ry6t Ай бұрын
Chalamila wewe mtu wa maana kabisa
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 Ай бұрын
Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub Ай бұрын
Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 ай бұрын
inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go
@hassanamani2131
@hassanamani2131 2 ай бұрын
Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 ай бұрын
Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu. Acha kupanik
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 ай бұрын
@@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 2 ай бұрын
@@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda
@apostlej.rministiryprophet2219
@apostlej.rministiryprophet2219 Ай бұрын
KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Makonda.hii Kazi.nzito
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r Ай бұрын
Safisana chalamilla
@MaryShayo-tg4vq
@MaryShayo-tg4vq Ай бұрын
Yani mama sasa kama anajua kusoma mcheze yani nikudili nawakuu wamikowa wote wawe kama makonda wamsaidie kusikiliza kero za wana nchi kwisha mitano tena natena sisi wanachi ndotuna taka hivi kutatuliwa kero sio wanakaa ofisini tuu wana menya mama simamisha majembe kama haya wewe mbona hata presha huwezi pata
@justerissaya9165
@justerissaya9165 Ай бұрын
Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 Ай бұрын
Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo
@stephanSandika
@stephanSandika 2 ай бұрын
Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 15 сағат бұрын
Chalamila kama chalamila
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Ай бұрын
Huu ni uongo, uongozi au usanii? CCM yenyewe watenda dhambi nambari wani wakitendea dhambi gani ambayo hakijatenda? Wote ni wasanii, matapeli wanaocheza karata tatu na kuwachezea wananchi. Hayo mamilioni mnayomwaga mmeyapata wapi au mlipanga ii kujizolewa sifa za wasiojua kinichoendelea nyuma ya pazia. Hivi ndivyo wanavyolindana ati.
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 Ай бұрын
Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi
@nadiatanzania
@nadiatanzania Ай бұрын
Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Ай бұрын
Safari hii daa ars dar motomoto kabisa.
@user-yk5gm5qj4u
@user-yk5gm5qj4u Ай бұрын
Safii chalamila
@user-rv3ml6cf7e
@user-rv3ml6cf7e 2 ай бұрын
Mazingaombwe hayo
@Bless-sk8uv
@Bless-sk8uv Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Watasema mwaka huu
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 Ай бұрын
Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 Ай бұрын
Kuna kamgisha mwingine yuko Dondwe ndo michezo yake wengine tushasamehe
@LoishieMollel
@LoishieMollel Ай бұрын
Mwenye nyumba kapewa ufunguo.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 ай бұрын
Mkuu wangu Mby
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 61 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 31 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 61 МЛН