Asante mama endelea kuwapa kazi vijana wafanya kazi
@aminaomary55673 ай бұрын
Mama ujakosea hilo jembeeeeee Kariakooooooooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allah akujaalie kila la kheri na shari akuepushie
@wizydeko14963 ай бұрын
Safi saana
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Oooh allsh jaalia amani nci zote
@ponsianomnyaru91402 ай бұрын
Mama kaz ya kuongoza nchi huiwez achia ngaz hii nchi inahtaj watu wenye maamuz magum
@aishakhamis29962 ай бұрын
Kabisa samia must Go...!!
@CharlesKalisa-p1g2 ай бұрын
Samia must remain for more 5yrs
@HuseniMsumba3 ай бұрын
DU! KUMBE MWANAUME NI MWANAUME TU NA MWANAMKE NI MWANAMKE TU 😂
@MashakaMagesa2 ай бұрын
Hata katika vitabu vya mungu imeandikwa
@CharlesKalisa-p1g2 ай бұрын
Mama tuko pamoja nawe mi5 tena❤❤❤❤❤❤
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Huyu bibi😢😢😢😢
@GrceLaurentkaboigora2 ай бұрын
Huyu ni mchapa kazi, tunamjua, Sema ni majungu tu
@MashakaMagesa2 ай бұрын
Jafo ni kiongozi mzuri kama ataendelea kujisimamia kama Makonda
@petersilas42343 ай бұрын
Be careful there is a catch there, Kariakoo na wamachinga ni siasa. Maandamano yanadoda kwa kukosa kuungwa mkono na wamachinga na bodaboda, ndio uhai wa vijana wa Hali ya chini.
@HashimMhuza3 ай бұрын
Mama kumbe unaweza hongera
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Mama jiuzulu kama biden tunakoenda siko
@benjaminmiselya26222 ай бұрын
Hahaha ha kazi ya Uraisi mtoto wa like haimusitahili😂🤣🤣🤣🤣
@CharlesKalisa-p1g2 ай бұрын
Mama wachina wameisha shindikana apa bongo warudi tu kwao
@NanaMaembe3 ай бұрын
HUYU MAMA NI MJANJA SANA AISEE...... KAONA MOTO UMEWASHWA KENYA KUUSU KUKOPA KOPA MADENI YA INCH
@machujamathias71653 ай бұрын
Aise katika siku zote ambazo nimesikiliza speech za Raisi wetu mpendwa mama Samia. Nasadiki kusema mitano tenaa kwa Mama
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Kama mmemuona mwigulu chema anasinzia
@DaimaNyakunga-jb6do2 ай бұрын
Kama mwanamke hawezi mbona ww upon kumbe mnajijua kuwa nyinyi ni dhaifu
@OmarMihulu3 ай бұрын
Kumbe unajuwa km kunakazi wanawake hawaziwezi
@stevenkatani30472 ай бұрын
Hahahhahahahha aiseeeee wa tz kazi mama yupo kazin na anajua vitu vingi ssh5 tena
@JustinWerema8 күн бұрын
Yan jafo ni km jembe la arusha likisema limesema lilishachukuchukua uamuzi wa jembe letu. JPM
@NanaMaembe3 ай бұрын
HAPO SAMIA NAKUPA HEKO KUBWA SANA KWA KUMCHAGUA JAFO KUWA KWENYE BIASHARA.
@SanziNzige3 ай бұрын
Nyinyi mnafanya mchezo tu .haya!
@MejasonMzazi2 ай бұрын
Naona mke wa Lisu bado unaleta siasa mpaka huku youtube mende wewe