AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5

  Рет қаралды 17,098

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...

Пікірлер: 40
@samirsamson3996
@samirsamson3996 4 ай бұрын
This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 4 ай бұрын
Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤
@marianmartin7483
@marianmartin7483 3 ай бұрын
Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.
@IdrissuHassan
@IdrissuHassan 4 ай бұрын
Million mia600 duh
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
Ccm hii nchi imewashinda
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
Ilikuwa CCM ifanyeje?
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
​@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 4 ай бұрын
Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?
@victaboy7273
@victaboy7273 4 ай бұрын
😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 4 ай бұрын
Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.
@khaliphaabubakar9466
@khaliphaabubakar9466 2 ай бұрын
@@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.
@boazmaobe7245
@boazmaobe7245 4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
T M U Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.
@OmaryChipeta-mh2wi
@OmaryChipeta-mh2wi 4 ай бұрын
Wote 2pa ndan
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela? Kweli za mwizi 40
@AlkhaAlkha-d4s
@AlkhaAlkha-d4s Ай бұрын
Makonda baba yangu fanya kazi mungu yupo pamoja nawe baba
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 3 ай бұрын
Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 4 ай бұрын
Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 4 ай бұрын
Makonda hoyeeeeeeeee
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 3 ай бұрын
Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.
@williamwanga2126
@williamwanga2126 2 ай бұрын
Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai
@NginaBaruty
@NginaBaruty Ай бұрын
Tunakuombea Rais wetu wa baadae
@evaemil856
@evaemil856 Ай бұрын
Madungulushi ni mengi Sana.
@NginaBaruty
@NginaBaruty Ай бұрын
Na Bado wanapokea mshahara
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 ай бұрын
Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 ай бұрын
😂😂😂 sukuma ndani
@liliankayoka5892
@liliankayoka5892 4 ай бұрын
Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu
@Ax-xpress
@Ax-xpress 3 ай бұрын
Dada Mzito kwel
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 4 ай бұрын
ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅
@mussahancy6591
@mussahancy6591 4 ай бұрын
CHUMA KIKO ARUSHA
@mountaincoffee7
@mountaincoffee7 4 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana
@zidatv1122
@zidatv1122 4 ай бұрын
Ukienda ofisini wanakuangalia tu
@MariamMariam-f6s
@MariamMariam-f6s 3 ай бұрын
Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho
@amanisereni1708
@amanisereni1708 3 ай бұрын
Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.
@josephnemgosi8804
@josephnemgosi8804 4 ай бұрын
Tatizo mfumo
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 ай бұрын
Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,
@witnessmollel149
@witnessmollel149 4 ай бұрын
Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri
@TumainMwambombo
@TumainMwambombo 3 ай бұрын
Safi sana makonda karibu songwe
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 4 ай бұрын
Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 95 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 127 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Funny superhero siblings
Рет қаралды 4,2 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 53 МЛН
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 732 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 127 МЛН